Ng'ombe haziokotwi wala sehemu ya kufugia haiokotwi. Ukisikiliza sana mtu mwenye hela unaweza ukajiona dhaifu kumbe misingi inatofautiana kila mtu na jinsi alivyojaliwa
Kama tunaweza kuweka muda kurekodi ufugaji huu,basi tuweke muda kurekodi ufugaji wa kisasa unaopatikana nchini mwetu....Huu ni ufugaji wa kawaida sana,
Christian Makawa; Unajua, ukiwa na akili na ukaongea ukweli kwenye jamii isiyoshikilia dira uliyonayo, lazima utabatizwa tuu Kwa matope. Umeongea kifalsafa sana with positive logic reasoning. HONGERA! This kind of farming is primitive, rudiment, stagnant, poor kabisa & encourages only simple minded ones!
Wastafu Tazara mbaka leo hawapatiiii sitaiki zao wakistafu wanasindikizwa na kifo na sio mafao yao .Tuache kujinadi wakati Kuna wazeee wanakufa mbaka leo hawajui Nssf Wala lumpsome zao
Mzee makamba cha msingi nikuwa na akiba sio kufuga lojic nikuwa na akiba wengine wanajenga hotel wengine wakulima,wengine nyumba zakupangisha , na unapoona watu wanakuja kununua maziwa ni kawida uliamua kufuga na ukiitaji gest mwenzako anayo utalala na ukitaka maboga utapata kwa mkulima nao niwastaafu kwa hyo usifokee kwa ajili ya kazi ulioipenda
kwa kila mstafuu lazima afugee? hapana mwingine atajenga mwingine atakuwa na daladala mwingine hotel mzee mkamba wilaya nzima mkiwa wafugaji kuuza maziwa itakuwa issure
Nimempenda huyu baba mungu akupe umri mrefu babu yangu 😘😘😘😍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ng'ombe haziokotwi wala sehemu ya kufugia haiokotwi. Ukisikiliza sana mtu mwenye hela unaweza ukajiona dhaifu kumbe misingi inatofautiana kila mtu na jinsi alivyojaliwa
Kama tunaweza kuweka muda kurekodi ufugaji huu,basi tuweke muda kurekodi ufugaji wa kisasa unaopatikana nchini mwetu....Huu ni ufugaji wa kawaida sana,
Ufugaji wa kosasa upi ulionao wewe tuje tulekodi maana kama MTU ameweza kushiliki maonyesho ya kilimo unataka ujifunze wapi kama sio kwa uyu
Christian Makawa; Unajua, ukiwa na akili na ukaongea ukweli kwenye jamii isiyoshikilia dira uliyonayo, lazima utabatizwa tuu Kwa matope. Umeongea kifalsafa sana with positive logic reasoning. HONGERA!
This kind of farming is primitive, rudiment, stagnant, poor kabisa & encourages only simple minded ones!
Ukiwa na mawazo ya kimaskini na kushindwa ku appriciate vinavyoonekana u maskini milele.
Wale vijana wa Moro kwa sasa ni matajiri....nawafaham
Na wewe..?
Wastafu Tazara mbaka leo hawapatiiii sitaiki zao wakistafu wanasindikizwa na kifo na sio mafao yao .Tuache kujinadi wakati Kuna wazeee wanakufa mbaka leo hawajui Nssf Wala lumpsome zao
Huyu mzee anaishi wapi nataka na mm nimtembelee nipate hekima kutoka kwake
Watu wazuri hawafi tunakusubiri uje kwa membe
Acha kudanganya vijana wateeteni wapate ajira. Mbona hukujiajiri wewe mpaka ulivostaafu.
Atukopesheki.Tudhamini.Tufuge
Sawa lakini wewe ulivuna mzee ukatibu, ukuu wa mkoa n.k, japo kila mtu anaweza kufuga lakini umesema ulipewa hao.
Tatizo. mtaji.
Hakuna kitu Hapo
Saf
Hakika uzee dawa. Hacha tujifunze. Safi hiyo. UBARIKIWE SANA.
We si umejiajiri baada ya kustaafu siasa, halafu hata ww si umetajwa na Musiba
[12/11, 09:45] MDACHI OG: th-cam.com/video/QFxqqJOO9lA/w-d-xo.html
[12/11, 09:46] MDACHI OG: th-cam.com/video/QFxqqJOO9lA/w-d-xo.html
[12/11, 09:46] MDACHI OG: th-cam.com/video/QFxqqJOO9lA/w-d-xo.html
[12/11, 09:46] MDACHI OG: th-cam.com/video/QFxqqJOO9lA/w-d-xo.html
[12/11, 09:46] MDACHI OG: th-cam.com/video/QFxqqJOO9lA/w-d-xo.html
[12/11, 09:46] MDACHI OG: th-cam.com/video/QFxqqJOO9lA/w-d-xo.html
[12/11, 09:46] MDACHI OG: th-cam.com/video/QFxqqJOO9lA/w-d-xo.html
Mfano mzur Wa kuigwa kwa kiongoz wetu MKUU Wa mkoa Wa zaman Wa DSM nimefurahishwa pia kuona ndiz utadhan yupo bukoba
We mzee usituchoshe mbona ukufanya hivyo ukiwa kijana tuache tule ujana na Sie tukifikia mwisho ndo tutafanya hiyo
hacha uzushi wang'ombe watatu unajingamba
Uliweka akiba yako ya uzeeni baada ya kustaafu,usisahau kuweka akiba yako baada ya mauti yako.
umestaafu pesa unazo ila kwa hili nimeipenda
hongera sana baba yetu mzee Makamba. Mungu azidi kukubariki
Mzee makamba cha msingi nikuwa na akiba sio kufuga lojic nikuwa na akiba wengine wanajenga hotel wengine wakulima,wengine nyumba zakupangisha , na unapoona watu wanakuja kununua maziwa ni kawida uliamua kufuga na ukiitaji gest mwenzako anayo utalala na ukitaka maboga utapata kwa mkulima nao niwastaafu kwa hyo usifokee kwa ajili ya kazi ulioipenda
Hongera mzee wetu tunakupenda..Mungu azidi kukujalia maisha marefu!
mzee acha kujificha sema bia sitegemei mtoto eti vocha sitegemei mtoto acha izo makamba
Unauza maziwa kwa sababu wengine hawafugi 😀😀😀😀😀
Eti chai ya rangi safi sana mzee😁😁😁
Asante sana daily news nimejifunza kwa mzee Makamba
Uko vizuri baba. Mungu akutunze na akulinde
Mbona kinasifa sana
Tujifunze kupitia hawa wazee...ana akili sana na anatumia akili kisevu pesa
Lakini aise kajitahidi,tujifunze kwake Makamba kajiandaa vuzuri hata akinyimwa mshahara ataishi
Sasa Mzee bata unawapa mabaki ya chakula ya hotel vingine vimechacha dah
kwa kila mstafuu lazima afugee? hapana mwingine atajenga mwingine atakuwa na daladala mwingine hotel mzee mkamba wilaya nzima mkiwa wafugaji kuuza maziwa itakuwa issure
Unauza nchi jirani.....think big bro
Na bado unaomba kuilamba asali
Muigizaji tu huyo. Asajiliwe kaole
Kwa mahesabu ya pension za sasa lazima mstaafu wa serikali hata chai ya rangi hawatamudu
Haaaaaa jirani yangu huyooooo
👏👏👏👏👏👏
Safi saana sio lazima umiliki mabasi
Mzee bna eti hukwenda #minaki wala #chuokikuu!!! minaki ya sasa cyo ile tuliyosoma cc chini ya #mtesigwa then #paulmjale sasa hivi nill.
Kama nimeskia MINAKI iviii
Hongera mzee makamba kwa darasa la vitendo
Mwandishi jitaidi hujui kuuliza maswali.. haujakaa kiuandishi kabisa
Anajua kusema hongera tu
Mtoto wako amejiajiri?
asante kutupatia elimu
Nimeipenda Mzee wetu Nimejifunza kitu kabla ya kustaafu inatakiwa kujiandaa.
Usifananishe alumasi na jiwe .mbona mbaka leo mnachowafanyia wastafu Tazara sio kizuri izo ngombe zitashuka toka mbinguni
Mzee makamba huko vizuri sana....nakukubali sana.
Osie umghoshii kwei
Safi sana
Kweli kabisa
Big up!
Jiji la Makamba
Hongera BABA WA MAEZANGULU
Ipo nyumba nzur tuu jirani yetu
Maneno ya kipato ayo
Mzee alitengeneza maisha baada ya kustaafu,,,vizuri sana mzee
Ukopoa mzee
Hongea mghoshi
rahis kuzungumza kwako ilikua rahis kupata hvo ulikua kiongoz ambae hana sehem ya kuanzia wala mtaji lazima atamke ajira na maisha magumu
malizake hasa hakuonyeshi uyo hakuna mwanasiasa anaeonyesha Mali zake
Hahahah. Hongera mzee
Mzee nakupenda,
👏👏👏👏👏
Hits
acha maneno chefu mzee,hata tukisoma ajira atupati,wenyw kwa wenyw nyie nenda uko
Jiajiri baba ukitegemea nimexoma et nangojea ajira utafel
Mzee Makamba akiwa RC DAR "panda mti wa matunda utafaidi kivuli na tunda"
Ujenzi umechelewa kukamilika
Wasomi tumeshamuelewa Mzee makamba Anaebisha ajifanye kama anajikuna tu alafu aone.
Faraja Luvanda 😁😁
mbn nyumb haieleweki sijaona nyumb yke hpo
Happy Arooun ananyumba nzuri hyo mzee
Safi sana mzee wetu
Hongera,ila kiswahili halisi cha kisamba
Angwe ndima ndima osie iwe ekhaaa...
Mtani wako uyooo
Nyuki njoo uingie kwenye mzinga wa babu!!
Vipi walishaingia?