MCHUNGAJI HANANJA ATOA ONYO KALI NYOTA NI USHIRIKINA. MASHIMO NI MTABILI WA MPIRA. [01]

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 83

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale374 8 หลายเดือนก่อน +7

    NASADIKI kwamba nyota cyo ushirikina,NASADIKI kwamba niudhihirisho wa utawala wa MUNGU mwenye enzi katika maisha ya wanadamu,mtu anasiyeamini nguvu za nyota anaonyesha wazi kuwa bado yupo kwenye utumwa wa fikra,mtu kama huyo fikra zake hazijakombolewa,japo yupo huru kimwili lakini nimfungwa kiroho,,mababa wote wa imani,Ibrahimu isaka na yakobo wote waliamini katika nyota

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  8 หลายเดือนก่อน

      Amen

    • @anordgerison8639
      @anordgerison8639 8 หลายเดือนก่อน +1

      Acha ushamba

    • @machoguhameri7757
      @machoguhameri7757 8 หลายเดือนก่อน +4

      Acha ushamba wa Imani.Ibrahimu aliona nyota halisi siyo nyota ya kusomewa na mtu.Mama Jusi waliona nyota halisi iliwaongoza hadi palipozaliwa Bwana Yesu siyo nyota ya kutabiriwa na mtu.Nyota za kusomea watu ni ushirikina kama wewe unaamini nyota za unajimu una bahati mbaya sana.

    • @josephkiwale374
      @josephkiwale374 8 หลายเดือนก่อน

      @@machoguhameri7757 we endelea kuota2 bro

    • @brightcommcleaning
      @brightcommcleaning 7 หลายเดือนก่อน

      Hana amwanga wa mambo ya Kiroho kabisa.... Hhivyo uchambuzi wake ama maelezo yake yakuyaangalia sana...

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 8 หลายเดือนก่อน +3

    Haleluya! Mch.Hananja wewe unao,tena ni mkombozi wa Nafsi(fikra) chukua maua yako babaa...

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  8 หลายเดือนก่อน

      Amen 🙏🏽

  • @BabaWaziwa
    @BabaWaziwa 9 วันที่ผ่านมา

    Nimekombolewa na maombezi yako baba ananja,ubalikiwe sana baba namungu akupe maisha malefu sana,niko pamoja na wewe kila siku baba,

  • @brightcommcleaning
    @brightcommcleaning 7 หลายเดือนก่อน +1

    You are a Star... He is a Super star..... Lugha involves the reality of our life... Itabidi nijifunze asili ya haya maneno ..... Labda ntaambulia kitu

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  7 หลายเดือนก่อน

      🙏🏽

  • @JohnKeya-b8d
    @JohnKeya-b8d 2 หลายเดือนก่อน

    Na kuelewa sana mtumishi wa MUNGU 🙏👏

  • @YohanaRichard-e6p
    @YohanaRichard-e6p 7 หลายเดือนก่อน +1

    Waovu Wana kuchukia sana , maana wanawatesa Wana wa mungu na kuwapofusha macho ya kiroho wakiongozwa na roho ya kahaba mkuu anae ongoza Dunia kwa upotoaji wake wa neno

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  7 หลายเดือนก่อน

      Amen 🙏🏽

  • @JohnKeya-b8d
    @JohnKeya-b8d 2 หลายเดือนก่อน

    Upo vizuri mtumishi wa MUNGU

  • @SamuelKarisa-m6d
    @SamuelKarisa-m6d 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akipee maisha marefu mch hananja, uendelee kutuelimisha maswala ya kiungu.

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  8 หลายเดือนก่อน +1

      Amen 🙏🏽 ❤❤

    • @brightsmartcleaning
      @brightsmartcleaning 7 หลายเดือนก่อน

      Kama Hananja anajua mambo ya Mungu hata 10%.. Mambo ya Mungu sio blah blah na kukoti biblia.. Mambo ya Mungu ni mambo ya kiroho... Kuponya, kunena kwa lugha kutoa pepo nk ni agizo la Yesu mwenyewe Mark 15:17 ikiwa ni Ishara ya Mkristu wa kawaida (waaminio).. Alwasy anapinga mambo ya kiroho koz yeye ni wa kanisa sio wa kiroho.. kilaza wa mambo ya kiroho.. Ni mchungaji/padri wa Non pentecostal Church wasio amini karama za Holy Spirit katika maisha ya kila siku. Yes wako wachigaji waongo lakini wanafanana na ngano na magugu .. sio easy kuwatambua.. But mambo ya kiroho ndicho alichokuja kutufundisha Yesu sio utaratibu wa makanisa ambayo yote hawayakuwapo wakati wa Yesu.. Nakuombea umpokee Yesu wa kweli na Roho Mtakatifu akufundishe.. No offense kwa nia nzuri mkuu
      '

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mweee Mtumishi Ubarikiwe

  • @nemeskulaya3962
    @nemeskulaya3962 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akupe maisha marefu utumegee maarifa zaidi mch. Hananja

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  8 หลายเดือนก่อน

      Amen 🙏🏽

  • @Muheramaneva
    @Muheramaneva 3 หลายเดือนก่อน

    tunafika tumezimia miguuni kwamungu 🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂

  • @gospelmediaafrica9801
    @gospelmediaafrica9801 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ooh hallelujah 🙌😁

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Mtumishi

  • @dankhany3385
    @dankhany3385 8 หลายเดือนก่อน +1

    mungu akupe maisha marefu hananja

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  8 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa sana

  • @Thierrymuhindo-vs8jk
    @Thierrymuhindo-vs8jk 5 หลายเดือนก่อน +1

    Aksanti mchungaji kwa neno

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  5 หลายเดือนก่อน

      Amen 🙏🏽

  • @dankhany3385
    @dankhany3385 8 หลายเดือนก่อน +1

    mungu akubariki sana mchungaji hananja

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  8 หลายเดือนก่อน

      Amen 🙏🏽

    • @brightsmartcleaning
      @brightsmartcleaning 7 หลายเดือนก่อน

      Mungu yupi anambariki mpingaji wa mambo ya kiroho? He is more wa makanisa na wengi wanaomuunga mkono ni wasabato, RC, Anglicans na Lutherans "Non spiritual ama Non Pentecostal Churches".. Mtafuteni Mungu wa kweli msipotezewe muda na ma-celebrities kwa jina la Yesu.. Ubarikiwe sana

    • @WilsonEmmanuel-bs6op
      @WilsonEmmanuel-bs6op 4 หลายเดือนก่อน

      Mm nimemuelewa sana mchungaji yeye hajasema kuusu nyota ya Yesu yeye kasema kuusu wanabii wanavotabili kusu nyota zawatu sasa Uwondio uchawi au kwenda kwa wangaga ndio Uwo uchawi wew utatabiliwaje kuusu nyota wew nyota yako Niyesu tu siyo kutabiliwa

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmm Danieli 12
    3 Na walio na hekima watang'aa kama mwangaza wa anga; na hao waongozao wengi kutenda haki watang'aa kama nyota milele na milele.

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  7 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 points 👉 👈 sana mchungaji

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o 6 หลายเดือนก่อน

    Kweliii

  • @francofrederick972
    @francofrederick972 7 หลายเดือนก่อน +1

    Narudia unapopambana kuweka udhaifu wa wengine wazi unadhihirisha ulionao na unadhihirika kwa kiwango kikubwa,
    😅😅😅😅😅😅😅😅
    Wanaojua vzr siri hizi hawana mpango wakuwafunua wenzao

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  7 หลายเดือนก่อน

      Amen

    • @brightsmartcleaning
      @brightsmartcleaning 7 หลายเดือนก่อน

      Bravo... next time fafanua tujifunze.. usiongee kwa mifano kama Yesu

  • @brightcommcleaning
    @brightcommcleaning 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ushirikina ni utakatifu uliobadilishwa/kubatilishwa na kutumiwa na shetani.... But kila anachofanya shetani ama washirikina vimetoka kwa Mungu.... Ushirikina ama ushetani ni kuiga vya Mungu na kuvitumia kwa njia ovu..... Kuna inverse relationship kati ya ushirikina na Utakatifu.. sadaka, damu nk

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  7 หลายเดือนก่อน

      Really 🔥🔥

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mmmm. Mathayo 2
    2 Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia.

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 4 หลายเดือนก่อน +2

    Uchungaji feki ko waganga wanavijua sana vitu vya siri husomi maandiko

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  4 หลายเดือนก่อน

      🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @PamelaNdlovu-ot6do
    @PamelaNdlovu-ot6do 5 หลายเดือนก่อน +1

    Alafu anaesema yeye ni mwanafunzi wa mastai kweli ikawaje mbona afanani kama alifundishwa na mastai .maana mastai ninae mfahamu yule ni mpakwa mafuta haswaa wa Mungu yule ni kkkt kanisa la kiroho.yuko vizuri haswaa nadhani hata yeye atakuwa anamshangaa ananja anaubiri vitu gani

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o 6 หลายเดือนก่อน

    Maskiniii

  • @YohanaRichard-e6p
    @YohanaRichard-e6p 7 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wavivu kuchunguza maandiko ndio maana wanadanganywa, na wataendelea kuwa vipofu na walimu wao vipofu.

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi MUNGU akubariki unatufungua akili

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 4 หลายเดือนก่อน +1

    Bora ulivostafu ungetuchanganya wewe unahesabu.mizoga kwenye vita hatuhesabu maiti ukiishi ukiangalia watenda dhambi unaweza ukavurugika

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  4 หลายเดือนก่อน

      🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmm Mwanzo 37
    9 Akaota tena ndoto nyingine, akawaambia ndugu zake, akasema, Angalieni, nimeota ndoto nyingine; na tazama, jua na mwezi na nyota kumi na moja zikaniinamia.
    10 Akawaambia baba yake na ndugu zake; baba yake akamkemea akamwambia, Ni ndoto gani hii uliyoiota? Je! Mimi na mama yako na ndugu zako tutakuja tukusujudie hata nchi?

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  7 หลายเดือนก่อน

      Amen ❤❤

  • @simonndaro
    @simonndaro 7 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni Mchungaji Hananja awafunde Matapeli walioibaka dini kwa sababu tu ya tamaa zao na uchu wa mali ya hapa duniani. Anachokisema ni KWELI. Mwenye akili atamuelewa tu.

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  7 หลายเดือนก่อน +1

      Amen 🙏🏽

  • @BernardoAmwayi
    @BernardoAmwayi 6 หลายเดือนก่อน

    Mambo ya nyota ni ya waganga

  • @brightsmartcleaning
    @brightsmartcleaning 7 หลายเดือนก่อน

    Mwanadamu ana uhusiano na galaxy… iweje mzunguko wa maanamke uhusiane na mzunguko wa mwezi?…… tukijifunza pamoja kuna kitu

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  7 หลายเดือนก่อน +1

      God bless you

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 7 หลายเดือนก่อน +1

    Haijalishi yukoje acheni kubwabwaja fanyeni kazi ya Mungu Yesu atangazwe kote duniani vyovyote vile vyamsingi vimewashinda mnataka kufanya talabu

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  7 หลายเดือนก่อน

      Amen 🙏🏽

    • @AlphonceDM
      @AlphonceDM 6 หลายเดือนก่อน

      Ww mshamba

    • @AlphonceDM
      @AlphonceDM 6 หลายเดือนก่อน +1

      Anayosema ni ya kweli ww kondoo umepotea

    • @ShukruMakoko
      @ShukruMakoko 6 หลายเดือนก่อน +1

      Nahisi tungefanya kazi ya kulitangaza jina la Yesu krisito bwana wetu kuliko kobezana maana bado nahisi hata nusu bado enenden mukahubili injili ulimwenguni kote watu wakaijue kweli

  • @brightcommcleaning
    @brightcommcleaning 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hananja ni mchungaji KILAZA wa mambo ya kiroho kwakuwa anatoka kwenye Non Spiritual Churches.. kuweni waangalifu na upotoshaji wake ama kutoelewa kwake..JIFUNZENI

    • @kagoziprotv
      @kagoziprotv  7 หลายเดือนก่อน

      🙄

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndiwe kilaza maana hujui Neno la Mungu.Nyota zinazotajwa katika Biblia Ni nyota halisi siyo nyota za kusomewa na Mchungaji au kuhani. Yesu alipozaliwa mama Jusi waliona Nyota mashariki walikuwa wasomi wa sayansi ya nyota wakajua nyota ile inaashiria tukio muhimu. wakaifuta ikawaongoza Hadi alipozaliwa Bwana Yesu.hiyo ilikuwa Nyota Halisi. Zamani kabla ya kugundulika vyombo vya kisasa manahodha baharini waliendesha manowari zao kwa kuongozwa usiku na Nyota angani. Hata wakulima waliyatambua majira yao ya musimu wa kilimo kwa kuongozwa na nyota zilizoitwa "kilimia" Kuna kilimia jike na kilia dume.Wana wa Israel waliposafiri usiku toka Misri waliongozwa na wingu waliongozwa na nguzo ya Moto pia waliongozwa na nyota. Acha ushamba wa Imani Soma Biblia upate ufahamu.

    • @andrecarlos1024
      @andrecarlos1024 8 วันที่ผ่านมา

      Hananja👌👌🇲🇿

  • @michaelmbeti5040
    @michaelmbeti5040 8 หลายเดือนก่อน +1

    Shida yako wewe kuelezea makanisa mengine hubili mungu 2 kusema watu ujipunguzia maono yako