WAZIRI JERRY SILAA ASHTUKIZA OFISI ZA ARDHI JIJINI DODOMA, ATOA MAELEKEZO KWA NCHI NZIMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2023
  • Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi, Jerry Silaa amefanya ziara ya kushtukuza katika ofisi za kitengo cha Ardhi za halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa ajili ya kujionea hali ya utendaji kazi ambapo amefika na kukuta baadhi ya watendaji hawajafika ofisini majira ya saa moja na nusu.
    Waziri Jerry amewahimiza watumishi wa jiji la Dodoma na Tanzania kwa ujumla kuwa hasa watendaji wa ardhi kufika ofisini kwa muda uliopangwa na inapofika saa moja na nusu asubuhi huduma zianze kutolewa na si watu kuanza kuingia ofisini kwa wakati huo.

ความคิดเห็น • 203

  • @saidulaya7308
    @saidulaya7308 10 หลายเดือนก่อน +48

    KAMA UNAMKUBALI JERRY SLAA TUJUANE✊✊

    • @shaamemchauru1365
      @shaamemchauru1365 4 หลายเดือนก่อน +1

      TUPO PAMOJA FYEKA FYEKA WAPUMBAVU WOTE...

  • @stephanomafuta415
    @stephanomafuta415 10 หลายเดือนก่อน +25

    Ziara za kushtukiza kama hizi ni nzuri sana, zinasaidia wafanyakazi kuwa active, Hongera sana Mh. Jerry Slaa. Mungu akuongoze.

    • @kanoa645
      @kanoa645 10 หลายเดือนก่อน +1

      Nzuri sana

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 10 หลายเดือนก่อน +8

    Safi sana Mh Waziri Slaa njoo na Morogoro please ofisi ya ardhi Mvomero Morogoro ni hovyo kweli kweli hawafuatilii kazi wala kumaliza kila cku nenda rudi nenda rudi

  • @c75923
    @c75923 10 หลายเดือนก่อน +5

    “nikisema kuna mambo ya hovyo ni hovyo kweeri kwerii”! RIP Chuma

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 10 หลายเดือนก่อน +11

    Yaani inasikitisha sana! Watu wako maofisini hawana akili ya kutatua changamoto zinazolikabili Taifa na watu wake, lakini wana vyeti vya madigrii na wamepewa vitengo, yaani wanatakiwa kutumia akili zao na kufikiri sawasawa kwa ajili ya kutatua changamoto zinazolikabili Taifa na watu wake na basically hawafanyi hivyo! Ajabu sana, halafu hatari sana!

    • @mosesmagoto2299
      @mosesmagoto2299 10 หลายเดือนก่อน

      Umeongea ukweli wote. Tatizo ni uwezo mdogo wa maafisa kutatua changamoto za ardhi.

    • @MrA24G
      @MrA24G 10 หลายเดือนก่อน

      Tunaelekea ni kubaya.Viongozi wetu hawana wasaidizi wazuri viongozi wazuri ila watendaji wa ovyo kbsaa.Marais wetu ni wazuri tuu Samia suluhu na Dr Hussein Mwinyi wote ni good leaders but baadhi ya watendaji wa ovyoo.Sisi tuna shida hapaa znz hayo hayo.

    • @checkchannel3876
      @checkchannel3876 10 หลายเดือนก่อน

      @@MrA24G Tena kama Rais Mwinyi ni mzuri mno. Poleni sana!

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 10 หลายเดือนก่อน +1

    Safi kabisa chapa kazi Waziri. Maana wafanya kazi wazembe saa moja na nusu hakuna mtu mh...... HONGERA WAFANYA KAZI WA MHIMBILI MOI DRS AND NURSES WANAFIKA SAA 12 NA NUSU NA SAA HIZO KAZI ZINAANZA MMungu awabariki sana

  • @salumally663
    @salumally663 10 หลายเดือนก่อน +10

    Hata aibu hawana kazi kutapelii watu...na fidiaa udai ulipweee ..

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 10 หลายเดือนก่อน +8

    KUMEKUCHA KAZI IENDELEE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @willymwasakyeni4393
    @willymwasakyeni4393 10 หลายเดือนก่อน +4

    Huu mfumo wa kushtukiza muda mwingine ni mzuri sana

  • @allyhassan7169
    @allyhassan7169 10 หลายเดือนก่อน +6

    Nakufuatilia kwa Makini sana kaka nakuamini piqa kazi

  • @alexandermanase8956
    @alexandermanase8956 10 หลายเดือนก่อน +2

    Good start Mr minister,,, ila tukuomba usibadilikie njian kuwa makapi. Idara ya ardhi inahitaji sana kufunga mkanda, usiweke njaa mbele, yaaan ukila tu Hela ya mtu ndo mwanzo wa haki haramu.

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 10 หลายเดือนก่อน +7

    Safi sana apa ndo wana jionaga miungu watu yn apa ndo shidaa sana kwenye hati

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa watumishi ukiwapa Muda wa kujieleza ujue watakupoteza tu..yaani ni Wezi hatari...MH. SLAA PIGA KAZI BABA UNATISHA SANA MKUU..

  • @nyashabanihema4593
    @nyashabanihema4593 10 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana mheshimiwa

  • @jumamtunze3372
    @jumamtunze3372 10 หลายเดือนก่อน +1

    GOOD, utumishi mzuri ni kutoka ofisini na kwenda kwa wananchi kwani kiongozi vitendea kazi yake ni wananchi na sio meza na mafaili tu

  • @kawawakitangara5604
    @kawawakitangara5604 10 หลายเดือนก่อน +4

    HONGERA HONGERA HONGERA MHESHIMIWA SLAA KAZA BUTI KWA PAMOJA TUTAFIKA

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 4 หลายเดือนก่อน

    Shukran sana Waziriwetu wanyooshehao kaziyaonikuzulumu maskin aridh zao hawajuininimaana ya mtanzania.

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ndo kazi yao ao washezi sana na mimi takuja kwajili silaaa yupo mtetez takuja dodoma nishida wana ingia sanne ofisin

  • @DottoChobwi
    @DottoChobwi 4 หลายเดือนก่อน

    Waziri unafanya kazi nzuri najua hauna njaa kama ni maisha mwenyzi mungu amekbariki simamia haki wanainchi wanakukubali

  • @nurumwenkale7278
    @nurumwenkale7278 10 หลายเดือนก่อน +4

    Tumbua wazembe kazini na hapa mama hajakosea kumteua huyu mwamba piga kazi kaka

  • @mwinyimustafa3227
    @mwinyimustafa3227 10 หลายเดือนก่อน +5

    Kuna watu ndo kazi yao kuzungusha watu hivo. na kama huamini. mtume mtu asiseme katumwa na wewe uone atavozungushwa

  • @user-uy1df5so8c
    @user-uy1df5so8c 10 หลายเดือนก่อน

    Ofisi za ardhi kumegubikwa na majambazi sana, dodoma watu wananyanganywa viwanja hovyo tu,,,😢,,,Hongera sana mhe.

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mh umefanya Vzur sana,
    Ungewashkisha adabu kdogo

  • @methodmsokele2704
    @methodmsokele2704 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu awe pamoja nawe siku zote, Utaratibu huo utasaidia sana kutatua migogoro ambayo haina hata sababu ya kutotatuliwa.

  • @gracemunthali7945
    @gracemunthali7945 10 หลายเดือนก่อน +6

    ASANTE SANA BABA.

  • @allymsafi1716
    @allymsafi1716 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo kinacho takiwa hazina watume list ya wateja wote hao 200 walio walipia na kila mmoja na amount yake aliyo lipia...mfano hata sisi bank wakitulipa wanalipa amount moja huwa tuna waomba list ya mchanganuo wanatuma then kila mteja tuna muingizia kiasi chake alicho lipiwa

  • @cosmasmwanalinze3716
    @cosmasmwanalinze3716 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa watu wa ardhi ni wasumbufu sana, Mh. JERRY slaa mm pia hawajanipatia Hati yangu 2021

    • @cosmasmwanalinze3716
      @cosmasmwanalinze3716 10 หลายเดือนก่อน

      Kwa kweli Dodoma hasa Iyumbu kuna issue kubwa sana

    • @twiserchaki6029
      @twiserchaki6029 10 หลายเดือนก่อน

      Wawepe watu control number walipie viwanja vyao

    • @twiserchaki6029
      @twiserchaki6029 10 หลายเดือนก่อน

      Waliolipia mwanzo ndio wapewe haki sio janja janja

  • @mrromeo760
    @mrromeo760 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tangu 2021.????? MHESHIMIWA chukua hatua....

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hicho kitengo cha Ardhi kinapaswa kuundwa upya hapo dodoma tena takukuru cjui wanang'ata wapi nao wachunguzwe hakuna process utafanikiwa hapo pasipo kutoa rushwa utarudi mara 30 hapo

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 10 หลายเดือนก่อน +7

    Mkuu wa mkoa wa dodoma ni mzigo,

  • @zephaniasalumsenga3441
    @zephaniasalumsenga3441 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe unaweza kuwa mfano Wa jembe ambalo lilitangulia mbele za haki mungu akupinganie

    • @shaamemchauru1365
      @shaamemchauru1365 4 หลายเดือนก่อน

      KWELI KABISA AWE NA MAISHA MAREFU, MUNGU AMJAALIE.....

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 4 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri hatari halali! Huyu Waziri APEWE TUZO YA WAZIRI BORA WA mda Wote

  • @mrromeo760
    @mrromeo760 10 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana kama Hayati JPM taratibu tutafika tuu.....

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 2 หลายเดือนก่อน

    Waziri wangu mbunge wangu mimi kura yangu nimeitumia kihalali. Mungu aendelee kukutunza mwanangu

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana waziri hiyo wizara inachangamoto sana ila nina imani teuzi ya mama imempata mtu sahihi kuna vimeo hususani baadhi ya watumishi,Mawaziri fanyeni ziara za kustukikiza wengi wa watumishi wanajisahau sana humo maofisini

  • @MrA24G
    @MrA24G 10 หลายเดือนก่อน

    Aiseei jerry mungu akutangulie hizii ni shida.

  • @kanoa645
    @kanoa645 10 หลายเดือนก่อน +2

    Duh Hadi aibu Baraka kujieleza kapata kigugumizi

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu 10 หลายเดือนก่อน +3

    Wanajifanya hawajui chochote kumbe wanajua Kila kitu.

  • @FatumaBenitho
    @FatumaBenitho หลายเดือนก่อน

    ❤ Mungu aendelee kukuinua

  • @mimimoop2617
    @mimimoop2617 10 หลายเดือนก่อน +1

    Km Magufuli hongera sana

  • @bushirihamisi3819
    @bushirihamisi3819 10 หลายเดือนก่อน +2

    Watu wa ardhi Wana matatizo sana uje na kongwa

  • @Maulambo
    @Maulambo 10 หลายเดือนก่อน +4

    Tunaanza upyaaaa hakikisha bando unalo

  • @nyassorajabu628
    @nyassorajabu628 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mheshimiwa hata sisi tunazungushwa na eneo ni letu kila siku ni wasumbufu sana ao watu wajiji

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 10 หลายเดือนก่อน +1

    Daah watu wanaishi watakavyo bila kufanya kazi 😢😢

  • @user-nr3uw7bq1r
    @user-nr3uw7bq1r 10 หลายเดือนก่อน +2

    Futa kazi Hao walaji tu hao

  • @mathewpeter4192
    @mathewpeter4192 10 หลายเดือนก่อน

    Mweshimiwa kama hili swala ukilifuatilia sana utakuta hao viongozi ndio sababu kuu ya migogoro na wana fahamu hizo propabanda zote mm pia ninayo changamoto kama ya huyo Mama kiwanja Ntyuka na sababu ni Mtendaji kata Mungu akusaidie katka hii wizara ina laana sana kwakuwa wamejaa wazulumaji

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 4 หลายเดือนก่อน

    Kichaa amekabidhiwa rungu guys,kuweni makini ccm mtajikuta mpo uchi maana mungu huwa hachelewi wala hacheleweshwagi

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 10 หลายเดือนก่อน

    Hawajibu barua hawa wafanyakazi wa ardhi kwa kweli mimi nina changamoto toka 2018 Morogoro

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 10 หลายเดือนก่อน

    Dada yupo very smart nimependa anajua kufatilia jambo.

  • @nyakitalidaud2806
    @nyakitalidaud2806 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mkuu hao huwa wanapenda kukwapua maeneo ya watu kisha wanajiweka majina ya ndugu zaa

  • @RabihuHussein
    @RabihuHussein หลายเดือนก่อน

    Wanabahati sana JPM amepumzika!

  • @samuelmwangu3301
    @samuelmwangu3301 10 หลายเดือนก่อน +1

    Aibu sana

  • @joellumala3206
    @joellumala3206 10 หลายเดือนก่อน

    Safi kabisa

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 10 หลายเดือนก่อน

    Hongera Mhe Rais kwakumteuwa huyu MTU

  • @bilid4128
    @bilid4128 10 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri hapo ulikuwa unaongea na Wala rushwa hao ...Yani huyo mtumishi ardhi anajifanya hamtambui huyo Mama karatasi ni ngeni kwake wakati Huyo mama anasema alikuwa anachat nae ..

  • @softrock7155
    @softrock7155 10 หลายเดือนก่อน

    Mawaziri wengine waige mfano wa W AR Mhe. Jerry Silaa. Mtu mwenye malalamiko apate majibu ya moja kwa moja. Hii inaleta uwajibikaji

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 4 หลายเดือนก่อน

    Hii nchi Mawaziri wana kazi ngumu mno.Kila mahali wanakuta uzembe na mazoea.

  • @consorathajames2693
    @consorathajames2693 4 หลายเดือนก่อน

    Ningeomba wazili anaehusika na NSSF sikumoja ashtukize atayaona mengi

  • @user-td9zr7ur5h
    @user-td9zr7ur5h 6 หลายเดือนก่อน

    Waziri umenikumbusha lukuvi uko vizuri

  • @ASHAFAAABUU
    @ASHAFAAABUU 14 วันที่ผ่านมา

    namba ya silaa ntaipataje jaman mm niko nashinda kwenye kiwanja changu

  • @catherinemasiga6666
    @catherinemasiga6666 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaomba na waziri anaeshugulikia malipo ya mifuko ya ppf naye awe kama huyu pesa psssf hakuna na watu walikatwa private hawapeleki maboss

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 หลายเดือนก่อน

    Hawa wanaoitwa watumishi wa serikari hata sielewi erimuyao hovyo kwa hovyo🤔🤔

  • @humaidalnaamani7859
    @humaidalnaamani7859 10 หลายเดือนก่อน

    Ziara kama hii nzuri sana ila imetoka bila uhakika wa dada kiwanja chake kipo au hakipo na inaonyesha atakaa miaka mingine 7 kisha Baibai hakuna kiwanja wala pesa kwani pesa indayo kwa mganga hairudi

  • @Jmwanse
    @Jmwanse 10 หลายเดือนก่อน

    Waziri uje na huku kwetu King'azi kata ya Kwembe. Kuna mgogoro wa mpaka kati ya Wilaya ya Ubungo vs Wilaya ya Kisarawe. Yaani wananchi hatupati huduma za kiserikali kwa muda mrefu sana mpaka barabara za mtaani hazipitiki, tumechanga mpaka tumechoka ili kutengeneza miundombinu hii.

  • @adyaalawy8764
    @adyaalawy8764 10 หลายเดือนก่อน

    Hapa kazi tuu

  • @cesiliasulle8798
    @cesiliasulle8798 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba kupata contacts za ofisi ya waziri Jerry Silaa Dodoma

  • @paulmkai2043
    @paulmkai2043 4 หลายเดือนก่อน

    anapiga kazi anajitahidi 🙏

  • @jumbekipeme1441
    @jumbekipeme1441 10 หลายเดือนก่อน

    Hatuna kwa kukimbiria waziri wetu mtetezi

  • @eddyrich.3312
    @eddyrich.3312 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kama huyo Mama kamwona Waziri na bado anakwama je sie tusiojua hata Mkuu wa wilaya anafananaje utaishia wapi?

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 10 หลายเดือนก่อน

      Hapo sasa nani mtumishi mwenzao wa umma,mimi na wewe jee inakuwaje?

  • @karimhasham8259
    @karimhasham8259 2 หลายเดือนก่อน

    Matapeli wa ardhi wamejaa kwenye wizara ya ardhi hao wote wanaelewa huyo mama wanamsumbua tu ukiwaangalia usoni unaona tu walivyo waongo

  • @paterinishayo-ef4sx
    @paterinishayo-ef4sx 4 หลายเดือนก่อน

    Kupata hati ni kipengele duuu nilifuatilia ya kwangu toka mwaka2005 miaka mitatu nasumbuliwa njoo kesho week ijayo mpka nikaachana nayo mpka leo cna huo mda wa kupoteza

  • @smartworld6153
    @smartworld6153 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tarime huku watu mpaka wanazeeka shida sana

    • @smootkizy_jr
      @smootkizy_jr 10 หลายเดือนก่อน +1

      Tarime sehemu gani ndugu me pia natokea Tarime

  • @EdnaMuro-tx8os
    @EdnaMuro-tx8os หลายเดือนก่อน

    MH anauliza hujaiona muda mrefu😅😮

  • @babalao910
    @babalao910 10 หลายเดือนก่อน

    Njoo KATESH-HANANG' MANYARA.

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kidogo kama naanza kukuelewa wazili mana SS wanaichi tuna shida sana

  • @geraldadolf4928
    @geraldadolf4928 2 หลายเดือนก่อน

    Fukuza ayo mandunduka mhe.waziri

  • @petrolconrad4250
    @petrolconrad4250 10 หลายเดือนก่อน

    Hilo li baraka ndio sample ya maafisa ardhi matapeli....mbupu zako, haiwezekani mtendaji wa serikali ukawa mngese kiasi hicho km sio msomi

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 10 หลายเดือนก่อน

    Au bhasi

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa 9 หลายเดือนก่อน

    Mtanuwe ofisi ziende kata zote Tanzania msongamano unanyanyasa raia na kumnyima haki yo umiliki nenda Rudi maendeleo yanaduma lakini kama Bado huu uozo tujipange kuiondoo madarakani ccm 2025

  • @PLAYPROGAMING568K
    @PLAYPROGAMING568K 10 หลายเดือนก่อน

    Hawa wako hawako sawa karibu nchi nzima kwenye ardhi na wengi siyo wasomi watu wako wa ardhi na halmashauri na watendaji wako

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 10 หลายเดือนก่อน

    Waziri umeanza vizuri lakini utalambishwa asali na kuwa nguvu za soda. Nchi hii imejaa majangili ya ardhi. Hao ulionao wanamiliki viwanja kama pelemende kazi yao ni kutapeli wananchi.

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 10 หลายเดือนก่อน

    Ofisa atapaje kigugumizi, si angempa maelezo kama ya kwako? Kwa nini azidi kumdanganya , subiri subira ya Tanzania 🇹🇿 inaumiza kwa kweli☹️☹️☹️☹️

  • @jumbekipeme1441
    @jumbekipeme1441 10 หลายเดือนก่อน

    Kuna kaimu mkurungezi anaitwa faziri na kamishina anaitwa hamisi wameshindwa kumariza mngogoro wa arizi mbezi kwa msunguri msingwa

  • @allenmdota4820
    @allenmdota4820 10 หลายเดือนก่อน

    Safi kuwatembelea mataperi wakubwa wajiji Sina hamu nao nimezunguka zaidi yamwaka moja sijapata mafanikio

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 4 หลายเดือนก่อน

    Rushwa oyeeeee

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 10 หลายเดือนก่อน

    Tatizo LA watumishi walioko kwenye ofisi za umma hawafanyii kazi barua Bali ni mpaka aliyeandika barua aende akatoe maelezo ya mdomo wakati barua inajieleza.Tatizo hili lipo. Serikali ione sasa mifumo ya ajira zake. Ajira za kujuana sio weledi.

  • @felixmwinami4295
    @felixmwinami4295 10 หลายเดือนก่อน

    kuna uozo sana kwenye hizi taasisi inawezekanaje toka 2021 mpaka leo mtu bado analalamika??

  • @ConfusedDaisies-rb5
    @ConfusedDaisies-rb5 4 หลายเดือนก่อน

    Haya mambo ya kushtukiza ndo mom hayataki, anataka mwendo wa danadana kama zama zileeee za unanijua mie nani?

  • @furahamandai6628
    @furahamandai6628 10 หลายเดือนก่อน

    Aiseee huyu ndiye jeri slaaa ana akili nyingi uwezi kumdanganya bado kijani tunamjua vizuri

  • @shaamemchauru1365
    @shaamemchauru1365 4 หลายเดือนก่อน

    HAO WACHAWI TUUUU😮😮😮

  • @nemesselemani4972
    @nemesselemani4972 10 หลายเดือนก่อน

    Shemeji njoo huku kivule napo kuna mgogoro wa aridhi

  • @shaamemchauru1365
    @shaamemchauru1365 4 หลายเดือนก่อน

    TANZANIA YETU NAMKUMBUKA MZEE MWENYEWE...

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085 6 หลายเดือนก่อน

    Mkuu baadhi ya watumishi ni mizigo endelea kufuatilia MUNGU anakuona

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 10 หลายเดือนก่อน +1

    Daaah watu hawa fanyi KAZI aisee

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 10 หลายเดือนก่อน

    Nilisimamia ununuzi wa kiwanja kikaja kuuzwa hapo ofisini tena mtu kapewa documents zote pasipo cc kujua huo ninaumia mno nikipita kwenye kile kiwanja

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 4 หลายเดือนก่อน

    Hawafanyi kaz yao si unaona hawakai kazin

  • @PLAYPROGAMING568K
    @PLAYPROGAMING568K 10 หลายเดือนก่อน

    Njoo mhe na Dar es. Salaam watu wako wako tu ofisi za kata na kujimilikisha nafasi za ardhi za watu na kudai hii ni open space ukimwambia niandikie karatasi niende ardhi inakuwa kimya halafu wana kwambia nimesafiri au nipo kwenye kikao

  • @abubacarsobo8981
    @abubacarsobo8981 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi ndio watanzania tunavyotaka

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 10 หลายเดือนก่อน

    Mazoea ynakujisahau ndio hyo sasa.Huu ndio uongozi jmn.Sio unaandaliwa mahali kufika watu wanajipanga kwanza Ili uyajue Madudu yawatenda kazi wako nikushtukiza tu.hpo ndio shida.

  • @nkenemalulu1330
    @nkenemalulu1330 4 หลายเดือนก่อน

    Mh. Waziri chapa lkazi lakini Wizara ya Aridhi sawa na ''MFUPA ULIOMSHINDA FISI KUULA''. Mh. Waziri ongeza mmsisitizo wa uondoshaji wa matatizo yasababishwayo na watumishi wasio waaminifu la sivyo ukiondoka Uwe na dialog ya matatizo uliyoyapitia na wakupe mrejesho. Tunakutakia uwajibikaji mwema