Yesu wangu hili somo ni zuri Sana lkn kuanzia no 1 - 6 sina hata moja aliyonayo huyu kiumbe wa mama Mkwe ndyo Kwanza ukiwa na furaha anatafita sababu akukere
habar dokta mm nina changamoto mpenz wang tuna kama mwez mmoja yan kwel aikosea anapamba msamaha haraka lakn ana proms fek sna anaweza akamwambia ntakuch af hafany ivo ukiulz mweoes kuomba msamaha je uyo mwanaume ananipend
Jamani Vicky vingine sijui ila kwa mm nikikuchoka ukileta kesi nakuwa mpole naomba msamaha maana nakuwa naepuka kero. Ila nikiwa nakupenda weeh ntajielezea kuliko mahakamani
Aki daktari mm wangu nilimwambia anionyeshe tu mapenzi kama awali akasema sahi tushakuwa watu wakubwa sisi sio watoto mtu Kama huyu nitamfanyia nn kweli....Niko mbali naitaji mapenzi but ananiambia hawezi nionyesha mapenzi ju ataumia alale na wanawake wengne na hataki nimejaribu kumbadilisha but imeshindikana kabisaa.yani hama ladha
Mimi mwanaume wangu anamakusudi ya kuniumiza kila kukicha akiona umezoea hili anataftakipya na tumeishi hivyo zaid ya miaka kumi na zaid kwa sasa nimechoka sana nifanyeje
😭😭 jaman mbona mm wangu mambo ayo hanayo kasoro ya kusafiri kwa sababu asafiri mara kwa mara lakin anazarau sana na nikiongeaga why ivi anaomba msamaha sana to
Docter nimeachanishwa na mtu nliempenda na wazaz wng na kuniforc kuolewa na mtu mwngn kwa sabab za kimaisha 😢na bado tunapendan nawezaj kurudian nae docter
Mm wang huwa hakosei,haombi msamaha na dall tu ya kuonyesha anaomba msamaha kwa vitendo mda huo hana ndo kwanza atafunga vioo hata wk2 hatuongei, hali na safari ataanzisha
Mimi ninampenz lakini kuna. Kipindi tulikosana akaniambia tuwe kaka na dada lakin kinacho nishangaza anakuwa na wivu kwangu ,na nisipo onesha kumjali anachukia ,lakini nikimwomba kitu chochote ananipa tena ananiambia ungenia mapema , je huyu mwanaume anamalengo gani na mimi
Aksanti sana doctor. Mume wangu anaonesha yale yote lakini finger print kwenye WhatsApp. Na siku nili bahatisha tu, nakutanaka na ba msg ya wanawake. Ile ni kunipenda kweli?
Chris Mauki,, napata Madini Sana kutoka kwako,,ahsante sanaaa
Asante Sana kwa maneno mazur ya kutia moyo 🥰
God bless you more. Tunajivunia hekima yako Dr Chris. Mungu anatukuzwa hakika maana tunapona
Insh’Allah mwenyezi mungu atanisaidiya ndampata mwenye atanipenda milele
Asante Dr mwenyez Mungu akutunze Zaid 🙏
hsante sana daaah mungu akubarik
Aise Mungu akibarik kipawa hicho nabarikiwa sana nanihisi mabadiliko asante
Mwepes sana kuomba msamaha. Sana. Wang nshukul kwahilo👏
Asante kwa ushauri mzuri sana.
May God give me that person 😊🙏
Docta ninachangamoto huwa sidumu kwenye mahusiano naomba nisaidie🙏🙏
Nakuelewaga sana Dr Chris🥰🥰
thank you so much
Asnt sana kwa somo,,, mm ndo mara yng y kwnz kkufatilia,, kuna mkka nampenda ila nashindwa kumwambia naomba nisaidie nifanyaje!!
Ahsnte sna kwasomo nzur
Alhamndullillah lbda bado napendwa maaana izo dalili zote uazionesha kwanguh kwa uyo wangu fulani may God bless our relationship
Kazi nxuri daktari
Amiin
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Ahsante Dr chriss nimejifunza kitu may God bless you
Mm hakna dalili hata moja kat ya hayo yote🤣🤣
@@macrinycostantine5634 ukwel upo bhana
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Thank u
Nashukuru kwa somo ila nimeshaachwa wala sipendwiii tenaaa
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
😀😀😀😀😀
@@ChrisMauki1 thank you
Njoo unipende mim basi
😂😂😂😂
Ahsante Dr kwa kutufungua 🙏
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asante sana Dr Chris nimejifunza kitu ila nilikuwa nina swali
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Barikiwa Dr.
Hongera san kaka
Hakuna hata moja Dr kwa kunisaidia maana nilikuwa najiuliza sana.... Mungu akubariki sana Kaka
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@@ChrisMauki1 Ndiyo Dr nime subscribe
Thanks shida n Moja tu akienda club na friends anarudi saa saba Kwa nyumba but hizo vitu zingine ako sawa inaeza kuwa n nn
Mmh happy kwenye msamahaa,,, ni mtu mgum sana kuomba msamahaa,,, Mungu anisaidie
Pl
May God bless you
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Aaah kwel sipendwiii kabisa daaah mungu nisaidie 🙌😅
Thanks sana Dr
Asnte xana nimejifunza kitu.Mungu akubarik xan
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Shukrani Dr.
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Yesu wangu hili somo ni zuri Sana lkn kuanzia no 1 - 6 sina hata moja aliyonayo huyu kiumbe wa mama Mkwe ndyo Kwanza ukiwa na furaha anatafita sababu akukere
Daah Big up dk
Dr mauki me nakufatilia ila kitu n kwamba nimeachana nae lakini Bado nampendaa sana pia tokea niachanae nae narudi nyuma siwezi kuendelea
Thxz dea for updates
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
🤗🤗🤗Anazo tano hapo ubarikiwe mtumishi
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asante
Apo kwangu hakuna ata moja
Hi kaak mm mpenzi wangu ameniacha na ameoa nambaya zaidi niko nae karibu apa kaka
habar dokta mm nina changamoto mpenz wang tuna kama mwez mmoja yan kwel aikosea anapamba msamaha haraka lakn ana proms fek sna anaweza akamwambia ntakuch af hafany ivo ukiulz mweoes kuomba msamaha je uyo mwanaume ananipend
P
Dokt mm mwanaume anapopata pesa tu anabadilika Sana anarudi saa nanee za usiku je uyu ni mwanaume mwenye futcha kweli nimesha mchoka kwa sasa
Na je dem mwenye anakutumia namba y mwnaume anayemsumbua kumtongoza hiyo n ishara gani mwalimu?
Mmmhhh ana moja tu tukikwazana
Doctr ninampenzi wangu tumeachana ivi sasa nimiez mitatu imepita lakini bado nampenda .. naomba ushauri nifanyaje maana nampenda
Dr Asante kwa kutuelimisha ila nege pendelea utuwekee namba zako za simu
Nakushukuru sana Dkt kunakitu nmekijua hapo nataman siku nikuone unishahur ninachangamoto ya ndoa cna furaha kabisa na ndoa yangu
Jamani Vicky vingine sijui ila kwa mm nikikuchoka ukileta kesi nakuwa mpole naomba msamaha maana nakuwa naepuka kero. Ila nikiwa nakupenda weeh ntajielezea kuliko mahakamani
Dr. Me wangu kaniacha bado me nampenda sna na yye bdo ana view status zngu whatsapp nfanyje??
Dr m nashkur nimejifunz meng ila niliye nay anazozote hiz dalili tatzo ni mim Sina hata moj nifanyeje
Asanteeeeee sana kwa mafunzo
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asante sana docta Insh Allah nitampata tu nishaachwa tyr hhhh😅😅😅😅
Mm lakwangu haliko romantik 😏😏😏
Yashanikuta hayo
Chris mauki mbn wangu anazo 2 tyu maan nimesha mkatia tamaaa
Duuu Kama hamna hata moja hapa 😭😭😭
Aki daktari mm wangu nilimwambia anionyeshe tu mapenzi kama awali akasema sahi tushakuwa watu wakubwa sisi sio watoto mtu Kama huyu nitamfanyia nn kweli....Niko mbali naitaji mapenzi but ananiambia hawezi nionyesha mapenzi ju ataumia alale na wanawake wengne na hataki nimejaribu kumbadilisha but imeshindikana kabisaa.yani hama ladha
🙆🙆😪 anapatikana wapi huyo mtu jamanii...ilaa one day Yess 💪😄
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Nipo hapa Beatrice mim
Kaka Mimi naumia sana kwenye ayo mausiano
Dr.chris mauki mm naomba ushauri t nifanyeje maan nishajua kua mpenzi hanipendi tena licha ya kuwa hajanambia kwa mdomo
Mimi mwanaume wangu anamakusudi ya kuniumiza kila kukicha akiona umezoea hili anataftakipya na tumeishi hivyo zaid ya miaka kumi na zaid kwa sasa nimechoka sana nifanyeje
😭😭 jaman mbona mm wangu mambo ayo hanayo kasoro ya kusafiri kwa sababu asafiri mara kwa mara lakin anazarau sana na nikiongeaga why ivi anaomba msamaha sana to
❤❤❤❤❤❤
Naomba namba yako ya Simu Kaka
Xwali hilo limenguxa moyo wangu ulikuwa na mpenzi wako alikuwa anapenda kukutetea kwa ndug zako lkn xahizi hafanyi hivyo
Naomba namba Yako pls
Kweli
Mwazo alinambiya ukipatan namamayangu mzazi namitutaelewana nafamiliyayangu mkielewana nikafanye Kilabinu tukaelewana nafamiliyayake ila habadiliki kilanikimuuliza swala lakuhalali ao kufika kwetu anajibu nimpemdaa nashindwa kuelewa nifanye nini 😢
Wow
But I'm single
Apo kunitowa out hatk ata tutoke yy kila sku anatk tukutane kwake t
💕💕
Iv je unawezaje kumbadilisha mtu kimahusiano
Hafanyi hayo yote....na kama ataomba msamaha labda awe amelazimishwa...sasa sijui mimi ndo mwenye tatizo au ni yeye....help me
Docter nimeachanishwa na mtu nliempenda na wazaz wng na kuniforc kuolewa na mtu mwngn kwa sabab za kimaisha 😢na bado tunapendan nawezaj kurudian nae docter
ACHA umalaya
Mhmh kupata bahati ya hivi wengine duhh tupige magoti mble za bwana
Mm wang huwa hakosei,haombi msamaha na dall tu ya kuonyesha anaomba msamaha kwa vitendo mda huo hana ndo kwanza atafunga vioo hata wk2 hatuongei, hali na safari ataanzisha
Dock naweza uliza swali unsaidie
Asee najifunza mengi Sana
Plz mauki leta na ya wanaume tuliyo wakuta wako na watoto njee vp mawasiliano yao yanawakilisha vp kuwa hawako wote plz brother tunaumia
Duuuh vyote hana hata kimoja
Wanapatikana wapi was hivyo kama😢
Anakua tayari kuomba msamaha
Anakufanyia surprise
Anafanya vitu ambayo moyo wako unapenda
Anajitahidi kua mwaminifu
Yuko tayari kukulinda wakati wowote
Hatokoodhi kwa maaksuudi
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Naweza kukuliza swali Dr?..
Hamna dalili hata moja😢
Mmmh mimi kwa kweli sina hata dalili moja hapo apa nimeachwa tu nikubali kuachika hhhhh
Mmi Wangu simwelwi
Na kama yupo mbali je inakuwaje Sasa??😢
Mimi ninampenz lakini kuna. Kipindi tulikosana akaniambia tuwe kaka na dada lakin kinacho nishangaza anakuwa na wivu kwangu ,na nisipo onesha kumjali anachukia ,lakini nikimwomba kitu chochote ananipa tena ananiambia ungenia mapema , je huyu mwanaume anamalengo gani na mimi
Anakupenda huy ila Hana uhakika na hisia zake mpe muda t usimuache
Kweliiii....
Naomba namba yako Dr
nimefurahi
Hakun mwanaum anaejuw kupnd
Akuna ambaye anayaelewa haya madude(mapenzi) acha yabaki kama yalivyo anayekushauri naye ameachwa mda mfupi uliopita
😂😂😂😂
Dr mungu akubariki Sana ila Mimi napataje namba yako natamani niongee na wewe unishauri Nina wakati mgumu Sana .
Asante umenifundisha mambo mazuri nimepata kuelewa Mungu akujaarie afya njema
Hakuna ata moja... Acha mungu anisaidie🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu atutie nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@faudhiatmasoud4025 ggv
Izo zote zipo kwa kiasi chake, ila communication ni nzito hta sielew
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Tunafanana
Aksanti sana doctor. Mume wangu anaonesha yale yote lakini finger print kwenye WhatsApp. Na siku nili bahatisha tu, nakutanaka na ba msg
ya wanawake. Ile ni kunipenda kweli?
Ndiyo anakuoenda ndio maana ameficha kua na MTU mwingine haimaniishi kua hakupendi
Aaah ktk sekta nmenyoosha mikono ni hii..MAPENZI shkamoo!!
Nitampata wapi 😂😂😂😂
Shukuran
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Nimefurahi nimekosea nimeomba msamaha lakin haitaki kunisamehe ila ananijari ananihudumia na ananipigia cm hapo anadai tutabaki marafiki tu