MBELE ya MAKONDA WAANDISHI WAMLIPUA RPC ARUSHA - ''HAPOKEI SIMU - INAITA TU - KIOO HAKIONI''...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024
  • MBELE ya MAKONDA WAANDISHI WAMLIPUA RPC ARUSHA - ''HAPOKEI SIMU - INAITA TU - KIOO HAKIONI''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 41

  • @allymwamba
    @allymwamba หลายเดือนก่อน +10

    Misumari ya moto maoni mazuri

  • @HumanBeing-pj4hm
    @HumanBeing-pj4hm 17 วันที่ผ่านมา

    MBELE ya MAKONDA WAANDISHI WAMLIPUA RPC ARUSHA - ''HAPOKEI SIMU - INAITA TU - KIOO HAKIONI''... (TURUDI SHULE KUU YA UANDISHI WA HABARI TUKAJIFUNZE KUANDIKA CAPTION)

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta หลายเดือนก่อน +6

    Omba omba ni tishio kweli,umeenda zako village supermarket umebeba kamkate Kako unakuta mabinti wazuri wako watatu na vikombe vyao wanaomba ,haohao wakifanyiwa vitendo vya kikatili ndio tunakuja kujua kumbe hata wazazi wapo

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l หลายเดือนก่อน +2

    Kweli kabisa gwakisa nimtu kwa kutowa msaada

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 หลายเดือนก่อน

    Hivi kunawaandishi wa habari tena. Mimi nilidhani Nyerere aliondoka na akafuta waandishi wa habari. Kwa sababu wakati huo waandishi walikuwepo. Lakini toka hapo naona wachawa tu.

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 หลายเดือนก่อน

    Safi Sanaa

  • @jonasmbala1326
    @jonasmbala1326 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu Mwandishi ajue kwamba huyo mlemavu hakuomba ulemavu lakin pia nao ni binadamu hivyo jitafakarin sana kuwa zungumzia walemavu nao wengine walikuwa wazima kama yy hapo ni kuomba Mungu aepushe ajali na mengineyo ili kuwepo na uzima zaidi

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 หลายเดือนก่อน

      Hayo ndio maono yako sio? Walemavu kukaa barabarani kuomba omba umeona ni sawa na kuchafua taswira ya nchi si ndio? Je unaonaje wakatafutiwa utaratibu wa kujitegemea kuliko kuwa omba omba? Je unawazungumziaje wale walemavu waenda bajaji hapa dar feri mbona wao sio omba omba? Mtazamo wangu serikali iwatafutie vituo maalumu vya kupakia abiri kwa ajili yao tu kama vile feri na hata posta halafu wawe kwa vikundi wakopeshwe bajaji na walipe kwa mkataba usiopungua miaka miwili ili baada ya hapo hizo bajaji ziwe zao na wasiojiweza kabisa yaani vilema wa mikono na miguu wawezeshwe watu watu wao wahudumia mbadala wa hao walemavu na wawe na vibali maalumu vya kuweza kupakia sehemu za walemavu.

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt หลายเดือนก่อน +1

      KilaHali.mwenyezimungu.ndyo.mwenye.makadirio.tuombetumunguHakunamjanja.mbeleyake

    • @cavoo4get649
      @cavoo4get649 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe naona hujui unacho kitetea nyamaza tu, wenzako wanachukuliwa kutoka mikoani kwaaji yahiyo kazi, kwa ufupi nimitaji ya watu

  • @richardmbasha1411
    @richardmbasha1411 หลายเดือนก่อน

    Omba omba kwa ARUSHA ni kweli wamezidi sana

  • @DanielMasaki-q1m
    @DanielMasaki-q1m 29 วันที่ผ่านมา

    Bwakisa ni mashine kweli kweli

  • @user-xe4vh8nw3v
    @user-xe4vh8nw3v หลายเดือนก่อน

    Kaka makonda Fanya Kaz kama mungu alivyo kuagiza mana utabarikiwa zaid yahapo ulipo

  • @kibabysaid6692
    @kibabysaid6692 หลายเดือนก่อน

    Jamani na venye Faiza aliwasema wa Kenya kuwa wengi ni masikini...ety Tz nyinyi n matajiri ...sasa hao omba omba mnao wazungu mzia hpo wametokezea wapi?..

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 หลายเดือนก่อน +3

    Zunguuuu

  • @EmanuelIsaya-sg8bk
    @EmanuelIsaya-sg8bk หลายเดือนก่อน

    Kusags TV sijakusikia. Rpc hapokeagi sm .ungeenda kumtuanga

  • @JumaAthuman-bk6hx
    @JumaAthuman-bk6hx หลายเดือนก่อน

    Habari ya kutokupokea simu ni janga kubwa kwa watu waliopewa dhamana hasa ma_RPC karibu wote wanadharau sana hata ujumbe hawajibu mbaya sana.Sijui kwa nini wanatangaza namba zao!Vilevile baadhi ya ma_RC.wanatabia hiyo,badirikeni mpo kwa ajili ya wananchi.

  • @BasiliClement-ql1yg
    @BasiliClement-ql1yg หลายเดือนก่อน

    Hawo jamaa kwenye hizo trafic lights ni tatizo kubwa wanaingia katikatia yamagari na bodaboda nijambo la hatari sana na ukiwaeleza km nimishawaeleza kwamba mtagongwa lakini wapi wala hawajali

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g หลายเดือนก่อน +3

    Duuuh mtihani. Omba omba ni changamoto. Kamanda ujumbe wako hupokei cm. Yani viongozi wengi kupokea cm ni changamoto km hawaoni vile

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m หลายเดือนก่อน

    Ukiona hushiki simu ni hofu tu wala sio bize...

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 หลายเดือนก่อน

    Upande wa kina bwakisa wote waondolewe wahamishwe waje wapya hapo itakuwa sawa wezi wote kwa sasa hawaogopi kabisa police kuna maswala ya rushwa sana upande wa upelelezi

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 หลายเดือนก่อน

    Swala la uizi na vijana wanaoiba iba kila siku tatizo upande wa upelelezi wilayani kuanzia ocsd na wenzake upelelezi wahamishwe mara mmoja waje wengine wenye hari kubwa wataweza kuwaotokomeza kabisa lakini ikibaki hivyo kama ilivyo hakuna kitu kitabadilika maana ni rushwa sana

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 หลายเดือนก่อน

    Wawe na ustarabu mbona Kuna walemavu wanajishugulisha wamefanya kuomba ni sehema ya kazi

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm หลายเดือนก่อน

    Mworeka uko sawa omba omba wamezidi

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli ombaomba wamezidi hasa Dar, ni mradi mkubwa, utaona mtu anamleta mtu ambaye asiyekuwa na ufahamu kabisa na huwatembeza barabarani

  • @pastoreliwkimaroni8332
    @pastoreliwkimaroni8332 หลายเดือนก่อน

    Ombaomba nitatizo sana

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 หลายเดือนก่อน

    Tanzania akuna waandishi wa abar akuna media zote zimeegemea upande frn

  • @jamalibeya2527
    @jamalibeya2527 หลายเดือนก่อน

    Omba omba ni walemavu ni WA Tanzania wenzetu waondolewe waende wap tungelee jinsi ya kuangamiza tatu mzuka

  • @pastoreliwkimaroni8332
    @pastoreliwkimaroni8332 หลายเดือนก่อน

    Ombaomba wanao wa sukuma ni vijana wenyenguvu wa naweza kufanya kazi na kuwa saidia

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u หลายเดือนก่อน

    KWELI NIMEAMINI MBONA WAANDISHI WA HABARI HAWANA CONFIDENCE KABISA??????? YANI MIMI NIMEWAONA WOTE HAMNA KITU. MBONA WAANDISHI WA HABARI MMEMKUA WAOGA HIVO?? YANI HAMNA CONFIDENCE KABISA! Shenzi 😡😡😡🤬😠 yani Hapo nimemuona ni mwandishi Mmoja pekee wa Millard Ayo Ndio ameongea Kwa Confidence Wengine Wote Amna kitu Hovyoo hovyo kabisa 😁😠

  • @JumaAthuman-bk6hx
    @JumaAthuman-bk6hx หลายเดือนก่อน

    WEWE NWANDISHI UKISEMA MASHIRIKIANO WATU WA MTAANI WASEMEJE? JARIBUNI KUOGEA KISWAHILI SANIFU.HAKUNA NENO MASHIRIKIANO,BALI USHIRIKIANO.

  • @alsam4881
    @alsam4881 หลายเดือนก่อน

    Badala ya Serikali kutatua matatizo ya Omba Omba na kuwapa mitaji ya biashara na kuwaweka sawa ili wasiwe Omba Omba tena na waondokane na umasikini, lakini badala yake wanapewa misaada wasanii na kwenda Korea na kugharamiwa mamilioni ya pesa.

    • @RobertLyimo-vj3up
      @RobertLyimo-vj3up หลายเดือนก่อน

      Omba Omba haiwezi kuacha kuomba hata akipewa mtaji utamkuta barabaran

  • @khadijakimana8809
    @khadijakimana8809 หลายเดือนก่อน

    Omba omba, watafutie vitega uchumi, wanaomba kwasababu ya shida!

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 หลายเดือนก่อน

    Moleka umeongea point sana kweli ombaomba wamekuwa kero sana na kinachokera zaidi Ni Bora hata wangeomba watu ambao hawajiwezi,kwa sababu ingiangalia wengi wao ni wanaojiweza

  • @user-sj8hn7jt7g
    @user-sj8hn7jt7g หลายเดือนก่อน

    Sifa mnambaya

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 หลายเดือนก่อน +2

    Waandishi wengi hawasema kadhia ya polis Barabarani kusimamisha daladala na kuomba ela hiyo ni nchi nzima

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 หลายเดือนก่อน +1

    Global mnaleta udwanzi

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 หลายเดือนก่อน

    MSIWAFUKUZE OMBA OMBA MANJIANI,TAIFA LINA MALI NYIGI,ZINACHUKULIWA NA NANI? JIFUNZENI KWA BOTSWANA,SOUTHI AFRIKA NA LIBYA YA GADAFI. MMEWEKA VIONGOZI MASHTANI MATAIFA YANALAANIWA.

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 หลายเดือนก่อน

      Miji mikuu yote dunian wameondoa hao watu, ndio wanashida lakin wanapunguza hadhi ya jiji