Mfahamu Aliyebomolewa Ghorofa na Waziri Silaa 'Ni Tapeli?'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • #ijuesheria

ความคิดเห็น • 40

  • @StevenKomba-rz7bm
    @StevenKomba-rz7bm 5 หลายเดือนก่อน +2

    Matapeli wanachukua ardhi za watu na kupeleka watu wahakamani.Waziri endelea kudhibiti hawa watapeli na washirika wao kama hawa

  • @Kingsusi
    @Kingsusi 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe wakili ni Huna akili kweli kweli

  • @HussenAbdallahah
    @HussenAbdallahah 5 หลายเดือนก่อน

    Hii Sheria watu wasiyo kutwa napesa hawapatiwi haki mweshemiwa Yuko vizuri sana

  • @user-wx2ug7zs1d
    @user-wx2ug7zs1d 5 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani kuweni makini kumsikiza huyu mtu anavyo ongea maneno ya kukanganya

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa wanasomea utapeli

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 5 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri kumbuka kuna vyombo vya sheria huwezi kujichukulia sheria mikononi mwako kumtia raia hasara kiasi hicho, kwa kuonyesha power yako tu mungu ibariki Tanzania

  • @user-wx2ug7zs1d
    @user-wx2ug7zs1d 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mtu hata Hana aibu wala haya kwa maneno yake ya uwongo hazarani

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 4 หลายเดือนก่อน

    ,wenye pesa wananunua haki kama Ansar walivyo nunua haki za mjane mayatima watano WA marehem janjira hiyo nitaasisi inayojiita ya kidini inayoongoza kwa zulma hapa tanga ñamuomba mama samiaraisi wa wanyonge amsaidie huyu mjaneaweze kupa

  • @isackkivuyo1980
    @isackkivuyo1980 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi mawakili hawa wanafundishwaga na nani hizi sheria?mimi naovyoona hapa inchini kama huna ela sheria na wanasheria hawapo upande wako, dawa ni kufanya mambo kivyako

  • @monicamwita7865
    @monicamwita7865 5 หลายเดือนก่อน

    Kama mara zote Naomi hajashinda, iwaje waziri abomoe nyumba.

  • @SleepyCoastalBeach-bg1bj
    @SleepyCoastalBeach-bg1bj 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wakili amechukua chake

  • @hassanmataula7063
    @hassanmataula7063 5 หลายเดือนก่อน

    Nipo pamoja na waziri

  • @barakamwantolwa4336
    @barakamwantolwa4336 5 หลายเดือนก่อน

    Waziri ni Hakimu ? kwa nini atoe hukumu kwny nchi yenye utaratibu? kwa nn asikilize upande mmoja? Hata kama ni matapeli lkn Waziri aangalie maamuzi kama haya.

  • @nyandaj.ntugwa5243
    @nyandaj.ntugwa5243 5 หลายเดือนก่อน

    Kamati iliyoundwa na Mkuu wa wilaya lazima ije na maelezo pande zote mbili, huyu Naomi ilitokea tu kushitaki bila kuwa na basis ya kiwanja. Hujatueleza?

  • @meshasjaguar6136
    @meshasjaguar6136 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kila siku Naomi ashinde kesi Ebu Kaa utulie.

  • @StevenKingu-gi4pf
    @StevenKingu-gi4pf 5 หลายเดือนก่อน

    Sheria za nchii hii znakandamiza watu.naomi alizdiwa na wenye pesa sio sheria

  • @user-sz2wz2zb7s
    @user-sz2wz2zb7s 5 หลายเดือนก่อน +1

    Unatafuta kiki achana na siraa afanye kazi yake

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli asante kazi, lkn kubomoa nyumba si suluhisho. Ikitokea umeakaje si kweli itakuwaje? Tuache kuniandikia vitu tusivyofahamu.

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa kama uliona ivyoo kaka ungechaa ukishaona kiwanja kinamatatizo anaachaa

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 5 หลายเดือนก่อน

    Jina matata uwakili utata dokomenti mnagushi nani asiye wajua

  • @josephmchila6467
    @josephmchila6467 5 หลายเดือนก่อน

    Msimlaumu waziri, kwa watu wenye pesa,mahakamani masikini,mmmmmmh,

  • @kajiakivuyo1645
    @kajiakivuyo1645 5 หลายเดือนก่อน +1

    Karatasi rundo uongo mtupu. Tuka hapo haraka

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 2 หลายเดือนก่อน

    Wakili msomi Yuko kazini

  • @sturmiusbs
    @sturmiusbs 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ndivyo ilivyo??

  • @emmanuelbenedicto589
    @emmanuelbenedicto589 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa kwa nini ulinunua wakati kilikuwa na shida?

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 5 หลายเดือนก่อน

    HII ISSUE WAZIRI KAINGIA CHAKA

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 5 หลายเดือนก่อน

      Hakuna chaka hapo, jamaa mazungumzo yote hasemi hati iko wapi, aeleze hati ina jina la nani?

    • @selemanisalum7685
      @selemanisalum7685 5 หลายเดือนก่อน

      Hakuna chaka lolote tapeli huyo alilingia pesa zake hakujuwa dhuruma inamwisho wake ndio huo wanawatesa sana hawa masikini wakiwa na visenti vyao waziri hawezi kukurupuka tu yeye anavyombo vya uchunguzi mpaka wameridhika ndio uchukuwa mamuzi kama kuwashitaki atawashtaki watendaji wa chini kwenye Harimashauri ndio wamemtengenezea micholo feki lakini wizarani hawezi mcholo utakuwa ule ule .wa zamani

    • @StevenKomba-rz7bm
      @StevenKomba-rz7bm 5 หลายเดือนก่อน

      Aoneshe hati

    • @StevenKomba-rz7bm
      @StevenKomba-rz7bm 5 หลายเดือนก่อน

      Matapeli wanadhurumu watu sana then wanakimbilia mahalamani

    • @stevenlugojeremia2323
      @stevenlugojeremia2323 5 หลายเดือนก่อน

      Waziri Mwenyewe ni mwana sheria ukiona mpaka kufikia hatua ya kubomowa ujue kajirizisha

  • @user-wx2ug7zs1d
    @user-wx2ug7zs1d 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mahakama siku hizi ni utapeli mtupu

  • @user-wv3ko2mo6f
    @user-wv3ko2mo6f 5 หลายเดือนก่อน

    Kama huyu bwana anadocments halali basi Waziri ana makosa si kila mwenye mali ni tapeli

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 5 หลายเดือนก่อน

    Waziri wa ardhi anatakiwa mambo mengine awaulize wenzake wakina lukuvi wampe muongozo..lkn akijifanya anajua kiliko watangulizi wake basi anaandaa ajal ya serikal kuja kulipa watu mabilioni kwasababu tu ya ujuaji usiofuata sheria

    • @2003hintay
      @2003hintay 5 หลายเดือนก่อน

      Watangulizi wake walikuwa wanafumba macho kwa wenye nacho

    • @godsonmolla1594
      @godsonmolla1594 5 หลายเดือนก่อน

      Tulia dawa ikuingie ww

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 5 หลายเดือนก่อน

      Tapeli mwingine huyu, hati iko wapi?

    • @reginaldtarimo-kf1ye
      @reginaldtarimo-kf1ye 5 หลายเดือนก่อน

      Weweee!! Nyie mawakili mnamambo mengi..hapo unaongea tu lkn ukweli unaujua na m,mekuwa na tabia ya kubadili ukweli kuwa uongo kwakuwa mnalipwa tu..

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa.