Tuhuma za kiswapanza pemba yawaeka roho juu watu wa wete kuhusiana ulaji kasa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 มี.ค. 2024

ความคิดเห็น • 33

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kasa NG'amba anasumu kweli haliwi sisi tupo tanga tunawajua vizur Kasa yani yule mwenye rangi nzuri za kuiva ndio Kasa NG'amba haifai kumla anasumu

  • @fatmaabdalla2707
    @fatmaabdalla2707 3 หลายเดือนก่อน +2

    Umeongea vyema mzee wangu

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mzee mwinyi fungate iko wapi

  • @user-mq4df1np9i
    @user-mq4df1np9i 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tumejifunza ktu mzee hogera mze mwinyi 🙏🕋👁

  • @OmarMohamed-zf8dp
    @OmarMohamed-zf8dp 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndoma anapigwa sindano

  • @yahyamakamo5144
    @yahyamakamo5144 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safi kaka

  • @princesaha3262
    @princesaha3262 2 หลายเดือนก่อน

    Kasa ni mtamu sana.

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim2680 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mabeberu ndio wanao wawekea sumu na vinembo vyao,,,,lkn hakuna kasa alie na sumu kimaumbile.

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 26 วันที่ผ่านมา

    Ww kiufupi sema kwamba kasa asiliwe, kasa wanakua na sumu

  • @abdallahkassim8600
    @abdallahkassim8600 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ww wach ujing kuwatusi wpemb ww hao wapemba ndio wanaokulisha

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf หลายเดือนก่อน

    Tuwe NA msimamizi tusinunue nyama ya Kasa maana hatari

  • @princesaha3262
    @princesaha3262 2 หลายเดือนก่อน

    Ukiona hvyo alikuwa hataki liwa.

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim2680 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwasaka tonge semeni uongo

  • @OmaryAlly-mn6cv
    @OmaryAlly-mn6cv 3 หลายเดือนก่อน

    Kasa, kasa, kasa, kasa hafai kuliwa, hafai kwa hukumu yake pia kwaathari zake.

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mie naona mutanikosesha minofu jamaani

  • @georgenjeri8547
    @georgenjeri8547 3 หลายเดือนก่อน

    Si Huyu Ni Babu Juma Aseli Khalfani Kutoka Misitu Ya Kiuyu Pemba?Huyu Mganga Ambaye Anafuga Majini,Katikati Ya Bahari Hindi La Zanzibar.Anafanya Dua Na Na Kutuma Makombora Duniani Kote

  • @hukhrakhamis4311
    @hukhrakhamis4311 3 หลายเดือนก่อน

    Marejeo

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5uk 3 หลายเดือนก่อน

    Mnarogana tatizo

  • @slemansleyum1251
    @slemansleyum1251 3 หลายเดือนก่อน +1

    Muhamedi kombo mwapotelea wap mbon hatuwaoni

  • @user-og6jy1lq7w
    @user-og6jy1lq7w 3 หลายเดือนก่อน +1

    🇹🇿🤔🤔🤔🤔🤔🇹🇿

  • @user-xk1ot4nq7f
    @user-xk1ot4nq7f 3 หลายเดือนก่อน

    Kasa ni haram kumla kwa ushahid wa kur,ani na hadith

  • @nassor8819
    @nassor8819 2 หลายเดือนก่อน

    Sio kachara huyu?

    • @princesaha3262
      @princesaha3262 2 หลายเดือนก่อน

      Mzee mwinyi mpeku wa peku la ungo

  • @user-oj8bk5xn8n
    @user-oj8bk5xn8n 3 หลายเดือนก่อน

    Metafuta mpumbavu ndio aisemee jamii uyu mwinyi chizi ukimuona tu wajua

    • @ahmadSeif860
      @ahmadSeif860 3 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga ww, kwani kaongea uongo?

    • @hassanmakame4016
      @hassanmakame4016 3 หลายเดือนก่อน

      CHIZI humjui ww itakuw.... Kwaiy bora kuw kimy t

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 3 หลายเดือนก่อน

      Kumtukana mtu ujue unajibebesha dhima

    • @user-oj8bk5xn8n
      @user-oj8bk5xn8n 3 หลายเดือนก่อน

      @@hassanmakame4016 ndie huyo

  • @mazruqmohammed4108
    @mazruqmohammed4108 3 หลายเดือนก่อน

    Huna mpango wowote wala usituambie kitu

  • @user-ll3pq4we8v
    @user-ll3pq4we8v 3 หลายเดือนก่อน

    Wapemba mmezidi uchu

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 3 หลายเดือนก่อน

      mhmm hapa unguja kasa analiwa hatarii kwa siri

  • @hukhrakhamis4311
    @hukhrakhamis4311 3 หลายเดือนก่อน

    Marejeo