VIDEO: WAZIRI SILAA NA WANANCHI WAWAKA DODOMA, JAMAA AUZA VIWANJA VYA NDUGU BILA URITHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ม.ค. 2024

ความคิดเห็น • 60

  • @user-su6yd2lt5f
    @user-su6yd2lt5f 5 หลายเดือนก่อน +7

    Dogo unapambana. Mungu akupe maisha marefu

  • @madelinazawadi120
    @madelinazawadi120 3 หลายเดือนก่อน +7

    Tunaomba na waziri wa Sheria na katiba awe anatembelea mahakamani aone uonevu unaoendelea huko

  • @jacksonmichael799
    @jacksonmichael799 5 หลายเดือนก่อน +8

    Wizara kaiweza

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 4 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu kiongozi wa mfano wa kuigwa Mungu amuongoze atende haki kwenye uongozi wake

  • @mohamedshabani7906
    @mohamedshabani7906 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mzee magufuli ametengeneza njia mungu amuweke pazur uyu Mzee jaman

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 2 หลายเดือนก่อน

    Super Hotuba ya Wananchi imenifurahisha sana wamesungumza haki na ukweli mbele ya Waziru Silaa asanteni

  • @user-hq2cg2rg1z
    @user-hq2cg2rg1z 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana waziri kwa kazi nzuri

  • @mmarycalvin6395
    @mmarycalvin6395 3 หลายเดือนก่อน +1

    Good job , Minister Jerry

  • @JlmwinukaOnlineTv
    @JlmwinukaOnlineTv 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kaziiendelee mh.jerry

  • @WilisonBagumya
    @WilisonBagumya 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera saana waziri

  • @shamimukanju8402
    @shamimukanju8402 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kazi iendelee mh.Jerry nakupongeza upewe maua yako Mwenyeezi Mungu aendelee kukuongoza

  • @gastimario7571
    @gastimario7571 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu wazili anapambana sana hadi 2030 tutakuwa mbali

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu AKUBALIKI waziri ❤

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 4 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani Mali zimkuwa chanzo cha migogolo na chuki kwenye familia mungu atusaidie 🙏

  • @NeemaDaniel-fb4to
    @NeemaDaniel-fb4to 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kila ninapoangalia video zako nalia kama mtoto,Leo napata tabu Kwa sababu tu ndugu waliingia na kuuza viwanja,mashamba,bustani,na nyumba baada ya Baba yangu kufariki.Tena mbaya zaidi waliuza mama yangu akiwa hai wakaenda kumpangia chumba kimoja,mwisho Mama akafariki Kwa pressure.Natamani sana mheshimiwa ungenisaidia Kwa hili maana sijawahi kuambulia hata sent.

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 28 วันที่ผ่านมา

    Slaa Mungu akutunze

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 4 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa huyu mzee anadhurumu ili aendenayo wapi jamani

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kiukweli kunabaadhi yandugu hawana upendo wanaangalia maali kuliko undugu

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc 5 หลายเดือนก่อน +2

    Rais wangu mama Samia suruhu hasani nakuomba sana ktk migogoro ya ardhi ikikupendeza huyu kijana silaa ana juhudi kubwa sana anatenda hali sana kama itakupendeza tunakuomba umpatie msaidizi ambaye awe naibu wake ndugu wiliamu lukuvi maana Kuna mahali alifikia pazuri sana hawa wakiwa pamoja watawasaidia sana wanaodhurumiwa na mapapa tunashukuru sana pia kutuletea Paulo makonda mungu akubariki sana mama

  • @bongo39
    @bongo39 5 หลายเดือนก่อน

    Salute slaa

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 5 หลายเดือนก่อน +1

    ❤😂 the wewe unafanya kazi nzuri tz nzima tunakuhitsji ila hatuwezi kukufikia wateule wengine wakusaidie huku wilayan tunaumia saana

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ukipingwa na kijiji yote we KWISHA🤣🇰🇪

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee Yona anaonekana mkorofi😅

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 5 หลายเดือนก่อน +2

    Tz aliimba mali ya baba inanitoa roho bora niinusuru roho yangu

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 5 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana waziri uko makini sana

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo Mzeee ni Tapeli Tu

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 5 หลายเดือนก่อน +2

    Slaa hivi kweli nchi nzima utafanya hivyo utaweza? Kwa nini usiimarishe mfumo wa taasisi nzima!

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 5 หลายเดือนก่อน

      Naamin anaimarisha na ndo mana wanataka kuja mambo mapya

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kashatangaza nchi nzima hii ni ile migogoro sugu mfano huu ni wa mwaka 1985 bila hekima ya waziri utaua familia kwa kupigana.

  • @kaidrisa2711
    @kaidrisa2711 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba nimpe uwenye kiti hyo dada anae chonga hapo 😂😂

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nasisi tunae baba yetu mdigo ametudhulum

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 3 หลายเดือนก่อน

      Waziri akija kwenu nenda ukaseme

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 2 หลายเดือนก่อน

    We mzee utaumbuliwa. Unaona dodoma kumekucha ndio unajileta

  • @NOORMOHAMED-sg9lo
    @NOORMOHAMED-sg9lo 3 หลายเดือนก่อน

    Kiswahili ni mirathi ya mila au kikabila sio kigogo.

  • @drdd774
    @drdd774 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee kawekwa mtu kati😅

  • @EdnaMuro-tx8os
    @EdnaMuro-tx8os หลายเดือนก่อน

    Wazir kasimama

  • @user-ry2ix2pv4q
    @user-ry2ix2pv4q 27 วันที่ผ่านมา

    Haki ya mungu bora mtu utafute chako tu hiyo kazi ya kumbea mali za marehemu siwez

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 3 หลายเดือนก่อน

    WATAFUTE VYAO HAO WANA NDUGU UMASIKINI MBAYA SANA, WATOTO WA MAREHEMU SI NDIO WANA HAKI

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 5 หลายเดือนก่อน

    Ni ufisadi mtuputu, RIP JPM

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dah dhuruma tupu jamani

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 huo mtanange sio mchezo ila wachuchu wanajua kujieleza😊😊

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf 5 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri tumelipia Hati huu ni mwaka wa nne hatujapata Hati tusaidie Tafadhari nipo Ilemela Mwanza tulilipia 500,000/=

    • @ukweli255
      @ukweli255 หลายเดือนก่อน

      NENDA OFISI ZA ARIDHI...Waoneshe Clib ya Waziri ile ameenda OFISI za ARIDHI DODOMA ASUBUHI ...kesi yako inafanana na yule Mama aliekuwa anasikilizwa
      Kila la kheri

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 5 หลายเดือนก่อน

    😅😅

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu anafaa sana

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d 5 หลายเดือนก่อน

    Muheshimiwa wapi weng kama hai wanadhulummmali za marw

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 4 หลายเดือนก่อน

    FIDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA KUWADHULUMU ARDHI NA NYUMBA ZA WANYONGE

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 5 หลายเดือนก่อน +1

    Aliye itafuta hiyo mali ameziacha wasiyotafuta wanapapurana

  • @shaamemchauru1365
    @shaamemchauru1365 3 หลายเดือนก่อน

    NA SHERIA ANAZIJUA 😅😅😅😅😅

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 3 หลายเดือนก่อน

    Jerry Jembe🫡

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi walio chini ya waziri wanafanya nini mbona huyu anafanya kazi sana nawakati kuna walio chini yake wanapokea tu kodi zetu? Rais angalia hili wa

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 5 หลายเดือนก่อน

    Waziri hapo huyoamaa umemuonea hao wamejipanga kufanya vulugu

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wazee wakizeeka wanakuwa wajinga sana

  • @iambaizo
    @iambaizo 3 หลายเดือนก่อน

    Mwamba anataka kuwapiga

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wanataka mali isiyowahusu hata kidogo watoto tunapata shida wenyewe wametulia tu