MUME WA ISHA MASHAUZI AMFANYIA VURUGU ISHA KWENYE INTERVIEW / NGUMI NUSU ZIPIGWE HADHARANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 243

  • @ErizicDaud
    @ErizicDaud 2 หลายเดือนก่อน +7

    Naukiwa na mke mmoja au mme mmoja kiukweli unavuta sana hatua

    • @lydiajoseph2571
      @lydiajoseph2571 2 หลายเดือนก่อน

      Alafu msikilizane, gorofa mtajenga

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 2 หลายเดือนก่อน +5

    Yashanikutaga hayo so isha namuelewa vzr sana tu😮

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 2 หลายเดือนก่อน +1

    Isha Nilikua nafanya kazi na baba yako Dereva BOHARI KUU YA SERIKALI. Alikua mtu safi sana nilikua Bosi wake yaani Mimi TRANSPORTER OFFICER BOHARI. namuombea Kwa Allah ametangulia mbele ya haki Allah amsamehe makosa yake ALLAHU MAGFIRAHUM WARAHMAHUM FIL JANNA.

  • @SalmaMasoud-ry4pg
    @SalmaMasoud-ry4pg 2 หลายเดือนก่อน +6

    🇰🇪Msirudianeeee please We mtu anaomba msamaha kiuwongooo wwachana nae piga kazi Zako Isha Kisha Simama usiku Fanya IBADA WWACHANA NA HIVI VIVIJANAAA VYA KUVILEA ALLAH ATAKUPA MUME MWEEMA

    • @Humanity21216
      @Humanity21216 2 หลายเดือนก่อน

      We umejuaje kama kiuongo ila binadamu sisi miyeyusho

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 2 หลายเดือนก่อน

      Acha kushadadia ya watu
      Siku wakiridiana utaweka wapi sura yako

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 2 หลายเดือนก่อน

      Wee salma kwa hiyo wewe unamshawishi waachane ilibaendelee kuzini

  • @zainabsabas1807
    @zainabsabas1807 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu mwanaume kunakitu anataka sio kwa maneno hayo duu vijana wengi wanataka mwanamke sababu ya kitu sio mapenz na maneno hayo hatakama mie isha sikurudii 😢

  • @SadaIbrahimu-s7z
    @SadaIbrahimu-s7z 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mwanamke msimamo❤

  • @naimachiza3939
    @naimachiza3939 2 หลายเดือนก่อน +3

    Saaafi isha...kazaa Ivyoo ivyoooo

  • @HusseinBundara
    @HusseinBundara 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dada isha nakupenda Bure pambana na Hali Yako maísha ni yaleyale TU my sister❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FatumaJuma-f6s
    @FatumaJuma-f6s 2 หลายเดือนก่อน +17

    Yaan mnaboa sana😢kuna watu kibao wa kuwafanyia iyo interview kila siku ni polojo zao tu😮

    • @SeifMilowe-y4x
      @SeifMilowe-y4x 2 หลายเดือนก่อน +1

      Labra w ndo unaboleka

    • @FatumaJuma-f6s
      @FatumaJuma-f6s 2 หลายเดือนก่อน

      😬😬

    • @nunuuali5316
      @nunuuali5316 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa kweli yaan mi nashangaa

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy 2 หลายเดือนก่อน

      Wew ndio unaboa huna akili

    • @LucyNgowi-m5z
      @LucyNgowi-m5z 2 หลายเดือนก่อน

      Mimi inanishangaza kwa kweli vijana tafuteni hela msijemkadhalilika😂

  • @JahnjeanjayNjau
    @JahnjeanjayNjau 2 หลายเดือนก่อน +8

    Binafsi namuelewa sana Isha,hakuna jambo linalouma kama mwanaume unampenda unamjali halafu ugundue kuwa kuna mwanamke mwenzako mahala,mimi huwa natamani kuliko hivyo bora nikawa bila mwanaume kuliko kumhudumia mwanaume na bado anakudhalilisha kwa mwingine, namuelewa sana Isha

    • @zaiogy5787
      @zaiogy5787 2 หลายเดือนก่อน

      Sanaaaa yalinikuta hayo jaman mapenzi nawaachia wahindi

    • @FatmaLupagi
      @FatmaLupagi 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni mimi kabisa.

    • @VeronicaPaul-l8m
      @VeronicaPaul-l8m 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

    • @AsmineMkinga-cs4dg
      @AsmineMkinga-cs4dg 2 หลายเดือนก่อน

      Ata Mimi namuelewa

    • @elizabethjackson1990
      @elizabethjackson1990 2 หลายเดือนก่อน

      Kabisa yan da isha inaboa

  • @thamani5842
    @thamani5842 2 หลายเดือนก่อน +9

    Huyu kaka anaomba msamaha kwa kutaka kitu, na uyo mama anamtaka lkn anajifanya hamtaki

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 2 หลายเดือนก่อน

      Sana bado wanatakana lait wangekuwa hawatakan wangejiepusha na mitandao

  • @mussaelias3535
    @mussaelias3535 2 หลายเดือนก่อน +7

    Ww huwezi kukaa na mwanamume sababu uliisha zowea kujiongoza mwenyewe hutapata, mwanamume ambaye uta mcontro ww mbabe

    • @chuggaboy9877
      @chuggaboy9877 2 หลายเดือนก่อน +1

      Eeeeh mbona karma umekuja na story yako😅😅

    • @rerisamba
      @rerisamba 2 หลายเดือนก่อน

      Kuna miaka ikifika kama ya Isha unakuaga na kunyenyekea kweli

  • @zuhuraismael7398
    @zuhuraismael7398 หลายเดือนก่อน

    Jaribu mzungu Isha mashauzi wao hukuwanga na mapenzi Aina hii yenye unataka

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th 2 หลายเดือนก่อน +11

    Km umeamini amepata mzungu wa zanzibar kwenye mawio like

    • @thuwaybarajab6099
      @thuwaybarajab6099 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂daah

    • @erickmakwinya5649
      @erickmakwinya5649 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂 uckute kwel

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂tena mambo yao bambam na mzungu wke

    • @aishamzeehamissi6859
      @aishamzeehamissi6859 2 หลายเดือนก่อน

      Somo kuwa na msimamo somoo wamezidi hiyo midumee

  • @AidaRashid-u5l
    @AidaRashid-u5l 2 หลายเดือนก่อน +1

    hata utembee masharik na maharib hupati mwanaume wa peke yako msamehe huyo bint ni chizi anatuma picha uchi

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo 2 หลายเดือนก่อน +2

    Alafu Isha ana Binti , mkubwa jamani,mbona huyo bwana haoni Hilo,anamtia Isha aibu Kwa Mwanae na anamtia aibu mtoto wa Isha Kwa wasomi wenzie na hata Kwa jami inayomzunguka,mie niliona tangu day one huyo mwanaume ni mitihani, doh,pole sana isha nakuonea huruma hadi naogopa😊

  • @miss_megan
    @miss_megan หลายเดือนก่อน

    This guy shud work hard and respect himself, sometimes it's not worth it...kama mtu hakutaki hakutaki poor mindset will make one be worthless

  • @RajabuHayyan
    @RajabuHayyan 2 หลายเดือนก่อน +7

    Dada mwanume wa peke yako hakuna 😅omba upate atakae kuheshimu na kukupenda lkn wa peke yako mzar mwenyew😅

  • @Joseph2010201
    @Joseph2010201 หลายเดือนก่อน

    Msimamo mzuri kwa upande wa Dada, pia Kaka ni uungwana kukiri ulipokosea ila jua kuwa Thamani yako Mwanaume inalindwa na wewe mwenyewe. Kubali yaishe na Uanaume wako ni muhimu kuliko mahusiano.

  • @eben_ezer8853
    @eben_ezer8853 2 หลายเดือนก่อน +7

    Ila tz kweli Kuna mambo Sasa Isha ndio wakwanza kuachana kheee mbona upumbavu mwingi

  • @AminaAfrica-pr3gi
    @AminaAfrica-pr3gi 2 หลายเดือนก่อน

    Unajidagannya aisha mwanamme wa peke hako ayupo na atakuwepo labda umuumbe wew na huna usezo juo hicho ni cheo cha allah pekeyake isijidanganye hatotojea wa pekeyKo upoooo

  • @rehemajuma4915
    @rehemajuma4915 2 หลายเดือนก่อน +1

    Eti Mshangaxiii mjini Kuna maneno😂

  • @AbdulhaamidSoud
    @AbdulhaamidSoud 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kumuona kungwi kagoma kusamehe akilin yangu inanambia Bado nayeye anahitaji kungwi 🎉🎉

  • @IssaManjapa
    @IssaManjapa 2 หลายเดือนก่อน

    Watangazaji badilikeni siku moja moja muende mukamuoji hata nashi mc au songa cyo paka mungu awachukue ndiyo muanze kupiga kelele

  • @ياسمينياسمين-غ2ص
    @ياسمينياسمين-غ2ص 2 หลายเดือนก่อน

    Wanaume tamaa una mke mzur bado unahaha fanya yako dadangu Allah atakupa mume mwaminifu

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 2 หลายเดือนก่อน +1

    Aisha fnya kazi zako..unawatoto.. wanakutegemaaa

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 2 หลายเดือนก่อน +4

    Dawa mnaweka wenyewe halafu mkipendwa drama kibao

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 2 หลายเดือนก่อน

    Mm nikiolewa hata mke wa pili sawa kikubwa tupendane na mke mwenzangu na Niko teari na Sina wivu juu ya mwanamke mwenzangu ambae tupo kwenye ndoa

  • @samanyaswai
    @samanyaswai 2 หลายเดือนก่อน +5

    Isha
    Ulikuwa Na Rako Rohoni Ulikuwa Na Sababu Zako So Ndo umeamua Kushikilia Hapo Hapo.

  • @ChristineKesi-k9r
    @ChristineKesi-k9r 2 หลายเดือนก่อน

    Ww Isha katka level yko,si mtu wakulalamikia mapenzi,hilo jambo la kawaida,eti mume wa pkyko,dunia ipi😂labda sio huku,usimwamni mume kiasi hio na dont love excess,utajiumza buree😅

  • @EuniceOdegea
    @EuniceOdegea 2 หลายเดือนก่อน

    Aisha mrembo sana

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 2 หลายเดือนก่อน +4

    Nyie kaz ya Mabango nikukimbiakimbia tu akisikia isha alipo,nenda nyumban kwake au oficn kwake mctuchoshe

  • @SaadaSuleyman-f1i
    @SaadaSuleyman-f1i 2 หลายเดือนก่อน

    Tatizo lake huwa wana tuchukulia wapuuz haswa pale unapompenda mtu nakuwa muwazi kwake wewe mshukuru mungu Da isha

  • @MamaAisha-w1x
    @MamaAisha-w1x 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wee isha hayo ndo maisha yako mbona wee bwana wako wazaman mliachana kwa sababu amekufumania au umeshajisahaulisha

    • @IddAthuman-o9s
      @IddAthuman-o9s 2 หลายเดือนก่อน

      Huyo mshangazi nikama halikua hanatafuta sababu,ha kwende huko, kama hanataka wake wapekeyake hangemuhumba wake

    • @sajdatomar6025
      @sajdatomar6025 2 หลายเดือนก่อน

      Mmh mbona h nyingi 😅😅😅😅😅😅 kiswahili kigumu kweli​@@IddAthuman-o9s

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 2 หลายเดือนก่อน

    Uje kwangu nikukung'ute we mkulya

  • @Fofo-z6t
    @Fofo-z6t 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huu ndo msimamo da isha

  • @KituRu
    @KituRu 2 หลายเดือนก่อน

    Isha yupo sahihi

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 2 หลายเดือนก่อน

    Kijana badilisha msimamo huyo bibi hakutaki tafuta binti uoe mungu kakataza zinaa mbaya
    Mungu anakuepusha na jambo
    Kuna shari ingine lkn inakuwa na kheir na ina kuwa kheir lkn ndani yake ipo shari
    Tafuta binti uoe huyo bibi achana naye ataoata mtu mzima mwenzie
    Kashavurugwa humwuwezi achana naye unajidhalilisha bureee

  • @mariakibusi5914
    @mariakibusi5914 2 หลายเดือนก่อน +1

    Da Aisha Yani wewe ndio kama Mimi,Mimi kazi yangu kupokonywa waume tu naamua kuwaachia Yani hatuna tofauti

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 หลายเดือนก่อน

      Pole sana,,

    • @mariakibusi5914
      @mariakibusi5914 2 หลายเดือนก่อน

      @@jumakapilima7295 ya Dunia kaka angu ndio maana tumeumbwa kusamehe kwasababu malipo ni hapa hapa duniani,Mimi nimepokonywa mume nikiwa na mtoto wa miaka mitatu niliishiwa kunyanyasika nikaamua kuondoka mwenyewe,kuna msemo unasema mwenye nguvu mpishe

    • @monicakimati4619
      @monicakimati4619 2 หลายเดือนก่อน

      Pole sana nenda kwenye maombi kikundi Cha karismatiki Katoliki..Yesu Kristo atakufungua

    • @rerisamba
      @rerisamba 2 หลายเดือนก่อน

      Chezea mizimu na mibabu ya ukoo ikikuamulia huoleki

  • @MariamWiliam-z8k
    @MariamWiliam-z8k 2 หลายเดือนก่อน

    Mnaomtukana isha kumamae zenu kawakosea nini ye kaamua namsimamo wake na pia ndo kajipangia maisha yake htaki mtu mwenye mambo mengi muachen kipuri isha

  • @hemedchuma9-cq4nh
    @hemedchuma9-cq4nh 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa kauli hz za uyu jamaa hana mapenz ana htj ela

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 หลายเดือนก่อน

    😳🤔huyu kaka mshenzi kumbe😮
    Eti huyu nyota yangu

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 หลายเดือนก่อน

    Wanawake km hawa huwezi kuwa-control ...
    Lkn pia kuna mwanaume mwenye mwanamke 1 wapo

  • @aminajuma1435
    @aminajuma1435 2 หลายเดือนก่อน

    Wapumzisheni kidogo jamani ... Muweke akiba yamaswali , maana wakirudiana mtaanzatena upya kuwahoji.

  • @ConstanciaShangali
    @ConstanciaShangali 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hakufai Huyu mwanaume.. ni Mnafki bora umemgundua mapema

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv 2 หลายเดือนก่อน

    Utasubiri sana huyo mwanaume wa pekee eti😅😅 alafu huyo lijimama najiuliza vijana wenzangu unalala nae vipi? 😢mtu kaa libuyu

  • @elizabethcharles6527
    @elizabethcharles6527 2 หลายเดือนก่อน +2

    Achana nae uyo Isha akufai anakaaa nawew kwasababu yakitu fulani naww

  • @KhalfanSeleman
    @KhalfanSeleman 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe unaweza wakwako katengenze waudongo

  • @PascoMlinga
    @PascoMlinga 2 หลายเดือนก่อน

    Acha ushamba pambana na maisha Yako

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 2 หลายเดือนก่อน

    Aisha awakujui vizuri apo ndipo nauona msimamo wa bibietu apo Peps dah aisha kaza

  • @wahidabakar
    @wahidabakar 2 หลายเดือนก่อน

    aisha msamehe mwenzio

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 2 หลายเดือนก่อน

    We mtangazaji acha kupotosha kama hujui uliza WA KWANZA KUUMBWA NI ADAM SIYO EVA SISI KTK QUR AN NI HAWA SASA WE KUSEMA ATI ALIUMBWA KWANZA EVA KWA MAANA YA HAWA UNAPOTOSHA KITABU GANI UNANUKUU LETE ANDIKO UNAHARIBU WATOTO WASIO JUA

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 2 หลายเดือนก่อน

    Isha unajishaua Sana sikuizi

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie wandishi wasenge kweri mnawarazimisha wapatane arivyo tongozana mrikuepo mbona mnashindwa kuwaoji watu wenye uwitaji wagonjwa na kero zirizopo tz

  • @AnzeraniSalee
    @AnzeraniSalee หลายเดือนก่อน

    ila Kaka yangu ulipata mwanamke sahih kwako bac tu ????????

  • @MohamedSarahani-gk6jx
    @MohamedSarahani-gk6jx 2 หลายเดือนก่อน

    Nakumbukaaa ishaaa alikuaa naa jaamaa mmoja anaitwaaa tevez ,tevez alimkeraaa waligombanaa wakavunjiaani viiio vyaa gari zaaoo haikupitaa mudaaa wakaaachanaa semaa aishaaa anaa msimaamooo sanaa

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 2 หลายเดือนก่อน

    Mwanamme wa peke yako ni baba yako mzazi tu. Utahangaika sana sana kumpata. kumpata

  • @HishamMudhheer
    @HishamMudhheer 2 หลายเดือนก่อน

    Angekua hana hela angerizika tu..tatizo kamzidi kipato huyo mshkaji ndo maanaa😂

  • @AlexSamweli-jj9tt
    @AlexSamweli-jj9tt 2 หลายเดือนก่อน

    Dada aisha hapo nisurasurambiiiiiiiii mama🤣🤣

  • @HawaaMkubwa
    @HawaaMkubwa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwisho wa zinaa ni kudhalilika

  • @Susan-f4j
    @Susan-f4j 2 หลายเดือนก่อน

    Somo please nupe nafasi

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 2 หลายเดือนก่อน

    Labda umzae mwenyewe.Utaolewa sana .Vinginevyo uache mhusiano.

  • @MariyamSimba-ub7lz
    @MariyamSimba-ub7lz 2 หลายเดือนก่อน

    Unajua mwazoni Nilikuwa sijakusoma ila Aisha Simama na msimamo Huo huo Dada akwende tyuuu😂😂

  • @MalaikaBright-rv6yb
    @MalaikaBright-rv6yb 2 หลายเดือนก่อน

    Dah! Mbona hizi ni aibu ? Kwani hawa watu wana matatizo gani , ni ujana kiki ukosefu wa nidhamu binafsi ama ninini duhh ! Tuwe na hofu ya MUNGU na wanadamu waliotusunguka..sikutegemea kama dada Isha nae ataingia kwenye hizi ishu za kujidhalilisha mitandaoni kisa mapenzi ...dahhhhhh!!!! Aibu hizi

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 2 หลายเดือนก่อน

    Wapo bwana wa pekee yake safi una msimamo mzr

  • @JahnjeanjayNjau
    @JahnjeanjayNjau 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo Isha naona ana tabia kama mimi naona kinyaa tu kama mmeshakubaliana inabidi mridhiane mbali na hapo usanii haujengi uhusiano wa kimapenzi

  • @ashaabdallah9672
    @ashaabdallah9672 2 หลายเดือนก่อน

    Huwez kupata mwanaume wa peke Yako my sister wapeke yko hapana ni sawa sawa kutafuta sigiria ya mikono mirefu utaitowa wap hakuna icho kitu mume wa peke yko sahau

    • @RajabuHayyan
      @RajabuHayyan 2 หลายเดือนก่อน

      Umeona eee omba upate wa nafuu

  • @asumaathuman6094
    @asumaathuman6094 2 หลายเดือนก่อน

    Kijana anataka hela huyoo😢

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 2 หลายเดือนก่อน +1

    Fukuza dada asikupotezeyi mda 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @emaanursery6183
    @emaanursery6183 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani muacheni isha Ana mwili kama kabati . Kwani wewe .unamwili waaje acheni upumbavu hata kama nimimi hakuna mwanaume wawawli wameweza wenzetu waislam ila wengine hatuwezi kabisa kabisa kwahiyo isha uko sawa kabisa

  • @hawamohamed2059
    @hawamohamed2059 2 หลายเดือนก่อน

    Isha chunga ukizidii kumkataa mabango atampata mrithii 😅😅😅

  • @HawaSwabra
    @HawaSwabra 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ajifany kam mtoto mdogo vile ajikuta mzuri kumbe duhu mm pia ninanafuu

    • @salma-fc4xc
      @salma-fc4xc 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mzuri ndio

  • @HALIMASIRI-w7i
    @HALIMASIRI-w7i 2 หลายเดือนก่อน

    Utasubiri wapekeyako paka kesho😊😂😂

  • @LatifaIrakoze-ws6hp
    @LatifaIrakoze-ws6hp 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyo mwanaumme si amuace wanawake wapo warmer wapo nimapenze tu kama .hamutaki anajitapa.anataka wake pekeyeke. Na eye atapata wakwake peke yake huyo mwanamuke akielewi eti mwaname wa peke yake wewe ni malayika. Anza ujiangaliye vizuri kwa kiyo. 😂😂😂.mayisha ni safari has irakoze ni hasara.ungemusamehe mayisha akaendeleya

  • @dorislema2465
    @dorislema2465 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wew ndohuna iyo adabu unaetembea na mtoto wa 2000

  • @MedyyyAbdallah
    @MedyyyAbdallah 2 หลายเดือนก่อน

    Yaani amekosa mbinu mmbadalah huyo anarudi mwenyewe ushauri aende handeni ize

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo ndoutaamini mwanamke nikiumbe kizuri lakini mwanamke akichafuka robo Kaa mbali nae kabisa hawafai hata kidogo

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 2 หลายเดือนก่อน

    Isha wewe mtu mzima
    Hebu kuwa msamehemi mtu wa kusamehe umekuwa msusuavu wee mbona unamkosea mengi alitekuumba unataraji msamaha lkn wewe kumsamehe binaadamu mwenzio mgumu mtu mzima hovyoo
    Kijana umeshajizaliliza kwa huko isha lkn anajishetua wanawake wako wengi tena wazuri kushinda hata huyo bibi tafuta bi ti uoe achana nahuyo shangingi

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 2 หลายเดือนก่อน

    Mwanamke anaweza kumwacha mwanaume wake kwasababu ya kuchepuka na akanzisha mahusiano na mwanaume mwenye mke

  • @paschalsenole4167
    @paschalsenole4167 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kiukweli mm shabiki wa Isha lkn Kwa hili 😂😂😂

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 2 หลายเดือนก่อน

    Bibi anajiona mzuri wakati hana tofauti na kabati la nguo

    • @salma-fc4xc
      @salma-fc4xc 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ni mzuri

  • @DaudLucas-qj3mp
    @DaudLucas-qj3mp 2 หลายเดือนก่อน

    Yani vyombo vya habari kunavitu vingi vyamsingi kulisaidia taifa kusonga mbele mmekalia kuhoji mambo ya kihuni na wahuni

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi baadhi ya watu wanajua maana ya neno MUME/MKE😂😂 hizi caption.

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 2 หลายเดือนก่อน

    Utampata mwingine atakosa Tena mwisho utaitwa nani wew usie jua kusamehe ndugu Yangu jua amekosa na msamehe maisha yaendelee ila kaeni muongee Kuwa akirudia Tena Hata Sisi tutakuwa mashahid wako

  • @Hanifa4-d4q
    @Hanifa4-d4q 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka anatafuta umalufu kwanguvu😂😂😂😂

  • @DorisLiwenga
    @DorisLiwenga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uwo ndio umwanamuke/wanawake kuweni msimamo kama Isha

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mwaname bwege tuuu mashangingii waliojaa kibao mjini unang'ang'ania mwanamke asie kutaka

  • @HawaSwabra
    @HawaSwabra 2 หลายเดือนก่อน +1

    Eti hamkosei mtu anajikuta kakamilika hovyo

  • @Siti-ho4yd
    @Siti-ho4yd 2 หลายเดือนก่อน

    Ila watu wanafki apa ndn n uchochezi usimrudie usimrudie km mungu anasamehe uyu n nan😏😏😏

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 2 หลายเดือนก่อน

    Ndo mkome kufuga vibenteni

  • @ChichiMdem-oh6vi
    @ChichiMdem-oh6vi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Achakuwa kama sigala kali mbele inawaka nyuma inawaka wewe siulisema hakuna unacho misi kwa isha mpumbavu wewe muache anzishe maisha yake eboooooo

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 2 หลายเดือนก่อน

    Hizo ni hasira wanaokasa ndio wanaojigunza msamehe akikosa Tena basi atakuwa mjinga Mtu akikosa ndio nzuri harudii Tena Hata Sisi tumepitia hayo acha asira kama muongee upo?

  • @SiriAmiri
    @SiriAmiri 2 หลายเดือนก่อน

    Bwana amesema nyota yake,akhaaa kumbe yupo ki maslai.Duh.. kama picha ila Isha mjanja amtukia.anataka kumtumia amchune.

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani9121 2 หลายเดือนก่อน

    Yupo kimaslahi uyo da aisha achana nae

  • @NewNew-ep5dq
    @NewNew-ep5dq 2 หลายเดือนก่อน

    Wakwako utampat wapi

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 2 หลายเดือนก่อน

    hapahapa bongo wapo wanaume wanapo wanao jiheshim na kuwa na mwanamke mmja tatiO wabongo tunakarir maisha

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 หลายเดือนก่อน

    MADAM ISHA ANATAKA KUOLEWA NA SULUM KIKEKE 😂MUANDISHA USIKIHI KAMA UNATUKANWA??????😂😂😂

  • @robertadolf562
    @robertadolf562 2 หลายเดือนก่อน

    Jishangaz nalo lina nata. hii bongo kituko

  • @latifamuhunzi4061
    @latifamuhunzi4061 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo kaka inaonekana mshamba wa media,mpenzi wako utatafua suluhisho kwenye media?hovyooo

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa kama Unataka wako Wa peke Yako basi ni Huyo aliekukosea ndio atakuwa wako Wa peke Yako tunamuombea msamaha harudii tena