Daaah hii mm kabisaaa,dalili zote ninazoo, najipanga niache hii kazi maana Duuhh kuna mda mwili, akili, nafsi vyote vinachoka ukianza kuamka tu kuelekea job
Mm nilisha badilisha kazi na sasa ni dalali kweli nafurahia hii kazi mpyaa napata kipato kizuri nafanya kwa muda wangu kiukweli sina stress tena ,awali nilikuwa fundi tu wa simu nilikuwa nateseka san na madeni ,now im happy ubarikiwe sana joel
Sina Dalili hata# moja kwa Sasa ila hiyo hali ilikuwa inanitokea kipindi nilichokuwa nafanyakazi Mwanzo#ya kuajiriwa but now nimejiajiri na Enjoy my Job# but all in all kaka Joel..Una Maono.Makubwa Sana.🙏
Uliyosema nikweli kabisa kaka angu. Sasa mimi huwa nawaza nikiacha kazi nitaishije ,maana hiyo ndio inayonifanya niishi. Japo inanikosea amani mda wote nahofu nayo
Kumbe ndo maana sina mood kabisa na kazi niliyonayo maana nowdaysss nadoji sana kazini, nikiamuka nawaza sana kweli.... Nimezielewa dalili mweee kumbe kwa dalili hizi natakiwa kuuiacha hii kazi nifanyeje mwl joel
Vip kuhusu kulalamikiwa na wazazi na familia kwa ujumla juu ya hiyo kazi, je inaweza ikawa ni miongoni mwa sababu au inafanana na sababu ya kwanza katika sababu ulizozitaja?
Kitu mkataba Jàmàñ ila hivi vitu vyote cuz ukisema unaambiwa rudisha gharamah zote ukiangaliq hzo gharamah ñ mtaj wa mààñà cjui visa passport gharama za hospital unaona bas tuu Ngoja nimalzie mkataba hÀťà ķàmà umebakia mwez unaona ni miaka 10000000000000000000000000000000000 juzi nimetoka kutundikiwa drips na çjùì naumwa ññ kumbe yote ñapitia haya YÀARB
Kazi njema br Mambo ma3 yanayoendesha maisha ya mtu. 👇🏿👇🏿gusa link👇🏿👇🏿 th-cam.com/video/5eCOUmJp9rY/w-d-xo.html Natamani sana utumie dakika mbili uangalie hii video fupi. Naamini hutojutia
Daaah hii mm kabisaaa,dalili zote ninazoo, najipanga niache hii kazi maana Duuhh kuna mda mwili, akili, nafsi vyote vinachoka ukianza kuamka tu kuelekea job
Mm nilisha badilisha kazi na sasa ni dalali kweli nafurahia hii kazi mpyaa napata kipato kizuri nafanya kwa muda wangu kiukweli sina stress tena ,awali nilikuwa fundi tu wa simu nilikuwa nateseka san na madeni ,now im happy ubarikiwe sana joel
Sina Dalili hata# moja kwa Sasa ila hiyo hali ilikuwa inanitokea kipindi nilichokuwa nafanyakazi Mwanzo#ya kuajiriwa but now nimejiajiri na Enjoy my Job# but all in all kaka Joel..Una Maono.Makubwa Sana.🙏
Thanks brother I understand wht we say
Asante Bro Joel
Mwalimu ninakufuatilia sana mafundisho yako kweli yamenijengea uweo fulani na nimegundua kuwa Mimi ninaweza kufaiti maisha kwa kujiamini
Kaka Joel hapo kwenye special skills umeongea inanihusu kabisa 🙂
Nimekuelewa sana mwalimu,nilishawahi militia sababu ya kwanza na iliniumiza kwa mda mrefu sana.
I quitted kazi in 2019 due to above the reasons you've mentioned..... God bless you...wish you happy new year .
Saf sana bro joel maendeleo ya binadam hayawez kupatikan mpak afurahie anachokfanya
Asante Bwana Joel kwa mafundisho
Ukweli mtupu
Aksante sana kwa somo zur yapo yalionigusa moja kwa moja
Nashukuru mungu hayo kwangu hayajatokea nipo effective
Dalili zote ulizotaja ndo nazopitia sasa😢😢😢😢😢😢
Dalili zote zimenipata natayari nimesha acha
Like your advice bro
Mwalimu sababu ya nne imenibariki sana
Kipimo unacho2shajihisha na kutufunza mungu pekee nd anae na ataekulipa hkun yyt atakulipa na kukutoshelez malpo yako
Dalili zote hizo ninazo yani...tatzo hii bongo uache kazi kupata kazi ingine ni mtihani kwa kwel nafanya ili nipate pesa tuu lkn cna amani kabisa
Kaz gn🥺
Asante Sana my life coach be blessed 🙏
Hakika dalili zote ninazo .mi muajiriwa wa benk nipo kama officer tu .ila nataman san kubadili kazi hii
Yaan kaka Joel hamna dalil nisioKuanayo. Ila sasa inapofikia hatua ya kubalisha kazi najikuta nashidwa kutoka nilipo.yaan Idea
Pole
@@frankmtei3017 Yaan changamot bro
@@Philipoyassiry chukua hatua hakuna lisilowezekana, yote nanawezekana kwa imani
@@frankmtei3017 🙏🙏
@@Philipoyassiry p1
Thank you Sir
Mimi passion yangu ni uandishi wa habari na utangazaji.... Ndo kinachoimba kila mara moyoni mwangu... Nifanyejeee kuishi ndoto yangu
Chukua hatua kuanza kufanya kile unachotakiwa kufanya ili uweze kuiishi ndoto yako
Kwakuendelea kukusikilizaaa Mimi ni bilionea ajayeeee najivunia kwa kukusikilizaaa
Umenifumbua macho sana sasa kama sina mtaji namie nimeajikiwa ila sipend kabisa ajira yangu nifanyeje nahitaji saana biashara
Fact Bro.Nanauka
🎉
Somo limenigusa san kaka dalili zote Niko nazo changamoto kubwa ni vitisho kutoka kwa boss
Namba 2 kwangu ndy changamot kubwa yaan nachoka kupita maelezo, najikuta nipo kazin lkn yaan akili haisomi, kiufupi nimeichoka hii kazi nahitaj kuajili mwenyewe.
Chukua hatua inawezekana
Uliyosema nikweli kabisa kaka angu. Sasa mimi huwa nawaza nikiacha kazi nitaishije ,maana hiyo ndio inayonifanya niishi.
Japo inanikosea amani mda wote nahofu nayo
Thnkx broo
thank bro
Aisee yan km ulikaa na mim tukaongea vile,mada hii imenigusa kabsaa kwa 100%
Kumbe ndo maana sina mood kabisa na kazi niliyonayo maana nowdaysss nadoji sana kazini, nikiamuka nawaza sana kweli.... Nimezielewa dalili mweee kumbe kwa dalili hizi natakiwa kuuiacha hii kazi nifanyeje mwl joel
Nimetafuta Ili SoMo na dalili zote ninazo...
hiyo ya kwanza n mm kabisa
tatizo kweny kubadilisha ss
Inawezekana kubadilisha, chukua hatua
Good
🤲
E book zako ulizotoa punguzo wakat wa sikukuu zmekuwa na changamoto ya kupewa mrejesho baada ya malipo kukamilika
DUH! Dalili zoote nne (4) zimethibiti kwangu.
Chukua hatua
Dalili zot hizo ninazo ila tatizo linakuja pal unapoacha kaz ni ngum sana kupat kazi
Dalili na 1 na4 hizo ndo sana kwenye kichwa changu.unanishauri vipi?
Vip kuhusu kulalamikiwa na wazazi na familia kwa ujumla juu ya hiyo kazi, je inaweza ikawa ni miongoni mwa sababu au inafanana na sababu ya kwanza katika sababu ulizozitaja?
Zote ziko
Fanya kitu
Kaka mi hizo dalili zote ninazo zote yani
SEE YOU AT THE TOP
Shukurani kaka
See me at the top.
Kitu mkataba Jàmàñ ila hivi vitu vyote cuz ukisema unaambiwa rudisha gharamah zote ukiangaliq hzo gharamah ñ mtaj wa mààñà cjui visa passport gharama za hospital unaona bas tuu Ngoja nimalzie mkataba hÀťà ķàmà umebakia mwez unaona ni miaka 10000000000000000000000000000000000 juzi nimetoka kutundikiwa drips na çjùì naumwa ññ kumbe yote ñapitia haya YÀARB
Kazi njema br
Mambo
ma3 yanayoendesha maisha ya mtu.
👇🏿👇🏿gusa link👇🏿👇🏿
th-cam.com/video/5eCOUmJp9rY/w-d-xo.html
Natamani sana utumie dakika mbili uangalie hii video fupi.
Naamini hutojutia