Hana kitu kipya, hii yote nikuwa na pesa, yy na mstaafu mwingine ni vitu2 tofauti anavyanzo vingi vya siri vya pesa, asizarau wasiobahatika kuwa ktk fungu lake, yoote haya ni jeuri ya pesa hawa wazee walivuna sana wanavuna sana nawatavuna sana, so better u flight by your own
Jifunze juu ya mafanikio pitia mtu wa kawaida na wachini aliefanikiwa, na si kwa mtu aliestaafu na pesa nyingi na akiwa na miradi lukuki kila kona ya nchi, utafrastrate tu, labda hii inawafaa wastafu wenzie matajiri
Hakuna inspirational yoyote hapo. Ilikuwa TBC mumtafute mtu wa chini ndio kuwa inspire watu ila sio kwa kigogo kama huyo.
Ww umezulumu mwizi mkubwa ww
Hana kitu kipya, hii yote nikuwa na pesa, yy na mstaafu mwingine ni vitu2 tofauti anavyanzo vingi vya siri vya pesa, asizarau wasiobahatika kuwa ktk fungu lake, yoote haya ni jeuri ya pesa hawa wazee walivuna sana wanavuna sana nawatavuna sana, so better u flight by your own
Jifunze juu ya mafanikio pitia mtu wa kawaida na wachini aliefanikiwa, na si kwa mtu aliestaafu na pesa nyingi na akiwa na miradi lukuki kila kona ya nchi, utafrastrate tu, labda hii inawafaa wastafu wenzie matajiri
Bado mnakuka Serikalini kupitia Mtoto wako ndio maana unampigia debe
HILO NALO NENO
Anajifurahisha to wazee wanao kula mema ya nchi hawa
Mzee unaheshimika, usiwaneneee vibaya wastaafu wengine! Ni muhimu kukumbuka kuwa si kila mstaafu alikuwa Katibu Mkuu wa CCM,,,
Nilikuwa nasubiri kusikia Mama January akitajwa... na ametajwa 😄
Safi Sana mzee Makamba