#PART

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.พ. 2023
  • #PART 2: "UKIONA MWANAMKE AMECHEPUKA, KUNA MLANGO MWANAUME AMEFUNGUA"- MCHUNGAJI HANANJA |HARD TALK
    KWENYE sehemu ya pili ya HARD TALK ya Mtumishi wa Mungu na Mwandishi wa vitabu nchini Lilian Mwasha amezungumza na Mchungaji Richard Hananja ambaye ameeleza mengi juu ya maisha ya mwanadamu.
    Mchungaji Hananja ameeleza mazito juu ya ushirikina na namna alivyowahi kuchezewa na washirikina bila kumuweza...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 98

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +4

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE UWE WA KWANZA KUONA:🏾 bit.ly/3MraYdQ

  • @farajashaban1073
    @farajashaban1073 ปีที่แล้ว +17

    Nakubali na maisha yangu yanakwenda kwa falsafa zake huyu mchungaji ndio mchungaji wangu pendwa pamoja na pastor Mgogo

  • @inviolatamalifa6871
    @inviolatamalifa6871 ปีที่แล้ว +11

    Hongera kwa tumbo lililokuzaa Baba unatufundisha mengi asante kwako

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy ปีที่แล้ว +10

    Point hii “ kuna vitu una kufa navyo kama siri yako na Mungu wako”.

  • @mossesisaack5066
    @mossesisaack5066 ปีที่แล้ว +2

    Nimejifunza sana dada Lilian kupitia mazungumzo yako na mchungaji Hananja.Mungu awabariki sana

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 ปีที่แล้ว +2

    Best interview ever mchungaji umeniua dhambi kabisa mm ndo nifunzwe na baba angu sikuwahi ambiwa niwe Malia Lia ovyo hata nipate magumu vipi Wala kupiga magoti mwiko kabisa mm napigiwa goti na MKE wangu.. na Bible umeandikwa enyi wanawake watiini waume zenu na enyi waume wapendeni wake zenu.

  • @claramrosso2566
    @claramrosso2566 ปีที่แล้ว +6

    Jamani sister Lily nakupendaga vipindi vyako vzr na vile ulivyo mrembooo mmwaaaa!

  • @devothamwinyi4288
    @devothamwinyi4288 ปีที่แล้ว +5

    Dada Lilian nakupenda sana mpaka natamani kusikiliza vipindi vyako muda woooote. Nakupenda na umependeza mpendwa hongera sanaaaaa

  • @bryfrancis7879
    @bryfrancis7879 ปีที่แล้ว +11

    Best interview,I enjoyed Big time,Maswali yameulizwa vizuri,most interesting thing there was a gap between Q&A,most interviewers,they always interrupt interviewee,Congrats to You Sis,your level ni ya juu sana

  • @biashaqtr-xd2mf
    @biashaqtr-xd2mf 10 วันที่ผ่านมา

    Mashallah Mwenye Enzi mungu akuzidishie hikma zaidi hivyo busara.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 ปีที่แล้ว +3

    Binafsi nimesikiliza Viongozi wengi wa Dini. Kwa huyu Mchungaji nimemkubali Salute kwake Napenda Sana anavyoelezea mambo mbalimbali kwa ustadi mkubwa. Big up Mchungaji wangu wa Karne hii kwangu mimi.

  • @sospeteriganjagabriel7944
    @sospeteriganjagabriel7944 ปีที่แล้ว +1

    Mch. Hananja, nakukubali sana Baba, hongera pia kwa kipaji cha uelewa wa neno la Mwenyezi Mungu kwa ufasaha katika vifungu husika

  • @HappinessGomezulu
    @HappinessGomezulu 4 หลายเดือนก่อน

    Raha sana kujifunza na Mchungaji hananja Barikiwa sana

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 ปีที่แล้ว +4

    Yesu kristo alisema niwaambialo sirini lisemeni nuruni,mlisikialo gizani lihubirini juu ya dari

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 ปีที่แล้ว +3

    Hiyo ya bange hiyoo nimecheka sana hili linamkuta mchungaji masanja kila kitu ulichapiwa mwanamke

  • @aureliayuktankabebwa5066
    @aureliayuktankabebwa5066 ปีที่แล้ว +2

    Nimependa sana hii conversation🙏🏾,MUNGU atusaidie.Dada Lily your so Blessed🙏🏾

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 ปีที่แล้ว +5

    Mchungaji ubarikiwe, umenibariki sana🙏

  • @tonykaribu6705
    @tonykaribu6705 ปีที่แล้ว +3

    Mchungaji Hananja yuko vizuri kwa Neno

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 ปีที่แล้ว +1

    Mahojiano ya
    G Hando
    S.Jabir
    L Mwasha
    Ndo Mahojiano Mazuri mno wanajua jinsi ya kuuliza Maswali ya Kujenga..
    Big up sana Kwenu

  • @drsilo
    @drsilo ปีที่แล้ว +4

    Niliisubiria sannnna huyu jamaa tumtengezee.. Sanamu kariakoo

  • @pastorvincent9851
    @pastorvincent9851 ปีที่แล้ว +2

    Mrudishe tafadhali Lilian huyo mzee. Mungu akubariki!

  • @brunomwacha8880
    @brunomwacha8880 ปีที่แล้ว +7

    Part 3 jaman mzee ana madinii njia inatokaa hii

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 ปีที่แล้ว +6

    🤣🤣🤣 Lilian congratulations maswali mazuri sana majibu mazuri sana.

  • @kazungubinti
    @kazungubinti 8 หลายเดือนก่อน +1

    Be blessed pastor 🙏🙏

  • @muhsinirasuli2473
    @muhsinirasuli2473 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana Mchungaji umeeleweka sana

  • @timothmatiku6115
    @timothmatiku6115 7 วันที่ผ่านมา

    Naamini hii sio dira ya maendeleo 2050. Naamini hawa sio designer wa nchi. Mwezeshe mwanaume.

  • @annalyamuya3160
    @annalyamuya3160 ปีที่แล้ว +2

    huyu mzee ana hekima sana

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ni mchungaji kweli Kila anacho ongea anatoka reference ya vifungu kwenye bible

  • @kulwamigo9127
    @kulwamigo9127 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante,nimejifunza!

  • @user-exauceimani
    @user-exauceimani 8 หลายเดือนก่อน

    u barikiwe sana mchungaji na dada mtangazaji

  • @sarahwawuda5164
    @sarahwawuda5164 ปีที่แล้ว +7

    🤣🤣🤣🤣mchungaji msema kweli huku wanivunja mbavu mie

  • @annamulungu2876
    @annamulungu2876 ปีที่แล้ว +5

    Ila baba, usisahau kwamba kama mume ni MC kwa mfano anaweza tu kurudi saa nane usiku nyumbani na nikampokea kwa amani.

  • @irakozegracia183
    @irakozegracia183 ปีที่แล้ว +2

    👏👏👏👏Mubarikiwe Na Mungu

  • @MAGOHABENEDICTOTv
    @MAGOHABENEDICTOTv ปีที่แล้ว +4

    AMEN pastor

  • @AzaelNdoliki
    @AzaelNdoliki 11 วันที่ผ่านมา

    Hatalii sana uko poa sana

  • @susancharles1660
    @susancharles1660 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu mchungaji nimempenda 😊

  • @kapelotz9967
    @kapelotz9967 ปีที่แล้ว

    Uyu ndie mchungaji anae ijua kazi yake

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 ปีที่แล้ว +3

    Uko sahihi mzee

  • @jenipherj2456
    @jenipherj2456 ปีที่แล้ว +3

    dada Llilian aki hakuna intrview umewahi kufanya ukacheka kama hii😀😀😀

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa mchungaji Namkumbuka Mwalimu wetu toka Goshen University College Marekani Dr Norman Cloud aliwahi kutufundisha juu ya "Ukweli umizao", Kwamba sio kila ukweli husemwa hadhalani ukweli mwingine hubakizwa kuepusha shali.,hii ndiyo hekima,"Sema kweli tupu lakini usiseme yote" Magumu tubu katika chumba chako cha siri wewe na Mungu wako ili usilete farakano kanisani au katika jamii unayoishi.Mepesi yasiyo kwaza tubu hadhalani au kwa yule uliyemkosea. Hii ndiyo busara ya ki-Mungu.

  • @yuathmtenzi2114
    @yuathmtenzi2114 ปีที่แล้ว +1

    Shukrani hard talk

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 ปีที่แล้ว +2

    Beautiful Lilian 😍

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂Dada kwa huyo mpakwa mafuta utacheka hadi ujambe, yaani huyu mzee wallah unajivunia mbele za watu, Mungu akuweke Mchungaji

  • @neemaburetha8011
    @neemaburetha8011 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi wa MUNGU Lilian mwasha nina shida na wewentakupajez?

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 ปีที่แล้ว +6

    Wanaume gani hao wanaobeba maswali sijui majibu ya uchumi na wako busy kutafuta wanawake wenye kipato kukwepa majukumu

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 ปีที่แล้ว

      Cyo hao sasa waliotengenezwa na mungu

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 ปีที่แล้ว

      @@vickydan2869 so wameumbwa na nani. Wameumbwa na Mungu Ila wamekengeika na ndio wapo.

    • @MujuniKamugisha
      @MujuniKamugisha 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@sarahgaula2220bakhresa mo dewji ,gsm,msukuma,kishimba,
      David mlokozi ,

  • @user-ho4lh9yk7h
    @user-ho4lh9yk7h 5 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @rasheedford241
    @rasheedford241 ปีที่แล้ว +1

    God bless u all❤❤ good interview ever

  • @laurentnkoko9122
    @laurentnkoko9122 ปีที่แล้ว

    Nikweli kabisa mchungaji

  • @lovenesslukas5360
    @lovenesslukas5360 ปีที่แล้ว +2

    Baba kama baba

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n 2 หลายเดือนก่อน

    madini juu ya madini

  • @smartboythefighter9256
    @smartboythefighter9256 ปีที่แล้ว +1

    This is really interview

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 ปีที่แล้ว

    Safi Pastor

  • @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
    @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny 7 หลายเดือนก่อน

    Amazing 😂😂😂😂

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 ปีที่แล้ว

    Jamani hananja anaakili sana

  • @WTC492
    @WTC492 ปีที่แล้ว +1

    Lilian nakupenda

  • @joshuamariki3798
    @joshuamariki3798 ปีที่แล้ว

    Good job

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 ปีที่แล้ว +2

    Kuwa mwanaume ni neema mwanaume unatakiwa kuwa mwanaume hao wanao piga magoti ni wavulana sio wanaume

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 ปีที่แล้ว

      Kupiga magoti ni mavitu wakipuuzi tu ambayo juzi juzi tu tumeangalia kwenye tv leo tunaiga nakujifanya tunalia, siamini miaka 20 iliyopita kuna mtz alipiga magoti kumvisha mtu pete, tunakurupuka mnoo kuiga vitu ambavyo hata hatujui yalipotokea

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda1991 ปีที่แล้ว

    MY G

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 ปีที่แล้ว +7

    Huyu mzee biblia yote ipo kichwani, kifungu kwa kifungu, yaani yakiandaliwa mashindano pengine hata Africa yupo peke yake

  • @richardrwechungura2798
    @richardrwechungura2798 ปีที่แล้ว

    Umepiga mwingi @Lilian junkets Mchungaji

  • @mariasmith4301
    @mariasmith4301 ปีที่แล้ว

    Ameeen nimekuelewa Mchungaji, Asanteee 😂😂😂😂😂

  • @rachelnadeau3484
    @rachelnadeau3484 ปีที่แล้ว +1

    Nimecheka hiyo 😄👆

  • @benardwankoka3447
    @benardwankoka3447 ปีที่แล้ว

    Hahaaa unanibariki sana

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 ปีที่แล้ว +1

    HII SIO HARD TALK......TUSIHARIBU MAANA......HAYA NI MAZUNGUMZO TENA YA KAWAIDA SANA....

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mtumishi nimemkubali kabisa, yuko vizuri kuliko hao matapeli wengine wa injili. Party tafadhali.

  • @tausinguvuyamaombi3879
    @tausinguvuyamaombi3879 ปีที่แล้ว +1

    Hahahaaa!nyumba kama studio?

  • @tumkithemr933
    @tumkithemr933 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee namkubali saana ananitia nguvu ktk mapambano yangu! Huyu ni miongon mwa wanamapinduz na falsafa za mabadiriko ktk mbongo yangu asseeee!! Well

    • @issayasosolo6033
      @issayasosolo6033 ปีที่แล้ว

      Kabisa huwà haliwataki watumiaji wanao toa afundisho ya namna hii! Wanataka wachungaji wanao hubiri habari za sadaka Basi mengine utajijuwa mwenyewe, Ya kijitonyama alijitokeza mchungaji Kama huyu wakamliba barua Ila nguvu ya waumini ikafanya Kazi yake,

  • @Bless-b.DL-babyofficial8769
    @Bless-b.DL-babyofficial8769 ปีที่แล้ว +1

    Please one day bring afande sele for the next interview

  • @user-rf8gp4ec6d
    @user-rf8gp4ec6d 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu wangu 🇺🇸🇺🇸🇺🇸 nakuitaji tena 😂😂😂😂😂😂

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 ปีที่แล้ว

    Kkkkkmjiskie watoto wa mwaka elf2 wahaki sawa mwanaume anapiga goti mwanamke kaa juu yakiti...ndio mana ndo nyingi mnaendeshwa kwa hiyo ukitaka kuishi kaulize kwa waisalam kwann mwanaume akishagmfunha ndoa muda wakwanza kumsomea dua mkewa kwann hukanyaga miguu wa mwanamke namuwekea mikononkichwa

  • @yeslord2276
    @yeslord2276 ปีที่แล้ว +3

    🤣🤣🤣🤣uwiiiii nacheka vibaya mno

  • @vivianbampikya4484
    @vivianbampikya4484 ปีที่แล้ว +1

    Tutasimama wote aise...kwani magoti lazima?

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 ปีที่แล้ว

    Matonge semi trailer😂😂😂😂😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 ปีที่แล้ว

    Pilipili alilia

  • @zachariagutawemo1291
    @zachariagutawemo1291 5 หลายเดือนก่อน

    Dad iz Helen vp😂

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 ปีที่แล้ว

    Dah bange hilo kila kitu bange kkkk

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +1

    Kitabu kinaitwa Darling what?? Sikuelewa kabisa

  • @NtanunuraWillsonBaru
    @NtanunuraWillsonBaru ปีที่แล้ว

    Hizo ni tamaduni za west wanaume wanabebeleza kwanza hawatoi mahali na mwanamke anakuwa na wa chumba zaidi ya mmoja ana pesa ana nyumba na usafiri kila kitu. Ndio maana miji dume unapiga magoti kwani kuna jitu limebunda. Ukimucha yupo pembeni anaendeleza.

  • @MyMercy84
    @MyMercy84 ปีที่แล้ว +1

    Maoni yangu ni kwamba, uhuru wa mtu ni wake, akijisikia kumpigia goti sawa, akijisikia kulia sawa maana wapenzi watazamaji hawajui wametoka naye wapi na kwann machozi yanamtoka... Kha

    • @tuzopeter8132
      @tuzopeter8132 ปีที่แล้ว +1

      Niko na wewe....!

    • @gospelamani1968
      @gospelamani1968 ปีที่แล้ว

      Hili swala la uhuru ndio changamoto inayotutesa mpaka sasa.kwamaana hiyo uhuru wa mtu kuwa shoga ni sawa?
      Ebu tusimame kwenye misingi ya kimungu.
      Kwaiyo swala la uhuru sio sahii

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 ปีที่แล้ว

    Wanaopiga magoti niwajinga

  • @heritier5119
    @heritier5119 ปีที่แล้ว +1

    Ukioa malaya ni lazima achepuke tu

  • @rennyleo4874
    @rennyleo4874 ปีที่แล้ว

    Mc pilipili alilia