PAUL CLEMENT ALIVYOKUTANA NA MKE WAKE/NILIKUWA NAKAA KWA KINA JOEL LWAGA/WALINISHUSHA MADHABAHUNI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2020
- Baada ya #PaulClement kuachia wimbo wake wa Mwema aliyomshirikisha Bella Kombo,kwa mara ya kwanza amefanya mahojiano maalum na Mfinanga kwenye kipindi chetu cha #TheSoundOfGospel akielezea jinsi alivyoupata wimbo huo baadae kufunguka kinagaubaga kuhusu milima na mabonde ya huduma yake,Hii ni moja ya interview chache sana ambazo Paul ameongea kwa uwazi kuhusu yeye,ebu cheki nae..
The Sound of Gospel is a radio and Online Program brought by SirMbezi, Mfinanga In Association with Bethel Radio going live every Tuesday at 2PM On bethel Radio and later on In this You tube Channel.
Executive Producers - SirMbezi & Ignas Yonah (Bethel Radio)
Presenter - Gadielson Charles Mfinanga
Cameras - Edward Fanuel, SirMbezi
Studio Set Up - Ignas Yona/Bethel Radio
Photography - SirMbezi
Editing - Sirmbezi,
Mungu Awabariki Wazazi Wa Joel Lwaga
Napenda sana nyimbo za Paul clement especially wakati wa Mungu
Huu wimbo unanitia nguvu za kuendelea mbele hata ninapokuwa nimevunjika moyo, barikiwa zaid paul🙏
Watching from Kenya and we love Paul Clement, his songs really ministers to me,God bless you Paul, I pray God for the revelation of writing songs,I just love the way you composes your songs
I admire Paul's humility and staying true to the calling much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🔥🔥🥀❤️
Wow what a testimony Paul Clement...waaa Great Mungu akuzidishie neema.. 🙏 Your songs are such a blessing to me..Let your light continue shinning For God's Glory
.lots of love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ushuhuda unainua sana,mimi binafsi nimepata vitu vingi sana,safari ya imani nikumtazama Yesu
mwakanyamale respect sana kwako paul Mungu akuinue zaidi
Very humble guy. May God favor him exceedingly and abundantly.
Daaaaaah mwamba Mungu akufikishe mbali.
Nimetiwa moyo sana
God bless you Paul Clement. You are a rich blessing to the body of Christ. Watching from Nairobi Kenya
Watching from mombasa kenya,,,,,, mungu akuzidishie neema umekuwa wa baraka mno na uzidi kuwa wa baraka zaidi,,,, mungu aibariki familia ya joel
Big up sana kak Paul Clement, Sina maana ya kukushabikia kwa sura ya nje.... Hapana, Bali Nina maana ya kukushuru wew na MUNGU anayekutunza na kutuoabmaarifa ya kutuhudumia.
More grace bro,we love you from 🇰🇪🇰🇪
We love you Paul clement keep on delivering what God gave u❤️🙏
Mungu anawatoa mbali watu wake Paul barikiwa sana
Kikubwa Nikua mwaminifu Kwa BWANA, GOD IS FAITHFUL looking forward to you bro
Mungu akubariki una kitu cha tofauti Paul be blessed na your real servant of God
Be blessed bro poul. Najua ipo siku moja tu tutakutana
I love this guy...l thought he was a kenyan...God bless you paul. I would want to meet you in heaven someday
Pole mtumishi kwa hiyo sinario ya kushushwa madhabahuni, lkn si kila madhabahu inamuabudu MUNGU wa kweli so inawezekana kazi yako ilishusha moto pale ambao ulianza kuharibu kazi za watu, you never know, coz mimi nikisikiliza nyimbo zako nasikia uwepo wa MUNGU mno.
Barikiwa na uzidi kuongea mbele...I like the song...Mungu ni mwema...unapolia ni mwema,siku zote ni mwema
Nakupenda mtumishi naamn Mungu alokuvunsha ww atanivusha na mm n n mwimbaj mdogo.....
paulclement we love you so much, watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪
touchable story oooh my God...stay bless Paul
In short through this interview, there alot of lessons I have got, Pau l Clement through your ministry there many people in cluding me as Gibson laurean th e great gospel singer, we see God in your ministry.Long live.
Vraiment courage homme de Dieu suis béni 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Atainyosha njia yako ni wimbo ambao huwa unaniinua sana be bressed brother
For sharing your life with us, thank you. More grace, man, more grace...
Paul najifunza sana kwenu umenyenyekea sana bro na Mungu atakubaliki sana alafu mwanza nilikuwepo bro kwa Zakayo nzogere pastor amebarikiwa yule Sana na na lile kanisa jingine mmmmh! kanisa Mungu awasaidie zaid hatuwahukumu lakin walikuumiza sana
Adui alijitahidi kukupiga sana ila Mungu ni mwema
I love paul clement ....
Very powerful! Interview ever! 🙌🙌🙌🙌🙂....Kaka Paul kanibariki Sanaa na Kaka mfinanga unamaswali fire Sanaa 🔥🔥🔥 Mr.sir-mbezi the quality z super gwud! 🙌🙌🙌🙌🔥🔥😊
Mtumishi wa Mungu Bwana Asifiwe sana naitwa Telesphory kitali pia napenda uimbaji katika interview yako nimejifunza mengi sana pili pia naomba uniinue pia na mmi katika uimbaji wangu wa nyimbo za injili ningependa unisaidie pia na mimi Amen sana naimani majibu mazuri
Kaka zuravo nampenda sana kwa huduma yake nzuri
Endelea kunyenyekea kaka Paul, Bwana Atazidi kukuinua juu.
Mungu ni mwema kwa kweli...🇦🇬
Mungu akubariki sana nyimbo zako ni nzuri sana. Big up! God bless
Mpo vizuri bethel radio
Thanks so much brother
Thanks JESUS,I see my life
Ushuhuda unafurahisha sometimes but yote ni kwa ajili ya kushuhudia ukuu wa Mungu
Amenifanyia amani is still a hit in Kenya,hadi leo napenda huo wimbo.
Nmebarikiwa sana na kipindi
Story yako ni ya ku encourage @paulclement na nyimbo zako zina bless sana. God bless you for keeping on despite the changes. Endelea
Nimejifunza vingi na nimebarikiwa pia.
Mungu ambariki sana Paul Clement.
Kimetokea machoz mno Kuna wakat mgumu naupitia umefanya nipate nguvu ya kusonga mbele 😪🙏 MUNGU akubariki Sana Sana nyimbo zako zinafanyika Barak Sana kwangu🙏
Very inspiring brother 💪
Hahaaaaah.!! Hyo nimekuelewa............ Kimufindi
My favourite gospel artist
Yani Kuna maisha watu tunapitia ni zaidi ya wafungwa dah umetoka kwenye gereza kaka mwanafyale Mungu azidi kukuinua
Some one very humble asee daah
Aminaa kaka
Hawa watu wanajisikiaje kuona hii interview huku wakijua wao walikua ni miongoni mwa waliotaka kukushusha.
God is faithful you are going far
MUNGU amekutoa mbali, maisha marefu MUNGU AKUPATIE brother 💪
Dah!unanijenga saana bro!Unanibariki!naona kuinuka sana!siku Moja!nitakuwa pale!kuna mahali napaona
Umetisha Sana brother
Woooooow!!😍
Hongera kwa uvumilivu pamoja na Mungu
I good story ubarikiwe mno i m apostle Paul kalenga from lubumbashi drc
Paul is so funny,raha sana kumskiliza
My mentor Paul Clement 🔥🔥🔥🔥Neema ikutoshe bro
Paul ni baraka kwa Tanzania napenda kumsikiliza, ana historia nzuri sana japo inaumaa. Lakini ndio iliyomfanya afike hapo alipo.
,katyumii
Mtangazaji nimempenda sana mungu akubariki sana
That's my bro💥
Hustle is really mazee.. minister 🔥
Paul nimekusikiliza kwa makini sana. Naomba namba yako pliz.
Nice work kakaa
Ni nzuri sana
I like your song niwewe usiyeshindwa
Barikiwa
mr paul congratulations
nice
So amazing nimeguswa Na kiongozi wetu Paul
Mungu wangu daaah inauma
Wow God is good! Thanks for sharing your story binafsi I learn something.
Ongera
Mungu ni mwaminifu sana
Ya nimebarikiwa mnoo na ushuhuda huu i can't how to explain it
Big up sana
Dah nimeguswa sana
Kila unayemuona leo hajawa tu hvo kuna sehem katoka
Ooh I see me
Kumbe kulia kwenye huduma ni kawaida Yesu nitaimba sasa nitaimba tena
Mmmm pole sn P hakika lazma opposite kwenye moto ndio ungare, ujue kpind cha umenifanyia Aman nkua Nairobi, ni wimbo ulokua wapigwa kla sehem afu walkua wanajivunia sn wewe nlokua nae yaan my boss alkua anakupenda na kukusfia sn, ukwel tuljua sku ulfiwa na mdg wako kumbe n Mtz mwenzangu
Sasa haya maisha ndo zamu yangu 🤔
❤🎉
Siku zote. Mti wenyematunda ndio unaopigwa mawe
Nimetiwa moyo kabisaaa
🚶😍😍😍 duuuh kila mwanaume mwenye mafanikiyo kuna nyuma yupo mwanamke
Wazo jema
Mtaje tu, wachungaji wasio na maana hao..
Katuni
Anatengeneza ushuhuda wako,umshinde adui kwa ushuhuda wako
Paul ulilia walipokucrash kwny uimbaji,hujanifikia mimi but God is good
Walimcrash VP?
HAKIKA NAPATA KUBALIKI SANA KUPITIA HUDUMA YA POUL CLEMENT JAMANI@@@@@@@@@NABARIKIWA SANA
Brow!
Polee sanaaaa Kaka angu jmniiiiiiii Mungu mkuu mnoo Acha Mungu aitwe Mungu
Mungu akubariki paul
Vile vyooo vyaaa hahaha
Msiwe mnaweka mlio wa mzuki ili pawe kimya
Kwaio inakukela niuelewa wako ila ujui nguvu ya mziki au wimbo ungejua kitu kinachooneza ujasir hapo
Kama mie leo ñďò najujua pitia interview hiii hata wimbo wa wagen nilikua çjùì inaitwaje zaid naona watu wakiimba yataisha huwa najua BONGO flavour
Hii story inatufundisha kutendea wema watu wenye uhitaji hivi wazazi wa joel wangemtendea mabaya sasa hivi wangeweza kumtazama usoni🙄
Visit the school to be there by to get to
Mambo yalikuwa mengi kiukweli broo duh!
Dahhh 😂😂😅🤣😅🤣