Dr. Chris Mauki: Dalili 6 Kwamba Bado Anakupenda.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 216

  • @medsonstarlon0805
    @medsonstarlon0805 3 ปีที่แล้ว +9

    Chris Mauki,, napata Madini Sana kutoka kwako,,ahsante sanaaa

  • @AsnathBlaxio-hs4nh
    @AsnathBlaxio-hs4nh 11 หลายเดือนก่อน

    Asante Sana kwa maneno mazur ya kutia moyo 🥰

  • @yuliahenry3383
    @yuliahenry3383 ปีที่แล้ว +1

    God bless you more. Tunajivunia hekima yako Dr Chris. Mungu anatukuzwa hakika maana tunapona

  • @saminiasani4221
    @saminiasani4221 ปีที่แล้ว +1

    Insh’Allah mwenyezi mungu atanisaidiya ndampata mwenye atanipenda milele

  • @doreenmkella3583
    @doreenmkella3583 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante Dr mwenyez Mungu akutunze Zaid 🙏

  • @KigaluSawaka-lg4mt
    @KigaluSawaka-lg4mt 10 หลายเดือนก่อน

    hsante sana daaah mungu akubarik

  • @khadijaramadhan1796
    @khadijaramadhan1796 2 ปีที่แล้ว +1

    Aise Mungu akibarik kipawa hicho nabarikiwa sana nanihisi mabadiliko asante

  • @NshomaIsmail
    @NshomaIsmail 7 หลายเดือนก่อน

    Mwepes sana kuomba msamaha. Sana. Wang nshukul kwahilo👏

  • @CizaFelicite-c3e
    @CizaFelicite-c3e ปีที่แล้ว

    Asante kwa ushauri mzuri sana.

  • @madlynerose6493
    @madlynerose6493 2 ปีที่แล้ว +4

    May God give me that person 😊🙏

  • @WinifridaMwamakula
    @WinifridaMwamakula หลายเดือนก่อน +1

    Docta ninachangamoto huwa sidumu kwenye mahusiano naomba nisaidie🙏🙏

  • @sarahkidoti42
    @sarahkidoti42 ปีที่แล้ว +1

    Nakuelewaga sana Dr Chris🥰🥰

  • @adhmainasaidi-ms1fk
    @adhmainasaidi-ms1fk 11 หลายเดือนก่อน

    thank you so much

  • @victoriamjuni664
    @victoriamjuni664 2 ปีที่แล้ว +1

    Asnt sana kwa somo,,, mm ndo mara yng y kwnz kkufatilia,, kuna mkka nampenda ila nashindwa kumwambia naomba nisaidie nifanyaje!!

  • @mashahassan9945
    @mashahassan9945 ปีที่แล้ว

    Ahsnte sna kwasomo nzur

  • @عبدالعزيزعبداللهالفغم
    @عبدالعزيزعبداللهالفغم 3 ปีที่แล้ว +5

    Alhamndullillah lbda bado napendwa maaana izo dalili zote uazionesha kwanguh kwa uyo wangu fulani may God bless our relationship

    • @dannyabs8983
      @dannyabs8983 3 ปีที่แล้ว

      Kazi nxuri daktari

    • @wemajay1462
      @wemajay1462 3 ปีที่แล้ว

      Amiin

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @cathyhans2689
    @cathyhans2689 3 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante Dr chriss nimejifunza kitu may God bless you

    • @macrinycostantine5634
      @macrinycostantine5634 3 ปีที่แล้ว

      Mm hakna dalili hata moja kat ya hayo yote🤣🤣

    • @cathyhans2689
      @cathyhans2689 3 ปีที่แล้ว

      @@macrinycostantine5634 ukwel upo bhana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @RehemaKibaya-fu6wb
    @RehemaKibaya-fu6wb 7 หลายเดือนก่อน

    Thank u

  • @jeromeshirima2053
    @jeromeshirima2053 3 ปีที่แล้ว +7

    Nashukuru kwa somo ila nimeshaachwa wala sipendwiii tenaaa

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @sky-wz5zi
      @sky-wz5zi ปีที่แล้ว +1

      😀😀😀😀😀

    • @movinmoraa7655
      @movinmoraa7655 ปีที่แล้ว

      ​@@ChrisMauki1 thank you

    • @sheilaedgar8038
      @sheilaedgar8038 ปีที่แล้ว

      Njoo unipende mim basi

    • @LeylahCosta-wb5su
      @LeylahCosta-wb5su ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

  • @scollalema4674
    @scollalema4674 3 ปีที่แล้ว +4

    Ahsante Dr kwa kutufungua 🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +2

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @stellahsabaya3257
    @stellahsabaya3257 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana Dr Chris nimejifunza kitu ila nilikuwa nina swali

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @salomemasue5506
    @salomemasue5506 ปีที่แล้ว

    Barikiwa Dr.

  • @MethodFelsian
    @MethodFelsian ปีที่แล้ว

    Hongera san kaka

  • @sophiajackson5001
    @sophiajackson5001 3 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna hata moja Dr kwa kunisaidia maana nilikuwa najiuliza sana.... Mungu akubariki sana Kaka

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @sophiajackson5001
      @sophiajackson5001 3 ปีที่แล้ว

      @@ChrisMauki1 Ndiyo Dr nime subscribe

  • @naomiwanyonyi9147
    @naomiwanyonyi9147 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks shida n Moja tu akienda club na friends anarudi saa saba Kwa nyumba but hizo vitu zingine ako sawa inaeza kuwa n nn

  • @estamathew5167
    @estamathew5167 3 ปีที่แล้ว +3

    Mmh happy kwenye msamahaa,,, ni mtu mgum sana kuomba msamahaa,,, Mungu anisaidie

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 3 ปีที่แล้ว +3

    May God bless you

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @fatumarashidi5182
    @fatumarashidi5182 ปีที่แล้ว +1

    Aaah kwel sipendwiii kabisa daaah mungu nisaidie 🙌😅

  • @violetkarimi5288
    @violetkarimi5288 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks sana Dr

  • @neemagervas7043
    @neemagervas7043 3 ปีที่แล้ว

    Asnte xana nimejifunza kitu.Mungu akubarik xan

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 3 ปีที่แล้ว

    Shukrani Dr.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @monicaalute3143
    @monicaalute3143 8 หลายเดือนก่อน

    Yesu wangu hili somo ni zuri Sana lkn kuanzia no 1 - 6 sina hata moja aliyonayo huyu kiumbe wa mama Mkwe ndyo Kwanza ukiwa na furaha anatafita sababu akukere

  • @zaitunimrisho4307
    @zaitunimrisho4307 ปีที่แล้ว

    Daah Big up dk

  • @winifridajohnlucas8947
    @winifridajohnlucas8947 2 ปีที่แล้ว

    Dr mauki me nakufatilia ila kitu n kwamba nimeachana nae lakini Bado nampendaa sana pia tokea niachanae nae narudi nyuma siwezi kuendelea

  • @catherinenasambu5366
    @catherinenasambu5366 3 ปีที่แล้ว

    Thxz dea for updates

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 3 ปีที่แล้ว

    🤗🤗🤗Anazo tano hapo ubarikiwe mtumishi

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @jamilahbakari8410
    @jamilahbakari8410 2 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @hashimsuleiman3016
    @hashimsuleiman3016 ปีที่แล้ว +1

    Apo kwangu hakuna ata moja

  • @SabrinaRamadhan-s9u
    @SabrinaRamadhan-s9u 10 วันที่ผ่านมา

    Hi kaak mm mpenzi wangu ameniacha na ameoa nambaya zaidi niko nae karibu apa kaka

  • @officialtifa1359
    @officialtifa1359 2 ปีที่แล้ว +2

    habar dokta mm nina changamoto mpenz wang tuna kama mwez mmoja yan kwel aikosea anapamba msamaha haraka lakn ana proms fek sna anaweza akamwambia ntakuch af hafany ivo ukiulz mweoes kuomba msamaha je uyo mwanaume ananipend

  • @neematarimo5815
    @neematarimo5815 ปีที่แล้ว

    P
    Dokt mm mwanaume anapopata pesa tu anabadilika Sana anarudi saa nanee za usiku je uyu ni mwanaume mwenye futcha kweli nimesha mchoka kwa sasa

  • @joshuaparmao4493
    @joshuaparmao4493 6 หลายเดือนก่อน

    Na je dem mwenye anakutumia namba y mwnaume anayemsumbua kumtongoza hiyo n ishara gani mwalimu?

  • @janettejoel2364
    @janettejoel2364 2 ปีที่แล้ว

    Mmmhhh ana moja tu tukikwazana

  • @kurthum4586
    @kurthum4586 2 ปีที่แล้ว

    Doctr ninampenzi wangu tumeachana ivi sasa nimiez mitatu imepita lakini bado nampenda .. naomba ushauri nifanyaje maana nampenda

  • @ahmedsalum9647
    @ahmedsalum9647 2 ปีที่แล้ว +1

    Dr Asante kwa kutuelimisha ila nege pendelea utuwekee namba zako za simu

  • @mamaikra7660
    @mamaikra7660 2 ปีที่แล้ว

    Nakushukuru sana Dkt kunakitu nmekijua hapo nataman siku nikuone unishahur ninachangamoto ya ndoa cna furaha kabisa na ndoa yangu

  • @hildamalimba6942
    @hildamalimba6942 2 ปีที่แล้ว

    Jamani Vicky vingine sijui ila kwa mm nikikuchoka ukileta kesi nakuwa mpole naomba msamaha maana nakuwa naepuka kero. Ila nikiwa nakupenda weeh ntajielezea kuliko mahakamani

  • @UmmyUMMY-zf3og
    @UmmyUMMY-zf3og ปีที่แล้ว

    Dr. Me wangu kaniacha bado me nampenda sna na yye bdo ana view status zngu whatsapp nfanyje??

  • @hildathamid7741
    @hildathamid7741 ปีที่แล้ว

    Dr m nashkur nimejifunz meng ila niliye nay anazozote hiz dalili tatzo ni mim Sina hata moj nifanyeje

  • @festokitory9890
    @festokitory9890 3 ปีที่แล้ว

    Asanteeeeee sana kwa mafunzo

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @nicewatson6264
    @nicewatson6264 ปีที่แล้ว

    Asante sana docta Insh Allah nitampata tu nishaachwa tyr hhhh😅😅😅😅

  • @UpendoMaduhu
    @UpendoMaduhu 29 วันที่ผ่านมา

    Mm lakwangu haliko romantik 😏😏😏

  • @ibrahimmchaulo2716
    @ibrahimmchaulo2716 2 ปีที่แล้ว

    Yashanikuta hayo

  • @najmahamiri6889
    @najmahamiri6889 2 ปีที่แล้ว

    Chris mauki mbn wangu anazo 2 tyu maan nimesha mkatia tamaaa

  • @kirigitidorothy7201
    @kirigitidorothy7201 ปีที่แล้ว +1

    Duuu Kama hamna hata moja hapa 😭😭😭

  • @faithandati3229
    @faithandati3229 2 ปีที่แล้ว +2

    Aki daktari mm wangu nilimwambia anionyeshe tu mapenzi kama awali akasema sahi tushakuwa watu wakubwa sisi sio watoto mtu Kama huyu nitamfanyia nn kweli....Niko mbali naitaji mapenzi but ananiambia hawezi nionyesha mapenzi ju ataumia alale na wanawake wengne na hataki nimejaribu kumbadilisha but imeshindikana kabisaa.yani hama ladha

  • @beatricekweka6683
    @beatricekweka6683 3 ปีที่แล้ว +3

    🙆🙆😪 anapatikana wapi huyo mtu jamanii...ilaa one day Yess 💪😄

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @officiallyduda862
      @officiallyduda862 ปีที่แล้ว

      Nipo hapa Beatrice mim

  • @piliramadhani1887
    @piliramadhani1887 2 ปีที่แล้ว

    Kaka Mimi naumia sana kwenye ayo mausiano

  • @aaliyewajibu9954
    @aaliyewajibu9954 ปีที่แล้ว

    Dr.chris mauki mm naomba ushauri t nifanyeje maan nishajua kua mpenzi hanipendi tena licha ya kuwa hajanambia kwa mdomo

  • @JanethOsward
    @JanethOsward ปีที่แล้ว

    Mimi mwanaume wangu anamakusudi ya kuniumiza kila kukicha akiona umezoea hili anataftakipya na tumeishi hivyo zaid ya miaka kumi na zaid kwa sasa nimechoka sana nifanyeje

  • @JescerProsper-hg1bf
    @JescerProsper-hg1bf ปีที่แล้ว

    😭😭 jaman mbona mm wangu mambo ayo hanayo kasoro ya kusafiri kwa sababu asafiri mara kwa mara lakin anazarau sana na nikiongeaga why ivi anaomba msamaha sana to

  • @ShabaniKateva
    @ShabaniKateva ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤❤❤

  • @EdwardTolly-z1j
    @EdwardTolly-z1j 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba yako ya Simu Kaka

  • @dorothymangula7589
    @dorothymangula7589 3 ปีที่แล้ว +3

    Xwali hilo limenguxa moyo wangu ulikuwa na mpenzi wako alikuwa anapenda kukutetea kwa ndug zako lkn xahizi hafanyi hivyo

  • @annaadonius7886
    @annaadonius7886 2 ปีที่แล้ว

    Naomba namba Yako pls

  • @popo.khamis7416
    @popo.khamis7416 ปีที่แล้ว

    Kweli

  • @bucumigloria-ex9jf
    @bucumigloria-ex9jf ปีที่แล้ว

    Mwazo alinambiya ukipatan namamayangu mzazi namitutaelewana nafamiliyayangu mkielewana nikafanye Kilabinu tukaelewana nafamiliyayake ila habadiliki kilanikimuuliza swala lakuhalali ao kufika kwetu anajibu nimpemdaa nashindwa kuelewa nifanye nini 😢

  • @rispermuli3292
    @rispermuli3292 2 ปีที่แล้ว

    Wow

  • @tumainlizer3794
    @tumainlizer3794 ปีที่แล้ว

    But I'm single

  • @hildathamid7741
    @hildathamid7741 8 หลายเดือนก่อน

    Apo kunitowa out hatk ata tutoke yy kila sku anatk tukutane kwake t

  • @SalhaKhalid-sg3zo
    @SalhaKhalid-sg3zo ปีที่แล้ว

    💕💕

  • @sizzerdesirvel6960
    @sizzerdesirvel6960 2 ปีที่แล้ว +1

    Iv je unawezaje kumbadilisha mtu kimahusiano

  • @teostinapeter730
    @teostinapeter730 2 ปีที่แล้ว

    Hafanyi hayo yote....na kama ataomba msamaha labda awe amelazimishwa...sasa sijui mimi ndo mwenye tatizo au ni yeye....help me

  • @ShuweikhaHafidh-lk1pt
    @ShuweikhaHafidh-lk1pt ปีที่แล้ว +1

    Docter nimeachanishwa na mtu nliempenda na wazaz wng na kuniforc kuolewa na mtu mwngn kwa sabab za kimaisha 😢na bado tunapendan nawezaj kurudian nae docter

    • @UpendoMaduhu
      @UpendoMaduhu 29 วันที่ผ่านมา

      ACHA umalaya

  • @adventinamapera7109
    @adventinamapera7109 2 ปีที่แล้ว

    Mhmh kupata bahati ya hivi wengine duhh tupige magoti mble za bwana

  • @tabiamaheke
    @tabiamaheke ปีที่แล้ว

    Mm wang huwa hakosei,haombi msamaha na dall tu ya kuonyesha anaomba msamaha kwa vitendo mda huo hana ndo kwanza atafunga vioo hata wk2 hatuongei, hali na safari ataanzisha

  • @subiramdekwa5688
    @subiramdekwa5688 ปีที่แล้ว

    Dock naweza uliza swali unsaidie

  • @fatumashaibu388
    @fatumashaibu388 2 ปีที่แล้ว

    Asee najifunza mengi Sana

  • @winnerhapila155
    @winnerhapila155 2 ปีที่แล้ว +1

    Plz mauki leta na ya wanaume tuliyo wakuta wako na watoto njee vp mawasiliano yao yanawakilisha vp kuwa hawako wote plz brother tunaumia

  • @Alice-zk3om
    @Alice-zk3om ปีที่แล้ว

    Duuuh vyote hana hata kimoja

  • @aliciarugangira8605
    @aliciarugangira8605 2 ปีที่แล้ว +1

    Wanapatikana wapi was hivyo kama😢

  • @gracemoses3062
    @gracemoses3062 3 ปีที่แล้ว +6

    Anakua tayari kuomba msamaha
    Anakufanyia surprise
    Anafanya vitu ambayo moyo wako unapenda
    Anajitahidi kua mwaminifu
    Yuko tayari kukulinda wakati wowote
    Hatokoodhi kwa maaksuudi

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @ashuramusa9303
    @ashuramusa9303 2 ปีที่แล้ว

    Naweza kukuliza swali Dr?..

  • @HIDAYAFELIX
    @HIDAYAFELIX 9 หลายเดือนก่อน

    Hamna dalili hata moja😢

  • @vanitosha844
    @vanitosha844 ปีที่แล้ว +1

    Mmmh mimi kwa kweli sina hata dalili moja hapo apa nimeachwa tu nikubali kuachika hhhhh

  • @issaissaali2951
    @issaissaali2951 ปีที่แล้ว

    Mmi Wangu simwelwi

  • @EbenezerMWEGOHA-he5wk
    @EbenezerMWEGOHA-he5wk 11 หลายเดือนก่อน

    Na kama yupo mbali je inakuwaje Sasa??😢

  • @irenelango5558
    @irenelango5558 2 ปีที่แล้ว +1

    Mimi ninampenz lakini kuna. Kipindi tulikosana akaniambia tuwe kaka na dada lakin kinacho nishangaza anakuwa na wivu kwangu ,na nisipo onesha kumjali anachukia ,lakini nikimwomba kitu chochote ananipa tena ananiambia ungenia mapema , je huyu mwanaume anamalengo gani na mimi

    • @hildathamid7741
      @hildathamid7741 ปีที่แล้ว

      Anakupenda huy ila Hana uhakika na hisia zake mpe muda t usimuache

  • @johndreezyrodgers9861
    @johndreezyrodgers9861 3 ปีที่แล้ว

    Kweliiii....

  • @beatrecepaul1467
    @beatrecepaul1467 2 ปีที่แล้ว

    Naomba namba yako Dr

  • @evancebenson1554
    @evancebenson1554 3 ปีที่แล้ว

    nimefurahi

  • @DianaMgaya-r4w
    @DianaMgaya-r4w 7 หลายเดือนก่อน

    Hakun mwanaum anaejuw kupnd

  • @amedeusimalisa2213
    @amedeusimalisa2213 ปีที่แล้ว +1

    Akuna ambaye anayaelewa haya madude(mapenzi) acha yabaki kama yalivyo anayekushauri naye ameachwa mda mfupi uliopita

    • @UpendoMaduhu
      @UpendoMaduhu 29 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @happynessemanuel5173
    @happynessemanuel5173 3 ปีที่แล้ว +2

    Dr mungu akubariki Sana ila Mimi napataje namba yako natamani niongee na wewe unishauri Nina wakati mgumu Sana .

    • @paulmalasi7425
      @paulmalasi7425 2 ปีที่แล้ว

      Asante umenifundisha mambo mazuri nimepata kuelewa Mungu akujaarie afya njema

  • @veroo869
    @veroo869 3 ปีที่แล้ว +9

    Hakuna ata moja... Acha mungu anisaidie🤣🤣🤣🤣

  • @isabelmwansasu9016
    @isabelmwansasu9016 3 ปีที่แล้ว +1

    Izo zote zipo kwa kiasi chake, ila communication ni nzito hta sielew

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @joniajonhson2909
      @joniajonhson2909 3 ปีที่แล้ว

      Tunafanana

  • @nathalie9096
    @nathalie9096 2 ปีที่แล้ว

    Aksanti sana doctor. Mume wangu anaonesha yale yote lakini finger print kwenye WhatsApp. Na siku nili bahatisha tu, nakutanaka na ba msg
    ya wanawake. Ile ni kunipenda kweli?

    • @sifaupindo5089
      @sifaupindo5089 2 ปีที่แล้ว

      Ndiyo anakuoenda ndio maana ameficha kua na MTU mwingine haimaniishi kua hakupendi

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 3 ปีที่แล้ว +1

    Aaah ktk sekta nmenyoosha mikono ni hii..MAPENZI shkamoo!!

  • @almishmussa907
    @almishmussa907 3 ปีที่แล้ว +1

    Nitampata wapi 😂😂😂😂

  • @aishamussa3245
    @aishamussa3245 3 ปีที่แล้ว

    Shukuran

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @betybryan4657
      @betybryan4657 2 ปีที่แล้ว

      Nimefurahi nimekosea nimeomba msamaha lakin haitaki kunisamehe ila ananijari ananihudumia na ananipigia cm hapo anadai tutabaki marafiki tu