Salamu za Mzee Makamba

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ค. 2021
  • Salamu za Mzee Makamba kwenye Ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Dkt Msafiri Joseph Mbilu na kuingizwa kazini kwa Dean, Mchungaji Michael Mlondakweli Kanju Mei 9,2021

ความคิดเห็น • 76

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 ปีที่แล้ว +5

    Mzee Makamba...
    Unafurahisha...unatakiwa
    Kuwa Comedy...hongera
    Sana....wakuongezee
    Dakika .your so good.

  • @simonmurithi534
    @simonmurithi534 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akupe maisha marefu kuishi duniani ,,,, Mzee wa hekima

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyez mungu akubariki mh makamba

  • @zachariagyunda201
    @zachariagyunda201 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akupe maisha marefu mzee wetu.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 หลายเดือนก่อน +3

    HUYU MZEE MSHENXI SANAA.

  • @MsanangoMwalabu-rx1oo
    @MsanangoMwalabu-rx1oo 4 หลายเดือนก่อน +2

    Yuko kidunia zaidi uyu mzee hajitambui.

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 ปีที่แล้ว +1

    Mwenye busara sawasawa ataelewa, lakini mbumbumbu ataishia kufurahi na kupiga makofi Asanteni, Agayaaaaaaaaaa

  • @rogersndossi6612
    @rogersndossi6612 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee Mungu akuongezee umri

  • @rexxsimba
    @rexxsimba 19 วันที่ผ่านมา +1

    Mheshimiwa Mzee Yusuf Makamba ( Gwiji Wa CCM ) hutoa hotuba Tamu saana .. !!!😂😂😂

  • @simonmurithi534
    @simonmurithi534 10 หลายเดือนก่อน +1

    Happy happy Mzee wetu

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 2 ปีที่แล้ว

    Mzee wetu Asante sana.. nikija Lushoto ntakuja nyumbani

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 4 หลายเดือนก่อน +1

    Babu yangu wewe mungu akuafu

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hili babu lina dhihirisha kuwa Nafiki

  • @isayamshihili1123
    @isayamshihili1123 2 ปีที่แล้ว

    God bless

  • @makondorshimora5017
    @makondorshimora5017 2 ปีที่แล้ว

    Na kweli......,

  • @user-zb5qz6fk1v
    @user-zb5qz6fk1v 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ndo maana kkt wanaunga mkono uuzwaji wa bandari
    Hata kuisifia gavoment ni sawa

  • @magesamatiku7506
    @magesamatiku7506 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yuda iskariote wa Tanzania.
    #WAZURI #HAWAFI@BONGE LA MNAFIKI

  • @maikoandrew58
    @maikoandrew58 2 ปีที่แล้ว +1

    Shikamoo Baba yetu makamba

  • @swalehkataga8352
    @swalehkataga8352 2 ปีที่แล้ว

    Makamba bwana

  • @isaackiwelu1458
    @isaackiwelu1458 3 ปีที่แล้ว

    Well said mzee Makamba, Mungu azidi kukubariki na kukujalia afya njema ili uwaone wana wa wana wa wana zako.

  • @HassanSalim-hl8qs
    @HassanSalim-hl8qs 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huu ni msiba hili jitu bora ungekuwa mkristo

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 2 ปีที่แล้ว

    Uti ana tundu

  • @user-bj5ko9lh4k
    @user-bj5ko9lh4k 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makamba jembe

  • @ally2nyiii318
    @ally2nyiii318 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mzee safiiii

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 2 ปีที่แล้ว +4

    Mzee Makamba kiboko

  • @mackrinamgani854
    @mackrinamgani854 2 ปีที่แล้ว +1

    Tutoe kodi nyinyi mle si ndio hiyo asali ni kodi zetu walai mungu atawalaan hela za wanyonge

  • @gospelguest694
    @gospelguest694 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanasiasa asiyebatizwa Wala kuokoka anawahubiri wachungaji nao wanainama mbele yake.

  • @user-ub4pm6mo3y
    @user-ub4pm6mo3y 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huu ndio mfano wa waislamu wanaoingia madarakani sasa kwa hali hii kweli watakuwa na uchungu na madhila yanayowapata waislamu? Kutwa wanataka dini mseto

  • @peterbangari4273
    @peterbangari4273 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu Mzee lazima awe chawa namba Moja Tanzania kwa sababu mtoto wake analamba asali ya kutosha sikia maneno yake ya shonmbo

  • @shabanimbiaji
    @shabanimbiaji 10 หลายเดือนก่อน

    SUBHHANALLAH... innalillah wainnailaih rajiun....kafiri hana kheri yeyote... acha kuwasifia maskofu mzee utaulizwa na ALLAH siku ya KIAMA nani amekufundisha kuwa ukirsto ni DINID 8:50

    • @andrewkissavah8272
      @andrewkissavah8272 9 หลายเดือนก่อน

      Shabani,shabani,shabani kwanini unachuki za kidini hivo ivi ni Mungu gani huyo mwenye chuki hiyo huyo alla Mungu wenu hakika huyo nijoka la mdimu aujoka la kibisa hakika mungu wawaislamu ni mwenye chuki na watu wasiyo waislamuna mwenye chuki ni shetani hivyo dini ya kiislamu nishetanina kuzimu

    • @leonardmhagama5828
      @leonardmhagama5828 4 หลายเดือนก่อน

      Unachukia nn tena wakati uko dini sahihi!?
      Wanatiana wengine unakojoa wewe, ok DINI sahihi ni uislamu,swali langu dogo tu "ni wazi kuwa kila muislamu ataonja pepo!? Na kila mkristo ataenda kuzimu!?"

  • @momatv2019
    @momatv2019 2 ปีที่แล้ว

    Inna Lillahi Wainna Ilayhi Rajiuun

  • @sebajseba719
    @sebajseba719 2 ปีที่แล้ว

    Mze una maneomazuzi mungu aku bariki

  • @khamiskiondo6985
    @khamiskiondo6985 2 ปีที่แล้ว

    Uwoooo ni msiba mkubwa

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 ปีที่แล้ว

    Ole wao ma nabii wa uongo walitumialo jina la Bwana kutakatisha ulambaji wa asali kwa kuvamia madhehebu yasiyo wahusu na kuhutubu

  • @RobertNoman-bx5se
    @RobertNoman-bx5se 4 หลายเดือนก่อน

    Mzee makamba alistahili kuwa mristo

  • @sesicasi1364
    @sesicasi1364 10 หลายเดือนก่อน

    Lambeni tu, ila mwisho huo hapoooo!

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 ปีที่แล้ว

    Kweli mtaramba sana

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 ปีที่แล้ว

    BArakoa ,,zipo Safi sana

  • @ramadhaniyahaya7286
    @ramadhaniyahaya7286 10 หลายเดือนก่อน

    Mwanasiasa hafai hata mnacheka nchi inauzwa hongeleni

  • @mshangamafurahini5292
    @mshangamafurahini5292 4 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂mungu akusamehe makamba kwa Maneno yako

  • @elishavicentmhina3545
    @elishavicentmhina3545 2 ปีที่แล้ว

    Kweli ukubwa dawa

  • @KiswiririSwaliki
    @KiswiririSwaliki 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo si muislamu na hawezi kua muislamu tena asijiite muislamu

    • @comradeandrewsaul5459
      @comradeandrewsaul5459 4 หลายเดือนก่อน

      Acha uvaguzi na kuhukumu Kwani vigezo vya kuiona pepo sio Dinii Bali ni matendo mema na Mungu ndio anajuwa yupi atainfua yupi haioni pepo njema

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 2 ปีที่แล้ว

    Na kweli wamelamba asali mtoto wake ni waziri wa Nishati

  • @thomaskiponda9704
    @thomaskiponda9704 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee ana maneno matam sana.

  • @thomaskiponda9704
    @thomaskiponda9704 2 ปีที่แล้ว +2

    Utatamani kumsikiliza.

  • @user-vx3cj1bv4q
    @user-vx3cj1bv4q 10 หลายเดือนก่อน

    Wewe umeshakula vingi bwana

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu aliyesema watu wema hawafi tutaona hata baada ya miaka kadhaa

  • @fridamsemo9523
    @fridamsemo9523 10 หลายเดือนก่อน

    ,😂😂Mzee huy ana mafumbo

  • @user-zp4uc5jo9t
    @user-zp4uc5jo9t 10 หลายเดือนก่อน

    Alisema wazuli awafi, inamana baba wataifa alikufa alikuwa mbaya, wewe mzee unakufaulu

  • @raphaelmchilo-kx4tt
    @raphaelmchilo-kx4tt 10 หลายเดือนก่อน

    Nyie mmemkaribisha huyo mzee mhuni huyo mfukuzeni harakasana

  • @christinammassy1550
    @christinammassy1550 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee anafanana na mama Maria Nyerere 🤔

    • @raymondkipipi516
      @raymondkipipi516 2 ปีที่แล้ว +1

      😂😂 Christina duu umenivunja mbavu

    • @babaluxe8626
      @babaluxe8626 2 ปีที่แล้ว

      Hhhh kafanana pia na, kiongozi wa upinzani, wa msumbiji, afono jakama.

    • @raymondkipipi516
      @raymondkipipi516 2 ปีที่แล้ว

      @@babaluxe8626 😂😂😂🤦🤦

  • @anthonypatrice5247
    @anthonypatrice5247 10 หลายเดือนก่อน

    Mnafik mkubwaaa

  • @deohank5995
    @deohank5995 2 ปีที่แล้ว

    Kwelii Nyuki ingia katika Mzinga wa Babu.

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmmmm na mkumbuka mzee huyu akiwa RC Kigoma.Waliotikiswa na Mzee Yusuf Makamba tujuane.

  • @katherinasamwel3937
    @katherinasamwel3937 3 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂

  • @raulianraphael6853
    @raulianraphael6853 2 ปีที่แล้ว

    Ujanja wote huo ye na mwanae wameshindwa kuleta maendeleo jimboni kwao bumbuli

  • @sashawambura
    @sashawambura 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hekima kubwa

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 10 หลายเดือนก่อน +2

    mnamkaribisha nyoka ndani huyo msariti mpaka yesu anajua huyo mnafiki kabisa pesa ya bandari inamsumbua amekura mgao huyo inamtafuna bandari

    • @allythabiti8150
      @allythabiti8150 4 หลายเดือนก่อน

      ila nyie watu bhn😂😂😂, chuki tu