Bro kuhanzia Leo hii nitahanza kuzungatia na bahada ya miaka mitatu nitakuja kukuona Kwa macho na nitazidi kujifunza mungu hakupe umri mrefu uzidi kufungua vichwa VA watu nakukubali Sana bro
Asante sana alafu tunatatizo kubwa sana la negative mentality especially we tanzanian so kama kuna uwezekano tunaomba somo la how to change perception pls
Asante sana Joel Nannauka kwa masomo mazuri shida yangu ni kupata vitabu vyako mbalimbali niko mtwara.kuhusu somo lako hoph ya kufanya maamuzi ya kubadilika na kuishi kwa mazoeamazoea
Asante sana kwa somo yaani wewe ni zaidi ya maisha nilikuwa na hofu ya kuanza upya sasa umenipa mwongozo Asante sana nakukubali naomba nikupe jina uitwe MWONGOZO MKUU WA MAISHA
Brother unanijenga sana kiimani nashukuru 🙏
Daah Nakuelewa Sana Braza Umenifunza Kitu
Niceeeeee...brzaaaaaa.....🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💫💫💫💫💫💥💥💥💥💯💯
Kaka Hapa Nimekuelewa sana
Shukrani Sasa mwalimu🙏🏽 hakik somo nimelielewa vzr. Balikiwa Sana🙏🏽
Ur correct%big up br
Hofu ya kukataliwa, ubarikiwe saana brother.
Nimejifunza vingi bro. Sema Leo naanza upya .
Asante sana kaka, sitaogopa kamwe kuanza upya. Merci beaucop.
Nakubari
Nmeelewa. Sasa imebaki kufanyia kazi. Aksante
Daah somo kmenigusa sanaa. Karbia hofu zote znanhusu.
NYC broo
Ninamaneno mengi sana ya kusema,itoshe tu kusema ubarikiwe bro
Asante Sana broo naelimika sasa
Barikiwaa 🙏
Bro you're so bright
Nashukulu xana mr.j umefumbua fumbo wangu
Asante kaka Joel
I like that
Thanks so much bro nmekupata loud and clear na ntalifanyia kazi manaake m n victim iz vitu
Barikiwa sana coach and 🙏🙏🙏
Nakubareee kk
Asante rafiki kila nikikusikiliza najiona mshindi na hatua zang naziona
Huwa nakuckza sana Mungu akubariki kaka mm niko hofu so siri Dah
Amina
Asante kaka tupe ujuzi zaid
Asante San mwalimu kwa SoMo la hofu Mimi hofu zote ninazo naomba unisaidie niweze kujiamini na kuanza upya
Ahsante docta nlikua nadhani nna stress tu kumbe nna na hofu pia
Nakukubali sana unanifunza mengi kaka
Mr nanauka Leo umesema na mimi fear to start ever again. Ndio tatizo langu
Asante sanaa
Naomba na njia za kuondosha hofu docta joel
Ningependa SoMo lako ,limenisaidia kuondokana na wasiwasi
Ubarikiwe sana
Pamoja sana broo noel
Joel nakuku Ali sana kaka
Bro kuhanzia Leo hii nitahanza kuzungatia na bahada ya miaka mitatu nitakuja kukuona Kwa macho na nitazidi kujifunza mungu hakupe umri mrefu uzidi kufungua vichwa VA watu nakukubali Sana bro
Shukran kwa elimu
Allah akubariki kakaangu
Fear of rejection,,,
Fear of change
Broo nashukuru sana umeifungua akili yangu upe wa hofu nimejifunza Leo
Nakuku barisana mkuu kupitia mafundisho yako naanza upya tena
Asa te sana nilikuwa na ofu ya Kuanza upia!
🙏😘
Nakukubali sana
Hiyo inanisumbua sana kias hata sijui jinsi ya kujitoa kwenye hofu kabisa
king
Asante sana alafu tunatatizo kubwa sana la negative mentality especially we tanzanian so kama kuna uwezekano tunaomba somo la how to change perception pls
Ckos mah Sawa nashukuru nitashughulikia hili
@@joelnanauka asante
Nina hofuu ya kukataliwaa nimekataa tamaa kabisa
Nashkuru sana unanipa nguvu sana ya kuendelea kupambn mungu akuweke
Napenda kukataliwa Kwa kuwa napenda kuanza upya maana kuna fursa nyingi kuanza upya
Asante kaka
Daaah kweli
Mm hofuyangu ni juu ya yajayo
Ndaba nimeelewa
BarikiwA
ahsante kwa kurudi,kinachotutesa wengi hofu mambo yajayo.Ukiona hatari mbele uko tayari kuacha tayari hofu imetawala
Msengi Simoni nashukuru kwa kuendelea kufuatilia.Ishinde leo hiyo hofu
Hofu ya kuanza upya hapooo daaaa
Asante sana hofu ya mabadiliko ni changamoto kwangu
Gift Ibrahim hongera kwa kuigundua anza kuishughulikia sasa
Nifanyaje sasa bro
nimekuelewa kaka Nanauka baut mm kinachonisumbua ni hofu ya kuanza upya vip nifanyaje!!!!!!
Ukweri mwarim
Ahsante
Mi hofu ya kutokueleweka inanisumbua saana kak yanguuu
Hofu yakukataliwa imekuwa ikinitesa sana
Kuanza upya broo
Barikiwa sana kaka ....sijui nilikua wapi jamani sijakufatilia mapema
Fresh
Assumani Mutabi 👍
Nabarikiwa sana na mafunzo yako somo la leo limenilenga hasa nashukuru nimejifunza kitu....ubarikiwe sana kaka
Iliyo changamoto kwangu Sana ni hofu ya kukataliwa kaka
Asante sana Joel Nannauka kwa masomo mazuri shida yangu ni kupata vitabu vyako mbalimbali niko mtwara.kuhusu somo lako hoph ya kufanya maamuzi ya kubadilika na kuishi kwa mazoeamazoea
Asante kuwa Mwalm wangu, ila mm Nina off kubwa mpaka naisi kukata tamaa
Ahsate unafudish vizur sana
Ninahofu ya kuanza upya
Nimependa sana somo la leo,na umenizindua sana nashukuru nitajitaidi kukabiliana na hizo hofu.
Cresensia Ndimbo Karibu sana naamini utashinda
Ninahofu ya kukataliwa
Nahitaji kubadilisha mahusiano nianze upya
Asante sana mm pia hof inaniagusha mambo meng sana
hofu ya biasha
Naomba namba kaka
Hofu yakuanza upya inanisumbua sanaa 😪😪😪😪
Hofu ya kuanza upya
Kama unanuelewa huyu bro Kama mm gonga like apa twend sambamba
Pongezi kwa mwalimu kwanzaaa
Hofu ya kuanza ninacho waza kuanza
Ishi miaka mingi kaka
Kiukweli nimekuelewa sana, Asante sana, ubarikiwe sana!
Hofu yangu me nikuanzisha mahusiano mapy
Ya kuanza upya
Mimi kaka Joeli uwa nahofu ya kukataliwa
Hofu ya kukataliwa ndo ilikuwa inanisumbiwa lakini nimefurahi sana kwasomo zuri limenijenga
Asante sana kwa somo yaani wewe ni zaidi ya maisha nilikuwa na hofu ya kuanza upya sasa umenipa mwongozo Asante sana nakukubali naomba nikupe jina uitwe MWONGOZO MKUU WA MAISHA
Naanza na kuanza upya
Naanza upya leo
Kuanza upya
Pendo huitupa nje hofu, Asante kaka Joel!
Hofu ya kutoa mawazo onasumbua sana
Ubarikiwe sana. Maana ni lazima tuanze upya
MUNGU AKUBARIKI UINGIAPO NA UTOKAPO
Kaka upo visit Sana nimekulewa kwamafundisho yako.🤔
Kaka upo vizuri
Mara nyingi kuna watanionaje, watanifikiriaje, wataniamini kweli? Wanaiona thamani yangu?
kuanza upya joeli