INTERVIEW WITH ZORAVO/AWEKA WAZI KUHUSU NDOA NA BELLA KOMBO/MAMA YAKE AMSHAURI MAMBO HAYA/POWERDAY.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 179

  • @matimfuko641
    @matimfuko641 3 หลายเดือนก่อน +17

    This soul is blessed beyond measure he is very young but has a huge brain May the Lord continue to bless him abundantly 🤲🤲🙏

  • @finiascharles9163
    @finiascharles9163 3 หลายเดือนก่อน +4

    Zoravo siyo huyu wa interview tu..ila huyu ndie Zoravo wa maisha yake mtu flani ivi so Humble alafu very peace😊....Tunakupenda na Tunakufurahia Man of God....Binafsi Nakupenda KAKA.

  • @raizaerick9947
    @raizaerick9947 3 หลายเดือนก่อน +3

    You’re such a blessing to this generation. Uzidi kuinuliwa mtu wa Mungu

  • @LeahroseLeonard
    @LeahroseLeonard 2 หลายเดือนก่อน

    God bless you always kindly brother zoravo for such great wisdom .............
    ✍️inchi na vyote viijazavyo ni Mali ya Bwana ;
    ✍️"ikiwa watu wa MUNGU walioitwa kwa jina lake wakijinyenyekeza mbele zake,wakaziacha njia zao mbaya ,wakaomba MUNGU anaiponya nchi Yao 🙌🙌🙌

  • @Wiselov3r2.0
    @Wiselov3r2.0 2 หลายเดือนก่อน +1

    I wonder why people are bothered by this young man's hair. 🤔 we love you from 🇰🇪 🇰🇪

  • @lilianrichard7264
    @lilianrichard7264 4 หลายเดือนก่อน +7

    Hapo kwenye mambo yanayo tokea kwenye nchi umeongea point Sana mtumishi barikiwa Sana kweli tuzidi kuomba kwakuomba kwetu Mungu atabadilisha Kwa ukuu wake

  • @MikaMichael-o4v
    @MikaMichael-o4v 3 หลายเดือนก่อน +15

    Amina inavyoonekana unampenda Mungu vizuri lakini hizo nywele zako basi uwe unazichana kwani kuacha hivyo hivi wewe huonagi , ifike mahali na wewe kubali kufundishwa si kila kitu upo sahihi vingine unafanya vibaya labda mch wako anakuogopa au kukuonea aibu.

    • @julieeliah5511
      @julieeliah5511 3 หลายเดือนก่อน

      Inferiority complex 😢

    • @MagrethMussa-z3s
      @MagrethMussa-z3s 3 หลายเดือนก่อน

      Kwa kweli mmnh hapana

    • @lukelukenza01
      @lukelukenza01 3 หลายเดือนก่อน +2

      Mbn Yuko vzr tyu anapendeza bn,what z kuchana nywele in this generation my dear

    • @StacusMkama-kz1ht
      @StacusMkama-kz1ht 3 หลายเดือนก่อน +2

      Kweli , wokovu una maadili yake ,

    • @donking-d4t
      @donking-d4t 3 หลายเดือนก่อน

      Mungu haangalii hilo, anaangalia kusudi alilo liweka ndani ya mtumwa wake....

  • @MelensianaKemanzi
    @MelensianaKemanzi 3 หลายเดือนก่อน +10

    Mimi jamaa simjui ila Mungu ampe hekima zaidi na pesa na akiri kubwa ya kutumia ila kimbia zinaa inafelisha maisha pambana na jitahidi kumuuliza Mungu mke wa kuoa sahihi

  • @ruthtondi9559
    @ruthtondi9559 3 หลายเดือนก่อน +1

    You look smart brother,unawavuta vijana wengine Kwa Mfalme Yesu.

  • @CatherineSitati-t6g
    @CatherineSitati-t6g 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nice interview

  • @lydiabenjaminmgalula6189
    @lydiabenjaminmgalula6189 3 หลายเดือนก่อน

    Wakati wa Mungu ukikujilia mshukur sana Mungu na ujue unaneema juu yako, usiegemee kwa mtazamo wa kuonewa na kupgwa vita.Ila ktk hayo yote Mungu pia akupe neema ya kupambanua ili uishi ktk kusudi la Mungu 🤝🤝

  • @noelinaturuka8217
    @noelinaturuka8217 4 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu kaka ana akili sana 👏..... nice interview

  • @SharonDigara
    @SharonDigara 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda mtumishi wa MUNGU nimeelewa kuhusu maono

  • @goodluckisaiah1958
    @goodluckisaiah1958 3 หลายเดือนก่อน

    Very nice talk mdogo wangu, Mungu akuongoze zaidi una kitu kikubwa sana 🙏🏾, ila kuna wimbo nimeuona ukiimba mahali kuhusu hati ya mashitaka ilifutwa nautafuta, bigup sana Zoravo.

  • @lestidiaphidely-dw5hi
    @lestidiaphidely-dw5hi 3 หลายเดือนก่อน +1

    I have learnt alot 😢😢 😢😭😭be blessed 🙏

  • @consolatablasi6212
    @consolatablasi6212 3 หลายเดือนก่อน +16

    Baba hii ni dua yanguuuu unikumbuke......mbingu zikijaa sifa haleluya yangu iwe ya kwanza

  • @koniasalingo2165
    @koniasalingo2165 4 หลายเดือนก่อน +177

    Aliyekuja kuona video kwa sababu ya ndoa tujuane mapema

    • @SirasObadia
      @SirasObadia 4 หลายเดือนก่อน +3

      Nipo hapa

    • @kakubaamani247
      @kakubaamani247 4 หลายเดือนก่อน +4

      😂😂😂😂 haujaokoka wewe

    • @gervasmayanka9284
      @gervasmayanka9284 4 หลายเดือนก่อน +1

      haha

    • @debyqueen1
      @debyqueen1 4 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂

    • @xcbmedia8537
      @xcbmedia8537 4 หลายเดือนก่อน +2

      Mm hapa😂😂😂😂😂

  • @kayombo4730
    @kayombo4730 4 หลายเดือนก่อน +7

    Quality Sound
    #Congrats @Mr. Pazia

  • @AgnessDavid-y5e
    @AgnessDavid-y5e 3 หลายเดือนก่อน

    Nabarikiwa sana na interview yako,mwanangu Calvin anakupenda sana na anabarikiwa na nyimbo zako na ata mdogo wake anamwita Bella Kombo kwahiyo tunawapenda na Mungu awatumie vile apendavyo,Barikiwa sana mtumishi

  • @JojiPhilemon-ge6gc
    @JojiPhilemon-ge6gc 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hatupo kwaajili ya kuomba pekee wala hatupo kwaajili ya kupinga ila tumeagizwa kuomba panapopaswa kuombea na kuonya au kukemea ikiwa mifumo inaenda vibaya. lazima uovu wa mtu ufunuliwe na uwekwe wazi kisha ndo tunamuomba Mungu atupe amani na utulivu

  • @KikapaAmosi
    @KikapaAmosi 2 หลายเดือนก่อน

    Peace and Love brother zoravo big deal

  • @beatricemwandilawa5299
    @beatricemwandilawa5299 4 หลายเดือนก่อน +2

    Very powerful message... Blessed MOG

  • @DaniMyoba
    @DaniMyoba 4 หลายเดือนก่อน +3

    Good interview. Zoravo be Blessed uende mbali kama tai

  • @esterwayesu
    @esterwayesu 4 หลายเดือนก่อน +2

    Very powerful ❤❤🎉🎉

  • @tumainistephen8500
    @tumainistephen8500 3 หลายเดือนก่อน

    I surely love Zoravo…anakitu kikubwa sana atafika mbali

  • @NnalaNsangalufuMwangati
    @NnalaNsangalufuMwangati 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yes is true nimependa sana maelezo yake yuko vizur 👏👏

  • @mosesmligo9614
    @mosesmligo9614 4 หลายเดือนก่อน +11

    Zoravo anakarama ya Ualimu Piah ndani yake ... Mungu amuinue.🎉

  • @officialSethMwaigomole
    @officialSethMwaigomole 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ambariki sana ZORAVO na awabariki,,best interview

  • @StanslausTemba-lf3xm
    @StanslausTemba-lf3xm 3 หลายเดือนก่อน

    Kuna kitu nimejifunza sanaa mtumishi,Mungu akubariki sanaa🙏🙏🙏

  • @AnitaRweyemamu
    @AnitaRweyemamu 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu amekuinua kwa kizazi hiki hivyo hivyo ulivyo.... God bless you man of God 🙏

  • @PriscaWinston-y5v
    @PriscaWinston-y5v หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kukuinua Mtumishi

  • @Scolamhehe
    @Scolamhehe 3 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂kweliiii nami nimekuja kuangalia sabb ya ndoa

  • @Zephaniakitiku-e2w
    @Zephaniakitiku-e2w 4 หลายเดือนก่อน

    God bless so much de Sevant of God Bro.Zoravo and our Dorector Pazia🎉

  • @eddiegd289
    @eddiegd289 3 หลายเดือนก่อน +1

    I like it from first moment to last❤

  • @JenniferMakere
    @JenniferMakere 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mtumishi wa Mungu neno liko ndani yako

  • @judithazoria2602
    @judithazoria2602 3 หลายเดือนก่อน +3

    Yaan we kaka mtoto wangu wa miaka 5 anakufuatilia sana, Mungu akutunze ili tupate warithi wako wengi

  • @MickyMgeri
    @MickyMgeri 4 หลายเดือนก่อน +7

    Mbona watumishi hawaishii tu kuomba bali wanahibir wanafundisha na hata kuonya jaman?,mog zoravo uko vizuri sana but ni ukweli ulio wazi kwa moja kati ya changamoto inayolitafuna kanisa ubinafsi na unafiki.

  • @gracemacha9357
    @gracemacha9357 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huduma yako iko vizuri mnoo

  • @ElizabethJoseph-zb8ee
    @ElizabethJoseph-zb8ee 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimetoka na kitu leo,Mungu abatiki interview hii

  • @Wiselov3r2.0
    @Wiselov3r2.0 2 หลายเดือนก่อน

    Wise man.

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 4 หลายเดือนก่อน +11

    Jina la mama zoravo please ajuaye

  • @SylvierMugure
    @SylvierMugure 4 หลายเดือนก่อน +1

    Akili kubwa sana, Mungu akubariki

  • @StacusMkama-kz1ht
    @StacusMkama-kz1ht 3 หลายเดือนก่อน +1

    maadili ya wokovu yazingatiwe ,ili ushuhuda uwepo na injili iwafikie vyema walengwa.
    Muonekano wako ni kama muimba singeli , injili unayoitoa inakua ngumu kuwaokoa watu

  • @NaomiMbise-nf8vn
    @NaomiMbise-nf8vn 3 หลายเดือนก่อน +1

    Waooh glory glory glory

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 4 หลายเดือนก่อน +1

    Waoooooo that's good to hear

  • @godlistenlazaro775
    @godlistenlazaro775 3 หลายเดือนก่อน +1

    Zoravo we barikiwaga tuuuuh😂😂😂

  • @cardolightnesscardo
    @cardolightnesscardo 3 หลายเดือนก่อน

    Nabarikiwa una jibu kwa utulivu sana ubarikiwe

  • @paulkamete2947
    @paulkamete2947 3 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi hapo kidogo kila mamlaka imewekwa na Mungu kuna watu wajiweka

    • @AnitaRweyemamu
      @AnitaRweyemamu 3 หลายเดือนก่อน

      Hata waliojiweka... Ni Mungu ameruhusu

    • @harriethkinjoli5459
      @harriethkinjoli5459 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@AnitaRweyemamuile kwamba ameruhusu haimaanishi amekukubali.Sauli alikalia kiti cha ufalme kakini Mungu alimkataa asiwe mfalme.

    • @AnitaRweyemamu
      @AnitaRweyemamu 3 หลายเดือนก่อน

      @@harriethkinjoli5459 Mungu anaangalia moyo wanadam wanaangalia nje (mavazi na nywele) Kanisa la Tanzania linachelewa kumdhihirisha Mungu kwa sbb watu wako busy kunyoosheana vidole...

  • @AmosBhujiji
    @AmosBhujiji 3 หลายเดือนก่อน +2

    Umeniongezea kitu ubarkiwe sanaa

  • @Timmy-vr1wr
    @Timmy-vr1wr 3 หลายเดือนก่อน +1

    God bless you mtumishi

  • @JACKLINEPATRICKMLAY
    @JACKLINEPATRICKMLAY 2 หลายเดือนก่อน

    Ndivyo anavyopenda awe

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana mtumishi wa Mungu

  • @barricknattan2250
    @barricknattan2250 3 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sana

  • @diannvictoria
    @diannvictoria 3 หลายเดือนก่อน

    Wonderful..🎉

  • @faridamaneno5610
    @faridamaneno5610 4 หลายเดือนก่อน +2

    Una sauti nzuri hongera

  • @DORICASJSofficial
    @DORICASJSofficial 3 หลายเดือนก่อน

    Nimejifunza kituu hapaaa,KUJITOA KWAAJILI YA WENGINE,UTAKATIFU,USIFANYE UBAYA

  • @AmosBhujiji
    @AmosBhujiji 3 หลายเดือนก่อน

    Muñgu Akuzidishieee kabisaa

  • @rachelmruma3767
    @rachelmruma3767 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwakwel nimependa mfano🎉

  • @esterMahenge
    @esterMahenge 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ana sauti nzuri sanaaa mtumishi

  • @mbonimanafungo2491
    @mbonimanafungo2491 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji wake ananijua ivyo mnapoteza muda sana kumuhoji na kumfatilia kuhusu bela

    • @Baba_ZEBUU
      @Baba_ZEBUU 3 หลายเดือนก่อน

      Pole

    • @mbonimanafungo2491
      @mbonimanafungo2491 3 หลายเดือนก่อน

      @@Baba_ZEBUU pouwa

    • @Baba_ZEBUU
      @Baba_ZEBUU 3 หลายเดือนก่อน

      @@mbonimanafungo2491 ila nakushauri usiteseke sana
      Mtumaini mungu anaweza kukupa anatekustahili
      Huku kwenye comment utabaki kujichosha sana

    • @daisy-d5w2c
      @daisy-d5w2c 2 หลายเดือนก่อน

      @@mbonimanafungo2491😂

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 4 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa ana madini balaa kichwani

  • @SirasObadia
    @SirasObadia 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubaliki kaka

  • @jacksonmatosha8895
    @jacksonmatosha8895 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi huwa naona ibada tu kwako mtumishi hakika umebeba ibada kaka.UTUKUFU KWA MUNGU.

  • @hopekabendera9084
    @hopekabendera9084 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo kwenye maono na mawazo✍️

  • @pastorgodsonissa8484
    @pastorgodsonissa8484 3 หลายเดือนก่อน

    God bless you

  • @HaikaJohn-w3h
    @HaikaJohn-w3h 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nyoaaaaa ndevuuuu

  • @patrickmakasi7175
    @patrickmakasi7175 3 หลายเดือนก่อน +1

    Fedha si kitu bila sisi... Ila sisi ni sisi bila fedha

  • @officialSethMwaigomole
    @officialSethMwaigomole 4 หลายเดือนก่อน +2

    Safiii

  • @Beatrice-h4v
    @Beatrice-h4v 3 หลายเดือนก่อน +1

    Good

  • @bettykageza1964
    @bettykageza1964 4 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe sana

  • @daudilangison-gj4yo
    @daudilangison-gj4yo 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mtumishi hoja hizo nywere zinapoteza ushuhuda

    • @MagrethHaule-u9w
      @MagrethHaule-u9w 16 วันที่ผ่านมา

      Zinapoteza ushuhuda kwako siokwa Mungu kikubwa amaniya moyo

  • @AhmediSaidi-ju4py
    @AhmediSaidi-ju4py 3 หลายเดือนก่อน +1

    @zoravo si ufunge ndowa bloo

    • @koniasalingo2165
      @koniasalingo2165 3 หลายเดือนก่อน

      @@AhmediSaidi-ju4py natarajia kufunga mwezi ujao kaka

  • @matrixhaoscar9987
    @matrixhaoscar9987 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael9431 3 หลายเดือนก่อน

    Hizo nywele zilivyo sio utukufu ,,,acha kudanganya ,

  • @cresousenock5675
    @cresousenock5675 3 หลายเดือนก่อน +4

    Nywele ndo kikwazo kaka vingine viko sawaaa tuu

    • @donking-d4t
      @donking-d4t 3 หลายเดือนก่อน

      Kikwazo kwako, lakini si kwa alieweka kusudi lake ndani yake

  • @sifaghati4761
    @sifaghati4761 3 หลายเดือนก่อน

    Kwaiyo hakuna mambo ya ndoa nisiendelee

  • @JACKLINEPATRICKMLAY
    @JACKLINEPATRICKMLAY 2 หลายเดือนก่อน

    Nyweele za nini kuwa upendavyo mtumishi

  • @gladishaule9261
    @gladishaule9261 3 หลายเดือนก่อน +6

    Toa manywele marefu yaliyovirigana juu kama mtu wa mataifa...nina imani ukinyoa vizuri utakuwa smart kama Kaka Ambwene Mwasongwe na hizo nyimbo.. uwepo wake utakuwa si wa kawaida na Mbingu zitafurahi sana...lkn ktk yote zidi kuinuliwa juu.

    • @navojosephat656
      @navojosephat656 3 หลายเดือนก่อน +1

      Pole ujumbe wako umejawa ukakasi, na makasiriko.

    • @lucympelembwa7836
      @lucympelembwa7836 3 หลายเดือนก่อน +3

      Halafu Mungu Hana hayo ,anaangalia moyo unaweza ukawa smart lakini moyoni haupo vizuri,yeye ndivyo style yake anayopenda so mwacheni kijana wa watu kikubwa ni kumuombea Bwana amwinue afanye huduma vyema na kupitia yeye watu wakafunguliwe

    • @AnthonyChaula-d8l
      @AnthonyChaula-d8l 3 หลายเดือนก่อน

      Completely you know nothing

    • @heriethsixbert475
      @heriethsixbert475 3 หลายเดือนก่อน

      Sikiliza huduma yake mpendwa mengine muachie yeye na Mungu wake

    • @WilsonMshindo-w5d
      @WilsonMshindo-w5d 3 หลายเดือนก่อน

      Gradis haule.. shida inaanzia kwenye kanisa alolelewa yeye liko free sana tofaut na mimi na ww ambavyo kwetu wachungaji wetu wanayapigia kelele. Mwisho zambi za kuiga pia nyingi sana na bado tutaona mambo ya ajabu kuliko mitindo ya nywele

  • @Myahudiogw4d
    @Myahudiogw4d 4 หลายเดือนก่อน +2

    𝐾𝑢𝑚𝑏𝑒 𝑢𝑦𝑢 𝑗𝑎𝑚𝑎𝑎 ℎ𝑎𝑗𝑎𝑜𝑤𝑎 😢😢😢😢😢

    • @phinaswai4718
      @phinaswai4718 3 หลายเดือนก่อน

      Lakini anamchumba😂😂

    • @Myahudiogw4d
      @Myahudiogw4d 3 หลายเดือนก่อน

      @@phinaswai4718 yup uyo

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 3 หลายเดือนก่อน

    Mnipitye please

  • @elitorokaa4858
    @elitorokaa4858 3 หลายเดือนก่อน

    🤔🤔🤔

  • @abigailjoseph7620
    @abigailjoseph7620 4 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @emmydickson1660
    @emmydickson1660 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😅 yaani

  • @WilsonMshindo-w5d
    @WilsonMshindo-w5d 3 หลายเดือนก่อน

    Kaka punguza nywele mtumishi wa mungu huwa ana sura tofauti na wapagan. Ndio maana wanaosokota manywele inajulikana ni wahuni coz ndio asili yao. sura ya mtumishi hata police akiiona wala hawi na mashaka ana anaweza kukutetea kutokana na mwonekano wako pia mtumishi ni mtu alielidhika na hapendi makuu kama uzuri au usmat mungu ndie uzuri wake . Kama ilivyo tofaut kati ya mkubwa na mdogo hata sisi tujitofautishe na wapagan kimwonekano,kitabia,kimaadili,kielimu. Nakuombea mungu akusaidie na nawaombea wote nimegundua mungu ana vyombo vizuri ila giza limevifunika.

  • @priscambise2660
    @priscambise2660 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mama yake anaitwa nani cjaelewa

    • @Baba_ZEBUU
      @Baba_ZEBUU 3 หลายเดือนก่อน

      Mama kilembe

    • @yoelimwiwa6827
      @yoelimwiwa6827 2 หลายเดือนก่อน

      Mama mchungaji kilembe

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera servant of God

  • @mbonimanafungo2491
    @mbonimanafungo2491 3 หลายเดือนก่อน +1

    Muwe na akili ya kujua hiki ni kitu gani sio mnakupuruka tuu, na mkae mkijua ana mke na sio bela kombo lizee, rudieni tena muone. Mmenitafuta ee mtanyooka

    • @doricesanga3287
      @doricesanga3287 3 หลายเดือนก่อน

      Mbona umepanic dada ,wewe ndo mchumba wake nn😄

    • @doricesanga3287
      @doricesanga3287 3 หลายเดือนก่อน

      Ndo umwite mwenzako mzeee khaaah

    • @mbonimanafungo2491
      @mbonimanafungo2491 3 หลายเดือนก่อน

      @@doricesanga3287 nimwitaje yani? Sijaelewa

    • @doricesanga3287
      @doricesanga3287 3 หลายเดือนก่อน

      @@mbonimanafungo2491 Umeandika hapoo bella kombo lizeee

    • @doricesanga3287
      @doricesanga3287 3 หลายเดือนก่อน

      @@mbonimanafungo2491 kwan uzee wake wewe unakuhusu nini mpaka unapanic kiasi hicho?

  • @fanuelgobrey8452
    @fanuelgobrey8452 4 หลายเดือนก่อน +1

    blaza nina picha yako ya upara-- usisahau ilo

  • @jacobkassim5509
    @jacobkassim5509 3 หลายเดือนก่อน

    Toa manywele hayo mpendwa wewe ni kio cha jamii. Kuna vijana wadogo wakutazama na wanaiga .kama unamcha Mungu anglia unavyokwaza watumishi .au kama hunyoi basi .uwe unazichana basi uwe na mwonekano wa kilokole . Mimi naamini kwamba weeewe ni mtumishi wa Mungu mkubwa lekebisha tuu mwonekano wako many manywele kama wavuta bangi. Usiwe na msimamo ya katokutaka kushauriwa labda tuu kama umejiunga na mashetani ufuge mwanywele ill iwe kama kivutio na kupata umaarifa

  • @gabrielmwakalobo3700
    @gabrielmwakalobo3700 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa mfano 😂

  • @mbonimanafungo2491
    @mbonimanafungo2491 3 หลายเดือนก่อน

    Msiniletee jasho kwa huyu mwanaume ,mkiimba huko mnakuwa na jasho hukoo muishie kwenye nyimbi zenu

  • @mbonimanafungo2491
    @mbonimanafungo2491 3 หลายเดือนก่อน

    Rudinu tena muone. Na bado atawasumbua sana na ivi kapata sura na bado

  • @FurahiniJ
    @FurahiniJ 4 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye mfano amefanya tuelewe vizuri

  • @mbonimanafungo2491
    @mbonimanafungo2491 3 หลายเดือนก่อน

    Msirudie tena kumuhoji huyu zoravo kwa chochote kile , hana mapenzi na bela na haitokuwwpo. Mungu awarudishie pressure zenu, mtumishi siku zote anakuwakaga ivo? Msiniletee mambo yenu ,mbona nyuma hamkubeba na huyo bela wenu

    • @Baba_ZEBUU
      @Baba_ZEBUU 3 หลายเดือนก่อน

      Mbona kama unateseka sana kulikoni

    • @felisterben6716
      @felisterben6716 3 หลายเดือนก่อน

      Hahaha yaan cimuelew huyu dada anateseka na nn mara mchungaji wake ananijua hahaha Acha shobo binti

    • @mbonimanafungo2491
      @mbonimanafungo2491 3 หลายเดือนก่อน

      @@felisterben6716 hahahaha na bado

    • @mbonimanafungo2491
      @mbonimanafungo2491 3 หลายเดือนก่อน

      @@felisterben6716 ndo mnapenda amuoe limama

    • @mbonimanafungo2491
      @mbonimanafungo2491 3 หลายเดือนก่อน

      @@felisterben6716 huko kamcoment lizee bela

  • @mbonimanafungo2491
    @mbonimanafungo2491 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa ivi sitaki kusikia mambo yenu uyo kuhusu zoravo. Lasivyo tutakosana pakubwa

  • @GulainBlessing
    @GulainBlessing 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @matrixhaoscar9987
    @matrixhaoscar9987 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤