Isha Nilikua nafanya kazi na baba yako Dereva BOHARI KUU YA SERIKALI. Alikua mtu safi sana nilikua Bosi wake yaani Mimi TRANSPORTER OFFICER BOHARI. namuombea Kwa Allah ametangulia mbele ya haki Allah amsamehe makosa yake ALLAHU MAGFIRAHUM WARAHMAHUM FIL JANNA.
🇰🇪Msirudianeeee please We mtu anaomba msamaha kiuwongooo wwachana nae piga kazi Zako Isha Kisha Simama usiku Fanya IBADA WWACHANA NA HIVI VIVIJANAAA VYA KUVILEA ALLAH ATAKUPA MUME MWEEMA
Huyu mwanaume kunakitu anataka sio kwa maneno hayo duu vijana wengi wanataka mwanamke sababu ya kitu sio mapenz na maneno hayo hatakama mie isha sikurudii 😢
Binafsi namuelewa sana Isha,hakuna jambo linalouma kama mwanaume unampenda unamjali halafu ugundue kuwa kuna mwanamke mwenzako mahala,mimi huwa natamani kuliko hivyo bora nikawa bila mwanaume kuliko kumhudumia mwanaume na bado anakudhalilisha kwa mwingine, namuelewa sana Isha
Alafu Isha ana Binti , mkubwa jamani,mbona huyo bwana haoni Hilo,anamtia Isha aibu Kwa Mwanae na anamtia aibu mtoto wa Isha Kwa wasomi wenzie na hata Kwa jami inayomzunguka,mie niliona tangu day one huyo mwanaume ni mitihani, doh,pole sana isha nakuonea huruma hadi naogopa😊
Msimamo mzuri kwa upande wa Dada, pia Kaka ni uungwana kukiri ulipokosea ila jua kuwa Thamani yako Mwanaume inalindwa na wewe mwenyewe. Kubali yaishe na Uanaume wako ni muhimu kuliko mahusiano.
Unajidagannya aisha mwanamme wa peke hako ayupo na atakuwepo labda umuumbe wew na huna usezo juo hicho ni cheo cha allah pekeyake isijidanganye hatotojea wa pekeyKo upoooo
Ww Isha katka level yko,si mtu wakulalamikia mapenzi,hilo jambo la kawaida,eti mume wa pkyko,dunia ipi😂labda sio huku,usimwamni mume kiasi hio na dont love excess,utajiumza buree😅
Kijana badilisha msimamo huyo bibi hakutaki tafuta binti uoe mungu kakataza zinaa mbaya Mungu anakuepusha na jambo Kuna shari ingine lkn inakuwa na kheir na ina kuwa kheir lkn ndani yake ipo shari Tafuta binti uoe huyo bibi achana naye ataoata mtu mzima mwenzie Kashavurugwa humwuwezi achana naye unajidhalilisha bureee
@@jumakapilima7295 ya Dunia kaka angu ndio maana tumeumbwa kusamehe kwasababu malipo ni hapa hapa duniani,Mimi nimepokonywa mume nikiwa na mtoto wa miaka mitatu niliishiwa kunyanyasika nikaamua kuondoka mwenyewe,kuna msemo unasema mwenye nguvu mpishe
Mnaomtukana isha kumamae zenu kawakosea nini ye kaamua namsimamo wake na pia ndo kajipangia maisha yake htaki mtu mwenye mambo mengi muachen kipuri isha
We mtangazaji acha kupotosha kama hujui uliza WA KWANZA KUUMBWA NI ADAM SIYO EVA SISI KTK QUR AN NI HAWA SASA WE KUSEMA ATI ALIUMBWA KWANZA EVA KWA MAANA YA HAWA UNAPOTOSHA KITABU GANI UNANUKUU LETE ANDIKO UNAHARIBU WATOTO WASIO JUA
Dah! Mbona hizi ni aibu ? Kwani hawa watu wana matatizo gani , ni ujana kiki ukosefu wa nidhamu binafsi ama ninini duhh ! Tuwe na hofu ya MUNGU na wanadamu waliotusunguka..sikutegemea kama dada Isha nae ataingia kwenye hizi ishu za kujidhalilisha mitandaoni kisa mapenzi ...dahhhhhh!!!! Aibu hizi
Huwez kupata mwanaume wa peke Yako my sister wapeke yko hapana ni sawa sawa kutafuta sigiria ya mikono mirefu utaitowa wap hakuna icho kitu mume wa peke yko sahau
Jamani muacheni isha Ana mwili kama kabati . Kwani wewe .unamwili waaje acheni upumbavu hata kama nimimi hakuna mwanaume wawawli wameweza wenzetu waislam ila wengine hatuwezi kabisa kabisa kwahiyo isha uko sawa kabisa
Sasa huyo mwanaumme si amuace wanawake wapo warmer wapo nimapenze tu kama .hamutaki anajitapa.anataka wake pekeyeke. Na eye atapata wakwake peke yake huyo mwanamuke akielewi eti mwaname wa peke yake wewe ni malayika. Anza ujiangaliye vizuri kwa kiyo. 😂😂😂.mayisha ni safari has irakoze ni hasara.ungemusamehe mayisha akaendeleya
Isha wewe mtu mzima Hebu kuwa msamehemi mtu wa kusamehe umekuwa msusuavu wee mbona unamkosea mengi alitekuumba unataraji msamaha lkn wewe kumsamehe binaadamu mwenzio mgumu mtu mzima hovyoo Kijana umeshajizaliliza kwa huko isha lkn anajishetua wanawake wako wengi tena wazuri kushinda hata huyo bibi tafuta bi ti uoe achana nahuyo shangingi
Utampata mwingine atakosa Tena mwisho utaitwa nani wew usie jua kusamehe ndugu Yangu jua amekosa na msamehe maisha yaendelee ila kaeni muongee Kuwa akirudia Tena Hata Sisi tutakuwa mashahid wako
Hizo ni hasira wanaokasa ndio wanaojigunza msamehe akikosa Tena basi atakuwa mjinga Mtu akikosa ndio nzuri harudii Tena Hata Sisi tumepitia hayo acha asira kama muongee upo?
Naukiwa na mke mmoja au mme mmoja kiukweli unavuta sana hatua
Alafu msikilizane, gorofa mtajenga
Yashanikutaga hayo so isha namuelewa vzr sana tu😮
Isha Nilikua nafanya kazi na baba yako Dereva BOHARI KUU YA SERIKALI. Alikua mtu safi sana nilikua Bosi wake yaani Mimi TRANSPORTER OFFICER BOHARI. namuombea Kwa Allah ametangulia mbele ya haki Allah amsamehe makosa yake ALLAHU MAGFIRAHUM WARAHMAHUM FIL JANNA.
🇰🇪Msirudianeeee please We mtu anaomba msamaha kiuwongooo wwachana nae piga kazi Zako Isha Kisha Simama usiku Fanya IBADA WWACHANA NA HIVI VIVIJANAAA VYA KUVILEA ALLAH ATAKUPA MUME MWEEMA
We umejuaje kama kiuongo ila binadamu sisi miyeyusho
Acha kushadadia ya watu
Siku wakiridiana utaweka wapi sura yako
Wee salma kwa hiyo wewe unamshawishi waachane ilibaendelee kuzini
Huyu mwanaume kunakitu anataka sio kwa maneno hayo duu vijana wengi wanataka mwanamke sababu ya kitu sio mapenz na maneno hayo hatakama mie isha sikurudii 😢
Mwanamke msimamo❤
Saaafi isha...kazaa Ivyoo ivyoooo
Dada isha nakupenda Bure pambana na Hali Yako maísha ni yaleyale TU my sister❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yaan mnaboa sana😢kuna watu kibao wa kuwafanyia iyo interview kila siku ni polojo zao tu😮
Labra w ndo unaboleka
😬😬
Kwa kweli yaan mi nashangaa
Wew ndio unaboa huna akili
Mimi inanishangaza kwa kweli vijana tafuteni hela msijemkadhalilika😂
Binafsi namuelewa sana Isha,hakuna jambo linalouma kama mwanaume unampenda unamjali halafu ugundue kuwa kuna mwanamke mwenzako mahala,mimi huwa natamani kuliko hivyo bora nikawa bila mwanaume kuliko kumhudumia mwanaume na bado anakudhalilisha kwa mwingine, namuelewa sana Isha
Sanaaaa yalinikuta hayo jaman mapenzi nawaachia wahindi
Wewe ni mimi kabisa.
Kweli kabisa
Ata Mimi namuelewa
Kabisa yan da isha inaboa
Huyu kaka anaomba msamaha kwa kutaka kitu, na uyo mama anamtaka lkn anajifanya hamtaki
Sana bado wanatakana lait wangekuwa hawatakan wangejiepusha na mitandao
Ww huwezi kukaa na mwanamume sababu uliisha zowea kujiongoza mwenyewe hutapata, mwanamume ambaye uta mcontro ww mbabe
Eeeeh mbona karma umekuja na story yako😅😅
Kuna miaka ikifika kama ya Isha unakuaga na kunyenyekea kweli
Jaribu mzungu Isha mashauzi wao hukuwanga na mapenzi Aina hii yenye unataka
Km umeamini amepata mzungu wa zanzibar kwenye mawio like
😂😂😂😂😂daah
😂😂 uckute kwel
😂😂😂tena mambo yao bambam na mzungu wke
Somo kuwa na msimamo somoo wamezidi hiyo midumee
hata utembee masharik na maharib hupati mwanaume wa peke yako msamehe huyo bint ni chizi anatuma picha uchi
Alafu Isha ana Binti , mkubwa jamani,mbona huyo bwana haoni Hilo,anamtia Isha aibu Kwa Mwanae na anamtia aibu mtoto wa Isha Kwa wasomi wenzie na hata Kwa jami inayomzunguka,mie niliona tangu day one huyo mwanaume ni mitihani, doh,pole sana isha nakuonea huruma hadi naogopa😊
This guy shud work hard and respect himself, sometimes it's not worth it...kama mtu hakutaki hakutaki poor mindset will make one be worthless
Dada mwanume wa peke yako hakuna 😅omba upate atakae kuheshimu na kukupenda lkn wa peke yako mzar mwenyew😅
Wapo
Wapo
Msimamo mzuri kwa upande wa Dada, pia Kaka ni uungwana kukiri ulipokosea ila jua kuwa Thamani yako Mwanaume inalindwa na wewe mwenyewe. Kubali yaishe na Uanaume wako ni muhimu kuliko mahusiano.
Ila tz kweli Kuna mambo Sasa Isha ndio wakwanza kuachana kheee mbona upumbavu mwingi
Tatizo sio kuachana walijinadi Sana kuwa hawata achana milele juzijuzi tu
Kheee jamn kweli kabisa kheeee
Imagine
@@ErizicDaudduh
Unajidagannya aisha mwanamme wa peke hako ayupo na atakuwepo labda umuumbe wew na huna usezo juo hicho ni cheo cha allah pekeyake isijidanganye hatotojea wa pekeyKo upoooo
Eti Mshangaxiii mjini Kuna maneno😂
Kumuona kungwi kagoma kusamehe akilin yangu inanambia Bado nayeye anahitaji kungwi 🎉🎉
Watangazaji badilikeni siku moja moja muende mukamuoji hata nashi mc au songa cyo paka mungu awachukue ndiyo muanze kupiga kelele
Wanaume tamaa una mke mzur bado unahaha fanya yako dadangu Allah atakupa mume mwaminifu
Aisha fnya kazi zako..unawatoto.. wanakutegemaaa
Dawa mnaweka wenyewe halafu mkipendwa drama kibao
Mm nikiolewa hata mke wa pili sawa kikubwa tupendane na mke mwenzangu na Niko teari na Sina wivu juu ya mwanamke mwenzangu ambae tupo kwenye ndoa
Isha
Ulikuwa Na Rako Rohoni Ulikuwa Na Sababu Zako So Ndo umeamua Kushikilia Hapo Hapo.
Ww Isha katka level yko,si mtu wakulalamikia mapenzi,hilo jambo la kawaida,eti mume wa pkyko,dunia ipi😂labda sio huku,usimwamni mume kiasi hio na dont love excess,utajiumza buree😅
Aisha mrembo sana
Nyie kaz ya Mabango nikukimbiakimbia tu akisikia isha alipo,nenda nyumban kwake au oficn kwake mctuchoshe
Tatizo lake huwa wana tuchukulia wapuuz haswa pale unapompenda mtu nakuwa muwazi kwake wewe mshukuru mungu Da isha
Wee isha hayo ndo maisha yako mbona wee bwana wako wazaman mliachana kwa sababu amekufumania au umeshajisahaulisha
Huyo mshangazi nikama halikua hanatafuta sababu,ha kwende huko, kama hanataka wake wapekeyake hangemuhumba wake
Mmh mbona h nyingi 😅😅😅😅😅😅 kiswahili kigumu kweli@@IddAthuman-o9s
Uje kwangu nikukung'ute we mkulya
Huu ndo msimamo da isha
Isha yupo sahihi
Kijana badilisha msimamo huyo bibi hakutaki tafuta binti uoe mungu kakataza zinaa mbaya
Mungu anakuepusha na jambo
Kuna shari ingine lkn inakuwa na kheir na ina kuwa kheir lkn ndani yake ipo shari
Tafuta binti uoe huyo bibi achana naye ataoata mtu mzima mwenzie
Kashavurugwa humwuwezi achana naye unajidhalilisha bureee
Da Aisha Yani wewe ndio kama Mimi,Mimi kazi yangu kupokonywa waume tu naamua kuwaachia Yani hatuna tofauti
Pole sana,,
@@jumakapilima7295 ya Dunia kaka angu ndio maana tumeumbwa kusamehe kwasababu malipo ni hapa hapa duniani,Mimi nimepokonywa mume nikiwa na mtoto wa miaka mitatu niliishiwa kunyanyasika nikaamua kuondoka mwenyewe,kuna msemo unasema mwenye nguvu mpishe
Pole sana nenda kwenye maombi kikundi Cha karismatiki Katoliki..Yesu Kristo atakufungua
Chezea mizimu na mibabu ya ukoo ikikuamulia huoleki
Mnaomtukana isha kumamae zenu kawakosea nini ye kaamua namsimamo wake na pia ndo kajipangia maisha yake htaki mtu mwenye mambo mengi muachen kipuri isha
Kwa kauli hz za uyu jamaa hana mapenz ana htj ela
😳🤔huyu kaka mshenzi kumbe😮
Eti huyu nyota yangu
Wanawake km hawa huwezi kuwa-control ...
Lkn pia kuna mwanaume mwenye mwanamke 1 wapo
Wapumzisheni kidogo jamani ... Muweke akiba yamaswali , maana wakirudiana mtaanzatena upya kuwahoji.
Hakufai Huyu mwanaume.. ni Mnafki bora umemgundua mapema
Utasubiri sana huyo mwanaume wa pekee eti😅😅 alafu huyo lijimama najiuliza vijana wenzangu unalala nae vipi? 😢mtu kaa libuyu
Achana nae uyo Isha akufai anakaaa nawew kwasababu yakitu fulani naww
Wewe unaweza wakwako katengenze waudongo
Acha ushamba pambana na maisha Yako
Aisha awakujui vizuri apo ndipo nauona msimamo wa bibietu apo Peps dah aisha kaza
aisha msamehe mwenzio
We mtangazaji acha kupotosha kama hujui uliza WA KWANZA KUUMBWA NI ADAM SIYO EVA SISI KTK QUR AN NI HAWA SASA WE KUSEMA ATI ALIUMBWA KWANZA EVA KWA MAANA YA HAWA UNAPOTOSHA KITABU GANI UNANUKUU LETE ANDIKO UNAHARIBU WATOTO WASIO JUA
Isha unajishaua Sana sikuizi
Nyie wandishi wasenge kweri mnawarazimisha wapatane arivyo tongozana mrikuepo mbona mnashindwa kuwaoji watu wenye uwitaji wagonjwa na kero zirizopo tz
ila Kaka yangu ulipata mwanamke sahih kwako bac tu ????????
Nakumbukaaa ishaaa alikuaa naa jaamaa mmoja anaitwaaa tevez ,tevez alimkeraaa waligombanaa wakavunjiaani viiio vyaa gari zaaoo haikupitaa mudaaa wakaaachanaa semaa aishaaa anaa msimaamooo sanaa
Mwanamme wa peke yako ni baba yako mzazi tu. Utahangaika sana sana kumpata. kumpata
Angekua hana hela angerizika tu..tatizo kamzidi kipato huyo mshkaji ndo maanaa😂
Dada aisha hapo nisurasurambiiiiiiiii mama🤣🤣
Mwisho wa zinaa ni kudhalilika
Somo please nupe nafasi
Labda umzae mwenyewe.Utaolewa sana .Vinginevyo uache mhusiano.
Unajua mwazoni Nilikuwa sijakusoma ila Aisha Simama na msimamo Huo huo Dada akwende tyuuu😂😂
Dah! Mbona hizi ni aibu ? Kwani hawa watu wana matatizo gani , ni ujana kiki ukosefu wa nidhamu binafsi ama ninini duhh ! Tuwe na hofu ya MUNGU na wanadamu waliotusunguka..sikutegemea kama dada Isha nae ataingia kwenye hizi ishu za kujidhalilisha mitandaoni kisa mapenzi ...dahhhhhh!!!! Aibu hizi
Wapo bwana wa pekee yake safi una msimamo mzr
Huyo Isha naona ana tabia kama mimi naona kinyaa tu kama mmeshakubaliana inabidi mridhiane mbali na hapo usanii haujengi uhusiano wa kimapenzi
Huwez kupata mwanaume wa peke Yako my sister wapeke yko hapana ni sawa sawa kutafuta sigiria ya mikono mirefu utaitowa wap hakuna icho kitu mume wa peke yko sahau
Umeona eee omba upate wa nafuu
Kijana anataka hela huyoo😢
Fukuza dada asikupotezeyi mda 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani muacheni isha Ana mwili kama kabati . Kwani wewe .unamwili waaje acheni upumbavu hata kama nimimi hakuna mwanaume wawawli wameweza wenzetu waislam ila wengine hatuwezi kabisa kabisa kwahiyo isha uko sawa kabisa
Isha chunga ukizidii kumkataa mabango atampata mrithii 😅😅😅
Ajifany kam mtoto mdogo vile ajikuta mzuri kumbe duhu mm pia ninanafuu
Mzuri ndio
Utasubiri wapekeyako paka kesho😊😂😂
Sasa huyo mwanaumme si amuace wanawake wapo warmer wapo nimapenze tu kama .hamutaki anajitapa.anataka wake pekeyeke. Na eye atapata wakwake peke yake huyo mwanamuke akielewi eti mwaname wa peke yake wewe ni malayika. Anza ujiangaliye vizuri kwa kiyo. 😂😂😂.mayisha ni safari has irakoze ni hasara.ungemusamehe mayisha akaendeleya
Wew ndohuna iyo adabu unaetembea na mtoto wa 2000
Yaani amekosa mbinu mmbadalah huyo anarudi mwenyewe ushauri aende handeni ize
Hapo ndoutaamini mwanamke nikiumbe kizuri lakini mwanamke akichafuka robo Kaa mbali nae kabisa hawafai hata kidogo
Isha wewe mtu mzima
Hebu kuwa msamehemi mtu wa kusamehe umekuwa msusuavu wee mbona unamkosea mengi alitekuumba unataraji msamaha lkn wewe kumsamehe binaadamu mwenzio mgumu mtu mzima hovyoo
Kijana umeshajizaliliza kwa huko isha lkn anajishetua wanawake wako wengi tena wazuri kushinda hata huyo bibi tafuta bi ti uoe achana nahuyo shangingi
Mwanamke anaweza kumwacha mwanaume wake kwasababu ya kuchepuka na akanzisha mahusiano na mwanaume mwenye mke
😂😂😂
Kiukweli mm shabiki wa Isha lkn Kwa hili 😂😂😂
Bibi anajiona mzuri wakati hana tofauti na kabati la nguo
Ni mzuri
Yani vyombo vya habari kunavitu vingi vyamsingi kulisaidia taifa kusonga mbele mmekalia kuhoji mambo ya kihuni na wahuni
Hivi baadhi ya watu wanajua maana ya neno MUME/MKE😂😂 hizi caption.
Utampata mwingine atakosa Tena mwisho utaitwa nani wew usie jua kusamehe ndugu Yangu jua amekosa na msamehe maisha yaendelee ila kaeni muongee Kuwa akirudia Tena Hata Sisi tutakuwa mashahid wako
Kaka anatafuta umalufu kwanguvu😂😂😂😂
Uwo ndio umwanamuke/wanawake kuweni msimamo kama Isha
Huyo mwaname bwege tuuu mashangingii waliojaa kibao mjini unang'ang'ania mwanamke asie kutaka
Eti hamkosei mtu anajikuta kakamilika hovyo
Ila watu wanafki apa ndn n uchochezi usimrudie usimrudie km mungu anasamehe uyu n nan😏😏😏
Ndo mkome kufuga vibenteni
Achakuwa kama sigala kali mbele inawaka nyuma inawaka wewe siulisema hakuna unacho misi kwa isha mpumbavu wewe muache anzishe maisha yake eboooooo
Hizo ni hasira wanaokasa ndio wanaojigunza msamehe akikosa Tena basi atakuwa mjinga Mtu akikosa ndio nzuri harudii Tena Hata Sisi tumepitia hayo acha asira kama muongee upo?
Bwana amesema nyota yake,akhaaa kumbe yupo ki maslai.Duh.. kama picha ila Isha mjanja amtukia.anataka kumtumia amchune.
Yupo kimaslahi uyo da aisha achana nae
Wakwako utampat wapi
hapahapa bongo wapo wanaume wanapo wanao jiheshim na kuwa na mwanamke mmja tatiO wabongo tunakarir maisha
MADAM ISHA ANATAKA KUOLEWA NA SULUM KIKEKE 😂MUANDISHA USIKIHI KAMA UNATUKANWA??????😂😂😂
Jishangaz nalo lina nata. hii bongo kituko
Huyo kaka inaonekana mshamba wa media,mpenzi wako utatafua suluhisho kwenye media?hovyooo
Sasa kama Unataka wako Wa peke Yako basi ni Huyo aliekukosea ndio atakuwa wako Wa peke Yako tunamuombea msamaha harudii tena