Kila ninapoangalia video zako nalia kama mtoto,Leo napata tabu Kwa sababu tu ndugu waliingia na kuuza viwanja,mashamba,bustani,na nyumba baada ya Baba yangu kufariki.Tena mbaya zaidi waliuza mama yangu akiwa hai wakaenda kumpangia chumba kimoja,mwisho Mama akafariki Kwa pressure.Natamani sana mheshimiwa ungenisaidia Kwa hili maana sijawahi kuambulia hata sent.
Rais wangu mama Samia suruhu hasani nakuomba sana ktk migogoro ya ardhi ikikupendeza huyu kijana silaa ana juhudi kubwa sana anatenda hali sana kama itakupendeza tunakuomba umpatie msaidizi ambaye awe naibu wake ndugu wiliamu lukuvi maana Kuna mahali alifikia pazuri sana hawa wakiwa pamoja watawasaidia sana wanaodhurumiwa na mapapa tunashukuru sana pia kutuletea Paulo makonda mungu akubariki sana mama
NENDA OFISI ZA ARIDHI...Waoneshe Clib ya Waziri ile ameenda OFISI za ARIDHI DODOMA ASUBUHI ...kesi yako inafanana na yule Mama aliekuwa anasikilizwa Kila la kheri
Dogo unapambana. Mungu akupe maisha marefu
Tunaomba na waziri wa Sheria na katiba awe anatembelea mahakamani aone uonevu unaoendelea huko
Kabsa
Wizara kaiweza
Huyu kiongozi wa mfano wa kuigwa Mungu amuongoze atende haki kwenye uongozi wake
Mzee magufuli ametengeneza njia mungu amuweke pazur uyu Mzee jaman
Super Hotuba ya Wananchi imenifurahisha sana wamesungumza haki na ukweli mbele ya Waziru Silaa asanteni
Hongera sana waziri kwa kazi nzuri
Good job , Minister Jerry
Kaziiendelee mh.jerry
Hongera saana waziri
Kazi iendelee mh.Jerry nakupongeza upewe maua yako Mwenyeezi Mungu aendelee kukuongoza
Huyu wazili anapambana sana hadi 2030 tutakuwa mbali
Mungu AKUBALIKI waziri ❤
Jamani Mali zimkuwa chanzo cha migogolo na chuki kwenye familia mungu atusaidie 🙏
Kila ninapoangalia video zako nalia kama mtoto,Leo napata tabu Kwa sababu tu ndugu waliingia na kuuza viwanja,mashamba,bustani,na nyumba baada ya Baba yangu kufariki.Tena mbaya zaidi waliuza mama yangu akiwa hai wakaenda kumpangia chumba kimoja,mwisho Mama akafariki Kwa pressure.Natamani sana mheshimiwa ungenisaidia Kwa hili maana sijawahi kuambulia hata sent.
Slaa Mungu akutunze
Sasa huyu mzee anadhurumu ili aendenayo wapi jamani
Kiukweli kunabaadhi yandugu hawana upendo wanaangalia maali kuliko undugu
Rais wangu mama Samia suruhu hasani nakuomba sana ktk migogoro ya ardhi ikikupendeza huyu kijana silaa ana juhudi kubwa sana anatenda hali sana kama itakupendeza tunakuomba umpatie msaidizi ambaye awe naibu wake ndugu wiliamu lukuvi maana Kuna mahali alifikia pazuri sana hawa wakiwa pamoja watawasaidia sana wanaodhurumiwa na mapapa tunashukuru sana pia kutuletea Paulo makonda mungu akubariki sana mama
Salute slaa
❤😂 the wewe unafanya kazi nzuri tz nzima tunakuhitsji ila hatuwezi kukufikia wateule wengine wakusaidie huku wilayan tunaumia saana
Ukipingwa na kijiji yote we KWISHA🤣🇰🇪
Mzee Yona anaonekana mkorofi😅
Tz aliimba mali ya baba inanitoa roho bora niinusuru roho yangu
Safi sana waziri uko makini sana
Huyo Mzeee ni Tapeli Tu
Slaa hivi kweli nchi nzima utafanya hivyo utaweza? Kwa nini usiimarishe mfumo wa taasisi nzima!
Naamin anaimarisha na ndo mana wanataka kuja mambo mapya
Kashatangaza nchi nzima hii ni ile migogoro sugu mfano huu ni wa mwaka 1985 bila hekima ya waziri utaua familia kwa kupigana.
Naomba nimpe uwenye kiti hyo dada anae chonga hapo 😂😂
Nasisi tunae baba yetu mdigo ametudhulum
Waziri akija kwenu nenda ukaseme
We mzee utaumbuliwa. Unaona dodoma kumekucha ndio unajileta
Kiswahili ni mirathi ya mila au kikabila sio kigogo.
Mzee kawekwa mtu kati😅
Wazir kasimama
Haki ya mungu bora mtu utafute chako tu hiyo kazi ya kumbea mali za marehemu siwez
WATAFUTE VYAO HAO WANA NDUGU UMASIKINI MBAYA SANA, WATOTO WA MAREHEMU SI NDIO WANA HAKI
Ni ufisadi mtuputu, RIP JPM
Dah dhuruma tupu jamani
😂😂😂 huo mtanange sio mchezo ila wachuchu wanajua kujieleza😊😊
Waziri tumelipia Hati huu ni mwaka wa nne hatujapata Hati tusaidie Tafadhari nipo Ilemela Mwanza tulilipia 500,000/=
NENDA OFISI ZA ARIDHI...Waoneshe Clib ya Waziri ile ameenda OFISI za ARIDHI DODOMA ASUBUHI ...kesi yako inafanana na yule Mama aliekuwa anasikilizwa
Kila la kheri
😅😅
Huyu anafaa sana
Muheshimiwa wapi weng kama hai wanadhulummmali za marw
FIDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA KUWADHULUMU ARDHI NA NYUMBA ZA WANYONGE
Aliye itafuta hiyo mali ameziacha wasiyotafuta wanapapurana
Point
Ni changamoto aisee
NA SHERIA ANAZIJUA 😅😅😅😅😅
Jerry Jembe🫡
Hivi walio chini ya waziri wanafanya nini mbona huyu anafanya kazi sana nawakati kuna walio chini yake wanapokea tu kodi zetu? Rais angalia hili wa
Waziri hapo huyoamaa umemuonea hao wamejipanga kufanya vulugu
Hawa wazee wakizeeka wanakuwa wajinga sana
Mwamba anataka kuwapiga
Wanataka mali isiyowahusu hata kidogo watoto tunapata shida wenyewe wametulia tu