WAPEWA UNABII KUHUSU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ม.ค. 2021
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

ความคิดเห็น • 251

  • @evabikabhai1861
    @evabikabhai1861 2 ปีที่แล้ว +1

    Nabii GeorDavie unatisha!!!!!
    Una upendo na huruma ya ajabu.
    Umetumika kusaidia watu wengi Sana.
    Nakupenda na kukuheshimu mno.
    Naomba utamke neno kwa ajili yangu na familia yangu.Ahsante Sana. Mungu akubariki na familia yako

  • @mercymutabe1306
    @mercymutabe1306 3 ปีที่แล้ว +4

    Amen nabii hallelujah asande sana kutuombea wakenya

  • @dorothhokororo5301
    @dorothhokororo5301 ปีที่แล้ว

    Baba najiunganisha na ibada na mafundisho,NAMI napokea baraka zote nabarikiwa sana.natamani kufikia Arisha

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies1782 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akumbuke wakenya asante nabii kwa kutukumbuka sis jirani yenu nanyi mbarikuwe

  • @ndunguedwin4798
    @ndunguedwin4798 3 ปีที่แล้ว +3

    GOD of this Mighty prophet Geordavie is a great GOD 🙏

  • @maggieolomi3650
    @maggieolomi3650 ปีที่แล้ว +1

    Najiconekt na kufunguliwa sasa mimi na familia yangu amen

  • @nicksonlangatfromnakuru8533
    @nicksonlangatfromnakuru8533 3 ปีที่แล้ว +2

    amen! amen! niko na shida mingi sijui nifanyaje nikutane na nabii.

  • @estherngogo3385
    @estherngogo3385 3 ปีที่แล้ว +2

    Whaooo nimeskia furaha sana jinsi baba unavyohudumia , asante na tunapokea.

  • @rapttortom4826
    @rapttortom4826 ปีที่แล้ว

    I'm from Kenya I pray to meet this Great Man of GOD 🇰🇪🇰🇪

  • @halimaomar2795
    @halimaomar2795 3 ปีที่แล้ว +2

    Mm mpaka nifike na wadogo zng, nipo Kenya acha nitafute tickets, maana hali katika family nzima ya babangu siyakawaida naisi Kuna watu walitufunga, japo muislam but I will make sure nxt yr inshallah 🙏 nafika hapa nikajue mbivu na mbichi

  • @rosinakalunda5969
    @rosinakalunda5969 3 ปีที่แล้ว +1

    God blessing you

  • @shangazshangaz4222
    @shangazshangaz4222 ปีที่แล้ว

    Baba nabiiiimkuuu tusaidie wadada haya tunayapitia sana sisi kwamwanaume mungu awasimamie alisha hilopepo baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @amselinah7920
    @amselinah7920 3 ปีที่แล้ว +1

    Nabii naomba unipe unabii wa maisha yangu me ni mkenya na nimekua nafuatilia channel yako sana may God bless all your good work you have been doing ,.,.papa pray for me

  • @saldakltl7611
    @saldakltl7611 3 ปีที่แล้ว +3

    Amen Amen 🙌🙋‍♀️🔥🔥🔥🔥👏👏👏

  • @joycekatana2482
    @joycekatana2482 3 ปีที่แล้ว +4

    mungu akubariki kwa kufungua watu

  • @sarahmgaya9853
    @sarahmgaya9853 3 ปีที่แล้ว

    Amina nabii naomba unipe unabii wako nafatilia sana unabii wako adui zangu wote waaibike

  • @josephakure6743
    @josephakure6743 ปีที่แล้ว

    Nabii mkuu,Mwenyezi Mungu ni mwema kila wakati.Amen..............................

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 3 ปีที่แล้ว +3

    Amen.

  • @eliasimakobe9098
    @eliasimakobe9098 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina sana mchungaji yodefi

  • @lyzekeyz328
    @lyzekeyz328 3 ปีที่แล้ว +4

    Mzee wetu pia walai mzee abdull ajeakombolewe

  • @user-pr4nu4ws9o
    @user-pr4nu4ws9o 5 หลายเดือนก่อน

    Amen babangu

  • @SleepyAlpineVillage-yp2sz
    @SleepyAlpineVillage-yp2sz 4 หลายเดือนก่อน

    Uko big up nabii mkuu wangu

  • @petermollel1471
    @petermollel1471 3 ปีที่แล้ว +3

    I receive in Jesus name. Amen

  • @elizabethmambai2072
    @elizabethmambai2072 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante nimeamini Kenya

  • @tedylaulet8933
    @tedylaulet8933 3 ปีที่แล้ว

    Namm napokea uponyaji kupitia madhabahu hii roho za kukatariwa nazitowesha kwa jina la yesu

  • @jamessichimata3100
    @jamessichimata3100 3 ปีที่แล้ว +2

    Ameen

  • @juliethmsengi4188
    @juliethmsengi4188 ปีที่แล้ว

    Dad 🙏 nimeipenda hii....ishi Sana BIG DADY.....

  • @nooor1120
    @nooor1120 3 ปีที่แล้ว +2

    Wakristo nyote nendeni kuombewa huko kanisani kwa hali hio mtakuwa na maisha mazuri nyote duniani hakuna mwenye tabu wala maradhi

    • @meena-ol6fo
      @meena-ol6fo 3 ปีที่แล้ว

      😁😁😁😁mungu sijui alitutofautisha na wanyama watu waongopewa kaa wanyama

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 ปีที่แล้ว +3

    amina wasaidie baba

    • @vickjohn6830
      @vickjohn6830 3 ปีที่แล้ว

      Tunaomba Namba tunapata shida kupata Namba zako

  • @atusagileysanga6412
    @atusagileysanga6412 ปีที่แล้ว

    Amina kubwa

  • @webnty323
    @webnty323 ปีที่แล้ว

    Nisaidiye papa mimi nimefirisika sana nataka nijuwe familiya zangu

  • @yolandasira3013
    @yolandasira3013 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @adjafamkungilwa1154
    @adjafamkungilwa1154 3 ปีที่แล้ว +7

    Dunia ya leo watu wanakuwa vipofu japo wana macho
    Watu hawatafuti mungu tena watafuta miujiza,Dahh??

    • @paulkasamabrama8329
      @paulkasamabrama8329 3 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa

    • @azamtv7410
      @azamtv7410 3 ปีที่แล้ว

      True

    • @robertlyimo5830
      @robertlyimo5830 3 ปีที่แล้ว

      We unayeona elezea unachoona kwa usahihi

    • @agapejosceline7683
      @agapejosceline7683 3 ปีที่แล้ว

      Watu wa mungu wana potea kukosa maarifaa.hizi siku wakristo wana penda vitu vya rahisi

  • @michaelmugambi5223
    @michaelmugambi5223 3 ปีที่แล้ว +3

    Naomba kufunguliwa nikiwa kenya magojwa yananisubua pia nafanya biadhara sifanikiei ..

  • @emimwakalinga4262
    @emimwakalinga4262 3 ปีที่แล้ว +1

    Nabii uko vizuri sana nikijakupata ela ntakuja uko arusha

  • @Cuero_mio
    @Cuero_mio 3 ปีที่แล้ว +1

    This is very touching I would like to meet this man of God over my sister's issue

    • @lucyhusein4043
      @lucyhusein4043 2 ปีที่แล้ว

      Nabi naomba inirudishie dhaman yangu sifanikiwi napambana sana baba

  • @adjafamkungilwa1154
    @adjafamkungilwa1154 3 ปีที่แล้ว +3

    Yesu amesema nimwewapa bure nanyi toweni bure,sasahuyu anae toza pesa ili kumuona tu inakuwaje tena
    Mbona ni kama ajifanya mungu mtu huyu mzee?aisee mungu atuokowe mana kweli ishara ziko wazi kwamba ninyakati za mwisho

    • @annkim2690
      @annkim2690 3 ปีที่แล้ว

      Watu hawataki kuisoma Bibilia watajionea

    • @agapejosceline7683
      @agapejosceline7683 3 ปีที่แล้ว

      Wa kristo wa sasa wanapenda vitu rahisi,wamekua wavivu kudoma biblia 😢😢

  • @brendaaluoch7088
    @brendaaluoch7088 3 ปีที่แล้ว +1

    Tutubu dhambi zetu Messiah anarudi tuishi kwa njia yautakakatifu,tuwachane na hii michezo mingi jameni

  • @mutabazijonathan7278
    @mutabazijonathan7278 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ni mkubwa nabii una kazi kubwa

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 ปีที่แล้ว +4

    Haki siku hizi watu badala kumuita mungu baba wanapigia binadamu magoti mungu atusamehe.

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 3 ปีที่แล้ว

      Huu mtihani kwakweli. Atapoteza wengi.

    • @agapejosceline7683
      @agapejosceline7683 3 ปีที่แล้ว

      😢😢jamani dah.
      Sisi binadamu tumeanza kuji tafutia laana kwa kweli

  • @corannotremedecine8368
    @corannotremedecine8368 3 ปีที่แล้ว +3

    Asanten kw Film ambayo mnaendeley kutuchezeya

  • @luhizomkombozi5763
    @luhizomkombozi5763 ปีที่แล้ว

    Namwomba MUNGU siku moja nifike mahali hapo!!! Nimeiona nguvu ya MUNGU kwa NABII MKUU GEOIRDAVIE!!

  • @nabintumiruho5142
    @nabintumiruho5142 2 ปีที่แล้ว

    Mtumishi waMungu uniombeye mungu afunguwe nyumba yangu mimi naikaa kenya

  • @gladyswandela1565
    @gladyswandela1565 3 ปีที่แล้ว +1

    amen

  • @rachellaizer941
    @rachellaizer941 3 ปีที่แล้ว +2

    Nabii msaidie hiyo kijana maana unayoona ni kweli wanageukaga haswa wanajisahau sana wakishapata hela na kuwa mahandsome

  • @wilsonletiet7852
    @wilsonletiet7852 3 ปีที่แล้ว +1

    Duuh! Eh Mungu tupe roho ya ufahamu na utufunguwe macho tupate kuona

  • @valentineinnocent6647
    @valentineinnocent6647 3 ปีที่แล้ว +3

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😘😘😘😘🥰❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Amen Amen Amen awasaidiye Baba

  • @halimaleila2323
    @halimaleila2323 3 ปีที่แล้ว

    Nazidi. Kuomba. Mungu. Siku. 1.nifike.mahari.apa,🇧🇮

  • @alexmatiko373
    @alexmatiko373 ปีที่แล้ว

    Nabii mkuu.❤

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 3 ปีที่แล้ว +3

    Yaani watu wanathubutu kusema wazi wazi kanisani kuwa walikuwa Wana mahusiano ya ki mapenzi na mtu fulani na sasa anaye mwingine,lakini mchungaji hakemei uasherati/uzinzi bsdala yake anabariki na kuombea mafanikio ya ki maisha,kumuona mtumishi hadi uchomeke rupia jamani,hebu tujiulize na tuwe makini

    • @annkim2690
      @annkim2690 3 ปีที่แล้ว

      Hata inashangaza wana tangaza usinzi

    • @marykarebeti9410
      @marykarebeti9410 3 ปีที่แล้ว

      🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @elviramawang6652
    @elviramawang6652 2 ปีที่แล้ว

    Namimi naomba unabii maisha hayaendi Kila siku ni struggle here n there

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 ปีที่แล้ว

    Muombeni MUNGU WA MBINGU NA NCHI NA KUTUBU DHAMBI ZENU VINGINEVYO mmmmh tutateseka Sana na hii DUNIA

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies1782 3 ปีที่แล้ว +2

    Natamani nifike huku kwa nabii mkuu asaidie family yetu

  • @janetnyabitanga9087
    @janetnyabitanga9087 2 ปีที่แล้ว

    🙏🙏🙏

  • @geophreymhagama9560
    @geophreymhagama9560 3 ปีที่แล้ว

    Nguvu ni ya Mungu sio ya nabii

  • @beatriceshauri4497
    @beatriceshauri4497 2 ปีที่แล้ว

    Ee mwenyezi mungu naomba unifungue namimi

  • @espekahambu4437
    @espekahambu4437 3 ปีที่แล้ว +3

    Namba plis

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 3 ปีที่แล้ว +2

    🖐

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 ปีที่แล้ว

    Kama huwa una tabia ya kwenda kwa waganga Basi nishauri nenda kwa huyu ili Kama ni nguvu zilezile za kiganga Basi umesaidika lakini pia Kama kweli ni nguvu za mungu Basi umepona pia,,lakini Kama umeokoka tulia hapo hapo muombe mungu atakusaidia

  • @victoryustas1847
    @victoryustas1847 3 ปีที่แล้ว +1

    Uislamu haya mambo ya unabii hatun mungu atosha

  • @tymlesshodari1010
    @tymlesshodari1010 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen 🙏 but wait huyu pastor huwa anahubiri neno mda gani 🤔

  • @bakarimwakabebe9649
    @bakarimwakabebe9649 3 ปีที่แล้ว

    Inna lillah waina illah rajion

  • @abdulrahmanpaskalina7627
    @abdulrahmanpaskalina7627 3 ปีที่แล้ว

    🤲🙏

  • @maureenwanjiku8971
    @maureenwanjiku8971 3 ปีที่แล้ว

    Naomba kuconet na nabii

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l 3 ปีที่แล้ว +1

    Wasaidieni baba

  • @nenemagadau1954
    @nenemagadau1954 ปีที่แล้ว

    nakupenda jamani

  • @michaellyeme7397
    @michaellyeme7397 ปีที่แล้ว

    Baba naomba nisaidie mimi na Familia yangu na vijana wetu wapate ajira,

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameni na Mimi pia napokea una bii

  • @alimachitechi2107
    @alimachitechi2107 3 ปีที่แล้ว +1

    Unapatilishawa unabii na una kubali sasa kama nambi patala usaidie.unawaotoa imani

  • @BavaziBamutara-mc5xt
    @BavaziBamutara-mc5xt ปีที่แล้ว

    Nabi yamungu mambo yako inaniguza sana

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l 3 ปีที่แล้ว

    I believed

  • @evamringo2331
    @evamringo2331 3 ปีที่แล้ว +2

    Yesu yuko wapi Apo jaman...

  • @shabaniezekeeli2216
    @shabaniezekeeli2216 ปีที่แล้ว

    Ee mungu apigae ngurumo

  • @alamera5986
    @alamera5986 3 ปีที่แล้ว

    Ok

  • @danielshauri4681
    @danielshauri4681 ปีที่แล้ว

    Nivizuri sana

  • @severinngloo3772
    @severinngloo3772 ปีที่แล้ว

    Kazi,iyendelehe,.mdogowake.wamngu.adisula.mnafanana.bwanabwa

  • @mimimwenyew361
    @mimimwenyew361 3 ปีที่แล้ว +2

    Da majibu menginr magumu mujibu. Me naweza rahisisha tu KUWA ntampeleka mahakamani tuu maana no way out

    • @agapejosceline7683
      @agapejosceline7683 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂acha vupofu wabaki huko huko.wanao penda vitu vya rahisi kuliko ku soma biblia

  • @wilsonletiet7852
    @wilsonletiet7852 3 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmh! Umesarender kwa Dervie na siyo kwa Yesu???

  • @ikeedaudi
    @ikeedaudi 3 ปีที่แล้ว +8

    Msichana mkenya 😂😂😂😂😂rudisha msichana wetu naniiii kwetu tunabiiiii

    • @mmasymery391
      @mmasymery391 3 ปีที่แล้ว

      Kaaa kwakutulia

    • @hildpaul7823
      @hildpaul7823 3 ปีที่แล้ว

      Tuliza mawemge wewe kenya😳😳😳😳

    • @marykarebeti9410
      @marykarebeti9410 3 ปีที่แล้ว +1

      Amrudishe ili iweje?? Umeona Tz hakuna wa kukaa nae??

  • @vailethseth9036
    @vailethseth9036 3 ปีที่แล้ว +2

    Kiruuu kumbe ni hela kumuona😎😎

    • @exaudmungure2795
      @exaudmungure2795 3 ปีที่แล้ว

      Shalom Nabii Naomba Tamko La Kaka Aangu Hana Tatizo La Kifamili Yuko Dar Mm Naitwa Exaud E Mungure Kaka Anaitwa Safnati E Mungure Asante Halipona Hile Tumbo Hakufanyiwa Hopreheni Tena Iliisha Kabisa Asante Sana Nabii Was Bwana.

    • @agapejosceline7683
      @agapejosceline7683 3 ปีที่แล้ว

      Nashangaa.
      Tena mamilioni.

  • @estermumbua7329
    @estermumbua7329 3 ปีที่แล้ว +2

    Aki nabii sinikufikie

  • @webnty323
    @webnty323 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes8700 3 ปีที่แล้ว

    Daaaaa

  • @shakila3982
    @shakila3982 3 ปีที่แล้ว +3

    Hmmmm 😏😏😏😏eti mtu kukuona lazima ulipwe laki 5, Mungu halipiki

    • @agapejosceline7683
      @agapejosceline7683 3 ปีที่แล้ว

      Hii ni biashara sio tena kanisa.
      Pia watu wamependa vitu rahisi ndo maana wana tumia hio njia yaku toa hela zao

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 3 ปีที่แล้ว +2

    🙏🙏🙏♥️

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 ปีที่แล้ว

    Baba nakuaminia uongezeke

  • @nenemagadau1954
    @nenemagadau1954 ปีที่แล้ว

    ww baba ww

  • @user-kf6ox4pe5b
    @user-kf6ox4pe5b 2 หลายเดือนก่อน

    Nifungue Mie pia nabii mkuu

  • @myra123myra9
    @myra123myra9 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mtu anielekeza kanisani pake mchungaji mimi mkenya pliz🙏

  • @solonyamwita777
    @solonyamwita777 2 ปีที่แล้ว

    Jmn mm Sina laki Tano Nina elf kumi TU kwaiyo sirhusiwi kumuona nisaieni?

  • @amanimanase5794
    @amanimanase5794 3 ปีที่แล้ว +3

    Kijamaa kinapenda kulelewa hichi hahahaaaa chapenda pesa sana

  • @chrispinchristopher3914
    @chrispinchristopher3914 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu nabii kanisa lake liko wapi hapa dar

  • @tantinemwemendi8790
    @tantinemwemendi8790 3 ปีที่แล้ว

    Mbona unadanganya wayu ivo

  • @alimachitechi2107
    @alimachitechi2107 3 ปีที่แล้ว +1

    Hata angalia sasa hio ndo yesu ayuko sasa unawasa eeeeee we iyo kazi yako ni kufuncha nyumba kwanza hakiona munapendana ndo anawanachanisha

  • @queenambakisye5576
    @queenambakisye5576 3 ปีที่แล้ว +1

    Nabii nakuomba. Niombee. Nauzao wangu

    • @azamtv7410
      @azamtv7410 3 ปีที่แล้ว

      Nimekuombea mwanangu

  • @catherinemhagama7505
    @catherinemhagama7505 3 ปีที่แล้ว

    Nabii geordavies naomba namba yako ya simu naishi Mkoani Ruvuma

  • @alimachitechi2107
    @alimachitechi2107 3 ปีที่แล้ว +1

    Nyi mume ingia

  • @drallicemugasa3086
    @drallicemugasa3086 3 ปีที่แล้ว +3

    Kiboko haki ya nani

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 3 ปีที่แล้ว +2

    Mm ningesema ntampeleka mahakamani maana no way out ,Ila kumuona nabii Ni 500,000 acha nibaki tu .
    Mmepewa bure na toeni bure

    • @agapejosceline7683
      @agapejosceline7683 3 ปีที่แล้ว

      Vipofu na wavivu ndo wana enda huko.hii ni biashara mungu atu fungue macho

  • @nahimanamana9532
    @nahimanamana9532 3 ปีที่แล้ว

    Ameen nabii mkweli kabisa jamani ntatowa wapi namba yake nisaidiyeni namimi ninusurike