Njia 4 Rahisi Za Kujenga Nidhamu Ya Fedha Ili Utimize Malengo Yako

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ก.ย. 2022
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 309

  • @elizabethmwaka2921
    @elizabethmwaka2921 ปีที่แล้ว +26

    Asante kaka niko Kenya na nimekufatilia Kwa miezi mtatu na nashukru nimefanya Mambo ambayo nilikua siyawezi be blessed brother

  • @halimayahaya5558
    @halimayahaya5558 หลายเดือนก่อน +2

    Nashkuru mungu kwenye hizi njia zote nimepita and thank you 🙏

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 29 วันที่ผ่านมา +2

    asante joel,ila mimi nitakuomba wewe unisimamie ,,,,najua una kazi nyingi sana still nitakuomba wewe kila mwezi unanifatilia

  • @mariamnestory5543
    @mariamnestory5543 2 หลายเดือนก่อน +3

    Binafsi napenda kukushukuru sana kupitia hili SoMo nmejifunza kitu katika maisha na nitaishi kwenye hii mikakati

  • @king-gtv2010
    @king-gtv2010 ปีที่แล้ว +27

    Yan kaka Joel mungu akubaliki sana ❤🙏🙏🌎 uzidi kwenda viwango vya kimataifa 🌎🌎⛪️

    • @alexmushi6017
      @alexmushi6017 ปีที่แล้ว +1

      Hakika

    • @hamadnassor2523
      @hamadnassor2523 ปีที่แล้ว +1

      Hongera kaka tunajivunia kwa class zako

    • @JustaTz
      @JustaTz 2 หลายเดือนก่อน +1

      🙏🙏

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 ปีที่แล้ว +7

    Joel asante kwa kutufundisha maisha yaani wewe kaka mungu peke yake aendelee kukutunza na kukubariki zaidi unafundisha vizuri sana nafatilia sana video zako.

  • @LincolnMoshi
    @LincolnMoshi 9 วันที่ผ่านมา +2

    ❤❤❤ Bank ya NBC Malengo inasaidia sana utoi pesa mpaka miez 6 nimeijaribu maana M Pesa imenishinda natumia pesa nyng MB na kubeti😮

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 ปีที่แล้ว +7

    Kaka Joel nimeyaona matunda kupitia ww una mchango mkubwa sana ktk mafanikio yng haswa 2021 -2022 alhamdulillah nimeongezwa mshahara pia Nina account bank nakushukuru pia namshukuru mungu 🙏💖💖💖

  • @zinhotz5366
    @zinhotz5366 ปีที่แล้ว +72

    Binafsi nikushukuru sana Mimi ni dereva boda boda actually niseme natumia pesa ovyo sana nimejiwekea kiwango kidogo sana Cha shilingi ELFU kumi niweke Kila siku kwenye kazi yangu najiwekea Ndani kwangu ila haiputi siku Tano Nisha chukua so now umenipa njia nzuri na sahihi za kutunza pesa be blessed 🤌

    • @AshaMaulid-je6dq
      @AshaMaulid-je6dq 11 หลายเดือนก่อน

      Pmk

    • @saidsaido8064
      @saidsaido8064 5 หลายเดือนก่อน +1

      Boss amekuona

    • @RoseMbwana
      @RoseMbwana หลายเดือนก่อน

      Asante.. mimi nimetafua watu 10 kila trh30 kila mmoja anatoa laki moja

    • @khamisomary7428
      @khamisomary7428 19 วันที่ผ่านมา

      Na tena tumia fixed account

  • @yahyahadji21
    @yahyahadji21 ปีที่แล้ว +9

    Nidhamu ya fedha ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo maishani

  • @patelnay4124
    @patelnay4124 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akubariki Sana,am learning a lot from you,na niseme tu hivi Sasa Nina uwezo wa kujiwekea akiba na kufanya vitu vya maana kupitia wewe, seminar zako na kitabu Cha money formula vimeniboost Sana🙏🏼🙏🏼

  • @omarimtau5162
    @omarimtau5162 ปีที่แล้ว +8

    Ahsanteee Broo nanauka kwa kutewa kwenye njia kuu juu ya nidhamu ya fedha.. njia zote ni nzuri na muhimu sana kuzitumia lakini mimi ningependa kuanza na njia ya kumshirikisha mtu nnae muheshimu na kuweka akiba,, naamini zitanisaidia kama ntazifuata kikamilifu..
    **Ubarikiwe sana kwa masaada wako kwenye jamii**

    • @mariamzambi1995
      @mariamzambi1995 ปีที่แล้ว

      Amina sana. Nimeipenda hii njia ya kuwa na account bila ATM CARD. ubarikiwe sana . Acc ya WADU POSTA.

  • @MwasiMhango
    @MwasiMhango 2 หลายเดือนก่อน

    Since i started following your classes, you have been such a big help kwenye maisha yangu hasa kifedha.Mungu akubariki

  • @osangoamosi4355
    @osangoamosi4355 ปีที่แล้ว +4

    Ahxante sanaa Mr Joel nanauka, hakika umetupa somo bora sanaa MUNGU AKUBARIKI,WEWE NI MTU MHIMU SANAA KTK HII JAMII MUNGU AKUBARIK SANAA

  • @king-gtv2010
    @king-gtv2010 ปีที่แล้ว +15

    Nakukubali sana kaka Joel my Tz mentor I wish Nikuone one day 🙏❤️❤️

  • @LovelyOutdoors-wd5nh
    @LovelyOutdoors-wd5nh 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,mimi napenda kutumia njia ya kikoba nilichopata hapo ninunue vitu vya jumla nimechoka na rejareja

  • @lightnessmachua6587
    @lightnessmachua6587 ปีที่แล้ว +2

    Kaka Joel , Asante Sana kwa mafundisho yako,mm Nina akaunti ya akiba na vikoba.

  • @fridalifa7575
    @fridalifa7575 ปีที่แล้ว +1

    Nakuelewa sana brother @Joel Nanauka. Binafsi umenitoa mbali sana kuhusiana na nidhamu ya kifedha. Naendelea kujifunza zaidi🙏🙏

  • @soccerupdates5
    @soccerupdates5 ปีที่แล้ว +8

    Nimepata hamasa kubwa Kwa hili fundisho lako, Lazima niyafanyie kazi mwaka huu 2023

  • @GodlistenMassawe-nf8is
    @GodlistenMassawe-nf8is 17 วันที่ผ่านมา

    Be blessed brother umenipa funzo zurii

  • @GloryKakole
    @GloryKakole 2 หลายเดือนก่อน

    Njia ninayoona ni best kwangu ni kuweka ikiba kwa upatu na kufanya manunuzi ya ujumla... Ahsante sana kaka🙏🙏

  • @martinenkingwa1757
    @martinenkingwa1757 ปีที่แล้ว +2

    Hongera bro kwa kazi nzuri unayofanya. Maana unatujenga kifikra,mitazamo ili tuache yasiyofaa tuimarishe Hali zetu.

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 5 วันที่ผ่านมา

    Asante sana coach Joel

  • @user-fy4tl2te2r
    @user-fy4tl2te2r 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Kwa elimu nzuri hakika... Mungu akubariki

  • @user-um6oj8ci9i
    @user-um6oj8ci9i 12 วันที่ผ่านมา

    Asante tuku pamoja na darasa lako❤

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 ปีที่แล้ว +2

    Shukran sana kiongozi kwa Elimu

  • @LadouceKulimushi-qb5oe
    @LadouceKulimushi-qb5oe หลายเดือนก่อน

    Asante nimejufunza kwa mafundisho

  • @nikolausmnanka9362
    @nikolausmnanka9362 4 หลายเดือนก่อน +1

    Upo vizur sn umenijenga sn nanauka

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 ปีที่แล้ว +1

    Nashukur sana kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa kwani nilikuwa sina utumiaji wa pesa vzr ilaa umenifungua sanaa akili yangu tangia nianze kufatiria ndundishi yako. Barikia sana 🙏🙏

  • @jamesngasi7252
    @jamesngasi7252 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka leo nimekusikiliza na lipoti ijayo kwa neema ya Mungu itakuwa ni ushuhuda

  • @etiennenebus4087
    @etiennenebus4087 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana baba Joel nanauka

  • @joycekyando5321
    @joycekyando5321 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa ushauri nitaufanyia kazi japo nimechelewa

  • @priscashairock2679
    @priscashairock2679 4 หลายเดือนก่อน

    MUNGU akubariki Sana our mentor..

  • @HeneryKhamis
    @HeneryKhamis หลายเดือนก่อน

    asante sana nashukuru

  • @rabiaiddi2884
    @rabiaiddi2884 ปีที่แล้ว +10

    Hongera sana brother kwa somo zuri hata mimi vikoba vimenisaidia sana kwakweli 🙏🏼

  • @MsumariYacob
    @MsumariYacob หลายเดือนก่อน

    U made me stronger about money bro

  • @shabanabdallah376
    @shabanabdallah376 6 หลายเดือนก่อน

    Shukran sana Brother Darasa limeeleweka vzur unastahili maua yako.

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 ปีที่แล้ว

    Be blessed nakukubali sana ndugu shukran

  • @allyjuma9365
    @allyjuma9365 ปีที่แล้ว

    Nashukuru kaka njia nzuri zaidi ni hiyo ya benk kuzuia kutoa baada ya muda flan nimeipenda ntaifanyia kazi

  • @julietmateru5789
    @julietmateru5789 9 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe Kaka!mafundisho yako mazuri sana

  • @solangesoso3100
    @solangesoso3100 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mno kaka Joel na Mungu aendelee kukutumia zaidi

  • @williamloserian5999
    @williamloserian5999 ปีที่แล้ว +1

    ##Nimekuelewa Sana broo...na nashukuru sana kwa SoMo maana kwangu mm hela napata Sana but matumizi makubwa...##

  • @lebahatikeiya8666
    @lebahatikeiya8666 ปีที่แล้ว

    Asante sana brother nimejifunza mengi sana kwako toka nikufahamu

  • @CHIKUMARTIN-oc5ic
    @CHIKUMARTIN-oc5ic หลายเดือนก่อน

    Nimekupenda bule

  • @alexmushi6017
    @alexmushi6017 ปีที่แล้ว

    Shukrani kiongozi Nanauka tuko pamoj

  • @atanasmwinyi06
    @atanasmwinyi06 ปีที่แล้ว

    Najivunia sana hii class I believe that one day yes

  • @tinoh7_
    @tinoh7_ 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuongezee kaka..nakukubali Nivilee hujuh 2..god be with you

  • @user-oi8cn7hw8y
    @user-oi8cn7hw8y 10 หลายเดือนก่อน

    Thanks my friend for your advice God bless you

  • @paulyusuph7572
    @paulyusuph7572 ปีที่แล้ว +1

    Honger sana bro joel nanaukakwasaaa una video 669 zote hiz nimeziangalia na kuvifanyia vitendo asante sana

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 หลายเดือนก่อน

    Asante Joel kwa mafunzo yako.
    Katika kuweka akiba nashauri watu wa Mungu watumie Utt kama njia nyingine ya uwekeza jwa kuwa wanatoa gawio nzuri kwa mtindo wa compound interest ni nzuri sana .just try!

  • @juliusluponde6628
    @juliusluponde6628 ปีที่แล้ว

    Shukrani sana Kwa somo zuri!

  • @user-re2jl5rn4h
    @user-re2jl5rn4h 9 หลายเดือนก่อน

    Asante kiongozi kwa kifungua vichwa vya wengi

  • @christopherndelwa2
    @christopherndelwa2 8 หลายเดือนก่อน

    nimeipenda hiyo ya kuweka standing order be blessed brother

  • @magemwaipaja8650
    @magemwaipaja8650 ปีที่แล้ว

    Yaan kuna kitu cha muhimu sana nmekipata hapa
    Asante kwa ushauri mzuri

  • @user-ei6oh7vl8z
    @user-ei6oh7vl8z 9 หลายเดือนก่อน

    Thnx me naweza tumia hio njia ya 1 na ya 2 kupitia sacos na uptu asante sana mna biashara yngu ina mwaka sasa iko vle vle haikui na mashallah inatembea vzur tuh

  • @AbduMadandi-my6dc
    @AbduMadandi-my6dc ปีที่แล้ว

    Aksante sans bi.ejifunza mambo mengi kwako mungu akubarki

  • @user-qe3lo3rn8p
    @user-qe3lo3rn8p 9 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa ushauri, naendelea kujifunza

  • @user-qz3od7go7h
    @user-qz3od7go7h 10 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe mtumishi napenda mafundisho yako

  • @barakajulius5938
    @barakajulius5938 ปีที่แล้ว

    Nakuomba Uwe mentor wangu, na unanifuatilia kila mwezi. Asante

  • @neemaryan9947
    @neemaryan9947 ปีที่แล้ว +1

    Shukrani Mr Nanauka. Kupitia chaneli hii nimefanikiwa jinsi ya kuweka akiba. Cha kujiongezea nitafungua akaunti ya Benki ili nihame m pesa niweke akiba yangu Benki. Ubarikiwe sana.

  • @DJJIMYTZ
    @DJJIMYTZ 2 หลายเดือนก่อน

    Nice story champion mwamba wa mwambafix nimeufuatilia mpk mwisho

  • @rafiudineassanebartolomeub9930
    @rafiudineassanebartolomeub9930 ปีที่แล้ว

    Nimekukubali sana kaka. Mungu akubaliki sana.
    Rafiudine Assane Bartolomeu Toka Mozambique

  • @manofgod4471
    @manofgod4471 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @johnmaduhu9435
    @johnmaduhu9435 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana kaka.

  • @user-ul2sf9uq6r
    @user-ul2sf9uq6r 4 หลายเดือนก่อน

    Vijana wengi unatufundiaha maisha hakika ambayo hatojifunza na kuchukua hatua ni uzembe wake ila kaka inabadilisha maisha ya vijana wengi Mungu akubarik

  • @franciscarsongea7948
    @franciscarsongea7948 3 หลายเดือนก่อน

    Asante Kaka ubarikiwe mambo mengi nshayajua sasa makosa ya matumizi ya pesa niko mayo Dana Sasa nshajua njia

  • @Sibazurin
    @Sibazurin 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana brother kwa somo zuri Mungu akubariki pia tunasahidika sana

  • @larkmarsh70
    @larkmarsh70 21 วันที่ผ่านมา

    Ahsante sana kaka joel

  • @sephaniachaula1030
    @sephaniachaula1030 10 หลายเดือนก่อน

    Nashukuru sana mungu akubarik sana

  • @izacklukumai7658
    @izacklukumai7658 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe san mtumishi wa daah.🤔

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn 11 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa somo nimejifunza kitu

  • @christermlewa8471
    @christermlewa8471 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka na Mimi ni mtumiaji mbaya sana wa pesa mpaka huwa najiombea Mungu aniongoze

  • @aboymoon9972
    @aboymoon9972 9 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana Kwa elimu Yako nimevutiwa sana na itakufatilia sana🙏🙏

  • @NehemiahChomola
    @NehemiahChomola 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli joeli me umenipa maarifa makubwa san mung. Akup maish marefu

  • @MakrinaPius
    @MakrinaPius 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana na ubatikewe🙏🏼

  • @onesmomnkondya1725
    @onesmomnkondya1725 ปีที่แล้ว

    Asante kaka kwa somo hili mimi nipenda sana kutumia zaidi benki mala nyingi kwakuweka akiba

  • @user-di8ox6xz1j
    @user-di8ox6xz1j 3 หลายเดือนก่อน

    Asnt sana mwl kwa mafundisho yako hakika umenibadilishia sana maisha yangu.. mm natumia vikoba

  • @TANZANIANFIGHT
    @TANZANIANFIGHT ปีที่แล้ว

    Mungu akuweke maisha mengi kaka, tunataka kuonyesha matunda yako uliyo yapanda kwetu,

  • @winfridagbcl271
    @winfridagbcl271 ปีที่แล้ว

    Ahsante Sana kaka mm nilisikiliza hii na Leo NARUDIA tena nilicheza upatu na mwezi huu napokea milion 7 na Laki mbili nikianza mwez wa 12 mwaka 2022. Mpk Sasa ni miezi nane nashukuru Sana na pesa hiyo nakwenda kufungua biashara ya huduma za kifedha.

  • @user-vo5df3nu8o
    @user-vo5df3nu8o 9 หลายเดือนก่อน

    Dah,bro nashukulu sana kwa ushauli wako.

  • @DionistaMsack
    @DionistaMsack 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana nimepata funzo

  • @user-ni2cw9tp7d
    @user-ni2cw9tp7d 9 หลายเดือนก่อน +2

    Tremondous amount of respect thank you Mr Nanauka .

  • @daviddeus3443
    @daviddeus3443 ปีที่แล้ว

    Asante Bro kwa hii elimu

  • @julioclauditayaye9368
    @julioclauditayaye9368 หลายเดือนก่อน

    Kazi njema zote nzuri ubarikiwe

  • @user-mk7qe1bt8r
    @user-mk7qe1bt8r 8 หลายเดือนก่อน

    Brother ahsanteee sana kwa elimu Yako muhim ya maisha🙏🙏

  • @Magreth-uk2fq
    @Magreth-uk2fq ปีที่แล้ว

    Mungu Akubariki Sana

  • @mathewmartin4413
    @mathewmartin4413 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka hakika unanipa hatua Kila Leo ndugu

  • @bernadette6266
    @bernadette6266 ปีที่แล้ว

    Asante Sana Kaka najifuza kwako

  • @harunaselupanga2146
    @harunaselupanga2146 ปีที่แล้ว

    ahsante sana mwalimu

  • @trustmhagama2375
    @trustmhagama2375 ปีที่แล้ว

    Asante kaka elimu unayitoa inanisaidia

  • @jerolily
    @jerolily 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana bro .i have learned A lot 🙏🙏

  • @eunicemusa5057
    @eunicemusa5057 หลายเดือนก่อน

    Hsanteee sana kaka mimi ndo nataka kuanza biashara ndo maana natafuta ushauri mbalimbali kwa wataalam

  • @user-vd5fe4ve6l
    @user-vd5fe4ve6l 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde uzidikutipatia somo maana daa nakuleewa sana

  • @jumastephano2688
    @jumastephano2688 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana kk Joel

  • @LilianfelixFelix-wg3wh
    @LilianfelixFelix-wg3wh 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sanaa naamini malengu yakununua Gari yatatimiaa

  • @NeboSaulo
    @NeboSaulo 19 วันที่ผ่านมา

    Be blessed

  • @abcstudiostanzania
    @abcstudiostanzania 2 หลายเดือนก่อน

    Bank ni nzuri zaidi Kaka

  • @hellenmwasalwiba6555
    @hellenmwasalwiba6555 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana

  • @kelvooonowbert7427
    @kelvooonowbert7427 ปีที่แล้ว

    Asante mwalimu

  • @user-nn4nx2rp3t
    @user-nn4nx2rp3t 10 หลายเดือนก่อน

    Nashukuru umenifungua.