Salamu za Mzee Makamba
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ค. 2021
- Salamu za Mzee Makamba kwenye Ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Dkt Msafiri Joseph Mbilu na kuingizwa kazini kwa Dean, Mchungaji Michael Mlondakweli Kanju Mei 9,2021
Mzee Makamba...
Unafurahisha...unatakiwa
Kuwa Comedy...hongera
Sana....wakuongezee
Dakika .your so good.
Mungu akupe maisha marefu kuishi duniani ,,,, Mzee wa hekima
Mwenyez mungu akubariki mh makamba
Mungu akupe maisha marefu mzee wetu.
HUYU MZEE MSHENXI SANAA.
Yuko kidunia zaidi uyu mzee hajitambui.
Mwenye busara sawasawa ataelewa, lakini mbumbumbu ataishia kufurahi na kupiga makofi Asanteni, Agayaaaaaaaaaa
Mzee Mungu akuongezee umri
Mheshimiwa Mzee Yusuf Makamba ( Gwiji Wa CCM ) hutoa hotuba Tamu saana .. !!!😂😂😂
Happy happy Mzee wetu
Mzee wetu Asante sana.. nikija Lushoto ntakuja nyumbani
Babu yangu wewe mungu akuafu
Hili babu lina dhihirisha kuwa Nafiki
God bless
Na kweli......,
Ndo maana kkt wanaunga mkono uuzwaji wa bandari
Hata kuisifia gavoment ni sawa
Yuda iskariote wa Tanzania.
#WAZURI #HAWAFI@BONGE LA MNAFIKI
Shikamoo Baba yetu makamba
Makamba bwana
Well said mzee Makamba, Mungu azidi kukubariki na kukujalia afya njema ili uwaone wana wa wana wa wana zako.
Huu ni msiba hili jitu bora ungekuwa mkristo
Udini utakua kenge wewe
Uti ana tundu
Makamba jembe
Huyu mzee safiiii
Mzee Makamba kiboko
Tutoe kodi nyinyi mle si ndio hiyo asali ni kodi zetu walai mungu atawalaan hela za wanyonge
Mwanasiasa asiyebatizwa Wala kuokoka anawahubiri wachungaji nao wanainama mbele yake.
Huu ndio mfano wa waislamu wanaoingia madarakani sasa kwa hali hii kweli watakuwa na uchungu na madhila yanayowapata waislamu? Kutwa wanataka dini mseto
Huyu Mzee lazima awe chawa namba Moja Tanzania kwa sababu mtoto wake analamba asali ya kutosha sikia maneno yake ya shonmbo
SUBHHANALLAH... innalillah wainnailaih rajiun....kafiri hana kheri yeyote... acha kuwasifia maskofu mzee utaulizwa na ALLAH siku ya KIAMA nani amekufundisha kuwa ukirsto ni DINID 8:50
Shabani,shabani,shabani kwanini unachuki za kidini hivo ivi ni Mungu gani huyo mwenye chuki hiyo huyo alla Mungu wenu hakika huyo nijoka la mdimu aujoka la kibisa hakika mungu wawaislamu ni mwenye chuki na watu wasiyo waislamuna mwenye chuki ni shetani hivyo dini ya kiislamu nishetanina kuzimu
Unachukia nn tena wakati uko dini sahihi!?
Wanatiana wengine unakojoa wewe, ok DINI sahihi ni uislamu,swali langu dogo tu "ni wazi kuwa kila muislamu ataonja pepo!? Na kila mkristo ataenda kuzimu!?"
Inna Lillahi Wainna Ilayhi Rajiuun
mnafiki mkubwa ww
@@dyzoomgonja9892 kivipi
Mze una maneomazuzi mungu aku bariki
Uwoooo ni msiba mkubwa
Ole wao ma nabii wa uongo walitumialo jina la Bwana kutakatisha ulambaji wa asali kwa kuvamia madhehebu yasiyo wahusu na kuhutubu
Mzee makamba alistahili kuwa mristo
Lambeni tu, ila mwisho huo hapoooo!
Kweli mtaramba sana
Kabisa
BArakoa ,,zipo Safi sana
Mwanasiasa hafai hata mnacheka nchi inauzwa hongeleni
😂😂mungu akusamehe makamba kwa Maneno yako
Udini utakuua
Kweli ukubwa dawa
Huyo si muislamu na hawezi kua muislamu tena asijiite muislamu
Acha uvaguzi na kuhukumu Kwani vigezo vya kuiona pepo sio Dinii Bali ni matendo mema na Mungu ndio anajuwa yupi atainfua yupi haioni pepo njema
Na kweli wamelamba asali mtoto wake ni waziri wa Nishati
Mzee ana maneno matam sana.
Utatamani kumsikiliza.
Wewe umeshakula vingi bwana
Huyu aliyesema watu wema hawafi tutaona hata baada ya miaka kadhaa
,😂😂Mzee huy ana mafumbo
Kafiri mkubwa
Alisema wazuli awafi, inamana baba wataifa alikufa alikuwa mbaya, wewe mzee unakufaulu
Nyie mmemkaribisha huyo mzee mhuni huyo mfukuzeni harakasana
Mzee anafanana na mama Maria Nyerere 🤔
😂😂 Christina duu umenivunja mbavu
Hhhh kafanana pia na, kiongozi wa upinzani, wa msumbiji, afono jakama.
@@babaluxe8626 😂😂😂🤦🤦
Mnafik mkubwaaa
Kwelii Nyuki ingia katika Mzinga wa Babu.
Mmmmmm na mkumbuka mzee huyu akiwa RC Kigoma.Waliotikiswa na Mzee Yusuf Makamba tujuane.
😂😂😂😂
Yuko ki dunia zaidi uyu mzee hajitambui
Ujanja wote huo ye na mwanae wameshindwa kuleta maendeleo jimboni kwao bumbuli
Hekima kubwa
mnamkaribisha nyoka ndani huyo msariti mpaka yesu anajua huyo mnafiki kabisa pesa ya bandari inamsumbua amekura mgao huyo inamtafuna bandari
ila nyie watu bhn😂😂😂, chuki tu