Farao wa Misri waganga/wachawi wake walifanya miujiza hadi leo wameandikwa wanaongelewa. Huyu na umri huu hajui kuwa uko uchawi na nguvu za giza za kushikia akili watu. Kabla ya kumlaume aliye rudia kubakwa ambaye anatoa ushuhuda baada ya kufunguliwa ajitafakari kwanza yeye ni wafungu lipi? Kesha kufa kweli lakini huduma inaendelea watu wanaendelea kwenda. Ujinga mtupu ni kuongea kila kitu bila hofu ya Mungu ili kiwanda chako cha mdomo wa kunena uongo na kweli kikusaidie mkono uende kinywani. Hunana tofauti na nabii wa uongo TB Joshua kuchanganya mema na maovu ili auze upako. Mlipokea Bure Toeni Bure.
@@messoayubu347 Mdogo mdogo Tanzania bila manabii wa uongo inawezeka si kwa nguvu wala kwa uweza bali kwa Roho wa Bwana Mungu. Zekaria 4:1 Wewe mwenye akili uende ukabatizwe ubatizo wa utupu SCOAN na wiseman Daniel maana mikoba ameridhishwa.
Huyu mchungaji anaongeaga vitu muhimu Sana hachoshi kumsikiliza
TB Joshua ajawai kuamini kwenye kuponya watu pasipo kuwafundisha..... ukifatilia vzr utapata ufahamu uwo.
The wisdom and sobriety in this man is on another level. Jesus loves you.
Mafundisho ya kiislam haya masha'allah
Huyu mchungaji hua napenda sana kuskiza interviews zake yaani yuaongea points kbsaa, huwez bakwa mara tatu na unazaa tu
Mara tatu nikubakwa kweli 😂😂😂😂
"soko lipo...ntatengeneza bidhaa.." 😂😂
Hichi kizazi cha mahangaiko 🤣🤣tunapend short cut
Eti DONA la UPAKO 😅😂😂 Dah .. kijiko buku10
Kiwanda mdomo hakina tofauti na wauza upako. Utalijua hilo siku ukiwekwa huru kweli kweli na Yesu Kristo.
Mar Tatu ni kubakwa kweli hahaha tena anamfat mwenyew nyumbn kwake
Mch. Hananja unayo Hekima na Ucheshi inayopelekea Nisichoke Kukusikiliza.
Hekima tupu!
Uwa napenda mchungaji wetu anavyo jilamba mdomo
Hahahahahha wapuuzi bado mpo tu
Kweli kabisa Tb Joshua amefarik ndio wanaanz kumchafua wakt yupo hai mbona hawakusem
Farao wa Misri waganga/wachawi wake walifanya miujiza hadi leo wameandikwa wanaongelewa. Huyu na umri huu hajui kuwa uko uchawi na nguvu za giza za kushikia akili watu. Kabla ya kumlaume aliye rudia kubakwa ambaye anatoa ushuhuda baada ya kufunguliwa ajitafakari kwanza yeye ni wafungu lipi?
Kesha kufa kweli lakini huduma inaendelea watu wanaendelea kwenda.
Ujinga mtupu ni kuongea kila kitu bila hofu ya Mungu ili kiwanda chako cha mdomo wa kunena uongo na kweli kikusaidie mkono uende kinywani. Hunana tofauti na nabii wa uongo TB Joshua kuchanganya mema na maovu ili auze upako. Mlipokea Bure Toeni Bure.
Sio bure una shida ya afya akili.
@@messoayubu347
Mdogo mdogo Tanzania bila manabii wa uongo inawezeka si kwa nguvu wala kwa uweza bali kwa Roho wa Bwana Mungu. Zekaria 4:1
Wewe mwenye akili uende ukabatizwe ubatizo wa utupu SCOAN na wiseman Daniel maana mikoba ameridhishwa.
Hakuna muujiza WA kichawi unafanyika Kwa jina la YESU KRISTO
@@davidmembedalamethepsalmis2885
Manabii wa uongo watakuja kwa jina la Yesu kufanya nini na hilo jina la Yesu? Hilo nalo hujui?
Wew unashida na utakuwa umetumwa na wale wachungaji makanjanja, umekuja kutuandikia essay hapa