JERRY SILAA AMPA MTIHANI MZITO MKURUGENZI JIJI LA DODOMA "KUFIKIA JUMATATU AWEKE VIBAO MAENEO YOTE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2023
  • Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewaelekeza wakurugenzi wa Halmashauri nchini nzima kuweka vibao vinavyitambulisha maeneo ya wazi ‘OPEN SPACE’ ili kuepusha migogoro ya wananchi kuuziwa maeneo hayo.
    Kauli hiyo ameitowa akiwa katika ofisi ya kata ya Ipagala jijini Dodoma alipofika kutatua mgogoro ulihusisha wananchi kuuziwa maeneo ya wazi kinyume na utaratibu.

ความคิดเห็น • 80

  • @mwangombadannie
    @mwangombadannie 10 หลายเดือนก่อน +10

    Naliona tumaini la baadae , Mungu akusaidie utufikishe sehemu

  • @marypeter7209
    @marypeter7209 9 หลายเดือนก่อน +3

    Nina mpongeza mama Samia Suluhu Hasani kwa kumuona Jerry Slaà anaweza sana kwa wizara ya ardhi mungu akulinde kaka

  • @augustinemagesa5743
    @augustinemagesa5743 10 หลายเดือนก่อน +9

    Comrade Silaa ndio mwenyew mambo ya ardhi inabidi kuwa site.. hongera sn waziri

  • @MalkaMercy
    @MalkaMercy 2 หลายเดือนก่อน

    Yani sichoki kuangalia video zangu 😊 hongera wazir you are the best Allah akuongoze ufike mbali🎉🎉🎉

  • @faharikhamisi3091
    @faharikhamisi3091 10 หลายเดือนก่อน +5

    Kaka hongera sana umeongea point na kwa hekima na kumjali , mungu akupe maisha marefu sana

  • @sakibumakoke9197
    @sakibumakoke9197 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki Sana waziri nchii hii bado Ina vijana waungwana na wazalendo wa kweli. Tatizo uteuzi wa kulipa fadhira ndo unatusumbua Kuna mawaziri wabovu Sana Ila Kila awamu wapo tukipata Kama huyu watano nchii hii matatizo yatapungua Sana.

  • @user-vh9sn8fr5o
    @user-vh9sn8fr5o 10 หลายเดือนก่อน +5

    Dodoma ina migogoro mingi na changamoto za upimaji wa ardhi zina sababishwa na viongozi wenyewe

  • @mo-jj8im
    @mo-jj8im 10 หลายเดือนก่อน +6

    Waziri njoo na huku kata ya njedengwa medeli
    Kuna raia tunaporwa viwanja na watu wa jiji wanawapa watu wengine

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe222 10 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran sana muheshimiwa waziri kazi na kiti ulichokalia ni cha moto kwani wafanyakazi wengi wa idara ya Ardhi ni madisadi na sio wabunifu kabisa,na wanauza maeneo ya wazi na ya hifadhi ya bara×2..
    Miji mingi imeharibiwa na hasa Singida kwa wananchi kuuziwa maeneo ya hifadhi ya bara×2

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli Baada ya CDA Hawa jiji waneharibu sana

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 หลายเดือนก่อน

    Waziri silaa wewe na makonda matajili wanachuki sana na nyinyi lakini mungu Atawalinda kwa kupenda Aki kwa wananchi ☝️🤲Razima nji uwe na garden park

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 10 หลายเดือนก่อน +1

    Daaa! Hongera sana bro

  • @mtmichapo
    @mtmichapo 9 หลายเดือนก่อน

    Mh. Waziri ana nia msukumo wa kutaka mafanikio ya nchi yetu iweze kujitegemea kufuatana na mwongozo wa Rais wetu mpendwa mama Samia !

  • @hashimpalekar1565
    @hashimpalekar1565 10 หลายเดือนก่อน +2

    Keep it up, hongera Sana ,may you be blessed.

  • @jeniphagabriel7262
    @jeniphagabriel7262 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana.

  • @bilid4128
    @bilid4128 10 หลายเดือนก่อน

    Safi sana waziri.Huo waraka ni muhimu sana kwenye Maeneo ambayo hayajapima ..ili mtu ajue kila kitu ...eneo limetengwa kwa ajili ya makazi,Hospitalini ,soko,Shule .nk ijulikane ...sasa unaweza kuuziwa kiwanja sehemu ambayo sio

  • @annemoshi7246
    @annemoshi7246 9 หลายเดือนก่อน

    Kweli Mama Samia umemwona Mhe. Jerry Slaa, kwa ujumla Dodoma kesi ya migogoro ya Ardhi ni kubwa kuliko kesi zote. Njoo utusaidie Mh. Mbwanga huku

  • @marryoisso8753
    @marryoisso8753 10 หลายเดือนก่อน +3

    Asante baba mungu ametuona

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 10 หลายเดือนก่อน

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @Marjeby
    @Marjeby 10 หลายเดือนก่อน

    Safi sana Slaa napenda unavyo address issues lakini kikubwa unavyo ongea na viongozi wenzio wangekuwa wale wasenge kina Makonda Sabaya ingekuwa fokea fokea hapo bila kujali chochote na matusi juu safi sana Slaa pamoja na uwajikaji wako lakini unaweka sana mbele utu na ubinadamu

  • @user-pc3bn3ei4o
    @user-pc3bn3ei4o 4 หลายเดือนก่อน

    Hii ni ofisi ya ardhi au mana aifanane kumkaribisha waziri hapa.

  • @annemoshi7246
    @annemoshi7246 9 หลายเดือนก่อน

    Mh. Waziri, Sisi WA Mbwanga tunalilia Ardhi yetu Jiji wanataka kuipora, wanaitafuta laana na familia zao. Mhe. Jerry Slaa njoo Mbwanga 😢

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo Office tu jinsi hilovyo moja kwa moja ni wababaishaji hao sio wachapakazi wezi tu hao hawana uwadilifu

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 4 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaa jeri silaha nimemkubali sana yan..bos wang wazaman mtu wa mana kabisa yan..yan anajuwa anajuwa anajuwa tena yan..anjuwa anachokifanya..mungu akubaliki na akuongoze..yan umejuwa kufanya kaz yako na umejuwa kuongea vizul sana

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 10 หลายเดือนก่อน

    Yaani Mungu alitupa watu kma hwa ,muda mchache wanatengeliwa htuambiwi kwann.Wanachi wakimwelewa.kiongoxi tunaomba mtuachie kwanza tuendelee kuwa nae,mfano mzuri kwamweshimiwa ridhiwani,alikuja vizuri gafla mama akamtengua.Mungu akusaidie jeri kwenye hili swala ardhi.Watu wanafanya mambo yahovyo sana,kubadilisha hti kuwatumia pesa ,dhulma za nje nje.

    • @RenaldaZeramula
      @RenaldaZeramula 9 หลายเดือนก่อน

      Ridhiwani?! Hv unajua maafa.aliyofanya kwa mwezi mmoja. Kaamuru nyumba km.elfu 3 kibaha zilibomolewa. Yaani angeachwa mwaka 1 tu.vita ingekuwa.kubwa

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 4 หลายเดือนก่อน

    HUYU WAZIRI ana Akili Nyingi sana kama Mimi

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 10 หลายเดือนก่อน

    Asante mheshimiwa JERRY WILBROAD SLAA upo vzur kama baba ako

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 10 หลายเดือนก่อน

      kjwani huyu ni mtoto wa dkt Slaa?

  • @allysamson4821
    @allysamson4821 10 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @romastasenterprises4447
    @romastasenterprises4447 6 หลายเดือนก่อน

    Pamoja na kwamba ni sheria kuendeleza ardhi mtu aliopata ndani ya miezi 6, sheria hii inatumika vibaya kuwakandamiza walala hoi waliodunduliza hela na kujipatia kiwanja. Akitaka kudunduliza tena aendeleze kama kiwanja kipo mahali pazuri anakuta ameshanyang'anywa. Ni maumivu yasio na kipimo

  • @user-os6sc7is5h
    @user-os6sc7is5h 4 หลายเดือนก่อน

    Waziri wafafanulie wengi wanapesa lakini luga Unatupiga chenga tunawaona wenzetu sehemu za wazi zigingiriwa mandamano makubwa😂

  • @user-ns4it2th6i
    @user-ns4it2th6i 10 หลายเดือนก่อน

    👍

  • @kizitoleons6291
    @kizitoleons6291 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wanatengeneza matatizo ili wapate rushwa na kuuza viwanja vya watu

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 4 หลายเดือนก่อน

    Kwanza majengo ya hizo ofisi ni yakienyeji sana,hayana muonekano unaoendana na heshima ya serikali,iko haja ibuniwe ramani maalumu ya kiwango cha jengo,linalostaili.😢

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 4 หลายเดือนก่อน

    FIDDA HUSSEIN NI MWIZI MKUBWA WA NYUMBA ZA WATU

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 5 หลายเดือนก่อน

    Mh kagueni miala mjue umri wale na sababu za ucheleweshaji.

  • @emmanuelmajele8953
    @emmanuelmajele8953 10 หลายเดือนก่อน +4

    Watu hawa ndio wanao ltajiwa kwenye nchi hii

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 8 หลายเดือนก่อน

    Yani watanzania wasomi baathi ndio chanzo cha kuuza maeneo ya wazii tamaa mbayaaa sana

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 หลายเดือนก่อน

    Migogoro ya Ardhi imepata mkunaji

  • @maase2023
    @maase2023 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa mawaziri wakichaguliwa wanaanza na moto mkali Kisha ziiiiiiii kimyaaaa! Nguvu ya coke inakuwa

  • @LabanaronMfugale
    @LabanaronMfugale 10 หลายเดือนก่อน

    Watu wanaiba sana

  • @cephassikaonga6370
    @cephassikaonga6370 10 หลายเดือนก่อน

    Waajibike haohao

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 10 หลายเดือนก่อน

    Ofisi ya Serekali mazingira mabovu kiasi icho inatia aibu

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 6 หลายเดือนก่อน

    Maafsa Aridhi ni wanene alafu wanajiona ni miungu Asee wanakera mno wizi umekithiri mno..Mh Slaa wanyooshe Ndugu yetu.
    Duh hapo ni ofisini au kwa Mganga..? Mbona kumechakaa Hivi..?khaa

  • @adamsilumbe8356
    @adamsilumbe8356 10 หลายเดือนก่อน +1

    Yeees huyu waziri inaonekana atajaribu

  • @hassankhamis1205
    @hassankhamis1205 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ufisini sio rafik kwa serekali yetu

  • @wilfredlugano1553
    @wilfredlugano1553 10 หลายเดือนก่อน

    Mh. waziri njoo Nzuguni Kuna majanga ya kufa mtu

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 8 หลายเดือนก่อน

    Kumbe unajuwa viongozi ndio wenyewe viwanja mashamba kilakitu Chao mpaka roho za watu zao

  • @stephanopeter373
    @stephanopeter373 10 หลายเดือนก่อน

    Jerry itabidi nimetumie Email. Aone madudu ya ardhi sehem

  • @mwinyimustafa3227
    @mwinyimustafa3227 10 หลายเดือนก่อน

    Wanazalisha tatizo wenyewe. waanza chenga tu.

  • @annemoshi7246
    @annemoshi7246 9 หลายเดือนก่อน

    Jiji kwa kweli ni kichomi. 😢

  • @elishajohnmkeu1206
    @elishajohnmkeu1206 6 หลายเดือนก่อน

    Kaza kamba

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 10 หลายเดือนก่อน

    Ivi migogoro inatokea wapi wakati kila kitu kipo wazi, RUSHWA ITATUMALIZA.. wanafuga vitambi tu

  • @harounaman7473
    @harounaman7473 10 หลายเดือนก่อน

    Tatzo ni siasa huku kwetu eneo la soko anamiliki mwenyekiti wa CCM /tunahitaji soko letu aisee

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d 10 หลายเดือนก่อน

    Migogoro ming zaid miaka hii hasa wauzaji wa viwanja sio halali yaan utapel mwngn hvy wasajilini madalali au kpun za uuzaji viwanja ili linapotokea mgogoro wakamatwe wao kwa kuuza kinyume na sheria lasvy wannach wataendelea kupigana na kuuwana kisa ardhi.

  • @AlexChristopherMuhanuka-wm2jk
    @AlexChristopherMuhanuka-wm2jk 3 หลายเดือนก่อน

    Hii ni ofice gani😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @paulokeseni360
    @paulokeseni360 10 หลายเดือนก่อน

    Milad ayo mwambie waziri aje Tanga kata ya mnazi

  • @alfredmhana235
    @alfredmhana235 10 หลายเดือนก่อน

    Sasa waziri aliye kuwa nyuma hajuwi haya Madudu hatari kweri kweri

  • @hashimumatungwa621
    @hashimumatungwa621 10 หลายเดือนก่อน

    Njoo uku kwetu bukoba vijini Kijiji katanakya Kuna shida

  • @mwanamutwa
    @mwanamutwa 10 หลายเดือนก่อน

    Wow.Is that a government office?(5:13/5:37 sec).That should not be acceptable.

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 10 หลายเดือนก่อน

    Ofce mbovu matundu kibao shame

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 10 หลายเดือนก่อน

    Kuku wa kazi gani ofisini Jamani???
    Ni ofisi au ni Banda la kuku???

  • @cephassikaonga6370
    @cephassikaonga6370 10 หลายเดือนก่อน

    Tatizo wataramu haohao

  • @shabanidaruweshi-jw5jy
    @shabanidaruweshi-jw5jy 10 หลายเดือนก่อน

    Njoo na huku Mzee madudu mengi

  • @ssam3385
    @ssam3385 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu jerri silaa ni mtoto wa docter slaha

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 10 หลายเดือนก่อน

      Mi huwa najiuliz pia na sijawh pat jibu

  • @user-sb8py3ib5z
    @user-sb8py3ib5z 10 หลายเดือนก่อน

    Wako wap kama wewe kazi unaifanya Kwa kweli mnatupa matumain,wazir njoo ikungi singida uone madudu ya afisa ardhi

  • @abumasoud1996
    @abumasoud1996 10 หลายเดือนก่อน

    😅Jerry slaat.atakuwa rais wa tz afer 10 years anafanya kuwa rais

  • @MusaMtandu
    @MusaMtandu 10 หลายเดือนก่อน

    Ni kwel bhn

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 10 หลายเดือนก่อน +2

    Miaka hamsini ijayo hatupo tufanye kazi kwa uweledi kauli ya Waziri mwenye dhamana!

    • @johngibson3089
      @johngibson3089 10 หลายเดือนก่อน

      Sioni ueledi

    • @Ommybabaa47
      @Ommybabaa47 10 หลายเดือนก่อน

      Ndio kwa sasa hatuwezi kuona uweledi ila watakao ufaidi ni vitukuu vyetu ndio Maana ya Waziri Wa Ardhi na Makazi ametamka!

  • @user-bl1xq1yj7h
    @user-bl1xq1yj7h 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nenda tabora. Ukaone Balaa lukuvi mwenyewe alichemka

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 10 หลายเดือนก่อน

      Lukuvi ana cheo gan sashv

    • @fransicmushenyera9302
      @fransicmushenyera9302 10 หลายเดือนก่อน

      bado watakubadirisha hutoamini kuwa niwewe uliyekuwa unazungumza.hivyo watu wa aridhi.achana nao haya utakuja kuniambia au baada ya mwaka hivi nitakukumbusha crip yako hiyo

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d 10 หลายเดือนก่อน

    Wakianza kubomolewa wataanz kulalamik alf hao waliwauzia watajificha mxiuu