Wewe dada myangazaji wa Mbendo Tv acha uchonganifu. Wewe ni mtu mbaya sana hata Mungu hapendi watu wachonganifu. Heri wapatanishi maana hao wataitwa Wana wa Mungu. Umekalia kumuuliza aongee vibaya.
@@Shuu.A mbona umepanic bibi shuu?? Mimi nasema asaidiwe na Hawa pia na yeye anahitaji msaada.. Kama umekusudia wabongo hamna kheri hilo neno lako kuwasema wabongo.
Heri wakusaidiwa kuliko wakuiba. Tumuombee aweze kujitegemea maana shida inaweza kukufanya usaidiwe and why not. Chamuhimu Mungu ambariki Zuchu kwakumusaidia mwenzake
Yupo vizuli sana zuchu mungu amjalie sana
Sister Zuu congratuation ,,,,, nakupa pigUp🎉❤❤❤❤
N vizuri kujieleza .....mwanadada huyu nampenda bure...zuchu siku zote❤❤❤🎉
Zuchu azidishiwee sanaaa na mungu amenifurahisha sanaa amenibarikii mnoo
Congrats ccy
Mungu akubariki piaa zuchu❤
Zuchu sai ni East African Sweetheart ❤❤❤❤
Zuchu umemupa au Diamond kamupa?
God bless this lady, Angela amefanyia konde kazi na hakumsaidia but zuchu ako na ubinadamu
Iyo ndio roho ya utu Sasa mungu azidi kumfunguli milango ya kheri zuhura
Mashaa Allah mungu am barikii zuchuu wetu
Mungu akuzidishie kila la heri ulipotoa mungu akuongezeee zuchu
Zuchu mungu akuongezee,,,, una roho nzuli sana kati ka wasanii wengi
Mungu akuzidishie zuchu
Hongera kwa Zuchu❤❤❤❤
Zuchu, mwanetu MUNGU Akutangulie kila jema liwe jema mara Saba wa sabini, na baya liwe nyuma mgongoni kwako lisikufike ABADAN🤲🤲
mungu ahendeleeh kumlinda zuhura kwakuwa kutowa ni moyo, hata kama ukiwa nakidogo ukiwa na moyo wa kupana utapana tuh
Mungu akuzindishie ulipo toa na uendelee na moyo huo
Wewe dada myangazaji wa Mbendo Tv acha uchonganifu. Wewe ni mtu mbaya sana hata Mungu hapendi watu wachonganifu. Heri wapatanishi maana hao wataitwa Wana wa Mungu. Umekalia kumuuliza aongee vibaya.
God bless you zuchu💕🙏
Zuchu baraka zitazidi kumiminika kwako,wewe ni bint wa kipekee,Mungu azidi kukufungulia milango
Mungu akuzindishie ulipo toa na uendelee na moyo huo 4:07
Hongera sana zuchu
Hongera zuchu
Ubarikiwe ulipo toa uzidishiwe
❤❤❤❤zuchu apewe maua yake
Zuuu apewe mauwa yake 🎉🎉🎉
Zuchu mungu akulip dad
Thank you zuchu
Congrats zuchu
Mi huw nauliza hao wandishi huw wanatokag wapi
Muheshimu aana Zuchu ni zaidi ya ndugu peace
Hayo mafuta sasa😂😂😂 inakunywa maguta Kama bia
Kwni hao waandishi huw wanatoka wapi
Mbona hatujalyona kadi anakabiziwa au kakopeshwa
Uwe na moyo huo zuuu
Wcb washamchukua huyo
Ila waandi wa habari 😅😂
Sio hela. Ya kuchezea huo ni upendo tu
Umeonae kauri mbaya
Kiukweli ni jambo nzur but ume cha gua gar mbaya
Nimefurahi kuliko wote
It was arranged
Roho mt,😅😅😅😅ila dd
Bado asaidiwe Hawa Nitarejea pia maskini ana sauti mzuri na anahitaji msaada
Hee huyo msaidie weye wabongo mmezidi tena kila anachofanya hamna kheri
@@Shuu.A mbona umepanic bibi shuu?? Mimi nasema asaidiwe na Hawa pia na yeye anahitaji msaada.. Kama umekusudia wabongo hamna kheri hilo neno lako kuwasema wabongo.
@@Rose-ue2ho hawa asaidiwe na dimond wala sijapanic
Kweli kabisa na Hawa anahitaji msaada
Kuna watu wanaitaji msahada zaidi
Kwaiyo unataka kusemaje ndugu yangu
@@fatmaally7252nasi watuone
Kila mtu na bahati yake
Sema ndoivo kipenzi
Naomba uwe wakwanza kusaidia hao wanaohitaji msahada zaidi
Uyo dem anapend kusaidiwa 3:32
Heri wakusaidiwa kuliko wakuiba. Tumuombee aweze kujitegemea maana shida inaweza kukufanya usaidiwe and why not. Chamuhimu Mungu ambariki Zuchu kwakumusaidia mwenzake
Kama selekali yenyewe inasaidiwa , yeye ni nani asisaidiwe?
Bora kusaidiwa. Kuliko kudanga
Wewe hupend nawkati fukara
Nawewe unapenda SEMA umekosa msada kapuku fukara wewe😅😅😂🎉