MCHUNGAJI HANANJA AMPA ONYO MASANJA KUISHI NA MWANAMKE MSALITI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • HUYU HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AKIZUNGUMZIA KUHUSU KUOA NDOA ZA MITALA KWA WAKRISTO BA WASIO WAKRISTO

ความคิดเห็น • 96

  • @mariamukijuu2893
    @mariamukijuu2893 ปีที่แล้ว +14

    oya mwenye ndevu agonge like hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @priscawilliam1983
    @priscawilliam1983 ปีที่แล้ว +1

    Mch. Naguswa nauushauri wako Sana Ndoa yangu imengiliawa na Ndugu Mumewangu hanielewi

  • @irambonaeddy5453
    @irambonaeddy5453 ปีที่แล้ว +6

    Hawa wachungaji ndiyo wanaleta shida,kwakuwafariji makahaba nawazinzi.unasema kweli Baba

  • @ismailmsisa6362
    @ismailmsisa6362 ปีที่แล้ว +3

    Kwani mwanaume ana period? Mimi nnavyojua mwanaume ni mmiliki nandio mwenye maamuzi nandio anaechagua kuoa idadi ya wanawake awatakao

    • @lutufyodixon9997
      @lutufyodixon9997 ปีที่แล้ว

      Biblia haijawahi kusema tuwe na mke mmoja tu
      Haijawahi kukataza

    • @rayaali7551
      @rayaali7551 ปีที่แล้ว

      WACHUNGAJI KUKATAZA WENZENU WASIOWE WAKE IDADI ILIYO AMBRISHWA NA MWENYEEZI MUNGU. ILA NYIE MUNAFUGA WANAWAKE WANJE NA NYUMBA KUWAPANGIA NA WATOTO WANJE KIBAOO. UKAR NA MKE MMOJA KWANI MAMAYAKO ? KWAHIVYO. MUNAONA BORA UZINZI ? HIYO NI AMBRI YA MWENYEEZI MUNGU NA KILA KILICHO AMBRISHWA NA ALLAAH. UJUWE KINA MAANA YAKE NA THAMANI YAKE. KWAHILO MCHUNGAJI KWA LEOO SI JA KU SUPPORT

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 8 หลายเดือนก่อน

      Soma biblia bwana mke mmoja mpaka Kofi lakini unaweza kumuqcha mkeo kama muasherati lakini mwanaume akiishi na mwanamke mwingine anazini bure na mwanamke hivo hivo

  • @hatibuexauty4024
    @hatibuexauty4024 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Xana mtumishi..

  • @leticiamapunda3324
    @leticiamapunda3324 2 ปีที่แล้ว +5

    Mchungaji neno limenibariki ubarikiwe

  • @leahpeter6556
    @leahpeter6556 ปีที่แล้ว +4

    Thank you so much Pastor!! this is sooooo true, no man can leave a woman( wife) to another and still the other woman who is taken by this man thinks she is loved more than the first woman!!never!!

  • @stellakatega4910
    @stellakatega4910 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akutumze unawapa ukweli yameshatukuta okoa kizazi kijacho baba

  • @solomonmpuluma6616
    @solomonmpuluma6616 2 ปีที่แล้ว

    Wewe pastor ni nomaaaa

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 ปีที่แล้ว +3

    Mchungaji umenikosha ndo ndoa za huku loliondo Mungu akutunze endelea kutupa dozi nakukubali kweli

  • @huldakirururu8950
    @huldakirururu8950 ปีที่แล้ว +3

    Barikiwa mchungaji ,umesema ukweli wachungaji njaaa wamevunja ndoa nyingi sana.

  • @subirasimbeye8531
    @subirasimbeye8531 2 ปีที่แล้ว +5

    Kwa kweli umenena mchungaji

  • @jumakataka81
    @jumakataka81 ปีที่แล้ว +1

    Niko Kenya nakuhuga mokono amina ❤

  • @janethjeremiah2547
    @janethjeremiah2547 ปีที่แล้ว +1

    Et kama marejesho😂😂😂

  • @joykachwele2638
    @joykachwele2638 ปีที่แล้ว +1

    kichwa mbuzi....kwingine nyau anhanhaaaaa

  • @paskalmaganga9225
    @paskalmaganga9225 ปีที่แล้ว +1

    Dah kweli we unasema kweli kabisa Mwenyezi Mungu akuongoze uzidi kusema kweli🙏🏻

  • @berthabahati7329
    @berthabahati7329 ปีที่แล้ว +1

    Duu umeongea poeti bb mungu akubarik sn na akujalie uishi maisha maref

  • @BenderaRulenge-er7wx
    @BenderaRulenge-er7wx 11 หลายเดือนก่อน

    Mimi baba yangu alikuwa na wanawake 2 amefariki akiwa na umri wa miaka 108, lakini nimezaliwa mpaka nimeoa mwanamke sijawahi kuona ugomvi wanagombana na sikujua kama kuoa wanawake wengi ni kosa.

  • @Tito-dc6vy
    @Tito-dc6vy 9 หลายเดือนก่อน

    Eti.mwenye.ndevu.hahahahaha.barikiwa.sana.postor

  • @IsakaJeremia
    @IsakaJeremia 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂pesa izi

  • @joycesanga6951
    @joycesanga6951 2 ปีที่แล้ว +2

    Kweli Baba unaongea point tupu

  • @sampeopletz1255
    @sampeopletz1255 2 ปีที่แล้ว +5

    Kwahyo hata mchungaji nae pia kaolewa kwa kupenda hela tamaa 🤣🤣🤣🤣

  • @annangosso6680
    @annangosso6680 2 ปีที่แล้ว +2

    Wazinzi watupu😂

  • @IsakaJeremia
    @IsakaJeremia 5 หลายเดือนก่อน

    Amen amen mchungaji sichoki kukoment

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 11 หลายเดือนก่อน

    Sio kweli wapi biblia imesema make moja

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 ปีที่แล้ว +1

    Good Sana Elimu kubwa.

  • @soudia9084
    @soudia9084 ปีที่แล้ว

    Kwanini hamzungumzi na wakatoliki nao wakaoa pia.

  • @Chris-in1vc
    @Chris-in1vc 8 หลายเดือนก่อน

    Daaa ubarikiwe sana mchungaj

  • @francisdavidmwakalinga3202
    @francisdavidmwakalinga3202 ปีที่แล้ว

    Kichwa cha habari kingine story nyingine kenge nyie

  • @michaelbennady223
    @michaelbennady223 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimekuelewa mchungan

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 2 ปีที่แล้ว

    Km unavyoona kuna wanaooa mmoja na wakakosa upendo kwa wtto wao ujue nakuna wenye wake mpaka 4 wanaupendo na wtto wao.

  • @IsakaJeremia
    @IsakaJeremia 5 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @Peaceman-S
    @Peaceman-S ปีที่แล้ว

    Malaki 2;16

  • @fridasolomon6512
    @fridasolomon6512 2 ปีที่แล้ว +1

    Hahahaha mitamba 🤣🤣🤣

  • @IsakaJeremia
    @IsakaJeremia 5 หลายเดือนก่อน

    Ameeen

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 ปีที่แล้ว

    Mchungaji hananja naomba
    Namba yako ya simu

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 ปีที่แล้ว

    Kufahamiana kwa njia gani

  • @judithgodfrey6503
    @judithgodfrey6503 ปีที่แล้ว

    Safiiii Mchungaji. Barikiwa

  • @bakarymgunda1419
    @bakarymgunda1419 2 ปีที่แล้ว +1

    Namuelewa Sana huyu mchungaji

  • @uriogilbert
    @uriogilbert ปีที่แล้ว

    U 7 06

  • @uriogilbert
    @uriogilbert ปีที่แล้ว

    U 6 06

  • @mpandawiliam5390
    @mpandawiliam5390 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mch:.

  • @neemanicodemo4269
    @neemanicodemo4269 ปีที่แล้ว +1

    That is the point pastor, God bless you!!! Ameen

  • @expert5898
    @expert5898 ปีที่แล้ว

    Mbona mnaandika vichwa vya habari vya uongo? Mnadhani kwa kufanya hivyo mtapata subscribers?

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  ปีที่แล้ว

      Tunataka watu wakoment Kama ulivyofanya wewe

    • @expert5898
      @expert5898 ปีที่แล้ว

      @@SIMULIZIZONE ili iweje?

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  ปีที่แล้ว

      @@expert5898 nitatengeneza video kukuelekeza ili siku ukija kuamua kuwa TH-camr uelewe

    • @expert5898
      @expert5898 ปีที่แล้ว

      @@SIMULIZIZONE sawa

    • @expert5898
      @expert5898 ปีที่แล้ว

      @@SIMULIZIZONE kwahiyo ni bora upate comment ya mara moja kuliko kupata subscriber?

  • @suzanalucasemanuel7006
    @suzanalucasemanuel7006 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏🙏 baba mungu akubariki

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 2 ปีที่แล้ว

    Parachichiiiiiiiiiiiii

  • @emmysam1510
    @emmysam1510 2 ปีที่แล้ว

    Kuna mzazi na mzalishaji

  • @Mariah_1293
    @Mariah_1293 ปีที่แล้ว

    Wazalishaji 🤣🤣🤣🤣mko wapi

  • @hildamhina5305
    @hildamhina5305 ปีที่แล้ว

    Hahahaha wambie hao

  • @sampeopletz1255
    @sampeopletz1255 2 ปีที่แล้ว +2

    Mitamba hiyo duuh

  • @wencesmarc6847
    @wencesmarc6847 2 ปีที่แล้ว

    Hiyo story ya masanja iko wapi mmekua wajanja au ni ujinga huo Aya mwisho Leo kufatilia story za mabango kama haya

    • @joyceshile8837
      @joyceshile8837 2 ปีที่แล้ว

      YAANI, huyo aliepost na KATIBU WA MASANJA MAREHEMU WOTE NI MOTONIII.

    • @wencesmarc6847
      @wencesmarc6847 2 ปีที่แล้ว

      Hakika maana wametenda dhambi ya uongo kujipatia hela kwetu

  • @hagaingabo3435
    @hagaingabo3435 2 ปีที่แล้ว

    Hahaha kweli pasta

  • @solomonmpuluma6616
    @solomonmpuluma6616 2 ปีที่แล้ว

    Mbuzi na nyau 😀😁😂

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 2 ปีที่แล้ว

    Unaandikisha mke mmoja ukioa wapili ukapimwe akili lkn unaandikisha mmoja unazini na mia moja.....

    • @ledynanciajuma6390
      @ledynanciajuma6390 ปีที่แล้ว

      Kabla ya kumuoa wa pili c utakuwa umemtaman na kuzini afu ndo ndoa wote ni uzinifu baba

    • @expert5898
      @expert5898 ปีที่แล้ว

      Yote makosa

    • @expert5898
      @expert5898 ปีที่แล้ว +1

      Hata uoe wanawake 10000 usidhani ndio utatosheka.

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 2 ปีที่แล้ว +1

    Mnawasoma kina Suleimani ni uisilam uo nyie mnasema mila zao. Wkt kila umma Allah aliruhusu wake wa kuoa. Ibrahim alioa 2 na wapo wengi tu walooa zaidi ya mmoja. Ssa mke mmoja mmepata wapi na Yesu hajaoa?

    • @annangosso6680
      @annangosso6680 2 ปีที่แล้ว

      We naye chefu

    • @meshackmtambulo6580
      @meshackmtambulo6580 ปีที่แล้ว

      Oa kama suleiman ukipenda sisi hatuko tayali wewe pambana na iman yako

    • @elishamcosta8034
      @elishamcosta8034 ปีที่แล้ว

      Kabla ya mohammad hapakuwa na Uislam

    • @ismailmohamed9440
      @ismailmohamed9440 ปีที่แล้ว +1

      We Baki na mke mmoja kama mama yako. Mwanaume mwenye akili timamu lazima uwe na mke zaidi ya mmoja.

  • @oiiii3898
    @oiiii3898 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakubaliana na wewe mchungaji tatzo waislam wa kiafrica kwenye dini wanaona suala la kuongeza mke Tu ndo dini ili Hali hao waarabu wako na mke mmoja na wanawe

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 ปีที่แล้ว

      Na nyie makafiri kuzini mkazaa ovyo ndio mnaona dini???

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 ปีที่แล้ว

      Uisilam upo wazi oa mpaka 4 ili usije ukazini ukarithisha wasiostahili. Unakuta kwa mtizamo unakataza kuhangaika hali wanajua wazi w'me wote si swa.
      Ukiristo unajua km mke mmoja hatoshi lkn unakuozesha mmoja ili uzini na unaowajua ww na wanakuhakikishia ukifa wakija watakurithi. Maana unachochea uzinzi zaidi.

    • @shukurusyriack3504
      @shukurusyriack3504 ปีที่แล้ว

      @@alhamdulillah5796 wewe ndio kafiri mpuuzi Nini Kwan Kwan na ninyi mnasali vitu Gani mashetani tuu

  • @vesitinarevocatus7333
    @vesitinarevocatus7333 2 ปีที่แล้ว

    Sijasikia ilo onyo lamasanja😁

    • @olicej7837
      @olicej7837 ปีที่แล้ว

      Kichwa cha habariii kingine na maneno mengne 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @siloomar7699
    @siloomar7699 2 ปีที่แล้ว +2

    Mke mmoja hatoshi

    • @mussajijim574
      @mussajijim574 2 ปีที่แล้ว +1

      Acha usenge ww

    • @siloomar7699
      @siloomar7699 2 ปีที่แล้ว

      @@mussajijim574 Ah sasa msenge ww au mm

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 2 ปีที่แล้ว

      Ndio maana mchungaji kasema nenda huko wanakoruhusu hajamumunya maneno!

    • @restitutanjau2585
      @restitutanjau2585 2 ปีที่แล้ว

      Wanatosha wangapi

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 ปีที่แล้ว +1

      Siku unayokufa ndio fainali ya ima mke mmoja anatosha au hakukutosha. Kheri ya muisilam si mnafik unaoa mpaka wanne na wote wanakurithi kuliko wakiristo unaoa mmoja unazini na mia moja na wote ukifa wakizuka wanarithi. Ssa si uchochezi wa zinaa huu?

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 ปีที่แล้ว

    Ndoa za bandika bandua

  • @Roym97
    @Roym97 2 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣 ni Night kilabu

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 2 ปีที่แล้ว

    Kwa nini maparachichi jamani😆😆