UNABII WA MWAKA 2024 | Mambo yatakayo ipata TANZANIA SIKU ZIJAZO |Prophetedmoundmystic
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ม.ค. 2024
- FOLLOW US BY CLICKING THESE LINKS BELOW:
INSTAGRAM:
/ edmound_mys .
.
TH-cam:
/ edmoundmuye. .
AUDIO PODCASTS:
player.fm/series/edmounds-pod..
.
FACEBOOK ACCOUNT
web. Edymystic?_r..
.
church.heavenlyimagemanifest.org
@ITVTanzaniaTz
@CLOUDSMEDIA
@JamiiForumsJF
@himtv3
Mungu amejibu Maombi yangu ya Janary 2022. Nilipata mzigo wa Kuombea Kanisa la Tanzania na huduma 5 na kipekee sana huduma ya Kinabii. Nikamwambia Bwana fichua Manabii walioko underground waonekane na Tanzania iipokee hii huduma ya Kinabii. Napita pita zangu TH-cam kucheki kuna nini cha Kinabii for the yr 2024, mara paap Prophet Edmound. Wengi wengi mwaka huu 2024 watajulikana. Since then, I have seen the prophetic ministry in Tz, growing in an unusual way. Thank you Lord Jesus
Chadema pure😂
Nyie ndo manabii wa uongo ,,sasa hiv kila ,,kila nchi munatoa manabii sasa hiv hamtaki ,,tena manabii kutok ulaya 😅😅😅
Hao ni manabii wa uongo ambao Mwenyenzi Mungu alishasema katika siku za mwisho watajitokeza sana!.pia tambueni kuwa mungu awezi kuwafanya washirikina na wazinifu na wanaotembea uchi kama wauza bar kuwa nabii. Hawa ni wasaka tonge na wezi wanaotumia biblia kujipatia kipato kwa watu maskini kwa slogans ya upako na miunjiza.hakuna nabii yeyote aliyeabudu miungu mingi yaani 1+1+1=1 where did you getting this devil worshipping? ITS really devil philosophy,while all the prophets waliabudu mungu mmoja.From the first prophet Adam and the last prophet Muhammad...
@@Juma-qd5eq Juma jnabii waachie manabii wa Mungu. Wewe kama huamini kaa kimya. Maana haya aliyosema Nabii Edmund lazima yatatokea. Waliotoa unabii wa Raisi ajaye wa Kenya mlionaje. Acheni kuandika kwa vile mna midomo. Maana awazacho mtu ndicho kimtokacho.
Joel 2:28!
For the first time i meet a real and genuine prophet in Tanzania, sina maana wengine hawapo ila sijawahi kukutana na hata mmoja kwa maana walio wengi tunaowajua na wenye majina sio watumishi wa kweli wa Mungu.. Im so grateful kukujua na kuanzia leo nitaendelea kukufuatilia na kujifunza zaidi kutoka kwako.
Mimi pia.. hakika Mungu amejisalia manabii wake wa kweli...Damu ya Yesu imlinde
Karibuni sana
Mara ya kwanza nakuona lkn ndani yangu Roho inasisimka na unabii huu, ee bwana Yesu utusaidie
huu unabii ni mkali Kuhusu Tanzania , mungu ayirehemu Tanzania
Amen pastor nimebarikiwa sana baba god bless you dad
Mchungaji nimekuelewa Mungu akutunze uzidi kukua jina bio🙏🙏🙏
Nakataaaaa kwa jina la Yesu (roho ya mpinga kristo)
Bora kuomba kuliko kupinga unabii.
Mpinga kristo lazima aje maandiko yanasema, hivyo hatuwezi kumzuia kwa kumkemea 😢
MIKATABA YA BANDARI ZETU ZITAVUNJWA NAKUELEWA SANA TUMEDHULUMIWA SANA ILA MUNGU ATATUPIGANIA INNSHAALAH AMINA
Unaesema.bandari unajichosha tu dhambi inaharibu uchumi wa nchi.Elia.alimuambia.ahabu mvua.haitanyesha isipokuwa.kwa.neno langu.jamani.kama.tunaona.dhambi inazidi tusiwafariji watu njaa kubwa.magonjwa makubwa vita uchumi wa dunia.kwa.heri
Mungu bado anao watumishi wake wa kweli aliojisalia.. Wewe ni mmoja wapo.
Nabii wa Mungu Mungu akutunze sana na mabaya 🙏🙏🤝🤝🙏🙏
Nimekuelewa sanaa na kila nikiingia kitambaa cheupe huwa napata mikwaluzano na wife na uharibifu wa pesa mtumishi Mungu aendelee kukutumia
usiende tena
usiende kakangu
Usiende
Nyakati za mwisho , Mungu uirehemu Tanzania
Ee Mungu wetu turehemu Tanzania! katikati ya ghadhabu kumbuka rehema
Sema gwajima namuona sana kwenye hii nchi kupewa kwa mshangao mkubwa sana,kwa utabir huu namuona makonda kurud chini tena na gwajima kupanda mara dufu mmmh!
You are true man God bless you 🙏🙏🙏🙏🙏
God bless you man of GOD
Nabii wa kweli ni yule anaye zishika amri za mungu
Nisaidie rafiki na mi nijue kwani huyu hazishiki amri za MUNGU ??
Hongera kwa huduma ya kinabii ya MUNGU iliyo ndani yako sifa na utukufu ni kwa MUNGU katika KRISTO YESU BWANA WETU
Mungu atusaidie sana! Tunahitaji kufuatilia unabii wako Mtumishi! Ubarikiwe sana!Nahitaji kusikia zaidi
Mungu Irehemu Tanzania Mungu Turehemu Barikiwa mtumishi wa Mungu.Mungu tuongoze Tujue jinsi ya kuomba kuhusu unabii huu.
Ombeni Mungu musikuwe na hofu tena muache dhambi Mungu atabadili mambo
❤
Amina mtumishi wa mungu unachosema ni kweli mungu akubariki
I give you big up MoG, I will pray for you
Nibarikiwa na unyenyekevu wako Mungu akubariki natamani kuonana nawe unapatikana wp
Thank you prophet
Yeeeeeeeeeeees prophet of God
Very clear
Asante kwa Mahubiri yenye nguvu za Mungu. Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana.
Mungu atusaidie tuu kama nabii kama sio tanzania tunamuhitaji MUNGU JEHOVA tuu
Asante mtumishi Kwa kutujuza
When God speaks, the wise listen
Ashukuliwe Mungu awezae fanya mambo makubwaaa....barikiwa mtumish
Mtumishi, ukisikia kuupiga mwingi ndo uku,,,naliona Taifa likiomboleza kwakumpoteza kiongozi mashuuli aliewai kuwa waziri mku!!!!naliona moto mkubwa ukitanda hewani,na ukiunguza sehumu za starehe!juzi kitambaa ya tabata imeungua yote,uko vizuri mtumishi, mungu anakutumia kweli
Yaan acha tu hata sijui niseme nn acha tu e mungu nistil mimi jamani na kizazi changu amina
Yes- yes Ahsante Kwa mafunuo haya
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa unabii
Be blessed man of God
Barikiwa sana mtumishi
Nabarikiwa sana hongera sana mtumishi.
Amen kwa jina la Yesu mtumishi wa Mungu
Kweli huyu ni nabii wa Mungu mengine yameanza kutokea na tumeyaona
Unapata dhambi kumfananisha Mungu na kitu kingine
Yer 29:11-14 SUV
Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho. Nanyi mtaniita, mtakwenda na kuniomba, nami nitawasikiliza. Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote. Nami nitaonekana kwenu, asema BWANA, nami nitawarudisha watu wenu waliofungwa, nami nitawakusanya ninyi, nikiwatoa katika mataifa yote, na katika mahali pote, nilikowafukuza, asema BWANA; nami nitawaleta tena, hata mahali ambapo kutoka hapo naliwafanya mchukuliwe mateka. (neno la bwana ni Taa na mwanga wa njia zangu hunimulikia..kila nnapokwenda🙏)
Eee....Mungu tunaomba uturehemu Watanzaniaj
Tuzidi kumlilia mungu Kwa Toba. Tuombe Sana Kwa ajili ya Tanzania na vizazi yetu. Tuombe Sana.
Mungu akubaliki sana man of god
Umetisha sana
Mungu ikomboe tanzania kwel hilo janga lolote baya kwa nnchi
Glory be to God hallelujah
Mungu akutangulie sana mtumishi kweli mungu yupo
Napenda tuuu hapa"kusudi la Bwana litasimama" Haleluyaaah
Tumebalikiwa na ujumbe wako mtumishi 🙏🏽 mungu awe na sii amn
Good question 👍prophet of God
Amen Prophet, Mungu atusaidie
Hakuna unabii hapa.Yesu alimaliza yote.
Asante baba Kwa malezi ya kwaya.mungu akupe nguvu
Bongo ukisoma saikojia ,,na ukasoma hali ya hew na bible kidogo ,,ushatoboa ,, 😊😊😊
Ni kweli kweli kab🎉
😂😂😂😂😂😂 wanashindana na wanasiasa hao. Kwani hasa hivi nabii wanaijua maana yake au kukurupuka na kujiita nabii. Tumuogopesa sana Allah. Halali wa hasinzii. Hakuzaa wala hakuzaliwa. Walahakuna anayefanya naye.
Kasome nawe hali ya hewa,saikolijia na Qur'an
Nenda kasome na ww utoboe
@@glorynguma3593 ,,sasa Quran ushaongea hayo yote,, ila sasa mim cwez kuongea namuogop Mungu kujitangaz mim ni Nabiii daaaah hiyo siwez ,,sabb naona kabisa napingan nae !!!
May the almighty God have mercy upon us
Nimekuelewa vizuri sana 🙏
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
Mungu na ayatimize kusiwe na kizuizi chochote Amen
Ameeeeeeeeeeee Mungu ibariki Tanzania
Amina wacha MUNGU azidi kutumia Mtumishi wa MUNGU
Safiiiii tz kusudi la Mungu lisimame
Exactly right mog
Mungu fanya mapenzi yako, yatimizwe,
Hakika Mungu ni mkuu mno
Tanzania tunakupenda Malkia wa Injili! Tuwasiliane
Let's wait for its fulfillment if not prophet of doom
@@edmoundmysticuse
Kweli MUMMY ❤❤❤ WE LOVE YOU SO MUCH ❤️
Kabsaaaa.jamn😢.mm MUNGU akinionya uwa napenda sana kulko kupewa cfaaa😢.natendea kaz
Mungu anakuona........
Mungu atusaidie sana
Yeeeeeeeeees papa
Ila Watumishi wa Mungu mtambue dunia imebadilika acheni kuwatembelea hata kukutana nao mbali na eneo la huduma watu hawa hasa wasio na wanaume. Jamani kesi nyingi zimewakuta watumishi wa Mungu Mungu atusaidie. Halafu mnapogombana mkamalizaneni huko au ukipewa mafunuo kwa mtumishi mwenzako muite muonye maana maubomoa mwili wa Kristo ndio maana watu wanasema duniani hakuna manabii wala wachungaji hasa madhehebu ya Kipentekoste. Watu wameacha kuwaamini ila ni kwa sababu mnajibomoa wenyewe. Tizama Katoriki ikitokea Mpakwa mafuta akakengeuka anaitwa kwenye vikao vya siri na hata ikiwezekana vaticani hiyo yote ni kulinda mwili wa Kristo usichafuliwe. Mungu atusaidie.
Bwana Yesu atusaidie
Barikiwa mtumishi Mungu azidi kukulinda na kukuinua
Yeeeeeeeeeeeeeees prophet
When God speaks, the wise listen. Mafuta ya roho mtakatifu yazidi sana juu yako.
Mungu irehem Tanzania 🇹🇿
Unabii huu hauna mashaka mungu atusaidie watanzania
Amen amen man of God na huyo mwanamke nikawe mm kwa jina la yesu
Umeelewa kweli kuhusu mwanamke?
Amina mtumishi
Mungu atusaidie na atusamehe
Natamani dunia yote wayaone ha maneno unayo Nena baba najua Mungu ametupa wewe Kama taaa ya tanzania
Aminaa nabii weka wazi MUNGU akoe nch yetu baba
Huu ndio unabii sasa sio kuanza kuongea maisha ya watu but hapa inareflect nchi nzima ili tuchukue tahadhari
Mungu akubariki sana nabii wa mungu
Mungu airehemu Tanzania ktk jina la Yesu Kristo aliye hai
This man is a man of God
Amen Amen 🙏
Amina baba ❤
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
mungu atulinde
Tuombe pasipo kukoma jamani,eeeh mungu tusaidie
hakika Bwana amekufanya kuwa kuhani wa mataifa. Barikiwa zaidi mtumishi wa Mungu
Let's watch and pray
Nakuelewa sana Mtumishi wa Mungu
Mungu hanong'onezi Bali Huwa anasema na watu wake hajawahi nong'oneza Mtu.
Barikiwa mtume wa mungu nalitambua Kuwa Mungu Anatupenda Tanzania Sana TENA Sana Ee mungu tubariki Tanzania daima❤
Always God is winner💪
Kuhusu kitambaa cheupe niliwahi sikia aliweka sadaka ya damu ya mnyama so inaweza ikawa kweli Mungu azidi kukutumia
Na kuhusu Riverside inawezekana maana wanawake wanajiuza hazarani tena hadi aibu aiseee Mungu atusaidie.....
Shalom! Nakili namba yetu ya huduma! Baba anahitaji kuongea na wewe🙏🏾
Mungu atuvushe
Mtumishi Mungu akitumia mpasavyo
My God in heaven help us
Mungu isadie Tanzania
Takbir
Ikawe kama ilivyo tabiliwa kwa jina la yesu kristo,
Jamanii viongozii wabadirikee, piaa watanzaniaa viongozii tamaa,,wamekuaa makatirii hawana hurumaa na watanzania wenzaoo,,kila anachaguliwa anataka ajinufaishee yeyee,, munguu,,awadhibuu wao tu viongozii ,,tena wangekufaa wotee ,,tumechokaa ,,,