Ur so humble brother Paul,Mungu azidi kukuinua🙌
Mungu akusaidie kaka na kuzidi kuwa mnyenyekevu
The only celeb waweza pandanae matatu afu mkafurahi tu! 🤣🤣🤣🤣
Much respect!
Huu wimbo ulinitoa mahali pabaya wakati WA 2020 a aaaah Mungu akubariki
So nice...bro paul nakupendaga Sana ..!!!umeeleweka vyma ...Kaka Mfinanga..you always on top..nakufatilia saana
Hongera sana MUNGU akubariki sana endelea kuishi maisha yako.
Basi nipe na mimi mda waku fanya kitu na wewe mwalimu, i'm Franklin Faith from 🇨🇩🇨🇩 DRC
Mungu aendelee kukupandisha viwango na viwangu unanibariki sana
Asante sana kaka unanibariki sikuzote
Wewe ni wa baraka Paul Clement!!!
Wow, powerful!
Mwemaaaa so powerful
Uyu Mkaka Paul Jmn 🥰🥰
Wow uko kama mchungaji
God bless you
God bless you brother 🙏🙏
So inspiring keep up bro
great interview
Kaka interview nzuri na Ina jenga
Nice
Kazi njema wakuu
SIR MBEZI 📌📌
Good job brother napenda sana huduma yako naamini mungu atakuinua zaidi.
Even me nikiimba huu wimbo nabubujikwa machozi mno. Una upako huu wimbo
Sijui kama kuna siri hapo hahaha
Uko vinzuri kaka Poh!
Mwema ni wimbo mzuri sana the first day tu nimeusikia ulinibariki
Bro interview Ni nzuri but fupi sana
We celebrate you Paul...mungu amekueka mfano wakuigwa..personally nyimbo zako Zina upako mwingi b blessed dear...from Kenya