MHE.JERRY SILAA MWALIMU NITAKUPELEKA POLISI | HIZO NYUMBA TATU ZA NANI | WEWE NA MWENZAKO HAMNA HAKI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 31

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hpa mama kachagua mtu sahihi kwenye hii seckta yaardhi.Mungu amweke jmn mtu wamungu hyu.Mtu wamana kbisa jmn.Dhulma kwenye nyumba ardhi nimyingi sna,kubadilisha hti nikitu chakawaida sana.

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 4 หลายเดือนก่อน +4

    Super Mheshimiwa Jerry Waziri wa Ardhi unafanya kazi nzuri na haki

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 4 หลายเดือนก่อน +4

    Jerry Slaa,Mungu akusimamie aisee

  • @DevisDeogratus
    @DevisDeogratus 3 หลายเดือนก่อน

    Mama samia hongera sana kwa huyu waziri na mkuu wa mkoa mh Paulo makonda,,, nimekubali sana hawaonei mtu hata sekunde moja

  • @marystellah4532
    @marystellah4532 2 หลายเดือนก่อน

    Mheshiwa wetu waziri wa Arhdi Jerry Silaa kama ni haki unatoa Baba, Mungu akilinde 🙏

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 หลายเดือนก่อน +3

    WAZIRI UNAFANYA KAZI NZURI SANAA. MUNGU AKUBARIKI SANA.

  • @chedielimrutu6955
    @chedielimrutu6955 4 หลายเดือนก่อน +1

    Good Mheshimiwa Waziri umefafanua vizuri sana.

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi nahisi Silaa hatishii mtu ila watanzania Huwa hatupendi ukweli tunaongea Sana ndio Maana hata ukitoka nje ya nchi kama Kenya mtanzania ukikutwa na hatia hupewi nafasi ya kujitetea Maana tunaongea sana

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 4 หลายเดือนก่อน +3

    Imagine huyo mama analia namachozi kumbe tapeli 😂😂.. Dah

    • @suleimanikirassahassan9711
      @suleimanikirassahassan9711 4 หลายเดือนก่อน

      Sio tapeli isipokuwa ameshindwa kujua historia ya vizuri namjua vyema wao ndio watu wa mwanzo maeneo ya kwakaheza!

    • @tabuomary1016
      @tabuomary1016 4 หลายเดือนก่อน

      Mama zake wamezaliwa hapo hapo , Waziri amepigwa changa la macho. Mchaga Mmasi mungu anakuona, Kamishna wa ardhi TANGA mungu anakuona na atamlipa mwalimu. Iko siku. Yaani hakuna hata chembe ya huruma, Eneo lenu unapewa kiwanja kimoja, Mchaga anapewa 15. Mungu atamlipa Mwalimu Tabu. Inshallah.

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@suleimanikirassahassan9711acha story sikiliza historia. Nii shida ya familia zetu iyo inatupa wakeup call ya kuakiki maeneo yetu

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu waziri ana kazi ngumu sana Allah amlinde

  • @EdnaMuro-tx8os
    @EdnaMuro-tx8os 2 หลายเดือนก่อน

    Akisema demarcation mama anaelewa kwel?

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 4 หลายเดือนก่อน +3

    MWAMBIENI ULE MGOGORO WAKE WA NYUMBA YA WAKHFU KULE K KOO,,,WATU WASHAYATIBUA TENA,,,,HII KAZI NGUMU

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 4 หลายเดือนก่อน

      Siokweli 😂😂

  • @user-qz5to1vn1z
    @user-qz5to1vn1z 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tulio nunua viwanja kwa mwenye kiti tujuane 😂😂😂 na tupo nje yanchi nyie ntakufa mie

    • @MuhamedAjigar-dw9ve
      @MuhamedAjigar-dw9ve 2 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅😅 ni kweli kabisa

  • @piusjuma7384
    @piusjuma7384 4 หลายเดือนก่อน +1

    Badala ya kushughulika na watumishi wa ardhi

  • @Bashitetako
    @Bashitetako 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mama ni mdhulumati kabisa kwakuwa yeye ni mrasimishaji

    • @tabuomary1016
      @tabuomary1016 4 หลายเดือนก่อน

      Wazazi wako hayajawakuta.

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 4 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏❤❤

  • @milley7185
    @milley7185 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna wakina wanabishana kama wako na waume zao kumbe na mh ambaye anasimama kama mwamuzi au judge wkt wowote anaweza kuwatia ndani kwa kukiuka sheria ...

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 หลายเดือนก่อน

    MADAM MWALIMU KASOMA NA MPAKA SASA ANAFUNDISHA MBONA ANAJITOA FAHAMU 😂

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo clip za Waziri hazina usikivu mzuri

    • @Rai_online_tv
      @Rai_online_tv  4 หลายเดือนก่อน

      Tutalifanyia kazi ili usikivu uwe Mzuri zaid

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel 4 หลายเดือนก่อน +2

    Slaa acha kutishia watu polisi

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hpa mama kachagua mtu sahihi kwenye hii seckta yaardhi.Mungu amweke jmn mtu wamungu hyu.Mtu wamana kbisa jmn.Dhulma kwenye nyumba ardhi nimyingi sna,kubadilisha hti nikitu chakawaida sana.