MAMA DANGOTE "DIAMOND PLATNUMZ HAJAWAHI NILETEA ZUCHU KUMUOA, NINAEMJUA NI YULE ALIEPELEKA MAHARI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nimependa jinsi anajishugurisha na kazi za nyumbani kama mama ❤❤❤
Uzuri mama wa watu hata hajichubui❤️❤️
Kweri kabisa na Hana maringo Hana Mambo mengi❤❤❤
@@khadjamhozya Kwel aisee, huyu ni mama wa ukwel
Mama alipitia maisha magumu hasahau aliko toka anajua kuongea vzr mama yupo vzr ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante..Allah Ampe Maisha Marefu
Hata wewe pia una msapoti afanye maovu huyu mama wewe si muislam
Huyu mama nampenda sana❤❤
Ila mama jamani eti bila barua huko nikuchezeana 😂😂😂😂 I hope zuchu atasikia hili
NAASHAALLAH...MAMA YETU ALLAH AZIDI KUKUTUNZA,,,,INSHAALLAH KILA LA KHERI...💥💥❤
Juma mbea alisema barua kumbe uongo 😂😂😂😂😂😂hii imeenda Mama kasema
Juma
muongo sana. Hivi amekaa kimya sabasi yule
Kajibu vzr tu mbna hata mama zuchu mara nyingi anasema mwanae hana mchumba kwaiyo ni sawa tu
Pongezi Daaangu❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
zuchu nasema kila siku kazi na mapensiii itamukosti badae 😂😂😂 mi nipo yani zawadi zote zile eti hamujui😅😅😅 duu zuchu ningekua yeye akinitongoza simba ningemwambia ndoa kwanza
Mama dee uko sawa mchumba n yule alietolewa mahar uko sawa kabisa akili kumkichwa sisi wasichana😂
Tena tuwe na akili kweli sisi waschana
Yaaan😂
Umeongea vizirii mama diamond Mimi dada wa kichaga nakwambia una majibu mazuru
😂😂😂😂 Mama Dangote amemaliza.. team king’ang’anizi please tell king’ang’a to open her eyes 😂😂😂.. she has been dating herself ubaya hapendi kuambiwa😂
Kwani nyie hamliwi na mkaachwa
@@malianonicass7029Apo watu bhana😂😂😂
Watu wote walitumiwa na waakachwa, kwahivyo mwache zuchu wangu
@@desmaambiche1679zuchu Alianza madharau. Hao Dangote Ni kama mafia hivi heshima lazima ama utatupwa nje😂
Zuchu is Sex slave if she doesn't know this game she's going to die with stress she have to be very careful watch out😮
Mama dangote nakupenda sana majibu yako I wish ningekuona .eti zuchu atajisikiaje .wakamuulize zuchu anavyojisikia sio wewe
Bora hapo unge mtaja Zari weeee moyo wa mama nasibu ZARI❤❤❤❤.
Wema
Zari kesha zeeka amebaki kulea watoto daimond ampeleke wapi 😂😂😂
Moyo wake zari ilhali yeye ndo Ali set up hamisa kumfukuza zari,u ppl forget too first 😅😅😅,huyu mama hajawai penda mwanamke yoyote wa simba
Umeongea mama chukua maua yko 🎉🎉🎉🎉WANACHEZEANA kula chuma hicho zuchu😅😅😅
January hii mjue tuko bize kujazia ada tupumzishen jaman na umbea
Mmmmmmh apo ma zuhra hakuna mkwe, .. fundisha mtoto wako asichezewe bule khaa.. kaongea kikubwa hadi jasho lamvuja 😂😂😂
Mwache tuu achezewe anawasha 😢jeur zote anazonesha Kang'a ng'ana tuu
Kwa mara yakwanza nimemsikiliza huyu mama kumbe anabusara sana.....kongole mama dangote ❤
Haya mama kashasema hio inaitwa kuchezeana
Mbona hazeeki😮 aisee nitafute tuu pesa hamna namna.. mama ni mtu mzur sana❤
Pesa
Mtihani kweli kweli wanachezeana😂😂😂😂 Wapi Zuchuu unaweza ukavichwa.pete na usiolewe 😂😂😂😂 mama diomondi hakuna.ndowa hapo Zuchu ukazane kuroga 😂😂😂
😂😂😂😂
Mashaallah mama huyo❤
Sa yy atakubali vipi wakat pia ma zuchu kila siku anakataa yy leo anaonekana mbaya jmn
Ndo ushangae hapo
Sasa iyo kuchezeana si Uyo Simba atamuleteya magonjwa ju njo kaziyake yakuchezea wanawake
Mama zuchu kamkana dai wakwanza sasa kaharibia mwanaye Kwa mdomo yake mwenyewe
Straight foward mama la Kigoma kama mbwai na iwe mbwai ila hapa lipo jambo
Zuchu ni kama tu candy ama ice cream kwa Dai. Zuchu tafuta mme. Dai ni boss wako na hata mama amenena.
Uyo Zuchu kama chuhu asikiye apo. Anachezewa 2. Akuna muowaji apo. AMEKANWA MCHANA KWEUPE 🌞🌞😮😮🔥🔥
Angemkama diamond kweli lakin mamadangote😏
Hata dai kila siku mama zuchu anamkana hamtambui zuchu hana mchumba wabongo acheni roho mbaya na choyo hamfiki kokote kwa roho zenu mbaya
@@ashaabdalla924 mbona ghafla bidada roho mbay anafanyiwa nan na kwalipi? Kucheazeana wachezeano wao sie tuwafanyie roho mbay kivip kama sijaelew mbona
@@najmasalim-rg6owDiamond mwenyewe kaisha sema yuko single kwani amkane mara ngapi
@@AnyoinetteIbe basi pambe tu acha wachezeane
Hongera 😂mama Dangote kwa ukulima 🇰🇪 🇺🇸 hata mimi napenda kupanda spinachi. Tazama shamba langu ndogo hii hapa ❤️
Amepigaje hapo mama dangote zuchu sio nani Mange Kimambi kweli mtabiri wuuiii na ile mtasubiri sana
Huyu mama kaongea maneno kama wadada tunatafakari tutaelewa kama tunachezewa au tumeolewa😂😂😂😂😂😂😂😂
😂
Ila kweli Zuchu Anza mbio. Mond kasha ku choka ndomana mamaye kaanza aya matukio😅
Nyie waandishi ndo mlianzisha iyo kiki diamond akapita nayo sipoongelewa kimziki mtakuja kwa zuuu😂😂😂😂
Mama yupo sawa mondi na zuchu wana chezeana yupo sawa mama
Mama mondi hujachelewa upo kotekote 👍👍
Haki nampenda huyu mama bure mama tajiri kweli lakini ajioneshi kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kweri
Kula Chuma HICHO Zuchu anachezewa😂
Mama mzazi keshasema wanachezeana lakini juma shoga alituaminisha uma kuwa zuchu keshatolewa barua
😂😂Ety juma shoga
We unamuamini juma ni shoga😂😂😂
Juma shoga duuuu
😂mama umesem kweli wanachezean
Mbona kuchezeana😂😂😂😂😂
nimependa sana hakili nyingi za uyu mama dangote cukua maua yako❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kweri
Ila huyu mama ni mrembo ase angalia shingo 😊
Haaaa😂
WE ZOMBII AUJIIIIIIIII SIMBA LA MASIMBA DANGOTE🔥🔥🔥🔥
Mama Nassib nakupenda bure yaan,unasema ukweli sana.Mwanamke sahihi alikuwa Zari na Tanasha.❤❤❤❤👍👍
Hiyo inaitwa kuchezeana😂😂
Mama katisha
Eeh hua iko hivyo mpaka wazazi wa mume wapeleke barua
The Queen is always the Queen. Mama dangote🥰🥰🥰🥰, wamama wenzako tunakupenda
mama la mama ❤❤
Esma kucheka kuongea mama ake mtupu😊
Nampenda mama dangote ni mzungu sana jamani mungu akutunze
Kwa hio wanatumianaaa
Mama dangote❤❤❤
Mama umeongea kama mama
Wanachezeana ZUCHU imetoka hiyo. Huo ndo UKWELI
th-cam.com/video/ouYAcZJtItk/w-d-xo.htmlsi=EvlwLYsID8uJOIv6
Diamond afurahia hili
Mama Kadijah rejected Simba multiple times …now they are trying to block Zuchu potential new man
I remember you said Zuku’s potential man is Diamond … How is mama Dangote blocking her potential new man again?🙄😂😂😂.. tulivuta viti na tukaketi pale tulipo ambiwa😂😂.
Your liar before you said diamond is zuchu. Potebtial husband mxiuuuu
These two mothers are right.None of their children have come to introduce their partners.They are worried to see their children just playing with their life.These two mothers are respectful women but their children are bring them shame.Diamond and Zuchu should take a decision
@@Elsah-ee4ecI’m talking about the recent event when Simba took to his insta stories to mark his claim
@@tanzcanmediatv4473girl where have you been when Simba recently cockblocked the potential guy in Zuchu dm ?
Wewe mama rekebisha mwanao diamond hao wasichana wa wenyewe anachezea akitupa Mungu anamuona sio vyema😭😭
Kumchunga mtoto ni kaz ndugu yang sio rahc kama unavodhàn😢
Nime penda alivyo jibu kuhusu roma
Njaa mbaya hii yote njaa ndo inawaponza wasichana
Huyu ni mzazi mara ingine hapendi tabia za diamond kua na wanawake tofauti anatamani mtoto wake aoe kaongea vzr kama mzazi c kwamba anamkataa zuchu hpn ila anataka wapelekane kwa wazazi
Kumbe juma lokole katulisha matango por avosema barua imepekwa😂😂,
Hya zuchu kitu kizito hikoooo from mama mkwe wa mchongo😂😂😂ma dangote kamjibu khadija kopa😅😅
Na ww unakubali mwanao kuwa ktk hali km j
Hiyokwa nn usimshauri aoe km mama mzazi
Kiukweli hata mi ndege sipendi basi tu
Bimkubwa kamkata Zuchu😅😅
Mama vipi wewe wataka mtoto wako akulete mwanamke nyumbani kwako akwambie huyu ndie mwanamke wangu ninae tembea nae mambo gani hayo alafu nyinyi ni wa islam kweli jua dini yako kuna waze kama wewe wanajifunza na wana soma dini nyinyi huko muna shida sana kujitambua kuwa nyinyi ni waislam
hakuna cha shamaba apa lenyewe ni dogo nenda kibosho moshi ukajionee ukulima
Mama dangote tulia mama achana na shamte alikuw anatia doa Mzee adbul wako
Nampenda mama Dangote mama Uncle Shamte yuko wapi
Anauza mashamba😂😂😂😂
Ungekuwa unajuwa hayo tangu mwanzo usingekuwa na wajukuu wa haramu na kumzuia mwanao kuzini zini watoto wa watu
Mm.huyu mam nampendag sn cjui wanaomchukua shd inakuw wp
Hii imetoka kwa Dee
KWAIYO DAIMOND NI MTOTO WA HARAMU? BABA YAKE HAKUMUOA KAJA KUOLEWA NA ANKO SHAMTE
Kwamba ukanyagi tope mzee mbona unaji show sho balenciaga
nimependa majibu ya maman nikweli siokilakitu sio kuuza
Nan kaona ngida ya mama dangote alivyosema msimpangie amue zuchu 😄amuoe nan😆
Aisee ningekuwa karibu ningekupa zawadi mama.umeongea. Vzuri sana dahhh
Huyu mama anaongea vzuri kiswahiri kizuri Sana lafudhi ya puani anajuwa kupangiria maneno👍 sio Kama mama wema asojuwa kupangiria maneno🤣 harafu mama nasibu uwaga Hana maringo Yuko vzuri🙏🙏
mama yupo peace sana huyu afu hana maringo❤❤
❤❤❤
Mama kaongea vizuli sana hakili kichwani
Pole sana mama simba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ maman pole
Mama umeongea vizuli ila umekosea kusema eti mama dangonte ya I daimondi hawezi kuwa dango tell tajili mkubwa Africa hauwezi tokea
Mama dangote, mama wabusara mmn anapendwa na watu wote
MashaAllah ❤❤❤
Zuchu na mondi sio wapenzi ni Kiki tu
Hapo kweny uncle shamte anainba shombeshombeee 😂😂😂😂eti na upara wake🙌🏾🙌🏾🙌🏾
This mother is a Witch . My advice to Zuchu is to make sure you don’t eat nor drink anything she gives you . This mother lack wisdom as a mother and always depend on her son money unlike Zuchu mother Queen Khadijah Kopa who is a music star herself and has her own money and don’t live off her daughter money but God forbid if anything happens to Simba medically that’s when she will humble herself. What a shame !!!
Mama hajuwi kuongea huyu, mamakopa aliongea kama mzazi ,huyu anaongea na jazba kama dunia ameiteka yeye, kweli maskini akipata matako hulia mbwata, na esma wako pia huko anachezewa basi ujue.
Ni mubembe huyo mwanamke mama wa diamond
Waendelee kunchezeana kabisaa mama 😂
Huyu mdada hapo anafanya nini mbona unaongea mwenyewe
We fala ungemuuliza ile Instagram story ya jamaa alio mtongozea zuchu😂😂😂😂
😂😂 l remember
Sasa zuchu atuliye
Mama dangote majibu mazuri sana
😂😂😂😂huyu ndio mama wetu kweli...zari part 2
ANAUZA MASHAMBA 😂😂😂😂😅😊
Kiki za mwaka 2024 zimeanza tobaaaa! huyu mama ni kiboko anaweza kubadili nyekundu kuwa njano 😂😂😂
Watu wanachezeana
Zuchu kula chuma icho😅
Wewe mwanahabari natasha ndo nani😂😂😂usimuharibie mkenya wetu jina ni TANASHA😅😅😅please