LIVE: MAOMBI YA KUANGUSHA NGOME ZA ADUI MAISHANI MWAKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- 2 Kor 10:4-5
(maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome;) tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Katika jina layesu naangusha ngome za maadui ktk nyumba yangu vifungo kazini kwangu madeni yaniondokee ktk jina layesu kazi yangu ifunguliwe nipokee muujiza utendeke kwangu nifunguke kwajina layesu nipate pesa nilipe madeni yote amen
Amina mtumishi nikikusikiriza nauona uwepo wa mungu na nguv za kuomba zinanishukia enderea kuturisha neno la mngu barikiwa sana
Shalom shalom ninasikiliza kutoka Saudi Arabia
Amin namie asabuhi yaleo naangusha kira mabaya yote niriyonene wewa na maaduiii zangu nayenye wametupia mpenzi wangu tukomborewe siwote katika jina kuuu ra yesu kristo amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana neno hili limenigusa ngome ya Adui inanitesa kuniletea magonjwa Kuni rudisha nyuma Mungu anisadie
Bwana yesu asifiwe wapendwa wa mungu na wasokiliza toka Kenya mungu akubariki mtumishi wa mungu
Mimi binafsi nawapongeza na kuwashukruni sana watumishi wa Mungu kupitia yesu kristo kwa maombi yenu mtandaoni yamenisaidia sana kuivunja ngome ya Adui shetani! Hususani wachawi,wanga,washirikina nk! MBARIKIWE SANA!
Katika jina la Yesu ninaangusha kila pando lililo pandwa kwa sili kwangu mawazo mabaya yasipate kibali kwangu kwa kuwa mimi ni miliki ya Mungu na ameniunganisha kwenye ukoo wa Yesu kiristo Yesu nimefanyika kuwa wake ninajitenga na kila hila zote za adui maishani mwangu nikiomba haya yote kupitia jina la Yesu kiristo Yesu wa nazareth Amen
Asante yesu wangu kwa huo ufunuo niwezeshe kung'oa kuharbu na kuangamiza mawazo fikra kwa jina la yesu mwana mungu halie hai
Asante Mungu kwa ajili ya mtumishi wako🙏
Naomba Mungu wangu kuwekwa hurú nawe Bwana Mimi na familia yangu Baba.
Amen 🙏 naziangusha ngome zote zinazoinuka katika maisha yangu,pia nazifunga roho Zinazo pitisha habari mbaya kwa mawazo na fikra zangu kwa jina la yesu.mungu wangu nitetee na kunipigania maana vita sivyangu ni vyakwako .wanasema Yuko wapi mungu wake,baba simama na ujulikane kwamba uko baba❤❤🙏
Thank you God mimi nikona mawazo mabaya wakati Niko kati wevo wa maombi naomba uniombee Asante,,
Amina
Naamini kwa jina la Yesu sitabaki gizani bali Bwana ataniona Mimi na n familia yangu
Nimebalikiwa kwa neno lako mtumishi mungu atupinganie😭😭😭😭😭wote walio mkimbilia yeye kutoka ndani ya miyoyo yao amen 🙏🙏🙏
Shalom shalom leo nang'oa kila fikra zilizo wekwa na adui kwa mchumba wangu suzan naangusha yalee magonjwa walio muwekeea katika jina la yesu kristo wanazareth kila fikra zilizo wekwa na adui kwa mchumba wangu suzan zikapatee kumtii kristo❤
Amen
Amina
Amen. Pokea jibu la ombi lako
Amen and Amen YESU amesikia maombi yako 🙏
Amina👏👏
Amen nakataa kila mawazo mbaya yatakayo ingia katika kichwa changu navunja kila ngome ya kishetani katika jina la yesu
Eeh Mungu pigana na adui zangu wanaokaa vikao kuniwazia mabaya wanaokaa vikao kutaka kunitumbukiza waanguke na wateleze kupitia jina la Yeah wa nazareti ameen🙏🙏
Nafuatilia kutoka Mombasa Kenya unasikika poa
Nang'oa kila ngome za adui zilizowekwa maishani mwangu na ngome zilizowekwa kwenye uzao wa tumbo la mama angu na uzao wake wote pamoja na ngome zilizowekwa na adui Kwa ajili ya uzazi wa kiuno cha Baba angu nazing'oa zote
Nakomboa fikra na fahamu zangu,mawazo yangu kwa jina la YESU
Nabarikiwa Sana na kipindi hiki kinaniongoza imani
Asante Yesu kwa kua wewe unajibu maombi
Baba Mungu Nakuomba unipambanie na maadui maana anaitaji kuniangamiza pigana nawanao pigana nami Bwana maana peke yangu siwezi Baba naitaji musaada kutoka kwako kwa Ushindi mkubwa. Amen 🙏🙏🙌
Nakataa fikra mbayaa ndani ya mawazo yangu kwa jina la YESU
Powerful powerful Mtumishi barikiwa baba asante saaana powerful, ndio kbs aduhi hana uwezo yakutukamata kbs, anapoleta ngom ya uharibifu kwenye mawazo, kwenye fikra, ndipo anatukamata oooooohhhhhhh Yeeeeee eeeeeehhh yuuuuuu wangu navunja hiyo ngome ya aduhi iliyo mbandwa kwenye fikra zangu, kwenye mawazo yangu kwa jiiiiiiiiiiiinaaa la Yesuuuu kristo navunjaaaaaaaaaaaa ngome ya umasikini, yamagonjwa, yakutomtii Mungu,..... Boooomoookaaaaaaaaaaaa in Jesus name🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mungu naomba unipiganie vita vyote adui anazo nipiga maana wewe unaweza
Hii vita nipambanie Mungu wangu kwa kua pekee yangu siwezi
Naondoa ngome katika mawazo yangu na fikra zangu kwa jina laYesu wa nazareth
Amen, nashukuru sana haya mafunzo ya madhabahuni yamenibadiliasha na kuniweka mahali pakubwa, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🙏
Shalom mtumishi unaependwae na MUNGU BABA
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah
Bwana mungu naomba unisaidie kupambana na adui zangu mimi mwenyewe siwezi baba
Shalom bwana Yesu asifiwe wana familia wa Maarifa ya kimungu
Ameniiiiiiiiiiiiiii ubarikiwa sana mtumishi wa Mungu Mungu akupemaisha malefu uzidikutufudisha neno lake sisi ambae hatujuw barikiwa sana mtumsh wa Mungu amina,🙏🙏🙏🙏
Ameen tupo pamoja mutumishi wa mungu nakufata mimi ni murundi 🇧🇮 ila kwasasa nipo suid Afrique
AMEN and AMEN,,Asante bwana Yesu 🙏
Mungu naomba unisaidie niishi maisha ya Kiroho .
Mungu nisaidie nivushe kwa haya majaribu🙏❤️
Asante baba Mungu kwa wema na fadhili zako kwangu.
Niko Burundi navunja kila kufungo kwenye maisha yangu
Navunja ngome zote za laana, maagano, majina ya kuridhi, Vita za kifamilia, uchawi, mawazo ya kukatisha tamaa, aibu, fedheha, mitambiko, ushirikina, uadui, chuki, katika uzao wa tumbo langu na familia yangu ktk jina la Yesu Kristo wa Nazareth alie Hai Amen 🙏
Aki huyu ni mimi nisaidie mungu nikawaze mawazo sahihi🙏
Mungu wewe ni nuru ya maisha yangu
Hesbon from Nairobi Kenya tunakupata vizuri kabisa. Shalom
Nawasambaratisha yeyote alieinuka ktk mahusiano ya watoto wangu biashara na ajira zao Yesu tupe ushindi juu ya adui ashindwe ktk jina la Yesu Kristo alie Hai
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Asante mungu leo nimepata kitu,Amen Amen mungu usiniaje😭😭🙏
I receive I receive I receive
🙏 Mungu wewe ni mwaminifu kwangu🙏
Amen amen🙏🙏
Amen Mungu akubariki mtumishi
natokea kimara naitwa latifaninafulaa sana mungu kuniwezesha kukusikiliza tena kaka mungu akubarik
Asante YESU
Naelewa mtumishi wa MUNGU
Thanks for your help God bless you a'm from burundi Bujumbura imana ugukomeze mugenzi ❤❤
Ameen mt usiku mwema
Asante yesu kwa kuendelea kuvunja ngome ya adui ktk maeneo tofauti tofauti ya maisha yangu.
Asante mungu kwa siku ya leo nashukuru kwa wema wako, nashukuru ni kwa ajili ya mtumisbi wako ambaye unamtumia lama chombo cha kutufundisha kila ratiba ya maombi, zidi kumuongoza zaidi ili tukatafute ufalme wako mbinguni, bakiwa sana myumishi wa mungu acha mungu azidi kukuenemesha uzidi lutundisha neno la mungu pamoja na maombi kwa kutafuta njia ya mungu kwa uaminifu na ulamilifu
❤❤amen nakupata vema kutoka Oman ni mimi mtumishi Salome Zakaria.
Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen hallelujah hallelujaaaaaaaaaaaah
Ameeen barikiwa Mungu atusaidie sana tujue Ile kweli ya biblia Ameeen 🙏🙏🙏❤️♥️
Katika jina la Yesu kristo navunja ngome zote maishani mwangu,kwa watoto wangu na kwenye ndoa yangu
AMEN AMEN 🙏🙏🙏 Asante Sana
Ameen yote yanawezekan kwa mungu
Thanks God for another opportunity 🙏🙏
Naifatilia ibada kutokea Morogoro
Nakuita mungu wangu maana umenwezesha kufikia kipind hiki cha Leo ninavunja kila pepo la zinaa ninataka niwe na ww mungu wangu nisaidie kwenye hii vita Kali mungu wangu nisaidie nikufuate ww peke yake mungu wangu navunja ndoto zakurud nyuma mm siyule wajana na utakase mawazo yangu nikutumikiee ww mungu wangu
Mungu akubariki sana Pastor
Amen Amen Amen 🙏
Asante yesu
Ameen, God please help me
Asante Mungu
Mimi nawaza MUNGU anibariki basi
Ubarikiwe mno mtumishi wa MUNGU MUNGU akutunze
Thank you Jesus kwa ufunuo huu juu yangu, nang'oa ,naharibu na kuangusha ngome zote za adui ndani ya mawazo na fikra zangu in Jesus Name
Amen and Amen
Naondoa mikosi, nuksi, laana na mizimu ya nyumbani inayonifatilia 14:08
Barikiwa mwimbaji
Amen Amen.
❤❤❤❤ Aminaa
Amen, Mungu Baba naomba unipandize kwenye mlima nisioweza kuupanda😢
Barikiwa baba
Yesu naomba okoa mawazo na fikra zangu Bwana🤲🤲🤲
Maombi tutayapata wapi pastor
Amen
Amen Amen
Amen nakusikia vyema
Nakusikia kutoka Njombe
Amen ❤
in Jesus name amen 🙏🙏
Nakufata nikiwa Burundi
AMEN
AMINA
Amennnnnnnnnnn❤
AMEN AMEN 🙏🙏 Asante MUNGU kwa uweza wako na nguvu
Shalom
Tmk Dar es salaam
Amen Amen Asante Mungu kwa Neema yako 🙏🙏🙏🙏
🙏🙏 Amen