MUME AMTESA NA KUMTELEKEZA NA WATOTO NANE (8)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 96

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 2 ปีที่แล้ว +4

    Subhaana لله Husseen mwinyi mtizame huyu mama. Kesho الله atakulipa.

  • @bintmuhammad4913
    @bintmuhammad4913 2 ปีที่แล้ว +3

    Pole kwa mtihani. Allah akufanyie wepesi

  • @hadharaalli5201
    @hadharaalli5201 2 ปีที่แล้ว +4

    Waume muzadhima Mbele ya mungu kwakweli daah pole mwanamke mwenzangu inaumaaa sna usikate tamaa mungu anakuonaaa atakupa faraja in Shaa Allah

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 2 ปีที่แล้ว

      Hawa ndio wale waliochagua wanaume wao wenyewe wamechagua masharo baro halafu wanatuletea matangazo yakikukuta mnaanza maneno

    • @mtumwajuma3906
      @mtumwajuma3906 2 ปีที่แล้ว +5

      @@khatibabass3106 khatibu nakuit x2 hii dunia kila 1 na matatizo yake usione wewe unauwadilifu na mkeo omba mungu uwe hai ili utunze familia yako ili mkeo asije kuwa mjane na ukamuwache watoto

  • @mwanaidatkhamis5310
    @mwanaidatkhamis5310 2 ปีที่แล้ว +4

    Pole Sana mama angu dah wanaume watu wabaya mtihani Allah akupe subra

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 5 หลายเดือนก่อน

      Sio , kweli mtu yyte anaweza kuwa mbaya àwe mwanamme au mwanamke inategemea na alivyo mtu

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 2 หลายเดือนก่อน

    Allshu akbar allah atutie nguvu na tuweze kumangalia mama huyu inshallah

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 2 ปีที่แล้ว +6

    ujue kuna waume na magume ,.mume wa kweli.hatelekezi familia yake hata kama akiwa ameachana na mke Mume ni Lazima ahudumie watoto wake lakini mijitu mengine Mishenzi tu

  • @saidjunior5247
    @saidjunior5247 2 ปีที่แล้ว +4

    Umr uwoo watoto nane duh il allah akusaidie

    • @Awatee
      @Awatee 2 ปีที่แล้ว +4

      ALLAH amuekee wawe wema

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 2 หลายเดือนก่อน

      Ttzo wapemba tunazaa bila ya mpangili

    • @Humble.....
      @Humble..... หลายเดือนก่อน

      @@AliNassor-qt6fm Somo MUOGOPE ALLAH….

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm หลายเดือนก่อน

      @@Humble..... Uzazi wa sio Haram katika dini

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 ปีที่แล้ว +1

    Mwanamke mzr ma sha allah
    Allah akujaze subra

  • @qurankareem2275
    @qurankareem2275 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi aliekuwa na nia ya kutoa kikwazo kikawa kipato au mazingira, Ampe moyo wa kutoa maisha yake yote DUNIANI na Akhera , na Amjalie wepesi wa kipato na mazingira ya kutoa Maisha yote hadi siku ya kumfisha, NA ili Nafsi yake iridhike, AMIN

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 ปีที่แล้ว

    Ma sha allah wtt 8
    Allah awabariki na awahifadhi
    Kiongozi wa nchi msaideni huyu mama ajengewe vyumba 3 aushi na wanae ajistiri viongozi mnawajibika mjiandae na majibu ya kumjibu allah siku ya kuhukumiwa watu

  • @MariyamusefukhamissiMariyamuse
    @MariyamusefukhamissiMariyamuse 4 หลายเดือนก่อน

    Subhannal-llah ya Rabby tuweke wepesi tujalie moyo wauruma

  • @alisuleiman1528
    @alisuleiman1528 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole Allah akufanyie wepesi

  • @AIFOSMUGOTV
    @AIFOSMUGOTV ปีที่แล้ว

    mimi sina cha kuwapa watu kama hawa ila nawaombea Alah awasaidie...Allah awape umri muzidi kuwasaidia watu kama hawa....aaamiin

  • @zainabuali9915
    @zainabuali9915 2 ปีที่แล้ว +1

    Allah atkfanyia weps in shaa Allah

  • @hafazstanzania5577
    @hafazstanzania5577 2 ปีที่แล้ว +3

    Mwanamke mzur 😍

  • @alafasyquran9806
    @alafasyquran9806 2 ปีที่แล้ว +1

    Assalam alaykum Allah akufanyien wepsi

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 ปีที่แล้ว

    Allah ni mwingi wa rehma jamani jamani tujifunze katika maisha yetu wenzetu wanaishi maisha magumu

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 ปีที่แล้ว

    SUBHANALLAH ALLAHU AKBAR
    MUIJULISHE SEREKALI INAUWEZO KIYASI CHAKE

  • @hafazstanzania5577
    @hafazstanzania5577 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana ila jamani kuna uzazi wapango leo hii kam hivi unazalilika na watoto

  • @alafasyquran9806
    @alafasyquran9806 2 ปีที่แล้ว +4

    nahitaji nambar ya simu ya Bibahati nimeguswa san nahil jambo

    • @mtumwahaji3194
      @mtumwahaji3194 2 ปีที่แล้ว

      Hee utamsaidia sana ukimuoa mungu atakulipa

    • @alafasyquran9806
      @alafasyquran9806 2 ปีที่แล้ว

      @@mtumwahaji3194 inshaallah nipatie maasilian yake ili tuwez kumsaidia ple tutapojaaliwa

  • @user-pk8bp7th9e
    @user-pk8bp7th9e 4 หลายเดือนก่อน

    Mbona mdogo ana watoto nane

  • @aseahassn88
    @aseahassn88 2 ปีที่แล้ว +1

    inasikitisha sana Jamani

  • @user-ur6zr7wc8n
    @user-ur6zr7wc8n 2 ปีที่แล้ว +2

    subuhallah

  • @imranmahmoud1012
    @imranmahmoud1012 2 ปีที่แล้ว

    Waza kufanya biashara Kwanza uweze kuhimili kulea watoto wanaokuja kutaka kukuowa kwa Sasa anataka tu kutumiza matamanio yake Allah akutie nguvu mama inshallah

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 ปีที่แล้ว

    Mtihani mkubwa huo mwaname anakuwachiya watoto bado mdongo huyo mama watoto wanaume kweli hawatutaki hii mtihani mungu atasaidia ishaalah

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 ปีที่แล้ว

    Mtihani

  • @wahidahamadali2563
    @wahidahamadali2563 ปีที่แล้ว

    Mzur huo mama maskin

  • @machetebogota4218
    @machetebogota4218 2 ปีที่แล้ว +1

    Yote Sawa lakn c kuzaa huku unashindwa ata kutumia tareh kwel
    Tafut biashara basi ufanye zungusha hata matunda barabarani na maisha yataenda

    • @zainabmohammed6700
      @zainabmohammed6700 2 ปีที่แล้ว +3

      Mh so maneno ya kumwambia ayo km ,,,,,s kuzaa huku,,, hapan ndo kajaaliw uzazi hujuw yup atamfaaa tumuomb mung amfsnyie wepesi apate sehem y kukaaa astrike n watoto wake

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 2 ปีที่แล้ว +2

      Si wote wanaelewa unachokielewa azungushe matunda anayapata wapi?unadhani mtu km huyo akipata mtaji hafanyi biashara??au unasema tu ww ah! Ama kweli mzigo wa mwenzio ganda la usufi

  • @pilykingo
    @pilykingo 2 ปีที่แล้ว +3

    Inaskitisha Sana ALLAH سبحانه وتعالى Atamfanyia wepesi . Uzuri umewavutia lakini watoto wamewatelekeza . Tupo pamoja nae In Shaa ALLAH. Sasa hizo namba ni ipi ya bi Bahati ?

  • @mussamc641
    @mussamc641 ปีที่แล้ว

    Da mm mwanamme lakin kutelekeza dam yangu ..nafsi itanisuta kila mda yaan mtihan kwakwel

  • @talibanalshabab3680
    @talibanalshabab3680 2 ปีที่แล้ว +1

    Mm uwezo sina rabda nikuoe tulee watoto wetu

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d ปีที่แล้ว

      Nijambo la kher Mwenyeez Mungu atakulipa kwasababu utakacho kipata hata kama kidogo mwanamke anaridhika baadhi ya wanaume hawajui mke anahitaji nini mwanamke anahitaji furaha ikiwemo maneno mazuri wanaopenda pesa ni wachache

  • @user-iy7xy1np7c
    @user-iy7xy1np7c 2 หลายเดือนก่อน

    Mtu wewe masikini uwezo huna unaenda kuoa wake watatu duh !! .Huyu m.mme kweli selfish , dada zanguni kweli munapenda kuolewa lakini jaribuni kuwaangalia na hao wanaume wanaowataka kuwaoa

  • @maryamalli9090
    @maryamalli9090 2 ปีที่แล้ว +2

    Tatizo alfattah hamuweki hizo namba za kuwasaidia wanyonge? Sasa tutawapata vipi wekeni namba kwenye screen ili tutoe chochote

    • @husna34562
      @husna34562 2 ปีที่แล้ว +1

      Namba hizo zatembea kwa screen

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 2 ปีที่แล้ว

      @@husna34562 hizo ni za benk au mtandao gani tujuulishe basi

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 2 ปีที่แล้ว +1

      @@maryamalli9090 kuna mpesa ..tigo na no za kawaida ...sio zote za bank angalia vizuri

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 2 ปีที่แล้ว +1

    Mambo km haya Allah ana chukia km mutamsaidia asaidiwe kimwa bila maonyesho ktk mitandao na Maredio Tukisaidia Wanyonge Tusaidie kwa utaratibu aliotufunza Allah Ili tupate Radhi zake

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 ปีที่แล้ว +2

      bila ya kutangazwa wewe ungeyajuaje haya

    • @chudimasoud9604
      @chudimasoud9604 ปีที่แล้ว

      Usiwe mjinga fuatiia madrasa vizuri Babu aya inasema kwa siri na dhahiri bila kuonesha tungejuwaje na watu wngepata vipi kuchangia ,inatakiwa ujuwe lipi lenye manufaa kutangaza sio dhambi ,

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว

    Ommy Dimpoz na Diamond tunawalaumu Kwa kuwakataa Baba zao kwakuwa hawakuwajali wakiwa watoto, lakini tukiwaangalia hawa kwakweli unakubaliana nao kabisa kuwakataa!!

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx 5 หลายเดือนก่อน

    Matunda ya ccm ndio haya watu wanaishi maisha yatabu kutokana nautawala wakidhalim mbovu wakishezi

    • @user-iy7xy1np7c
      @user-iy7xy1np7c 2 หลายเดือนก่อน

      Duh wewe kweli huna akili. Kwahiyo CCM ndo ilomfanya awe na watoto 8 ,uzazi wa mpango ni muhimu acheni kulaumu wengine kwa makosa yenu

  • @khumayraabdulla96
    @khumayraabdulla96 ปีที่แล้ว

    Jamani huyu mama ameishiaje habari yake

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wapemba tuzae kwa mpangilio , uzazi wa mpango unaruhusika katika dini

  • @abdulisaidi6677
    @abdulisaidi6677 2 ปีที่แล้ว

    Dah jam wasaidie awo w2 mm hp natok machoz jis nilivyo waon haw

  • @TheFire_Gamer
    @TheFire_Gamer 2 ปีที่แล้ว

    Maskin wee bado mama mdogo

  • @muyaomar5617
    @muyaomar5617 2 ปีที่แล้ว +1

    Nipo tayari kuowa ikizidi dadayangu mkuu

    • @zaibonge7867
      @zaibonge7867 2 ปีที่แล้ว +3

      Sio tu unataka kuoa utatimiza huduma za watoto hao ... Kama kweli unania ALLAH akufanyie wepesi InshaAllah

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 2 ปีที่แล้ว

      Tatizo sio kuoa tatizo huduma kaka yangu watoto nane hao sio mchezo Wala lele mama

    • @husna34562
      @husna34562 2 ปีที่แล้ว

      Aramfungulia biashara wasaidiane

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 ปีที่แล้ว

    serikali banah nyie munawapata vipi na munajuwaje watu kama hawa ata serikali haiwatafuti hatuna viongozi tanzânia

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 2 ปีที่แล้ว

    Hii chanel mbona hajibu inavyoulizwa

  • @abdulfattaah4510
    @abdulfattaah4510 2 ปีที่แล้ว +4

    أيها الرجال اتق الله تعالى وعدلوا بين أزواجكم
    وعاشروهن بالمعروف والله إنكم محشورون يوم القيامة وسوف تسألون يوم القيام كلكم راع وكلكم مسؤولون عن رعيته
    ولذلك أوصان الله بالأولاد قال الله يوصيكم الله في أولادكم

  • @imranmahmoud1012
    @imranmahmoud1012 2 ปีที่แล้ว

    Halafu binti mdogo Bado sema tu kazaa haraka haraka

  • @fundiissa5226
    @fundiissa5226 2 ปีที่แล้ว +1

    Wekeni namba niwatumie prsa

    • @husna34562
      @husna34562 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwa screen zatembea

    • @mohamedsalimsuleiman7014
      @mohamedsalimsuleiman7014 2 ปีที่แล้ว +1

      Pole sana dada yangu , binadamu tunakua na dhana ila mwenyezimungu amesema tujiepushe na dhana usimdhanie mtu ubaya ambao hajaufanya kama kama una nia ya kumsaidia msaidie tu

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว

    Huna pesa kwnn unaoa tn unao wake wengn duu

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 ปีที่แล้ว

    😪😪

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 4 หลายเดือนก่อน

    Heee subhanallah Bora ninyamaze maisha magumu watoto nane heeee nane 😮

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 2 ปีที่แล้ว

    Asidanganye watu aache tabia mbaya ,anawakataza waoto wasiende kwa baba zao anawakumbatia wala hawawezi anakumbatia kiburi ,mdomo uache na usipoangalia utaziniwa sanaaaaa .wanawake acheni ujuaji mkiambiwa mnaweza mnaona sifa wale wanaokitieni ushetani hule wameshalaaniwa haitaji mume wala nn we we unamfata unaangamia

    • @Awatee
      @Awatee 2 ปีที่แล้ว +2

      Jirani yak unamjua ndugu wanaume wengi hawapendi huduma uo ndio ukweli wanawake wanavumilia mengi ten wengine wamo kwenye ndoa na hawatoi huduma

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 2 ปีที่แล้ว

      @@Awatee soma maelezo yake utakuta nimuongo ,wanaume wawili wote wamtende ? Huyo anatabia chafu

    • @ramlaali4130
      @ramlaali4130 2 ปีที่แล้ว +1

      Omba yasikukute

    • @aishachambo8663
      @aishachambo8663 2 ปีที่แล้ว

      @@khatibabass3106 Wanawake wa huko wajeuri sana

    • @madinamashaalla649
      @madinamashaalla649 2 ปีที่แล้ว +1

      au ndoo wewe mwenye watto maana unaongea kwahasira bilahuruma kamavile wewe ndoo mwenye mji ulie terekeza

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 2 ปีที่แล้ว

    Nikweli unashida lakin siamin kamakweli mme akwambie nakuacha kwaajili ya shida tatizo kunabaadhi yawanawake wanamidomo sn hd waumme wanawakimbia baadhi yatime wanaomba taraka wenyewe nabadaae wanaanza shida

    • @zainabuali9915
      @zainabuali9915 2 ปีที่แล้ว

      Huwez kuamin kam hyajkufik tuombe salam in shaa Allah

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 2 ปีที่แล้ว +1

      Huyu huenda mdomo ulimponza wanaume sio rahisi kuamkatili hivyo hasa kwa watoto ,mdomo unamponza au kuna makubwa anafanya huyo

    • @azizaaziza7996
      @azizaaziza7996 2 ปีที่แล้ว +1

      @@khatibabass3106 usihukumu kitu usicho kijuwa broo mama ana mdomo watoto wake je ? Wana nini na hakuna anosemea kichogo kila mtu mdomo anaonlabda Allah alompa ulemavu

    • @madinamashaalla649
      @madinamashaalla649 2 ปีที่แล้ว

      inaonekana wengine munaojibu yasiyo ereweka wala yamsingi hamujaingia kwenyendowa mkayajuwa mazuli yaliyomo au mabaya yaliyomo ndoomaana minaongea bilahuruma kwanilipi laajabu kwamwanaume kwamba anaweza kuogopa kumwambiyaa

    • @utandachake6134
      @utandachake6134 ปีที่แล้ว

      Anyi binaadamu tukumbukeni wacha wa ugumu wa maisha bado zamana ya watoto hawo inabaki kwako jee unajitayarishaje ma majibu kwa allah zidi maonevi ya vizazi vya wenzeni

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 ปีที่แล้ว +1

    watoto 8 na bado unataka kuolewa wakati mwenye watoto kakukimbia nani ataweza hiyo shughuli sio mchezo wa ulezi

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 2 ปีที่แล้ว

    Shida unampataje huyu

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 ปีที่แล้ว

    wewe sio mjane maana yupo hai isipokuwa wanaume tamaaa za utupu tu kuongeza wake mwisho ww siku ndooo hayo yanawashinda

  • @thabitikimu3892
    @thabitikimu3892 2 ปีที่แล้ว

    Kwann ufikie huko na wakati baba zao wapo
    Unawatia uadui watoto na baba zao ebu alfatah fuatilieni hao baba wa watoto pia tuwasikie wanasemaje
    Huwezi mwanamke kuachwa bure kuna shida hapo mume wa kwanza kakuacha na pili pia kakuacha !!!
    Jitizame kwanza

  • @mussamc641
    @mussamc641 ปีที่แล้ว

    Da mm mwanamme lakin kutelekeza dam yangu ..nafsi itanisuta kila mda yaan mtihan kwakwel