FULL: HANANJA ATEMA CHECHE KIMARO KUSIMAMISHWA,NJAA ZINAWASUMBUA WENGI, KUNA JIPU LITALIPUKA KANISAN
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Kama umesikiliza na ukamuelewa huyu Mzee na ukajikuta unacheka mpaka machozi ingawa si yakucheka, gonga like 😊😊😊😂😂🙌🙌
Mzee wa oya oyaaaa! Yupo fire 🔥 kinoma. Huwezi kuchoka kumsikiliza!
Kweli Mzee Hananja una siri sikuwahi kujua kama ulisimamishwa mwaka mzima Mungu akutunze
00
Ameen
KAMA UNAMKUBAL HANANJA NA KIMARO GONGA LIKE👍
Nokweli kabisa WATUMISHI wa Mungu mbadilike Mwenye kazi atawacharaza fimbo msione kanyamaza hamko salama atarejea punfe
Sema ukweli maana ukweli ndo unamuweka mtu huru
Mch Hananja MUNGU akubariki sanaa ni kweli unayoongea na mtu mjinga hawezi kukuelewa Ubarikiwee Babaa
Napenda Sana huyu Baba 😂😂 ishi miaka kama yote Mzee wangu walio kutesa ndio watakao tangulia Sio wewe in Jesus name 🙌
Hongera mtumishi unasema ukweli Mungu akutunze tuonyane Kwa upole sisi wote ni baba mmoja kanisa ni la waumini ndio waliojenga kanisa ni vema wasikilizwe.
Nampenda Sana huyu mzeee anaongea ukweli
Natamani hii video kila mshirika wa KKKT aisikilize ili wajue wanayopitia wachungaji wetu hasa wale wenye maono makubwa. Asante sana Mchungaji Hananja kwa kutujuza
Ni shida aisee
Love you my fadher
Tumeujua ukweli.
Yaaniii Mungu atuhurumie sijui tunafanyaje kuieleza dunia
L0
Nakupenda Sana Mchungaji Ongea Ukweli Ili Uchukiwee
Nyuki Hakumbatiwi
Huyu mzee yuko kama babq yangu. Haki ataishi maisha marefu sana tungekuwa na mioyo ya hivi tungeishi kwa rahq sanaaaa
anamoyo mweupe sana ukisikia kuokoka ndio huku sio unajifanya mlokole hlf mnafki,roho mbaya na wivu...
Hovyooo bangi tupu
@@joeaub2185 yuko huru na utumishi wake saana
Dr Kimaro, we love you, we miss you. Together in our prayers.
Ha ha ha dah mchungaji Hananja, Mungu akuweke, ur so genius🙏🙏
Sasa ww ndg yangu mtu anaongea pumba unasema ni genius kkkt ni jamii kubwa sn si ya kuibeza hivyo hao waende tuu ss na kkkt yetu watuache sasa mtu km huyo ataweza kukushauri nini ktk swala la familia amkeni wakristo hao wamejulikana via kkkt leo hii wameanza BIASHARA BINAFSI HII NASEMA SI SAWA
@@hurumakimaro5762 wangapi wako KKKT hawajulikani mpaka anastaafu kama KKKT inawafanya watumishi wajulikane si wote wangejulikana waliopo humu! Hiyo Mungu amemwinua mtumishi wake kupitia taasisi hiyo hata angekuwa kwingine angejulikana tu acheni kupuuza uwezo wa watu kutambua wito wao kwa kujinyenyekeza kwa Mungu mwenyewe. Mimi ni na wewe wote tuko KKKT mbona haijatufanya tujulikane???
Pastor yuko vizuri sana ... Japo watu watasema skanka 😂😂😂 ila "nyuki hakumbatiwi"
Asinitishe mtu... Sijanyonya kanisani.
Sijanyonya kanisa nimecheka xanaa
Rev Hananja, 🤣🤣 Nimecheka Sana eti baba zenu wapigwe mabomu ya machozii mje muwachukueee 🤣🤣🤣. Ila amegusa penyewe hapo ndipo.
Hahahahahha Wacha nicheke mieee Mzee ni hatari
Kwani akisifu ni kosa hilo . Aje kanisa la kiroho Arush Kisongo
Ila kwenye hii dunia ukiwa na maono inabid uwe shujaa kweli kweli.
Much Hananja unaongea tunacheka ila unaongea mambo mazito sana.
Umeonaaa anachekesha🤣🤣🤣
Hananja unachosema ni kweli sio huko tu hakuna Hofu ya Mungu miaka hii Mungu atutunze
Tunapenda mafundisho ya kubembelezwa pokea magari napokea kukemea dhambi unatengwa Mungu akutunze
Ni kweli kabisa.mwanadamu siyo wa kumtegemea.unatakiwa kumtizama vizuri sana.
😂😂😂😂Nyuki hakumbatiwi mch ,Hananjaaaaa!!!
Daah jaman kunawatu wamepewa Domo la kusema ukweli kama ndo hali halisi Kwa wachungaji ilivo mmh Mtegeen Mungu kumtegemea mwanadam ndo maana yambele hamyajui yakija mnapata mishtuko. Hongera hananja Kwa kujitafuta na kujipata
Haya mambo ni mazito sana. Ni zaidi ya fikra zetu. God himself will sought them out.
“Sort” 😊
Yani hananja uko wazi saaana babaangu. Mungu akupe maisha marefu saaaana.. wakusikilize basi ili waishi kwa furaha km wewe😀😀😀
Masikini kumbe Mch. Hananja alisimamishwa mwaka mzima!!!!! Ana hekima sana hakusema kabisa!!!!. Kumbe tatizo Mch. E. K katangaza! Angetumia jekima atoe sababu yoyote au angeondoka kimya kimya. Alitakiwa akae kimya.
😭 Upo
Wala hakukua na sababu ya kunyamaza ukionewa lazima upaze sauti uchungu utoke ndani
Ametangaza kwasababu alikua kwenye semina sasa asingeaga semina ingeendeshwa nanani
Sasa angenyamazaje na wakati alikua anafundisha semina
Halafu sio mara ya kwanzaa
@@miriamalute1540 kuna wakati watu huwa hatupendi kuwaza. Mazingira hayafanani hivyo EK alikuwa sahihi kabisaaa
Daaaa nimekusikiliza sana mtu mwingine anaweza sema Kama comedy lakin kunahekima kubwa sana
Yupo vizuri sana huyu baba Mungu amkumbuke katika kazi yake.
Hatamimi sijapenda hata kidogo mbona kilasiku kkkt kunashida gani?
Nakupenda sanaa baba 🙌
Christianity is not just about Church affairs.
It is about living the life of Christ everywhere!
The Church is not necessarily where you go,
It is who you are!
The church is mobile, not static.
Anywhere you go, the church goes.
Manifest Jesus. Make Him known. That is Church!
Love from Dad.
I approve
Wooooow 😇😇😇
Fact🤝
Hawa watumishi wanaonewa sana na wakubwa,,,,Mungu tu awatetee.
I love you Hananja.
God bless you❤💕😁
Hi
Hizi dini zetu ukizichunguza saaana kwa undani unaweza ukabaki mpagani tu bcz kama taasisi ambayo tungetegemea iwe mfano kwetu sisi waumini inafanya hayo sasa sisi twende wapi au sisi tunapopata migogoro yakifamili tunaweza kweli kwenda wakatuma ufumbuzi. Tungepata viongozi wa dini majasiri kama huyu mzee tungefika mbali sana hongeraa mze wetu hananja. Mm dhehebu lingine bt nakufwatilia sana mafundisho yako.
Sasa kama mchungaji kaajitiwa tena kumbe wito wakiMungu Hana itakuwaje, bas nitakuwa nasali getoni
Kabsaaaa yaaaaan daaaah
Kwenye haya maisha ndg yangu mim nilishajifunzq kumtafta Mungu tuuu mim na Mungu wangu wanadamu wako wameumbiwa kubadilika automatically. Tuutafte sana uso wa Mungu
@@janethsinzo MCH HANANJA ULINDWE NA MUNGU WABAYA WASIKUONE TENA NAPENDA SANA UJASIRI WAKO BABA HAWAKUWEZI MAANA NENO LIMEKUJAA MOYONI
mmmh
Mungu akutunze daima Mchungaji Hananji, wewe ni mtu sahihi
Mungu akutunze akupe miaka mingi zaidi.
Duuu kumbe Kuna mengi ndani ya kanisaletu watu wanaonewa hivyo poleni Sana wachugaji.
Pastor nakupenda sana.nilikua bz lakn imebidi niache vyote nitie koment baba.safi sana ukwel mtupu na utuweke huru
Tuogope watu walifunga makanisa miezi sita kwa ajili ya madaraka hapo kazi,Mchg Hananje sema baba
Nimewafollow sababu ya huyu mzee hongereni kwa interview
Nimebarikiwa saaaana na Maneno mazuri ya Mtumishi hananja nimejengwa pia da!! Mungu atusaidie
Jamani nampenda huyu baba anaogea vizuri sana kwakweli
Mungu akubariki mzee hananja naona hekima na faraja duuu!!!!!!
Mimi ni muislamu, lakini huwa nakukubali sana mzee ,we mkweli sana
Kweli mtumishi, Sana ya ukombozi ni sasa. Watu hatutakii kusahihishwa, watu wanaumia Sana. Asante Mchungaji.
Ameen
Bora unajua hilo UNAFIKI MKUBWA KWA WAKRISTO. Asante
Aisee Leo ndo nimejua kwann uliamua kustaafu!
Aisee , Mungu hamtupi mja wake
Ahaaaaa daaa Mchungaji mwenzangu umetishaa
Kuna mambo huwa yanatokea wakati MUNGU anataka kukupeleka viwango vingine.Huyu mtumishi yuko na neema kubwa sana Mungu atajitwalia utukufu soon.
Hakika
Soon
Mzee mkweli Sana asie kwelewa wewe atakuwa na shida Mungu akubariki Sana Mungu akupe maisha marefu
Tatizo nikuto kuelewa kuwa uchungaji hausomewi darasani uchungaji niwito, nawengi walio somea uchungaji lazima walipwe ,wanaitwa wachungaji wa mshahara hata Yesu aliwaongelea hao,wito nakusomea ni viwili tofauti Sana Sana kuna haha watu wafundishwe wito na kusomea uchungaji waelewe vizuri
😂😂😂 umezaa nje Babuuuuu huyu Baba huwa ni zaidi ya Mchungaji kwangu pia amekuwa baraka kwangu toka 2008
Haaaaa haaaaa babu umezaaa nje nn ?😁😁😁😁 kweli walikufedhehesha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka mpaka machoz dah Mungu akubariki
Eti bwana akae nanyi wakati huo mchungaji ana matesoo. Mungu wajua yotee 😂😂😂
Dr hananja wapi kitabu Cha umri na tabia ,pongezi kwa kusimama na neno la mungu
Mfano sisi katoriki ni kimya kimya ata ukijua ni kwa Siri Sana . Kuweka hadharani unajenga picha mbaya kwa waamini unaweza leta mpasuko ndani ya kanisani
Bora wazi wazi hiyo kufichaficha ndio inaharibu kanisa,na kanisa halipo kwaajili ya kumpendeza mwanadamu Bali kumpendeza Bwana Yesu Boss wa kanisa.
Mzee nimekukubali sana mungu yupo na wew
Kuku wa kienyeji anajipambania mwenyewe 🤣🤣🤣🤣
Nimekuelewa mchungaji Mungu msaidie Mch.Kimaro mtumishi wako amemtumia amekuja hadi kufundisha mikutano ya Karismatic Katholic tunampenda
Mimi mkatoliki nampenda sana Dr Kimaro Yesu aonekane katika hili. Amen
Hahaha huyu mchungaji maneno yake niyakuyashika sana siyo ya kuyaacha
Ha ha ha ha nimecheka sana.Eti baada ya week wanakuacha na Zengwe lako.
Mch. Richard Hananja na Mch. Daniel Mgogo Big Up
Uko vizuri mtumishi wape habari zao ni kweli unaofiki upo sana mtumushi ukiwa muwazi unatupwa nje Kimaro angetetea uovu angeachwa.
Msema ukweli ni mpenzi wa MUNGU,Baba ubarikiwe,mwanadamu unitishi.
Nakipenda sana baba angu unaongeaga ukeeli
Watafukuza na sauti ya Mungu maana Mungu anapitia madhabahu hizi hizi
Ila Hananja jaman eti karibu kwa tuliotengwa
Kweli baba mungu akubariki sana na ukweli
Kuna mambo ya siri Hananja,toboaa.
Kimaro anaharibu kazi za giza na mafisi hawafurahii.
Long live Kimaro!
Daaaah hiii inahitaji ujasiri kuiongelea hadharan
Naomba namba za mchungaji Hananja tafadhali
Duh Mungu sikiliza haya maombi ya watumishi wako🙏
Well said
Ukijiingiza tu, we ndio dalali mwenyewe
Sisi waislamu twa fwata kitabu cha Mungu na sheria zake huongozi ni dhamana kila kitu kitapita Ila Mungu atabiki kuwa Mungu
Nmeipenda interview
Praise the Lord
Mungu sikia kilio cha Watumishi wako wanapitia Mambo magumu sana Mungu wasaidie
"Unahisi mvua inanyesha kumbe mate yangu"
Komedian Sana huyu😂😂😂😂!!!
Hahahaha 😂🤣
Hili Ni fundisho kwa wachungaji kuwa upatapo mafanikio usijiinue kwa kuwa Yuko mwenye kustahili kuinuliwa ambaye Ni Mungu.
HAKUNA DINI YENYE UNAFIKI DUNIANI KAMA UKRISTO....
.
SIJUI NIMEMSIKIA MIMI TUU...
.
Aliyemsikia kama mm weka Like hapa..!!
Yupo sahihi
Daima ukiwa mkweli kwenye maovu unaonekana mbaya mifano ipo mingi tu.. kwenye familia,jamii,taasisi Na vitu vingine so kwa hili Mungu atafunua Kila kitu kilichojificha hakuna kuogopana Sasa ... Mungu peke yake ndio wa kumuogopa
Mungu akubariki baba umeongea ukweli
Amen mtumishi ukwer ndo huo wape ukwer wao ukimy unatuua krohoo
Mungu aingilie kati
😂😂😂 Mch. Hananja' unasemaga uwazi na ukweli
huyu ni wa kanisa gani kwani
@@elizabethmassi7327 Alikuwaga KKKT ila siku hizi anahubiri makanisa ya Assemblies na Pentecoste'
Sarah asante sana
Tungempata Askofu kama huyu kıla mtu angeıpenda kz.Bıg up Hananja
Huyu ndiye mchunguji pekee kkkt ambaye break zake zimefeli kama sio kung'olewa kbs huwa hapepesi macho anakuchana kama xio kutumbua live
Alisimamishwa kipindi Cha kashfa ya malasusa..alimwambia akae pembeni achunguzwe...wakaamua kumsimamisha Ili kumlinda askofu..kaongea ukweli wachungaji hawana umoja na ni waoga
mhhhhh
Mimi naona wauminiwa kkkt tuamke na kuombea kanisa na kumleta Yesu mwenyewe ndio mwenye kanisa afanye kitu kipya kwa hili kanisa ...kuna mizoga mingi sana kkkt imefika mahala itolewe jii inaitwa strongholds na strongman anaendesha kanisa kama Lake its very sad wana kkkt tuamke sasa na maombi kipindi hiki amen 🙏
KKT 😩😩😩😩
Daaah hadi king'omela alisimamishwa kweli hii ni kampuni sio kanisa
Best interview ever
Of course Yes
Kwa hakika yote yatapita
Mchungaji wangu wa kigogo safi Sana..uneongea ukweli na sio kupamba
Mungu akusaidie Mchungaji kimaro, Na akupe ujasiri, ni wakati wa Mungu
Boss hanuniwi eeeee
NAKUPENDA Babu 🥰🥰🥰🥰
Safi sana, Kkkt wanaharibu sana
🤣🤣🤣🤣🤣👊 Hananja weeee!! Eti kwani kanisa ataendanalo wapi Haina maana kung'ang'ania ndini kwani dini kitugani!!huo ni ubaguzi na udini tu. Asonge mbele Kimaro mwanaume anainamisha kichwa chini akiinuka amepata jibu.
Much Hananja natamani siku Moja nikutane na wew, kanisa linahitaj majenius kama wewe
Si na yeye keshafukuzwa
Mm ni muislamu lakin alicho zungumza huyu mzeee kiukweli nimemwelewa sana
Ana akili sana ni Genius hatariii
Hahaha 😂😂😁😁 huyu mchungaji Jamani nimecheka kiukweli
Mchungaji Hananja,nakukubali sana
Sawa sawa hananja safi sana
Ila uyu mm nampenda anaongea ukwel sana aisee 😁😁
Mchungaji Hananja umewafunua wengi Sana! Ukweli ni kwamba Sasa hivi makanisa yamekuwa kama majukwaa ya siasa! Yani hakuna solidarity hakuna Faith,hakuna Love hakuna peace! Majungu kibao
Nakuelewa sana Father well done
unaongea kweli mtumishi wa mungu Ameen
Aisee kumbe kuna makubwa hivi?
Mweee Mtumishi Ubarikiweee
Amina baba,Susa kumzika marehemu unukiwe
Mchungaji wa taifa uko vzr Sana mtumishi
Sawa baba umenena..
Namba moja on trending, ama kwel we mzee Hananja una madini ya kutosha ambayo mtu wa Dini yoyote hawez choka kukusikiliza
Kweli watumishi wanapitia mazito, mwenyezi Mungu awalinde na alinde roho zenu
Ninavyoelewa mimi Dini ni mtu mwenyewe na Mungu sasa hii kuajiliwa inatokea wapi. Ni ajabu sana njooni kwenye Uislam Dini ya HAKI. Ukristo ni ulaji tu!
Kimaro fungua kanisa lako karama ya utumishi unayo baba ,Mchungaji hanacha anakwambia njoo huku
Acheni kutumika nashetani
@@jonasphilemon6956 Alie mtimua Kimaro ndie shetani mwenyewe
Nani kamtimua wanadamu mungu atusaidie kwakweli kapewa siku 60 akirudi atapewa sehemu nyingine simple yaani inafika stage unamwita alie fukuza shetani God have mercy maandiko yanasema do not touch my anointed ones tusitafute laana za Mungu watu wanaangalia hili kimwili bali wangejua kiroho ni mda wa kuombea kanisa wakristo tuombeane jamani da
Hakuna mkubwa kuliko kanisa
Waislam mnapenda kushabikia kisa mlisifiwa
Huyu Mzee watu wanamchukulia Poa ila anongea point sana 🙏🙏🙏 hananja
Huyu Mzee ni mkweli na muazi sana
Kila laheri Baba Hananj kwa ufafanuzi mzuri,napenda Sana ukweli wako,hapo nami pia nimepata somo
Mungu asimame mwenyewe
Wivu wivu acheni wivu Yesu anarudi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 movie ya kihindi mch hananja anavitu hadimu ,dah mzee huyu ndo mchungaji wa kweli anaongea ukweli sana na unaweza kuokoka mapema
Umeona e👍
@@episonfelician7670 karibu Kazi yangu
Kwa kweli sikuona kosa la kimaro alisema ukweli ukweli unauma ila unatibu
Mungu aendelee kukutunza Mchungaji Hananja , Mchg Kimaro nakukubali sana ubarikiwe Baba yangu kwa hudumu zako zenye kibali mbele za Mungu, MTI WENYE MATUNDA NDIO UNAOPINGWA MAWE.
Mungu akubariki msema kweli kuna wakati najiuliza hivi haya makanisa ni viongozi wake wanaongozwa na Mungu kweli?siku zimekwisha Yesu anakuja kuchukua kanisa acheni chuki
Mie Nathan viongozi wengi wa kkkt hawapo kiroho kbs kbs na hapa hii ishu kuna kitu Mungu atafanya tu kwa hili kanisa sasahv
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣baba Mungu akuweke tuzidi kufurahia uwepo wako
Duuu! Barikiwa sana Mchungaji Hananja