Muuza madafu ikulu ni Komando? A trend akifananishwa na komando kwa akishuka kwa kamba na helicopter
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 เม.ย. 2024
- Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1 - บันเทิง
aliyesanuka em agonge like hapa
Niyy muuza madafu hakuna ubishi lakini awezi kukubali kamwe
Msione ajabu wala msishangae, haya ni mambo ya ki-intelijensia 😂😂.MAJEDA OYEEE TANZANIA 🇹🇿 THE BEST
Mission completed 👏👏👍
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Ameeeen
Mama anajichekea tu😂ngoja na mimi nicheke😂😂😂😂 iloveyou Tz yangu ❤
We ukauze madafu ikulu mchezo,haha ila ww jamaa ni noma sana
Umeona mama samia anacheka kakumbuka siku ya madafu
😂😂😂😂
Tena clip ya mtangazaji wa milllard akimuelekeza aweke silaha vizuri yaan ni yeye na jamaa wana uwezo hata wa sauti kubadilisha
Tanzania wapelelezi wapo Kila mahali, yaani "ulipo tupo", ni kiasi Cha sisi wananchi kuchunga ndimi zetu na kuheshimu Kila mtu
Na Hiyo pia isiwafanye mjisahau kwa kujiona mmemaliza kila kitu "Huwa Allah junudu mafisamawati wal~Ardhwi" Bi maana Allah yeye ndiye mwenye majeshi Angani na Ardhini. unaweza kulindwa Sana na mwisho ukafa Nyuki au Siafu tu. Tendeni haki na mema sio kukandamiza watu Kisha mnaendelea kujitukuza.
Huyo anaekataaa nae inawezekana ni usalama wa taifa😂😂,, ila nimependa Sana mbinu za jeshi letu.. ukauze madafu Bure Bure ikulu,, thubutu,,,,,, Sasa usalama mbadilishe mbinu hii tushaijua😂😂😂... Komando muuza madafu oyeeeee
Ha haha haha
Ndio yeye kule alibadilisha saut
😂😂😂😂😂😂😂😂
Oyeeeeeeeee😂
We Nani umsogelee Rais na vi madafu vyako?. Kwa hili nimeipenda Nchi yangu viongozi wetu wako salama👏
Du!,tena full commando,kuna la kujifunza hapa,hasa wale wenye dharau kumuheshimu kila umuonae mbele yako ni jambo muhimu sana.
Ndio
kweli kabisa
Umeongea chamaana sana niliwahi saidiwa namtu nisie mjua sehemu ngumu sana kumbe jamaa ananijua nayeye niwalewale
kwenye facial recognition tunaangalia paji la uso, mashavu kidevu, mkao wa pua, ukimchek mwamba pua hahhaaa ikulu sio kila mtoto wa baba ananda eeh
Am a Kenyan ❤❤❤❤ i really love this 😂
🤞🤞
nice to hear
Sio rahisi kwa raia wa kawaida kupelekwa ikulu inawenyewe hiyo ww fikiria kwa akili ndogo uangue dafu Rufiji ambalo halijahakikiwa akapewe Rais wa nchi mliona wp sisi tuliowajanja tunajua
saw kabisa
Jamani tunakiharibu kiswahili chetu badala ya kuandika sawa kabisa unaandika "saw kabisa" ukitafsiri inakuwa "aliona kabisa"
@@user-vd1vx1dc8p😂
Native speakers use informal speech and slang
Mbona ulikua haujasema kama ulijuwa😊
Kuna jambo lao wanatafuta awa sio bule kwaio ukiwa njiani ujitunze sio kila umuonae ni mtu wa kawaida kwako ao wanaangalia usalam wa nchi chini chini kam nisingemuon apa sku ningekutana nae siku sipo vizuri unaingia kwenye anga zao aisee atakukoa sasa mue walinzi wenyew sio kilA umuonae umzalau ukute wenginne wanafagia barabara we unaon ni washikaji zako unaongea mambo lbda ya bangi wee watakumiga na kukukoa ulinzi wa nnje jmni upo kila mtu awe na uangalifu la sivo mtaishia jera waovu lkn sin uakika nalo 😅😅😅😅 nimependraaaaas😉😉✌👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ni yeye Kwa sababu wakati anahojiwa alijichanganya kwamba anaweza karate,hakuna muuza madafu wakusema anaweza karate
Acha ushamba karate anajifunza mtu yeyote yy alichosema nikwamba hvyo vitu anaviweza kwan mbn mm nacheza judo mieleka na karate??
Ni yeye
Wewe kweli mshamba
@@Mpakauseme ushamba umetokea wapi hapo tena
Hyo karate alijifunza lin make kasema ye ni mwanafunzi wa chuo na umri umesoma namba so pouw
Huu mtindo wabadiri maana dunia ikombali sana sasa huyu jamaa hawezi ishi tena kwa amani nakufanya kazi yake kwa weredi maana kila mtu mwenye anajua alichokifanya atakuwa anamuogopa kikubwa hawa jamaa wauza madafu wengi niwatu wa mipakani kupitisha watu wabaya nirahisi sana ndio maana wanakuwepo komandoo elewa huyu nikiongozi wakikosi nayuko nao aisee hii in big up sana
Mpaka mtu anasema kama mazoezi na kareti anafanya mnashindwa kujiongeza
😂😂😂 ndio yeye sauti ina echo tu, ila zinafanana, tue makini
Serikali yetu nzuri haswaaa ina ulinzi mzuri sanaaaa
Kama ingekuwa issue ya Usalama tu basi rahisi kuamini ila hapo anananisibishwa na na huyo kiongozi wa Makomandoo aliyeshuka kwenye helicopta hapo...kwa akili ya kawaida tu Kiongozi wa makomandoo tena Kapteni wa jeshi atapat wapi mda wote huo wa kukaa pale Salenda kuuza madafu...ingekuwa amenasibishwa na usalama wa taifa hapo ingeingia akilini
mama mweenyewee anafurahi heee huyu si yule muuza madafu itakuwa hata yeeye alikkuwa hajui hili
Mama anajuwa hiv unafkiria wangekua watu wakawaida wangeruhusiwa kuingia ikulu kirahis rahis
Muuza mafafu gani ata kofia hakuivua ikulu,,,,,serikali ina mkono mref,
😂😂😂😂😂😂😂 Bongo ni Nchi ngumu sana😂😂😂😂
Mi sijui kufananisha ila huyu sio yeye" Tusitake kuheadlines
Yes hata huyo jamaa wapembeni ndie yuleyule walie kua pamoja kupeleka madafu Ikuru. huyo alievaa kitambilisho
Kabisa ukimuangalia vizur machoni huyo wapembeni kama ni yeye iv
Kwapembeni namwona mjomba hija khaji mgumya one love jombi
Tena ni captain halooo
km ni yeye basi ujue swala la kupeleka madafu halikuwa bahati mbaya na swala la yeye kuonekana hapo km kiongozi pia sio bahati mbaya yani kila kitu kimepangwa
ila wamefanana zaidi jaribu kuangalia facial features mfano fupa la shavuni utaona kuwa ni tofauti ila utafauti huokwa jamii ya watu hao unaweza ukawa wa kutengeneza pia
tujaribu kusikiliza vocal - ila ya huyualiekuwa anaongea kwa mic huipati vizuri ila up and down za sauti kmzinataka kufanana ila yote kwa yote big up kwa vyombo vyetu
Acheni kufichua siri zenu za kijeshi!!! Adui atakua na kazi rahisi kuwafunika
KAZI YA NYOKO
@@devanse9718Ukweli ndio huo
it means dont underestimate Tanzanians
Nafikiri hii sasa jeshi lijiongeze kutokana na technology maana wengine huficha sura kwakuwa niwatu wanaojulikana sana mitaani so wabadiri mbinu
Mama abakie yy tu ikuru miaka yote nampenda sana rais wng
Sio yeye muuza madafu akiongea analamba ulimi lakini huyo commando halambi ulimi huo ndio utofauti wa kitabia halisi sisi wapelelezi tunajua hilo Tanx saaaaana kwa kufananisha
Unaweza mungu akuzidishie
Ukitaka kujua ni yeye mwambie huyo mwandishi akamtafute tena pale kijiweni alipokuwa ana uzia madafu kama atamkuta..
😂😂😂😂😂😂
Madafu km madaf😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Natena nikiongonzi kabisa daah 😅🔥
Yan bonge la cheo
Siye yule muuza madafu ana very prominent cheek bone huyu askari ana shavu kidogo
Muuza madafu mweusi sana kuliko askari
😂😂😂 wabongo bana mnachunguza sana mnataka msipate tena madafu.
Sio yeye tena hata hawafanani kwa sura pengine tumfananishe rangi tu lkn ni watu wa2 tofaut kabisa
Unashida ya macho
Pua pia tofaut moja ana pua nene alafu fupi mmoja pua nyembamba ndfu
Hata sauti ni tofauti kabisa.
Nami nimeona Hilo. Pua tofauti kabisaaaa@@MohamedAhmada-ie7ke
Sisi tuliosoma Cuba 🇨🇺 tulishamjua tangia siku ile ndio mana mnaambiwa msizarau watu
Hata hivyo tunaoelewa nadharia tulipinge suala HILI LA kumfunua mtu majani hasa waTu nyeti KWA taifa watu kama Hawa hata ukimjua umuachie sio kumtungia, stori
Umesoma Cuba ata kumtambua mtu huwez tizama pua tu hizo ndio zitakwambia kama ni watu wa wili tafaut
Kama watu tofauti basi andaeni interview wote wawili wawepo I will pay
Ukitazama vizuri pichani siku akiuza madafu body posture inaonesha kabisa ni mtu mwenye military skills.
Kweli kabisa
Sana sana tu
Ni kweli
Na kipindi anahojiwa kama ulimfuatilia alipigiwa sim arafu sekunde chache likapita gari ya makomandoo wa jeshi siku ile
Lkn hata mwandishi mambo kama HAYA sio ya kufatilia mtu aliejifunika majani usoni mnaharibu Sana ila KWA sababu SERIKALI LABDA Imenyamaz WAANDISHI mambo mengine nyeti mskone natoa story MNAKOSEA nchi
Uko sahihi matumizi mabaya ya habari
Mwenyewe bana
Sio yeye wanafanana tu hata sauti zao hazifanani wabongo bwana😂
Hpn ni yy, rudia yl maijiano utagundua kitu, alikua anajikanyaga kwenye maswali mengine, ujue kuukataa uhalisia wk ni kz.
Sauti hiyo ni kwenye maic
Hapo anaongea kwa ukakamavu mzee ,mwanajeshi mtaani n tofauti na kazin sauti zinakuwa mbili tofauti
Ndio yeye %98 kama unabisha basi nawe ni mmoja wao we muuza madafu unapata wapi muda wa mazoezi 😂
MWAMBA NI YEYE 99%
Sio yeye 100% hamuoni ata sura ni tofauti
Ndo mana pembeni wanacheka😂😂😂
Siyee sauti tofauti
Kweli video nimeyiludia malanyingi niyeye mungu amutiyenguvu kwanyota yake😊
Nanukuukwa marehemu ruge mtawba : ugopa sanaa digital 😂😂😂😅😅 usiongepeee utakamatwaa tuu tuu na record hizi sio zana za miaka 10 iliyopita
Mpaka sauti
Mungu awe nanyi makomando wetu😊❤❤❤
Wamefanana tu ila sio yeye😂😂😂
nakubaliana na wewe
Proud of my tz ❤❤
Mkimpata Tena Niko paleeeee😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Achana na sura hata sauti ni ile ile ya kuuzia madafu
Now time ajira ni ngumu mpaka COMMANDO anaamuwa kuuza madafu
Gonga like basi mbona unapita tu 😂😂
Ayo Mambo Sio Ya Kucholesha Sana Kwenye Mitandao Nazani Inatosha Wana Habari Kuchimba Ayo Mambo Angalieni Mengine
Siioni sababu ya kulitangaza sana jambo hili kama la ajabu sana.
Mbona ni kama tunajidhalilisha sana ? Na isitoshe kujifunua Kwa maadui. Atakuwa kwenye wakati mgumu sana kwenye kutekelezanmajukumu yake.
Ndio huyo huyo alieshuka na elkopta huyo ni usalama tena komando.yaani uende ukauze madafu ikulu kirahisi no ngastuka meku.
Usicheze na CCM
Ndio ile ile....❤
Well done bro I like it
Haya mbadilishe mbinu ya madafu tumeijua, Nikiona muuza madafu popote pale nakimbia balaa, sasa muuze pipi
MUOGOPE SANA MUNGU NA KIASI IOGOPE TECHNOLOGY 😂😂
Ndiyeeee mbwana kabisa
Ni yeye kuanzia sura na hata sauti pia ila watu inabidi wafikirie kwa sababu apo yupo kazini anatekeleza majukumu yake awezi kuongea kama anauza madafu jmn we mwenyew hauogopi tumien akili
Sauti hazifanani kabisaaa hawa watu wawili tofauti
Hilo mbona lipowàzi kabisa maana eneo lolote la nchi lenye uongozi wa juu wa nchi au nyala za selikal watu wanaolizunguka jengo hilo asalimia 60 ni askali!! Wauza madafu machungwa fundi viatu wauza magazet wat wa tigo pesa watu wa dini waubil na maustadhi watoa dahawa wote ni askali kanzu ubadilika kutokana na mazingira.
Aisee umenifundisha kitu kikubwa sana
Niyeye aisee ucje uka mdharau mtu ndomaana yake
Kabisa
Au ukataka kupigana na mtu njiani usiyemjua mm nashangaa wewe minazi na madafu wazaramo madafu wanauza waha😂😂😂
Hii ndio Tz ..... unaweza ukakaa au kuwa pamoja na mtu akiwa kawaida lakini kumbe ...
Mungu ibariki Tanzania.🇹🇿🇹🇿
Aliingiaje wakati ni sehemu nyeti msitudanganye bhana
Pia Kuna komando muuza mkaa 😂😂😂😂
Hageuki hata kidog niyule Yule yaaani hapa hamnambii kitu
🎉🎉😂😂
Kama kwel n usalama asingekuwa Sana front kwenye matukio ya mama
Kiukweli wamefana lakini upande wa sauti hawajafanana kabisa je anabadili sauti ili sie tusimjue or
Mungu ibaraki
Tanzania ukumbusho❤❤❤❤
Wew uyo jamaa wa upande wa kushoto si ndie alie kua nae kule kwenye madafu jaman jaman tuwe makin
Kwa jinsi maisha yanavyotupeleka huku kitaa, huwezi kupata muda wa kufanya mazoezi. Maana mshikeshike tu wa kusaka mkate 🍞 wa kika siku ni mazoezi tosha ktk maisha haya yenye mfumo wa kibepari.
Asante sana ESPERARENCE de TUNIS sisi yanga tumefurahi sana
Wamefanyaje hao ndugu zetu waarabu 😂
Wamempiga adui yetu aliyetudhulumu goli huko south@@godfreydavid6996
Wamempiga mtu nje ndani
😂😂😂😂😂
Ssanaaaaaaaaa😂😂😂😂😂
Ila na ninyi mngefanya kuvaa mask bhana ili kupoteza hiyo taharuki iliyoibuka nchini na kufanya kuwa ajenda Kwa Kila mmoja. Waandishi wa habari imekuwa ndiyo njia ya kujipatia viewers ! Kiusalama si sahihi.
Saw
Ni yeye kabisaaaaaaa!
Sasa wee muone mtu anauza zake madafu alafu jichanganye.
Dar anaweza mungu amri nde.
Mimi mkenya nko hapa kusoma kiswahili chenyu chapendeza 😊😊
😅😅😅😅😅pande gani huko James
Siyoo yy
Ila watu😂😂😂😊
Hii ya kubeba mizigo huwa inarahaa. Sisi tulibeba toka kemondo hadi hadi kishanje..
Nilikuwa napenda sana niwe mwanajeshi niilinde nchi Yetu Tanzania
Huyu jamaa anatochora anataka kutufanya hatujui kitu wakati ni yeye 😂😂😂😂
Now wanapambana kuthibitisha kuwa siyo yeye.
Ila kumbuka UKIJA BILA GADI UTAPEWA ZA WASTANI
Ni yeye banaaaa
Dha we jamaa muongo😂😂😂
Jamani huyo siye yeye kwa kuwa wengine tunatoka kijiji kimoja katika wilaya yaBuhigwe. Tumwombee pengine serikali imuone imeendelezwa kwani anao kaka zake wawili wa baba mkubwa wake wote ni wanajeshi
Sura na sauti...Ndio yeyeee
Good
Mm nilishangaa ameweza kumshawishi mama kula madafu kumbe ni poti aisee
Huwez kwenda Ikulu kirahc km co part ya jeshi Wakuruhuc raia wa kawaida,halaf baadae ukabwe utoe Siri za mazingira ya Ikulu Weee 😂😂😂😂
Kama cyo yeye bc hao waandishi wakamtafute tena pale kijiweni mana kasema pale yeye ni mda mrefu
Hivi vyombo vya habari vingine bwana. Ndo maana Huwa vinafungiwa mnatoa siri za nchi. Huo sio uzalendo
Ni yeyeeeee😂
Nice
Nani aliyekwambia apelekwe madafu, halafu ilikuwaje mama ayanunue halafu ilikuwaje kwani?