ITAKUTOA MACHOZI JINSI DUDU BAYA ALIVYO ONGEA UKWELI TUHUMA ZA KULAWITI ZA ALIE KUWA MKUU WA MKOA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 53

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 18 วันที่ผ่านมา +5

    Walilala pamoja akijua ni mume wa mtu pia kosa, alikubali kwenda naye guest house kwa hiyari yake kwa appointment akavua, akatanua miguu akapiqwa mkuyati hadi unapelekwa kwa mparange umekaa kimya hukupiga kelele, umepewa pesa umepokea, yaani wewe mtoto na mama yako nyote wapuuzi mnajiaibisha. Mparange mwenyewe ukicheka unatoka vituuiz. Halafu unakwenda kujiaibisha bora ungemwambia endelea tu ninunulie japo kibanda. Nyoko wee hushindi umemuabisha baba yako, mama yako, ndugu zako na umejifedhehesha. Huna hadhi tena hata kwenye dala dala watu hawakai nawe unanukq mavi mjinga weee. Sasa dada kama imeahawishiwa kumchafua mtu basi umejichafua. Na wanaume hilo fundisho bakini na wake zenu, nguvu zenyewe wazee wenzangu hamna halafu mnataka watoto himalayas sasa ndio malipo yenu.

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 19 วันที่ผ่านมา +4

    Iko hivi,watoto wetu hatuwalei,bali tunawatunza.Tunawapa kila kitu.Hatuwapi malezi.Bali malezi wanaokota huku.Sehemu hatari shule za chekechea,shule za mediums,shule za bweni na vyuo.Wazazi hatuwataki watoto mtu hana pesa atakopa ili mradi apeleke bweni.Huko ndiko uliko uchafu wote,Kesi za kulawitiana zitakuwepo sanakwa kizazi hiki,mm naumia sana kiongozi Kama RC anatishia na uchafu ule wakati Malaya wote wa mkoa wako chini yake jmn.mm nahamia burundi

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 16 วันที่ผ่านมา

      🤣😂🤣

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re 19 วันที่ผ่านมา +3

    Hili swala la mkuu wa mkoa wa Simiyu ni tatizo hata hakuna atayelisemea ukweli kwani ni mapambano mabaya sana kuna watu wametengenezewa huo mchezo na kweli wamefungwa kwa hiyo ni mungu amsaidie. kwa nini yeye huyo bint amfanyie hivyo huyo hawala wake? sababu ni mtu wake kwa nini sasa angeuke ghafula kuna tatizo.

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 17 วันที่ผ่านมา +2

    Mke wa mkuu wa mkoa amshitaki huyo bint adai fidia kwakua amekiri mwenyewe kuwa anamahusiano na mme wa mtu, yeye aendeleze kesi ya kunajisiwa na ajibu mashtaka ya kutembea na mume wa mtu

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 16 วันที่ผ่านมา

      Aaanze kumshitaki mume wake Kwanza,,,

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 19 วันที่ผ่านมา +2

    Vyeo Ni Vita Lakini Shetani Yuko.Kazini Pia Kwaivo Ongea Ukijua Kweli Utoe Kweli Wacha Kuongea Bila Wewe Kufunguka Ukweli

  • @AbdallahMpwatile
    @AbdallahMpwatile 17 วันที่ผ่านมา +1

    Much respect dudu

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 18 วันที่ผ่านมา +2

    Dudu akili kubwa kuliko wazungu Ukraine

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 16 วันที่ผ่านมา

    Bikra hadimu kwelikweli hongera kwa neema ya MUNGU Tuliozikuta na wachache walionazo😂😂😂😂😂😂

  • @AbdallahMpwatile
    @AbdallahMpwatile 17 วันที่ผ่านมา +1

    Respect za kutosha dudu

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 19 วันที่ผ่านมา +4

    Usitutukane dudubaya sio kila mwanamke mshenzi waambie hao wenye michezo hiyo tafadhali saana

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 18 วันที่ผ่านมา +1

      Unaumia ukiwa wapi?

    • @revocatusawadhi6550
      @revocatusawadhi6550 18 วันที่ผ่านมา

      @@AlhajiIssa-jb9hr
      😅😅😅kwn ametajwa mbn anajihis

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 16 วันที่ผ่านมา

      @@revocatusawadhi6550 Muambie huyoo.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 16 วันที่ผ่านมา

      Bhangi zishamdhuru,,,

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g 17 วันที่ผ่านมา +1

    Uko sahihi

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 19 วันที่ผ่านมา +2

    Kama Kalala Nae Na Sio Mkewe Na Cheo Chake Akitakiwi Uhuni Kama Uo We Vipi Mkuu Wa Mkoa Oa Utoe Nyege Zako Kwakua Wewe Ni Kioo Cha Jamii Hata Asingemlawiti Bado Kimizamu Sio Sawa Aende Balabalani Uko Kwa Malaya Cheo Eshima

    • @DaimonMwapelele
      @DaimonMwapelele 18 วันที่ผ่านมา

      Kweli hata kama binti atakuwa ametumwa lakin mkuu wa mkoa nae ni mshenzi kwa umalaya

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 19 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @DakorTrony
    @DakorTrony 14 วันที่ผ่านมา

    Hivyo watananzania wapigana miti nyuma kwa makalio sasa akishuta wanakunyaa tuu
    Haha haha . Kunya tuu Mavi haswa

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 19 วันที่ผ่านมา +3

    Yule bint mhuni atakufa vibaya

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 19 วันที่ผ่านมา

      Hata namm simuamini sana maana hata anavyoongea anaonekana ana mambo mengi

    • @subirajohn728
      @subirajohn728 18 วันที่ผ่านมา +1

      Kwa kweli amemdhalilisha Sana Kaka wa watu! Mwenyezimungu afanye Jambo kama kweli hana hatia jamani!

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 19 วันที่ผ่านมา +2

    Konki acha mahakama ifanye kazi yake

  • @user-uh3eg5cj2r
    @user-uh3eg5cj2r 11 วันที่ผ่านมา

    Mh!!!

  • @ezrakaturitsaofficialtz7873
    @ezrakaturitsaofficialtz7873 18 วันที่ผ่านมา

    Hii imeenda

  • @HappyatHome-bn8wm
    @HappyatHome-bn8wm 18 วันที่ผ่านมา

    tena anakesi nyingine alimshtak kijana et alimlawit. huyu dada anashida.. kiukwel inauma sana kuharibiwa maisha. huyu dada atalipa hili siku

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 16 วันที่ผ่านมา

      Hata kama ni tabia yake, Kwa huyu hakuwa radhi,,,

  • @ezrakaturitsaofficialtz7873
    @ezrakaturitsaofficialtz7873 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kwishaa

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy 17 วันที่ผ่านมา

    Halafu kwenye gari Kama ni kweli basi kuna mapatano kinyume na hapo wangevunja vioo na wanavaaga skip tight haohii inatia mashaka

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu 15 วันที่ผ่านมา

    😅😅😅😅😅😅😅😅 wadada wa 2000 mtakoma safari hiii

  • @ericfelician7996
    @ericfelician7996 19 วันที่ผ่านมา +1

    Hahahaha hana malindaaa

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 16 วันที่ผ่านมา

    Mwandishi mpumbavu, anayehojiwa mpumbavu,,,

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 19 วันที่ผ่านมา

    Kama hakutenda Mungu atamtetea KWA UTUKUFU WAKE... ACHA WAMCHAFUE ILA MUNGU ATASIMAMA UPANDE WAKE ....

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 19 วันที่ผ่านมา

      Na kama ametenda?

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g 17 วันที่ผ่านมา

    Kujambaaaaaaaaaa😢😮😅😊

  • @user-xc1vv5ut3l
    @user-xc1vv5ut3l 19 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona kujamba ivo😅😅😅😅😅😅

    • @Lilmbunah
      @Lilmbunah 19 วันที่ผ่านมา

      Nimecheka aisee 😂

    • @user-xc1vv5ut3l
      @user-xc1vv5ut3l 19 วันที่ผ่านมา

      @@Lilmbunah 😀😀😀😀

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 16 วันที่ผ่านมา

    Hata nyie inaonekana mmehongwa ili kuiongoza mahakamani nje ya uwanja,,,

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 17 วันที่ผ่านมา

    Miaka 18 siyo mtoto ila kwa vile hawajamaliza masomo na kuanza kazi ndio tatizo

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 16 วันที่ผ่านมา

    Kesi iko mahakamani, mwandishi wa wapi wewe, unaanza kuijafili huku nje?

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 19 วันที่ผ่านมา +1

    Bro Dudu crown ndo habari ya mjini usikose kufuatilia kasri la kikeke

  • @josephineokama2200
    @josephineokama2200 18 วันที่ผ่านมา

    we kaka ni mpumbavu sana ndo maana unazidi kuchoka kwani vipimo si vimeonyesha na dawa anakunywa kwahiyo alilawitiwa na bibi yako utakufa vibaya lione hata sauti haitoki usashachuja wewe

    • @DaimonMwapelele
      @DaimonMwapelele 18 วันที่ผ่านมา

      Dudu sio mpumbavu labda wewe huo ndio ukweli mabint wameharibika Zaid ya kuharika huyu bint ni mshenzi

    • @josephineokama2200
      @josephineokama2200 17 วันที่ผ่านมา

      ​@@DaimonMwapelelekawe mwanasheria wa mlawiti sasa

    • @youngtone4333
      @youngtone4333 17 วันที่ผ่านมา

      Aliempeleka gest nani unamvulia mme wa mtu unapokea hela na unaanza kujijambia hovyo ilimladi unatamaaa huyo walikubaliana

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 16 วันที่ผ่านมา

      @@DaimonMwapelele ukweli huo

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 19 วันที่ผ่านมา +1

    Dudu baya acha kutetea uovu,acha mahakama ifanye kazi yake