Noma MAZITO yaibuka baada ya Mchungaji KIMARO Kusamehewa KKKT I Mchungaji HANANJA atema nyongo hatar
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.พ. 2023
- Noma MAZITO yaibuka baada ya Mchungaji KIMARO Kusamehewa KKKT I Mchungaji HANANJA atema nyongo hatar
Mchungaji Mstaafu wa KKKT Richard Hananja ametoa kali nzito baada ya mchungaji wa KKKT Kijitonyama Dr. Eliona Kimaro kusamehewa.
Mchungaji HANANJA amesema hayo wakati akizungumza na Gilly Bonny Tv nyumbani kwake Madale jijini Dar- es Salaam
Askofu huyu mchngj ianaonyesha ana shiida dayosisi nae mwiteni ayatoe ya moyoni na nyie mumpatie ya mwilini na rohoni wote mtembee salama ktk Kristo
Endlea kuongea ukweli mchungaji watu wanafanya makanisa ni yakwako,Mungu akutetee
,Mch Mungu akubariki sana,Unahekima ya Hari ya juu,Kimara Alitukanisha ukristo,Nakuonyesha kwamba hata yeye ameshindwa kulea vijana wawe waminifu,
Kwa hiyo asiwaambie ukweli?
Afunike uovu huo ili Tuendelee kuwa mijizi??
Alitukanisha matusi gani
Luka 16
8 Yule bwana akamsifu wakili dhalimu kwa vile alivyotenda kwa busara; kwa kuwa wana wa ulimwengu huu katika kizazi chao wenyewe huwa na busara kuliko wana wa nuru.
Ayo ni maneno ya Yesu mwenyewe, je kwa maneno ayo Yesu alitukanisaha nn na maneno ya Kimaro yanatofautiana nini na hayo ya Yesu? Usiwe mlokole nyumbu
MUNGU akuweke mchungaji wetu hananjaa🙏
Mnkmkmkkmm
Big Up
Nakukubali sana mzee wangu, hunaga baya
Nashukuru kimaro karudi kijitonyama
Ni kweli Mchungaji Hananja , sisi tunachotaka ni Mchungaji wetu kurudi Kijitonyama.
Mchungaji nakuelewa sana
Hongera Mchungaji umenifurahisha uliposema mnamsamehe Kwa kosa lipi😁
Atakufurahisha sana na misamiati. Ila walichotumwa waambieni watu wangu watu ufalme wa
Nao washauri wa Askofu hawakuona,Kwamba wanajenga waumini kuwa wanaharakati,,Huyo wa Kimara watashindwa kumhamisha,,Sasa wachungaji watajijengea Umarufu wao badala ya Yesu Kristo,
Mchungaji wa Kimara ni maarufu kuliko Kimaro lkn yuko makini na ana hekima sana siyo mtu kuropoka hovyo kwenye mitandao
Uyu mchungaji kichwa chake kina memry ya 8 jb
Ni zaidi ya 32GB 😂😂😂
Hahahaha,YESU angetoka mbinguni anakuja kuhubiri nakurudi asingesurubiwa
Kueni Sirius. Kwenye madhabahu. Sio kwachekesha watu. Mtajadaiwa damu yao
Wachungaji wengi wako kikazi hawaongozwi na roho wa mungu. Ndio maana wanalinajisi kanisa ole wenu
Hakuna jambo lolote muwaropokaji sana hamuongozwi na roho
.hajui ndio sababu mlopokaji hajijui. Mtaishia kulopoka na adhabu ya mungu inawangoja
Hata shehe angeongea msikitini kuwa wakristo ni bora kuliko nyinyi waislamu angekataliwa hapohapo na asingerudiswa
Nyinyi ambao hamuongozwi na roho hebu jaribuni kuheshimu madhabahu .mnawakwaza wale waendao mbinguni.
Hatuhitaji misamiati madhabahuni. Please
@@pungopungo411
.
Unaongea utazani umemeza kanda.
Kulianza bakwata leo huku mjitafakari viongozi wa dini
Mmmhhm?
Jifunzeni kwa kina Mwamposa haitanii madhabahu .anaongozwa na roho. Hao wachungaji wa leo ni kama nyumbu twende sote hawana nguvu za mungu
Mwaposa ndio nani mchawi huyo
@@JstvTanzania Mwamposa mchawi kakulogea nani.,?mdomo mali yako unaweza kusema lolote
Uko Sawa hananja
Yaan a very big Commentary.
Wapendwa Shalom. Mimi baadacyavkusikiliza mbi la msamaha wa Mch Kimaro halafu nikaona maelezo ya watu pamoja na ya Mch Hansnja nikajiuliza, Mtu au Mtumishi kuomba msamaha Kuna kosa gani? Na ligi inayotengezwa hapo ni kwa manufaa ya Nani? Nadhani tufike wakati kupima na kuangalia ukristo wetu. Mch ni mmoja tu naye ni Bwana Yesu tusiwaondoe watu kwa Yesu tutalaumiwa. Muacheni Mch Kimaro yeye ndiye anayejua kwa nini ameomba msamaha. Hili ni lake kiroho na pia kiutumisha alikula kiapo na anehedimu utumishi wake. Mungu atupe hekima tuzidi kuwaombea watumishi wetu nasi tuwe washauri wazuri kwao.
Kwan Yesu ni mzaramo???haaa haaa haa
ᴊᴜᴍʙᴀ ʙᴏᴠᴜ
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Kila uongozi una mipaka na vigezo vyake ni lazima uviheshimu. Kulopoka madhabahuni labda ndio kosa
Kimaro alilewa na umaarufu Malalusa alikuwa sahihi
Luka 16
8 Yule bwana akamsifu wakili dhalimu kwa vile alivyotenda kwa busara; kwa kuwa wana wa ulimwengu huu katika kizazi chao wenyewe huwa na busara kuliko wana wa nuru.
Hayo ni maneno ya Yesu mwenyewe, sasa yanatofautiana nn na maneno y Kimaro, ni wapi Kimaro alikosea?? Acheni ulokole wa kinyumbu ndugu
Sinema haieleweki😂😂😂
Unaongea mno
ANAONGEA KWERY
Yaani huyu naye anakera!wasanii wanaimba yatapita wewe unataka yaendelee vipi au huyo kimario anakuzibia riziki!??