ความคิดเห็น •

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mchungaji nimekupenda sana Mungu akuweke na akupe maisha marefu na tusiitafute laana Kwa kuongelea vitu ambavo havipo kama wanaweza wapambane na walio hai

  • @robertnkyalu3241
    @robertnkyalu3241 9 หลายเดือนก่อน +31

    Kuanzia Leo nakuita Dr Hananja
    Hekima zako wengi hawana
    Big up!! babu yangu Kwa majibu yaliyojaa hekima ndani yake

    • @maliproductiontv5708
      @maliproductiontv5708 9 หลายเดือนก่อน

      Nakuunga mkono atunukiwe na vyuo

    • @rahabuibrahim5324
      @rahabuibrahim5324 9 หลายเดือนก่อน

      Huyu mzee tuna hazina aisee nilimchukulia rahiss kumbeeee duuuu dhahabuu kuliko watu naowajua kanibariki sana

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 8 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana mutumishi wa Bwana kwa ujumbe muzuri, karibu tena kwetu IOWA, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.

  • @wiza2309
    @wiza2309 9 หลายเดือนก่อน +11

    Mch Hananja ana Neno, ndiyo maana anaweza kujibu kila aina ya swali kwa Neno, wengibwetu hatuna Neno ila tuna maneno, ni kelele tu kwa jamii na mbele za Mungu. Mungu ambariki sana kwa kazi hii ya kufundisha kupitia mitandao, ni kazi njema na inawafikia watu wengi zaidi walio Wakristo na wasio Wakristo wote tunasikia Neno la Mungu kwa usahihi

  • @patrickagri185
    @patrickagri185 8 หลายเดือนก่อน +1

    Thank you baba umenena vyema, Mungu akubaliki

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg 8 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana baba kwaufafanuzi mzuri, jamani mtaraniwa kusema vibaya watumishi wa bwana. Mungu tusamehe.

  • @TinaNicolaus
    @TinaNicolaus 9 หลายเดือนก่อน +7

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.Una maneno ya hekima na busara sana.

  • @leahmollel6589
    @leahmollel6589 9 หลายเดือนก่อน +12

    Mch Hananja Mungu akibariki sana! Wewe ni hazina kubwaaa👏👏👏🙏🙏🙏

  • @jaotetv6308
    @jaotetv6308 8 หลายเดือนก่อน

    Pastor unahekima sana Mungu akuzidishe zaidi.

  • @salomemwambindo8181
    @salomemwambindo8181 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji Mungu akubariki sana kwa hekima yako. Ninakukubali baba.

  • @josephmandelapenet4587
    @josephmandelapenet4587 9 หลายเดือนก่อน +53

    This Man was an extraordinary he shook the world when he was alive and still shaking when he is dead

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 9 หลายเดือนก่อน +1

      Exactly 💯

    • @annastaziamwakasege1366
      @annastaziamwakasege1366 9 หลายเดือนก่อน +1

      Very true

    • @jbm6309
      @jbm6309 9 หลายเดือนก่อน +1

      He was a true man of God

    • @Theinspector21
      @Theinspector21 9 หลายเดือนก่อน

      He was a high level witch doctor. Even Hitler did the same.

  • @sweetlisious
    @sweetlisious 9 หลายเดือนก่อน +18

    walidhani wataharibu ukristo ..ukristo utasimama kama Mungu alivyotupa imani

  • @maryamsuleiman1509
    @maryamsuleiman1509 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana Baba

  • @mauajuma3762
    @mauajuma3762 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asantee Baba Mchungaji kwa Hekima zako,wengi tungejua hivi

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 9 หลายเดือนก่อน +5

    Amen Amen neno dokilakitu baba ubarikiwe Sana mtumishi

  • @MaryPamela
    @MaryPamela 8 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa hekima yako.

  • @aminakupila3079
    @aminakupila3079 9 หลายเดือนก่อน +9

    Tb Joshua is true man of GOD nimefadika sana ktk maombi hadi sasa. He told us before his death watch and pray 🤲🙏🙏🙏

  • @petermbise
    @petermbise 9 หลายเดือนก่อน +11

    Mchungaji Hananja nafurahia majibu yako yakiçhungaji Mungu akupe Hekima yakutoa majibu.

  • @dorcasmasinde7349
    @dorcasmasinde7349 9 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana mtumishi wa mungu kwa majibu ya hekima kama ya mfalme Suleiman mungu na akubariki sana.

  • @nestasanga8433
    @nestasanga8433 9 หลายเดือนก่อน +5

    Umenena mtumishi wa Mungu, ubarikiwe sana,wanapigana na imani Yetu Ili kuzika ukristo na Imani zetu,hawataweza

  • @daphnemasogange7353
    @daphnemasogange7353 9 หลายเดือนก่อน +56

    T b Joshua was a true sevant of God, we miss you our father

    • @dancanmwamafupa6806
      @dancanmwamafupa6806 9 หลายเดือนก่อน

      Mungu ndiye ajuae usimsemee kwa mengi tutaona na tabia ya mtu si kuonekana unahubir tabia ya mtu ni pale anapokuwa peke yake kila binadamu ni mtumishi wa mungu jukumu la binadamu kuumbwa ni kumtumikia muumba wake

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 9 หลายเดือนก่อน +22

    Hananja ni mchungaji mwenye uwezo mzuri wa kusimamia kweli ya Neno la Mungu

  • @SHELLAAUSI
    @SHELLAAUSI 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki mchungaji Ananja kwa hekima ya Kiungu

  • @Teulesmwaseba
    @Teulesmwaseba 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ukiona vizuri hizi ni roho chafu zilizotumwa kushambulia watumishi wa MUNGU na kuwachafua,lengo ni kushambulia watu imani zao wasimwamwini MUNGU na YESU ili wasiabudu MUNGU, shetani awapate vizuri,..ni vita ya kiroho hii, na nyakati za mwisho hizi watumishi wengi wa MUNGU wanafedheheshwa na kudharirishwa sana..imani ya YESU inashambuliwa sana..

  • @gwizalandkingaru6732
    @gwizalandkingaru6732 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hao wote ni watu wa mungu ndio maana ukweli wa kanisa unauchambua vilivyo na mwisho watu wanawatengenezea kesi kwa ukweli wao wa kumtangaza mungu

  • @OmegaDelta-z6t
    @OmegaDelta-z6t 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani jamani watanzania acheni kuwachafua watumishi wa Mungu

  • @BenedictaMagantg
    @BenedictaMagantg 9 หลายเดือนก่อน +3

    Well said Mchungaji.

  • @Electricalmechanicaltanzania
    @Electricalmechanicaltanzania 9 หลายเดือนก่อน +17

    Laiti kama TB joshua angekua Mzungu basi hio documentary ingekua ya masia wa Karne hii.
    Moja kati ya mkakati uliopo nikuopress the african Superiority.
    TB a was great Man of God.

    • @sweetlisious
      @sweetlisious 9 หลายเดือนก่อน +5

      TB Joshua alikuwa anapinga ushoga na juzi papa aliongea kuhalalisha ushoga wameona makanisa ya kilokole mengi yamepinga sasa wameona wapitie njia ya kuchafua ulokole na wameshindwa.

    • @geofreymilinga2965
      @geofreymilinga2965 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli Kabisa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 9 หลายเดือนก่อน

      Yes, na mkakati mwingine ni kuua Imani ya kikristo!
      Hapa wala hoja sio tbjoshua

    • @apostle_AngazaGN
      @apostle_AngazaGN 9 หลายเดือนก่อน +1

      uko sahihi kabisa,mtu mweusi awe chini kufuta legacy yake kabisa

    • @godson.gidion7338
      @godson.gidion7338 9 หลายเดือนก่อน

      Mchungaji wetu,ni Yesu Kristo,
      Haya yoooote ni kuchafuana,Wapeleke huko Ushoga wao,kwani Mchungaji wetu Hananja, Yupo sawasawa, Yaani sijui hao wanaojitokeza kumchafua Mtu ambaye tayari ni Marehemu ATI inawasaidia nini ?

  • @gasparpeter4049
    @gasparpeter4049 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Kwakweli wewe ni mtumishi wa Mungu wa kweli na msema kweli.

  • @MasawefamilyTv
    @MasawefamilyTv 8 หลายเดือนก่อน +1

    This man be protected for all costs ❤

  • @SALOMEMWAILENGE
    @SALOMEMWAILENGE 9 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu akubariki mch Hananja

  • @marinemodest1798
    @marinemodest1798 8 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa Mch. Barikiwa sana

  • @Sifam634
    @Sifam634 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu wa mbinguni azidi kukubariki mutumishi

  • @ip_header
    @ip_header 9 หลายเดือนก่อน +2

    Well said 👏

  • @geffdepoet5974
    @geffdepoet5974 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu anajua,,barikiwa sana

  • @oliviawakaba5649
    @oliviawakaba5649 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi wa Mungu barikiwa sana.

  • @josephosborne3072
    @josephosborne3072 หลายเดือนก่อน

    Intelligent man

  • @sweetlisious
    @sweetlisious 9 หลายเดือนก่อน +19

    Hananja una akili sana kwa kusimama na ukristo Mungu akubariki.

  • @joshuaalsel5828
    @joshuaalsel5828 8 หลายเดือนก่อน +1

    Maombi yakusimanga, umeniuwa na cheko.
    Pasta Mungu akubariki

  • @joycekashalaba3575
    @joycekashalaba3575 9 หลายเดือนก่อน

    Asante mchungaji Mungu azidi kukubariki

  • @JuniorLameck-ek5es
    @JuniorLameck-ek5es 4 หลายเดือนก่อน

    Mzee nakukubali sana

  • @EzbonKashaga-u8m
    @EzbonKashaga-u8m 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki mchungaji,Maombi yangu kwako...uanzishe mahubiri ya mtandaoni..ili wengi tupate kulijua Neno la Mungu kweli..na kweli ituweke huru

  • @gracesylvester3717
    @gracesylvester3717 9 หลายเดือนก่อน +1

    TB JOSHUA 😘😘😘😘 NI PRACTICALLY YESU MWENYEW NDANI YA MWILI WA MWANADAM..

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 9 หลายเดือนก่อน

      Weee Acha makufuru khaaaa😮

  • @osianamwabuka2321
    @osianamwabuka2321 9 หลายเดือนก่อน +11

    Hao ni mawakala wanatafuta kupotosha kanisa la Mungu,sio wakristo wala wanafunzi wa yesu kweli

    • @loemaangelo8779
      @loemaangelo8779 9 หลายเดือนก่อน

      Mungu akuweke muda mrefu ili uendelefe kutuelimisha nakutufundisha hekima mungu awe pamoja nawe daima

  • @noeldismas7340
    @noeldismas7340 9 หลายเดือนก่อน +1

    Dr. Hananja, umebarikiwa na hekima kubwa, Mungu akubariki mnoo, endelea kuelimisha jamii

  • @anza-amenndossa4403
    @anza-amenndossa4403 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wote wanaomsema vibaya TB Joshua ni Wafuasi wa MPINGA KRISTO

  • @neemambunda2004
    @neemambunda2004 9 หลายเดือนก่อน +1

    Heshima yangu kwako mtumishi

  • @themaestro-24
    @themaestro-24 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanangu alipokea uponyaji 2016.Na mimi nilipokea blessing nyingi mimi na familia yangu.YOTE YANAYOSEMWA NI UONGO .HAO WALIFUKUZWA KANISANI KW UTOVU WA NIDHAMU.MAAJENTI WA SHETANI.

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 9 หลายเดือนก่อน

      Kwani waganga hawaponyi wala kubariki ?? Ndugu chunga sana yule mwovu asikupokonye

  • @petermahimbo3458
    @petermahimbo3458 9 หลายเดือนก่อน

    Dr Rich.

  • @mohamedmkumbwa
    @mohamedmkumbwa 9 หลายเดือนก่อน +5

    True..Mchungaji Hananja..

  • @anitavictoire1212
    @anitavictoire1212 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nakuamini Ka
    Bisa

  • @stellahzacharia8743
    @stellahzacharia8743 8 หลายเดือนก่อน +1

    Waseme wasemavyo wamepungukiwa na maono mnao msema mtumishi wa Mungu hali hayupo mlikuwa wapi akiwa hai wanao msema vibaya ninyi wenyewe siku yenu ipo mtasemwa na mtatoa hesabu wachumia matumbo mnakazi yeye kamaliza je ya kwenu mmeyaficha

  • @enesskatiti3818
    @enesskatiti3818 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mch huyo mwanamke atubu vinginevyo ana laana kwa kumchafua marehemu joshua

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 9 หลายเดือนก่อน +6

    Umenena vizuri Mchungaji HANANJA

    • @rosemneney3244
      @rosemneney3244 9 หลายเดือนก่อน

      Huyu mchungaji au chawa wa wasanii hovyo kabisa

    • @lightnessmushi8137
      @lightnessmushi8137 9 หลายเดือนก่อน

      We ndo feki

  • @rosepodi4127
    @rosepodi4127 9 หลายเดือนก่อน +7

    😂😂😂😂😂Ameen I love this pastor ❤❤

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli 8 หลายเดือนก่อน +2

    Wivu tu unawasimbua

  • @berthamushi6891
    @berthamushi6891 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi Mungu Akubariki maana Mungu amekufunulia mambo Makuu tena roho hizo zipo nyingi mno za kuwasema watumishi ila kwa ambaye ameshatangulia mbele za haki ni kwamba wanataka kupunguza Nguvu ya Ukristo ili wafanye mambo wanayoyataka.

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz 9 หลายเดือนก่อน +3

    Asante Asante baba kabisa, Hiyo ni roho ya wivu.

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 9 หลายเดือนก่อน +3

    HANANJA THE GREAT!

  • @HappnessJeremia
    @HappnessJeremia 9 หลายเดือนก่อน

    Amina mtumishi umenena vyema

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ukihangalia vizuri hili ni boom lililotengenezwa ili kuharibu u kristo maana ingekua kweli lwanini hawakusema mapema watu wote hao amekosa hata mumoja wakutoa siri kweli Mungu atupe uelevu wa kiroho Ameeeeeen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 hii ni vita ya kiroho pia ni kazi ya shetani tuwe makini sana🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

    • @daslamonline4665
      @daslamonline4665 9 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo hata Mackenzie angekufa mngekanusha kwanini yeye Tu wamekufa wangapi wasafi hatukusikia ya hivyo 👉 Acha watu wajue aliyo Fanya nyuma ya bible usafi WA ulimi sio usafi wa nafsi,,

  • @angle3600
    @angle3600 9 หลายเดือนก่อน +7

    Nimecheka nimecheka hapo pa watumishi kuhaha,utadhani mganga kaona msekule😂😅

  • @NeemaWilliam-n7t
    @NeemaWilliam-n7t 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kwakweli baba yangu nakushuru kwa hekima Mungu aliyokupa barikiwa kwa ufafanuzi na hekima iliyotukuka Mungu akutunze na akupe hekima iliyo ya juu sana

  • @oswardmwakalobo7031
    @oswardmwakalobo7031 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubar sana

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 9 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤much love

  • @abubakaldismasdismasdismas7
    @abubakaldismasdismasdismas7 9 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mchungaji. Hekima uliyo ionyesha ni ya kipekee. T.B Joshua aliwahi kusema kwamba "Midomo ya watumishi wa Mungu ina mamlaka ya na mamlaka hiyo ni kujenga na wala sio kubomoa"

  • @DeusMbalamwezi-h7t
    @DeusMbalamwezi-h7t 9 หลายเดือนก่อน +3

    Nashukuru kwa hekimayako Mzee wetu ❤

  • @h.jrugashaula1296
    @h.jrugashaula1296 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee amezungumza kwa hekima sana

  • @joycekundo-uu5su
    @joycekundo-uu5su 9 หลายเดือนก่อน

    Asante Mtumishi kwa ku waelezea mazima kabisa

  • @beatricenangale5439
    @beatricenangale5439 9 หลายเดือนก่อน

    Wakristi wajihadhari sana, kwa maana wanashambuliwa kuua Ikristu Bilaa kujijua,
    1. Mata T.B Joshua,
    2. Mara Mwamposa
    3. Mara Papa Francis anapakaziwa hivi, tofaiti kabisa na maneno aliyosema
    Hizo ni mbinu, amkeni wakristu

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 9 หลายเดือนก่อน +9

    BBC waongo Sana wanachonganisha dini na WAUMINI

    • @esthersongambele3497
      @esthersongambele3497 7 หลายเดือนก่อน

      Uko sahihi wachonganishi Sana, wanataka tuharibikiwe na Mungu wetu ni mwema Sana hatarihusu hayo juu yetu

  • @danielmushi5755
    @danielmushi5755 9 หลายเดือนก่อน +3

    Hao wanaosema kuhusu TBJOSHUA ni waovu mno ,mie nilifika Kanisani kwake,nilikutanaye naye ,aliniombea na nilipona.Lengo la hawa wahuni ni kupinga Ukristo.

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 8 หลายเดือนก่อน +1

    MCHUNGAJI HANANJA ANAAKIL SANA

  • @FaustinKihambaSaragulwa
    @FaustinKihambaSaragulwa 8 หลายเดือนก่อน

    mtumishi uko vzr baba

  • @mercylema8327
    @mercylema8327 9 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe Mch umesema ukweli Binadamu wengine hawaonagi mema ni kutafuta mabaya tu

  • @janetkiewo351
    @janetkiewo351 9 หลายเดือนก่อน +53

    Walimsema Bwana Yesu ubaya wa kila namna yeye akiwa mti mbichi watamwachaje T.B. Joshua? Shetani anatafuta kulipa kisasi alikanyagwa sana na T.B. Jishua. Hakuna jipya. Bwana Yesu aliwaasa wanafunzi wake kuhusu haya haya! Mungu ailaze pahali pema roho ya T.B. Joshua.

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 9 หลายเดือนก่อน +3

      Alikuwa wakala wa shetani

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 9 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@paschalsafari9747yesu alikuwa wakala wa shetani?duuh wew kwel duuh, rudi kuzimu muda wenu bado haujafika

    • @lellovenance5702
      @lellovenance5702 9 หลายเดือนก่อน

      Watu walitishwa waliogopa kufa alikuwa na pawa haya yule aliyemfata akiwa anajirekodi mbona alijikataa tena mbona ni kikundi cha watu, lakin yesu alionya watakuja watatumia jina lake vibaya

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 9 หลายเดือนก่อน

      @@lellovenance5702 hivi wew kwa akil zako mtu anabakwa mara tatu, wanafunz wak weng tu wanapinga hiyo ishu, tb Joshua alishaingia kweny ugomv na media na magharib alipokuwa against ushoga bro, tatizo lilianzia hapo, fuatilia, Yesu mwenyew katukanwa na kasingiziwa mengi, soma talmud utajua, matunda ya tb Joshua meng ni mema, hta nafundisho yak,nafikir tujikite kweny mazur maana mengi sana achana kusuport huu uongo, pawa gan wew mbele ya bbc

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 9 หลายเดือนก่อน +2

      Siku za mwisho zinaambatana na watu wenye tabia hizi zinazoendelea hakuna jipya mtumishi.

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 9 หลายเดือนก่อน +1

    Points sana

  • @jeaninekabano9190
    @jeaninekabano9190 9 หลายเดือนก่อน

    Huu ni upinzani wa ukristu wa wazi na Huduma ya T B Joshua Mama Evelyn T B Joshua Mungu atamtumia kwa kiwango cha juu yatapita tuu Wakristo kuweni macho ❤

  • @aishanelly2026
    @aishanelly2026 9 หลายเดือนก่อน

    Jmani achani maneno..Africa acheni kurubuniwa Ukiristo wet ahuuu wapi Africa!,,, waanatafuta kuendeleza ushoga Africa Mtafuteni Yesu wetu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🧚🏿🧚🏿🧚🏿

  • @lilianmoyo316
    @lilianmoyo316 9 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe mchunganyi kwa hekima kubwa

  • @ApolloniaMwinula
    @ApolloniaMwinula หลายเดือนก่อน

    Ntashangaa sana,hivi n nn mtu ameshakufa,SS inatusaidia nn hata alitenda machafu! Mtafutege kazi za kufanya!

  • @stellahebenezer6729
    @stellahebenezer6729 9 หลายเดือนก่อน +8

    Mchungaji hatujaharibikiwa kwa kwenda kule. Mimi nilikwenda kule kwa ajili ya uponyaji nilipona. Na kiwango cha imani kilipanda. Mtumishi yeyote wa ukweli wa Mungu aliye hai lazima apitie hayo yote. Accussations, intimidations, etc. Kama aliyopitia Bwana Yesu.
    Hiyo vita ni ya ukristo sio ya TB Joshua. Wanataka kuanzisha dini moja dunia nzima, sasa laxima watafute mbinu za kuwapata waumini. Na wenye imani haba na wale walio kuwa affected na vita hivi watapatikana. Prophet TBJoshua ni nabii wa ukweli wa Mungu. Na amevuna nafsi nyingi sana dunia nzima kwa Yesu Kristo.Sasa zile nafsi zilizovunwa ndio tatizo. ZilitakiwA kubaki kwa shetani. Sio vita ya TB Joshua ni vita against ukristo.

    • @otaibonny8835
      @otaibonny8835 9 หลายเดือนก่อน

      Wewe bora kujitolewa kwa hio kiza, hakuna kitu cha Bure kutoka shetani… najua walioenda huku na baada waliongezeka bahati mbaya.. usidanganywe huyu alikuwa mchawi mkubwa kabisa.

    • @lankemeleji2158
      @lankemeleji2158 9 หลายเดือนก่อน

      Umenena ukweli...

    • @davidbochela1441
      @davidbochela1441 8 หลายเดือนก่อน

      Ukiona mtu haoni shida kudhihaki jambo asilojua basi Hilo sio hali ya kawaida​@@otaibonny8835

    • @mwameposanga2973
      @mwameposanga2973 8 หลายเดือนก่อน

      Ameni

    • @MbangulaTungaliwe
      @MbangulaTungaliwe 7 หลายเดือนก่อน

      Mnakuwa chawa mpaka katika ishu za TB

  • @eben_ezer8853
    @eben_ezer8853 9 หลายเดือนก่อน +7

    😂😂😂😂😂Ila huyu Baba nampenda sanaaa

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz 9 หลายเดือนก่อน +2

    Asante baba umenena vema.

  • @vukoni1
    @vukoni1 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 Kila mtu ayingiye uwanjoni ku ingiza goli....
    Ubadiliko ya sauti ni kujifanya kama mtu amesha jua bibilia tayari...
    Uwo mahojiano ni hatari kwa wadanganyifu ya ulimwengu ya leo... Baadhi ya walewanao uwezo la kudangaya Kwa ajili ya kutendea biashara neno ya mwenyezi mungu, wakae stareh siku ya ukumu.
    Shukurani zaidi Mchungaji

  • @tinertv1382
    @tinertv1382 9 หลายเดือนก่อน +6

    Kabisa mtumishi wache wamseme mimi sitanyanyua mdomo nilipokea uponyaji

    • @geofreymilinga2965
      @geofreymilinga2965 9 หลายเดือนก่อน +1

      Tupo pamoja na mm nilipokea Uponyaji ambao madaktar bingwa walishindwa

  • @emmanuelthomas4967
    @emmanuelthomas4967 9 หลายเดือนก่อน +5

    Wewe mtumishi wa MUNGU kweli, wafundishe wachungaji wanaofundisha uganga badala ya NENO. Barikiwa sana Baba.

  • @WillywiliamkihongossKihongoss
    @WillywiliamkihongossKihongoss 7 หลายเดือนก่อน

    Uko vzur mchungaji weka nambazako tukutumie sadaka wafundishe wakristu wenzetu

  • @PhilomenaStephern
    @PhilomenaStephern 9 หลายเดือนก่อน +4

    NI NJIA YA MPINGA KRISTO.
    WANACHAFUA WATU WA MUNGU ILI KONDOO WATAWANYIKE.
    NA WATUMISHI WENGINE WASUBIRI YAMETABIRIWA NA WAKRISTO WENGINE MAMBO YANAWAIJIA OMBENI SANA
    MAMBO YAMEANZA MTAONA NA MTASIKIA MENGI.
    TUOMBE SANA SANA WAKRISTOTUKO VITANI TUOMBE SANA.

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 9 หลายเดือนก่อน

    Naisi ni miongoni mwa wachungaji wachache wanaojibu maswali bila unafiki💐💐

  • @rahabuibrahim5324
    @rahabuibrahim5324 9 หลายเดือนก่อน

    Km hananja baba unasimama na kweli hi ya nabii mkubwa mungu akupe neema Zaid uje uingie mbinguni kwani wengi tunasali lakin bado tunapungukiwa tuna dhambi bado tunampinga mungu kusema vibaya watumishi wa mungu.Ee mungu uturehem sisi wakosefu

  • @macharosandra9467
    @macharosandra9467 9 หลายเดือนก่อน +4

    T.B Joshua alinipinga sana ushoga,.. ndio maana wanamchafua

    • @sweetbertrwiza5982
      @sweetbertrwiza5982 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli ukigusa ushoga watakula na wewe saani moja

  • @leahmollel6589
    @leahmollel6589 9 หลายเดือนก่อน +2

    Nawaza tuu kwa sauti! Haya yanayosemwa kuhusu mtumishi huyu Joshua hivi kwa wazungu kwao hayapoo! Waafrika na wakristo Mungu atupe jicho la tatu😭🙏

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial 9 หลายเดือนก่อน +5

    Baba mwenye hekima ambaye namsikiliza ❤

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 9 หลายเดือนก่อน +1

    Alikuwa anabakwa akiwa wap? Malazote izo ? Kama sio unafki

  • @irenesanga1255
    @irenesanga1255 9 หลายเดือนก่อน

    Ukristo haufi kwa kashfa za Joshua. Walikuwa wapi? Mungu ndiye hakim wa Joshua ni Mungu. Ukristo daima

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc 9 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe pasta

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya9890 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hekima za mchungaji Hananja

  • @masrorynashon1079
    @masrorynashon1079 9 หลายเดือนก่อน

    Baba Mzee hananja Mungu akutangulie unafaa kwa ushauli

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 9 หลายเดือนก่อน +1

    Una AKILI SANA Mch. HANANJA.
    UNASEMA KWELI KABISA KABISA.