WAPEWA UNABII KUHUSU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ม.ค. 2021
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Nabii GeorDavie unatisha!!!!!
Una upendo na huruma ya ajabu.
Umetumika kusaidia watu wengi Sana.
Nakupenda na kukuheshimu mno.
Naomba utamke neno kwa ajili yangu na familia yangu.Ahsante Sana. Mungu akubariki na familia yako
Amen nabii hallelujah asande sana kutuombea wakenya
Baba najiunganisha na ibada na mafundisho,NAMI napokea baraka zote nabarikiwa sana.natamani kufikia Arisha
Mungu akumbuke wakenya asante nabii kwa kutukumbuka sis jirani yenu nanyi mbarikuwe
Amen
GOD of this Mighty prophet Geordavie is a great GOD 🙏
Najiconekt na kufunguliwa sasa mimi na familia yangu amen
amen! amen! niko na shida mingi sijui nifanyaje nikutane na nabii.
Whaooo nimeskia furaha sana jinsi baba unavyohudumia , asante na tunapokea.
I'm from Kenya I pray to meet this Great Man of GOD 🇰🇪🇰🇪
Mm mpaka nifike na wadogo zng, nipo Kenya acha nitafute tickets, maana hali katika family nzima ya babangu siyakawaida naisi Kuna watu walitufunga, japo muislam but I will make sure nxt yr inshallah 🙏 nafika hapa nikajue mbivu na mbichi
God blessing you
Baba nabiiiimkuuu tusaidie wadada haya tunayapitia sana sisi kwamwanaume mungu awasimamie alisha hilopepo baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nabii naomba unipe unabii wa maisha yangu me ni mkenya na nimekua nafuatilia channel yako sana may God bless all your good work you have been doing ,.,.papa pray for me
Nabii naomba namba pleaz
Amen Amen 🙌🙋♀️🔥🔥🔥🔥👏👏👏
mungu akubariki kwa kufungua watu
Amina nabii naomba unipe unabii wako nafatilia sana unabii wako adui zangu wote waaibike
Nabii mkuu,Mwenyezi Mungu ni mwema kila wakati.Amen..............................
Amen.
Amina sana mchungaji yodefi
Mzee wetu pia walai mzee abdull ajeakombolewe
Umeonae
Amen babangu
Uko big up nabii mkuu wangu
I receive in Jesus name. Amen
Asante nimeamini Kenya
Namm napokea uponyaji kupitia madhabahu hii roho za kukatariwa nazitowesha kwa jina la yesu
Ameen
Dad 🙏 nimeipenda hii....ishi Sana BIG DADY.....
Wakristo nyote nendeni kuombewa huko kanisani kwa hali hio mtakuwa na maisha mazuri nyote duniani hakuna mwenye tabu wala maradhi
😁😁😁😁mungu sijui alitutofautisha na wanyama watu waongopewa kaa wanyama
amina wasaidie baba
Tunaomba Namba tunapata shida kupata Namba zako
Amina kubwa
Nisaidiye papa mimi nimefirisika sana nataka nijuwe familiya zangu
Amen
Dunia ya leo watu wanakuwa vipofu japo wana macho
Watu hawatafuti mungu tena watafuta miujiza,Dahh??
Kweli kabisa
True
We unayeona elezea unachoona kwa usahihi
Watu wa mungu wana potea kukosa maarifaa.hizi siku wakristo wana penda vitu vya rahisi
Naomba kufunguliwa nikiwa kenya magojwa yananisubua pia nafanya biadhara sifanikiei ..
Nabii uko vizuri sana nikijakupata ela ntakuja uko arusha
This is very touching I would like to meet this man of God over my sister's issue
Nabi naomba inirudishie dhaman yangu sifanikiwi napambana sana baba
Yesu amesema nimwewapa bure nanyi toweni bure,sasahuyu anae toza pesa ili kumuona tu inakuwaje tena
Mbona ni kama ajifanya mungu mtu huyu mzee?aisee mungu atuokowe mana kweli ishara ziko wazi kwamba ninyakati za mwisho
Watu hawataki kuisoma Bibilia watajionea
Wa kristo wa sasa wanapenda vitu rahisi,wamekua wavivu kudoma biblia 😢😢
Tutubu dhambi zetu Messiah anarudi tuishi kwa njia yautakakatifu,tuwachane na hii michezo mingi jameni
Mungu ni mkubwa nabii una kazi kubwa
Haki siku hizi watu badala kumuita mungu baba wanapigia binadamu magoti mungu atusamehe.
Huu mtihani kwakweli. Atapoteza wengi.
😢😢jamani dah.
Sisi binadamu tumeanza kuji tafutia laana kwa kweli
Asanten kw Film ambayo mnaendeley kutuchezeya
Kanisa lipo sehemugani
Kwa kweeli flam Yao tumeijua
Namwomba MUNGU siku moja nifike mahali hapo!!! Nimeiona nguvu ya MUNGU kwa NABII MKUU GEOIRDAVIE!!
Mtumishi waMungu uniombeye mungu afunguwe nyumba yangu mimi naikaa kenya
amen
Nabii msaidie hiyo kijana maana unayoona ni kweli wanageukaga haswa wanajisahau sana wakishapata hela na kuwa mahandsome
Duuh! Eh Mungu tupe roho ya ufahamu na utufunguwe macho tupate kuona
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😘😘😘😘🥰❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Amen Amen Amen awasaidiye Baba
Nazidi. Kuomba. Mungu. Siku. 1.nifike.mahari.apa,🇧🇮
Nabii mkuu.❤
Yaani watu wanathubutu kusema wazi wazi kanisani kuwa walikuwa Wana mahusiano ya ki mapenzi na mtu fulani na sasa anaye mwingine,lakini mchungaji hakemei uasherati/uzinzi bsdala yake anabariki na kuombea mafanikio ya ki maisha,kumuona mtumishi hadi uchomeke rupia jamani,hebu tujiulize na tuwe makini
Hata inashangaza wana tangaza usinzi
🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Namimi naomba unabii maisha hayaendi Kila siku ni struggle here n there
Muombeni MUNGU WA MBINGU NA NCHI NA KUTUBU DHAMBI ZENU VINGINEVYO mmmmh tutateseka Sana na hii DUNIA
Natamani nifike huku kwa nabii mkuu asaidie family yetu
Uje nikupeleke
🙏🙏🙏
Nguvu ni ya Mungu sio ya nabii
Ee mwenyezi mungu naomba unifungue namimi
Namba plis
🖐
Kama huwa una tabia ya kwenda kwa waganga Basi nishauri nenda kwa huyu ili Kama ni nguvu zilezile za kiganga Basi umesaidika lakini pia Kama kweli ni nguvu za mungu Basi umepona pia,,lakini Kama umeokoka tulia hapo hapo muombe mungu atakusaidia
Uislamu haya mambo ya unabii hatun mungu atosha
Mungu peke ndo wapekee.
Wakristo tuamke.
Amen 🙏 but wait huyu pastor huwa anahubiri neno mda gani 🤔
🤣🤣🤣 swali la kibabe
Inna lillah waina illah rajion
🤲🙏
Naomba kuconet na nabii
Wasaidieni baba
nakupenda jamani
Baba naomba nisaidie mimi na Familia yangu na vijana wetu wapate ajira,
Ameni na Mimi pia napokea una bii
Unapatilishawa unabii na una kubali sasa kama nambi patala usaidie.unawaotoa imani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nabi yamungu mambo yako inaniguza sana
I believed
Yesu yuko wapi Apo jaman...
Nimesikia akitamka walahi,je nanyi mesikia ?
😂😂😂😂
Ee mungu apigae ngurumo
Ok
Nivizuri sana
Kazi,iyendelehe,.mdogowake.wamngu.adisula.mnafanana.bwanabwa
Da majibu menginr magumu mujibu. Me naweza rahisisha tu KUWA ntampeleka mahakamani tuu maana no way out
😂😂😂😂acha vupofu wabaki huko huko.wanao penda vitu vya rahisi kuliko ku soma biblia
Mmmmh! Umesarender kwa Dervie na siyo kwa Yesu???
Msichana mkenya 😂😂😂😂😂rudisha msichana wetu naniiii kwetu tunabiiiii
Kaaa kwakutulia
Tuliza mawemge wewe kenya😳😳😳😳
Amrudishe ili iweje?? Umeona Tz hakuna wa kukaa nae??
Kiruuu kumbe ni hela kumuona😎😎
Shalom Nabii Naomba Tamko La Kaka Aangu Hana Tatizo La Kifamili Yuko Dar Mm Naitwa Exaud E Mungure Kaka Anaitwa Safnati E Mungure Asante Halipona Hile Tumbo Hakufanyiwa Hopreheni Tena Iliisha Kabisa Asante Sana Nabii Was Bwana.
Nashangaa.
Tena mamilioni.
Aki nabii sinikufikie
Kweli kabisa
Daaaaa
Hmmmm 😏😏😏😏eti mtu kukuona lazima ulipwe laki 5, Mungu halipiki
Hii ni biashara sio tena kanisa.
Pia watu wamependa vitu rahisi ndo maana wana tumia hio njia yaku toa hela zao
🙏🙏🙏♥️
Baba nakuaminia uongezeke
ww baba ww
Nifungue Mie pia nabii mkuu
Jamani mtu anielekeza kanisani pake mchungaji mimi mkenya pliz🙏
Jmn mm Sina laki Tano Nina elf kumi TU kwaiyo sirhusiwi kumuona nisaieni?
Kijamaa kinapenda kulelewa hichi hahahaaaa chapenda pesa sana
Bwana mungu atu saidie.
Dunia ime fika mwisho wake
Unataka apende nini sasa?? Uuwiihhh
😂😂😂😂😂
Huyu nabii kanisa lake liko wapi hapa dar
Mbona unadanganya wayu ivo
Hata angalia sasa hio ndo yesu ayuko sasa unawasa eeeeee we iyo kazi yako ni kufuncha nyumba kwanza hakiona munapendana ndo anawanachanisha
Nabii nakuomba. Niombee. Nauzao wangu
Nimekuombea mwanangu
Nabii geordavies naomba namba yako ya simu naishi Mkoani Ruvuma
Nyi mume ingia
Kiboko haki ya nani
Mm ningesema ntampeleka mahakamani maana no way out ,Ila kumuona nabii Ni 500,000 acha nibaki tu .
Mmepewa bure na toeni bure
Vipofu na wavivu ndo wana enda huko.hii ni biashara mungu atu fungue macho
Ameen nabii mkweli kabisa jamani ntatowa wapi namba yake nisaidiyeni namimi ninusurike