MASHAUZI YA ISHA AKIGOMA KUMSAMEHE MPENZI WAKE MABANGO 'SIKUTAKI USINIZOEE'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 345

  • @BahatiAlly-xs8jr
    @BahatiAlly-xs8jr 29 วันที่ผ่านมา +8

    Msamehe uyo kijana ni mkweli mungu huea anasamehe piga goti kwaza daisha useme na mungu uyo ni mwanadamu ameamu kijizalilisha Kwa ajiri yako najua jisigani unajisikia namuomba kama mdogo wangu mfikilie piga goti Kwa mungu awe mume sio swala nawe kaka ikitokea Aisha amekusamehe uwe na ofu ya mungu ukipendwa pendeka niliipenda San kapu yenu mmeniumiza San namuomba mungu awe katiyenu muwe mke na mume nawapenda San❤️❤️❤️🙏🙏

    • @keyla3641
      @keyla3641 25 วันที่ผ่านมา +2

      Yani umeongea ukweli kabisa

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 หลายเดือนก่อน +11

    Msamehe uyo isha. Hao viumbe hawaombagi msaamaa. Huto mpata mkamilifu.hao viumbe ma jeurii hao. Msamehe ishaaa

  • @Nahimanasudi-kh2xo
    @Nahimanasudi-kh2xo หลายเดือนก่อน +15

    Isha Baby tuko pamoja ❤❤❤

  • @kadito-o3j
    @kadito-o3j หลายเดือนก่อน +11

    Wanawake wanahuruma sanaa niamini mimi wakipenda wanapenda asilimia mia ❤❤huruma akiweka atamsamehe

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x หลายเดือนก่อน +2

      ogopa wanawake wanaopenda kweli kweli ni wabaya ukimkosea aaanh utaomba poo

    • @kadito-o3j
      @kadito-o3j หลายเดือนก่อน +1

      @@user-wd2bc7bf5x it's true asilimia mia ndugu yangu

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 หลายเดือนก่อน +15

    Isha una roho nzuri ila mabango kakosea

  • @MohamedMachete
    @MohamedMachete หลายเดือนก่อน +3

    Vijana tafuteni hela pata picha broo hapo familia yake inamuona anaishi maisha mazuri lakini leo hii wanamuona anamlilia mwanamke kisa maisha mazuri 😢😢 muhimu kweli kuwa na pesa yako😮😮😮

  • @Nahimanasudi-kh2xo
    @Nahimanasudi-kh2xo หลายเดือนก่อน +12

    Isha tuko na ww Baby ❤❤❤

  • @NdayisengaAmina
    @NdayisengaAmina หลายเดือนก่อน +3

    Nitazidi kuzidisha duwa kwa Allah alirudishe penzi lenu lirudi kama Hawali

    • @sharifamohammed6317
      @sharifamohammed6317 หลายเดือนก่อน

      Ulisikia wapi dua za zinaa zinakubalika wee uogopiii

  • @MariamRashid-sm5zw
    @MariamRashid-sm5zw หลายเดือนก่อน +4

    wanawake tunatakiwa tuwe kama mwanangu isha tungekheshimika

  • @midilastahans7188
    @midilastahans7188 หลายเดือนก่อน +11

    Maskini ya Mungu wangu etiiii naruhusiwa kuja kuka au??jamani nimemunurumia.kukosa kazi kubaya sana uwiiii uwiiii vijana wetu fanyeni kazi acheni kulelewa.uwiiiiiiiii😢😅

    • @rosebeniel
      @rosebeniel หลายเดือนก่อน +1

      Unawaza kulelewa tu wengine wana mapenz hawaangalii.hilo

  • @user-bp7ry5ey1f
    @user-bp7ry5ey1f หลายเดือนก่อน +3

    Aisha tafadhali msamee wewe ni Muslim Mimi najua wanadam makosa niyetu,, ila pia usisahau kuna watu wanapenda kuaribu maisha ya watu, ,, Mimi sijapenda ivyo msamee muendelee n maisha😌

  • @SallehFakki
    @SallehFakki หลายเดือนก่อน +4

    Please da Isham nakuomba umuelewe huyu kaka Anakupenda please msamehe my

  • @user-ok2mk8mh4j
    @user-ok2mk8mh4j หลายเดือนก่อน +2

    Mungu anakuona isha

  • @YasintaMinja-ob1nt
    @YasintaMinja-ob1nt หลายเดือนก่อน +2

    Kpnz msamehe tu huyo mkaka maana nimstaraab kwa kwel ni mwanaume gan anaweza kuomba msamaha hatharani ❤❤

  • @PascoMlinga
    @PascoMlinga หลายเดือนก่อน +2

    Mnajizalilisha hayo matatizo yenu mlitajiwa muyamalize wenyewe nyumbani sio kwenye mitandao

  • @GloryTesha-g6p
    @GloryTesha-g6p หลายเดือนก่อน +3

    Mwendelezo pls

  • @user-zl9pl2ib4q
    @user-zl9pl2ib4q หลายเดือนก่อน +2

    Nilikua nakuona mwanamke ila nimekuzarau umejitoa sifa sifa mwanamke ni kusamehe kwa Nini usimsamehe mwenzio inamana wewe mnafiki una mzalilisha mtoto wa watu kwenye vyombo vya habari sio viziri

  • @wilsonwizzo2483
    @wilsonwizzo2483 หลายเดือนก่อน +4

    Daah sema wanaume huwa tuanaushirikiano sana
    Ukicheki hapo jamaa wanavyompambania mwana😂

    • @saidkibabe7131
      @saidkibabe7131 หลายเดือนก่อน

      Bro code baba😂😂😂😂

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂mashemeji uchwara 😂😂

    • @TomeTenendeTenende-rz2ys
      @TomeTenendeTenende-rz2ys 11 วันที่ผ่านมา

      Kkkkkkkkkkkkk vizuri sana aise

  • @SophiaMwenda-m3l
    @SophiaMwenda-m3l 22 วันที่ผ่านมา +1

    Msamehe Jamani huyo kijana kila mtu anamapungufu hata kama utapata mtu mwingine huenda anamapungufu kuliko huyo samehee tu Dada Isha

  • @HALIMASIRI-w7i
    @HALIMASIRI-w7i 29 วันที่ผ่านมา +3

    Msamehee Aisha please wewe nibinadamu kuwa nautu haki please

  • @ZoyaAli-qy3tg
    @ZoyaAli-qy3tg หลายเดือนก่อน +2

    Maskini hadi anahuzunisha msamehe maana sio rahisi mwanaume kunyenyekea hivi 😢😢

  • @ferdaedward8373
    @ferdaedward8373 25 วันที่ผ่านมา +1

    Nimeipenda ngugu samehee niwanaumewachache wanaomba msamaha huyoa nakupenda

  • @NeemaMweta
    @NeemaMweta 29 วันที่ผ่านมา +2

    Mkomeshe ivoivo na wengine wajifunzeze namnyota wake wa giza akome

  • @MariamRashid-sm5zw
    @MariamRashid-sm5zw หลายเดือนก่อน +2

    insha mwanangu naomba msamekhe sana lakini mfunge ndoa inshaallah mpe nafasi yamwisho

  • @NakivonaSalim
    @NakivonaSalim หลายเดือนก่อน +5

    Macho ya da Isha yanaongea bado anampeeenda mabango

  • @annemtaki8483
    @annemtaki8483 หลายเดือนก่อน +2

    Isha msamehe mpenzi wako. Elewa kwamba hao ni wavurugaji tu. Mkiachana watafurahi sana.

  • @maryamedi9141
    @maryamedi9141 หลายเดือนก่อน +6

    Msameh jmn dad Isha hakuna mkamilifu

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 หลายเดือนก่อน +4

    Mashaallah jike la simba likitaka kung'ata linang'ataaa ng'aaaaaaaaaaaaa mnyooooshe ivyo ivyo kwnza akilud adabu

  • @MariamRashid-sm5zw
    @MariamRashid-sm5zw หลายเดือนก่อน +2

    inshaa msamekhe mwanangu 15:50

  • @hypogotz8705
    @hypogotz8705 หลายเดือนก่อน +6

    Vijana tafuteni hela 😂

  • @boniphacerweyemamu2118
    @boniphacerweyemamu2118 หลายเดือนก่อน +5

    Sikuzote mwanamke akikupa nafasi ya kukusikiliza ujue asilimia ya kusameewa ni mkubw huyu lazima amsamee😊

  • @salamakiwinga6310
    @salamakiwinga6310 หลายเดือนก่อน +3

    Bas mimi sijui sina akili vzr yule mbwa kashanipiga matukio kibao nusu nife ila akisema tu niasamehe nishamsamehe adi najishangaa mweh natamani ningekuw na moyo km wako isha 😢😢😢

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh หลายเดือนก่อน

      Itakuwa unampenda sana au unafikiria yale anayokupa usiku unazani huyopata zaidi ya yy😅😅😅

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 หลายเดือนก่อน +1

    Umri umeenda na achana na maisha ya kitoto we ushakuwa mtu mzima na umeshatumika sana hata ladha hapo hamna mmeeeek

  • @anniemallagi
    @anniemallagi หลายเดือนก่อน +8

    Duuh pole mabango naona shangazi kakaza

  • @emmymgonto4110
    @emmymgonto4110 หลายเดือนก่อน +2

    Dada yangu Isha ukipenda una nyongo kali Kama mimi Mungu atusaidie

  • @ireneflorence2232
    @ireneflorence2232 หลายเดือนก่อน +2

    Mwanamke akishakupa sikio lake imeisha hiyo.😂😂 mpeni mda tu

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 29 วันที่ผ่านมา +1

    Msameheee acha mashauziiiii

  • @MwantumuAbdy
    @MwantumuAbdy หลายเดือนก่อน +1

    Umenifundisha kitu kikubwa sana dd angu nimekuelewa bure i got ur point sis love u

  • @samwelmasunga8293
    @samwelmasunga8293 หลายเดือนก่อน +3

    Shangazi isha Msaheme Mabango kwani ni wachache sana wenye moyo kama wa jamaa mtu kukufuta mpaka apo ni hatali sana wengne huwa wana sema mpo wengi lkn mabango ashafika sehem sahihi msamehe aunt tuna kuomba jmn

  • @user-fi7ky7ub6s
    @user-fi7ky7ub6s หลายเดือนก่อน +1

    Msamehe tu dada Aisha mungu atakusamehe tu

  • @najatramadhani6300
    @najatramadhani6300 29 วันที่ผ่านมา +1

    Nakuelewa sana isha❤ pole sana

  • @LucyOmary
    @LucyOmary หลายเดือนก่อน +2

    Samehe dada Isha tena mshukuru mungu bwana wako ansomba msamaha warahi usipomsamehe utakuja pingwa na vitu vizito na hutoombwa msamaha

  • @dullahbakari4813
    @dullahbakari4813 หลายเดือนก่อน +1

    Daaaaah Isha msamehe tu aiseee 🙏

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 หลายเดือนก่อน +2

    Amekosea sana tena sanaaaa kubadilisha password. Cha kufanya wewe nenda ukatulie kdg na ukafikirie kwa MAKINI! Ukirudi upya na MFUNGE NDOA ILI MUWE MUME NA MKE.. Aisha hasira zk zikisha isha atakuwlewa. Inshallah 🙏

  • @NeemaMweta
    @NeemaMweta 29 วันที่ผ่านมา +1

    Mwanangu nimekupendaaaaa ishaaaaaaaaaa saaaaaaaafi usimpe mkono atakuharibia nyotaaa

  • @giovannajohn3813
    @giovannajohn3813 หลายเดือนก่อน +1

    Da Isha naomba umsamehe plz hakuna mwema hata mmoja kwenye dunia hii iloyojaa laana msamehe nakuomba

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 หลายเดือนก่อน +3

    Isha msamehe mpenzi ila ongeza spidi ya kufanya yako

  • @Jumashadhil380
    @Jumashadhil380 หลายเดือนก่อน +3

    Yani Mwanamke Akisema Hataki,, Ndugu Zangu Uwe Na Hela Au Hauna Yani Kama Hataki Hataki tuuh,, Yani Akisema Hataki Alafu Anataka Basi Huyo Anataka,, Lakini Akisema Hataki Alafu Hakiwa Hataki Basi Huyo Hataki,,, Oya Wanangu Tujifunzeni Kuwapenda Back Hawa Wanawake Wanao Tupenda

    • @AbdulhaamidSoud
      @AbdulhaamidSoud หลายเดือนก่อน

      Hajapenda huyu maxinguo tu

  • @brycesopsop719
    @brycesopsop719 หลายเดือนก่อน +2

    Pole bro hope mutarudiana 2

  • @gindamaster1784
    @gindamaster1784 หลายเดือนก่อน +2

    Mwamba anatema sana vocals

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 หลายเดือนก่อน +3

    Isha macho yanaonesha bado unampenda mabango 😂

  • @user-xi8ll6ub4j
    @user-xi8ll6ub4j หลายเดือนก่อน +2

    Tatz alisem siwez kumic labd nitamic cha kul tu Leo vp unapig got

  • @SeleTosha-hk8kp
    @SeleTosha-hk8kp หลายเดือนก่อน +2

    Aisha I'm very sure ur very straight kwenye huo mvunjiko wenu wa mapenzi ila my opinion is stop hizo mambo za kuhojiwa hojiwa that's not nice,coz wewe sio wa kwanza ku breck love that's my opinions sister, stop that fanya mambo yako achana nae hana mpango 🇿🇦

  • @righitkileo
    @righitkileo 29 วันที่ผ่านมา

    ❤❤Ushauri wanqu Nyie watu maarufu anqalieni namna nzuri ya kumaliza tofauti zenu bila kuanikana humu.wewe Mwanaume kuwa mwanaume bac.hii namna kama ndo inazidisha huyu mama kuendelea kukukata. Au vile nyie wa Uswaz ndo mlivyo

  • @SallehFakki
    @SallehFakki หลายเดือนก่อน +1

    Dada isha please nakuomba msamehe. Ata sister tunskosea ila Alla hutusameheee

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 หลายเดือนก่อน +3

    Ila ww mvulana umelogwa jaman yaan had umekonda, hembu jitulize unatuabisha wazazi jaman kama kakufungulia dunia siuedeleze, au ndy ganda la ndizi, Piriiiiiii! mpaka Maka😂😂

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh หลายเดือนก่อน

      Unajuwaje huyo mwanao alichooneshwa huko muombee dua aowe

  • @KisileAbdallah
    @KisileAbdallah หลายเดือนก่อน +1

    Msamehe bwana mpk anatia huruma 😮

    • @NewNew-ep5dq
      @NewNew-ep5dq 28 วันที่ผ่านมา

      Ww muChe atakuj kumkumbuka mtu anaomb msamaa siumsamee tu

  • @SallehFakki
    @SallehFakki หลายเดือนก่อน +1

    Pia kumbuka ss binaadamu tumeubwa na mapungufu my msikilize mwenzio kiukweli anakupenda. Please my masamehe my

  • @RehemaMwakapimba
    @RehemaMwakapimba หลายเดือนก่อน +1

    Isha acha ushamba wewe ni mwanamke. Tayali kaisha kuvua nguo mama. Msameee sana.

  • @wardaomary2997
    @wardaomary2997 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂 mchaga na iddris nyie aya mwenzenu anaomba msamaha sasa😂😂😂

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or หลายเดือนก่อน +7

    Aisha uliisha wahi yasema hayo awali.
    Mungu akuhifadhi ukhty.
    Nakuzimia mno.

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq หลายเดือนก่อน +2

    Isha msamehe mtoto wa mwanamke mwenzio kazaliwa na yy maskini 😢😊😊😊

  • @LydiaFaustine-bk6nv
    @LydiaFaustine-bk6nv หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyewe anajua anapendwa sana ndo maana anaringa sana, ringa mamaa🎉

  • @Husna-pn5gg
    @Husna-pn5gg หลายเดือนก่อน +1

    dada ishaa msamehe bhn kijana wawat daah😢 minilikua nakupenden jmni

  • @peacecook1492
    @peacecook1492 หลายเดือนก่อน +2

    Msamehe mshikaj Yuko real

  • @jadetoto
    @jadetoto หลายเดือนก่อน +1

    Watatafutwa na Radio zotensasa Isha anajishauaa ngojanukutane na Abdul wa Diva akucheat mpaka ufe

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw หลายเดือนก่อน +2

    Dada isha nakupenda umeongea kweli

  • @user-rb5hs3lq6v
    @user-rb5hs3lq6v 8 วันที่ผ่านมา

    Inaniuma kuona wanaomuomba isha asamehe wengi ni wanawake. Hii ndio sababu wanawake hamueshimiki na wala wanaume hawaogopi kuwasaliti kwa sababu wanajua watafanya ujinga mwisho watasamehewa tu.Ama kweli heshima ya mwanamke inashushwa na mwanamke mwenyewe

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct หลายเดือนก่อน +2

    Isha jamani msamee mtoto wa mwanamke mwezio .najua umeumia lakini msamee mabango haludii Tena.

  • @user-sj6qh3yr5t
    @user-sj6qh3yr5t หลายเดือนก่อน +1

    Jamani wote hao ni watu wazima maamuzi ya mtu yaheshimiwe walipotakana mlikuwepo? Mwacheni

  • @IssaPara-bt9hg
    @IssaPara-bt9hg หลายเดือนก่อน +1

    Chizi kweli wew mama mkuu acha ujinga kaambele acha Mambo yako utakufa wew

  • @aikamungure7056
    @aikamungure7056 หลายเดือนก่อน +3

    Isha upo sahihi sana,Ila msamehe tu,maana atakuwa ameshaijua thamani yako

  • @user-rv6wf5zr6m
    @user-rv6wf5zr6m หลายเดือนก่อน +2

    Tangaza ndoa usipalilie zinaa kaka hayo ndio mapenzi unajuwa kubembeleza mabango msamehe Isha

    • @haryanyawu640
      @haryanyawu640 หลายเดือนก่อน

      Aliekwambia hawana ndoa nani?

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 หลายเดือนก่อน +4

    Ila kaisha kanajua kuringa jamn 😂😂 uko. Mwishon mie hoi uku wallah

  • @evalokwetikya1984
    @evalokwetikya1984 หลายเดือนก่อน +1

    Baba umeyakanyaga kwa watu wa Mara fanya yote usithubutu kuchezea mapenzi au moyo wake itakula kwako

  • @edgercyprian964
    @edgercyprian964 8 วันที่ผ่านมา

    Daaah Aisha ebu mpe nafasi ya mwisho mwenzio unajua mwanaume mpaka kufikia kuomba msamaha

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 16 วันที่ผ่านมา

    Huyu demu hataki kweli for now ....cjui baadae huenda anything can happen .

  • @mishimtambo4684
    @mishimtambo4684 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani kabla ya Isha ulikuwa unakosa liziki

  • @ibnnjoka4808
    @ibnnjoka4808 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu kweli mkurya kiboko

  • @salmakirundu2076
    @salmakirundu2076 28 วันที่ผ่านมา

    Mwenyezimungu anasema samehe mara 70 kwa siku

  • @Naema-x7p
    @Naema-x7p หลายเดือนก่อน +1

    Maskiniiii mapenzi haya adi amenitia huruma kaka wawatu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭isha msamehe mwenzako😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @NewNew-ep5dq
      @NewNew-ep5dq 28 วันที่ผ่านมา

      Yani unishid mm nimeumia san msamee

    • @MpajiAli
      @MpajiAli 26 วันที่ผ่านมา

      Hao wanaume loòh hats huruma cimuonei huruma mishenz mijanaume

  • @NeemaMweta
    @NeemaMweta 29 วันที่ผ่านมา +1

    Ukimsamehe huyo atakukomesha mara 2000

  • @EliangikayaJoseph
    @EliangikayaJoseph 26 วันที่ผ่านมา

    Dah msamehe tu Dada Isha😢

  • @tusaamon3216
    @tusaamon3216 หลายเดือนก่อน +1

    Isha litakupata jambo mtu gani uwezi kusamee

    • @NewNew-ep5dq
      @NewNew-ep5dq 28 วันที่ผ่านมา

      Sindio apo kwanza kun cha pekeyako sikuizi

  • @TracyKim-t6u
    @TracyKim-t6u หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo lingine jamaa anaomba msamaha kizembe sana, mkulya unamuomba msamaha huku unalamba lipsi woooooi anitafute mimi nimpe code za kuwaomba msamaha wakulya.

    • @TracyKim-t6u
      @TracyKim-t6u หลายเดือนก่อน +1

      @@FatimaAli-of4gh Umeelewa iyo coment????

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 หลายเดือนก่อน +4

    Inauma umsaidie mtu afu akusaliti

  • @nuruhamisi5384
    @nuruhamisi5384 หลายเดือนก่อน +2

    Atamsamee tu anampenda namuona kabisa sema kwakua mkubwa na anajua kuna camera awez kuonesha udhaifu watu wakaona

  • @OklyKornelio
    @OklyKornelio หลายเดือนก่อน +3

    Msamehe jamani mamy wangu hakuna mkamilifu duniani msamehe shemeji jamani

  • @NdayisengaAmina
    @NdayisengaAmina หลายเดือนก่อน +1

    As ww dada yangu nakuomba kwa ajili ya Allah msamehe uyo kaka ukiona mwana mume anapiga magoti kukuomba msamaa uyo nimpenzi wako kabisa kwa sababu dada yangu Allah tunamkoseya sana ila nimwepesi wahuruma anatuhurumiya n'a anatusamehe waja wake mimi ni shabiki wako kutoka Burundi naomba m'amène uyo kala kwakweli ata mimi namuoneya huruma

  • @mshambaused3840
    @mshambaused3840 17 วันที่ผ่านมา +1

    Watu wameharibu mpenzi hyo

  • @nasramussa2370
    @nasramussa2370 หลายเดือนก่อน +3

    Em na kunyenyekea uko pia kusiishie apo tu na pia kwa Mola tuwe zaid ya ivyo

  • @jonasnyanga8167
    @jonasnyanga8167 หลายเดือนก่อน +3

    Kwan mwanamke ni isha tuuu we jamaa

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂kuanzia leo isha ndo mwenyekiti wa mashangazii wotee😂😂

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de หลายเดือนก่อน +1

    Hawa nao" hata wasaf tv alisema hvyo hvyo leo ndo mala y kwanza kuonana tangu wakosane" mm naona huyu mabango angemkaushia tu sio kuombana msamaha mbele za watu kama hv jmn dah

    • @NewNew-ep5dq
      @NewNew-ep5dq 28 วันที่ผ่านมา

      Ndio angetulia tu uyu kak

  • @user-io6vz6ub9r
    @user-io6vz6ub9r 10 วันที่ผ่านมา

    Leo nimekuelewaa mama anguh

  • @Amirihussein-t7j
    @Amirihussein-t7j หลายเดือนก่อน +1

    kaka yangu mwaimu umezinguwa sana

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 หลายเดือนก่อน +7

    Mim japokuwa napenda mahusiano Yao awo...ila ninachogundua Isha anamsimamo...ila mnyooshe alafu ndo msamehe...iyo adabu lazima atashika adabu ata kama ikitokea umemsamehe safi...ila mim nawatakia Kila la heri

    • @DarvelKnowles
      @DarvelKnowles หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂mapenzi matamu sana,..ila daah kiukweli mwana anaumia sana yaani adi anakosa raha, ana kama kushikishwa adabu siunaona kasjaishika ila ata ukimuangalia vizur Isha anamuonea huruma mwamba sema ndoivo kamkazia kwanza..ila afight tu litaisha

  • @user-oo5sj8hb5m
    @user-oo5sj8hb5m หลายเดือนก่อน +1

    Siwengine tuna fumania kabisa na msamaha hatuombwi 😂😂😂😂

  • @bellommpanami9868
    @bellommpanami9868 หลายเดือนก่อน +1

    Jike la Simba limeunguruma😂

  • @rerisamba
    @rerisamba 29 วันที่ผ่านมา

    Pole dada watu wengine hupenda kuumiza watu