WAZIRI SILAA AMREJESHEA MAMA KIWANJA CHAKE ALICHOHANGAIKIA MIAKA 40 -''UMPE KODI YAKE ya KUPANGA''..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- WAZIRI SILAA AMREJESHEA MAMA KIWANJA CHAKE ALICHOHANGAIKIA MIAKA 40 -''UMPE KODI YAKE ya KUPANGA''..
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amemrejeshea mama kiwanja chake maeneo ya Tegeta kilichovamiwa kwa miaka 40 sasa....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mama samia km wasoma hiz comment plz muache jery hapohapo kwenye uwazir anatenda haki wallah mungu ampe maisha marefu inshallah 🤲🤲
Daah.Slaa slaaaa umetishaaaa.Safi sana tungepata mawaziri kama 5 wa hivi Tanzania ingetisha ulimwenguni.
Mungu amsimamie kwa kaxi ya mikono yake kwa kutetea wanyonge❤
Kwa hio miaka yote hio hawakuwepo viongoz wengine wa kumusaidia huyu mama mpk silaa jmn,,waziri wetu mungu akuweke miaka mingi jmn.
Ye ndo ataje aliokuwa anahangaika nao kuwepo hapo na kwa nn hana hati ,alikuwa anadanganywa
Mama muache huyu waziri kwenye hii wizara anaweza sana
Uyu ni mwana Sheria kwaiyo anajua vizuli Sheria inavyo wa favor matajili
@@msafirimaulidi5054SIYO TU SHERIA NI MZALENDO NA NIMPENDA HAKI.MAANA UNAWEZAJUA SHERIA NA BADO UKACHEZESHA HASIYE NA HAKI AKAPATA HAKI.LAKINI HUYU ANA HOFU YA MUNGU.
Ni kweli kabisa ndg yangu wallah
Kabisaaaaa, yaani hadanganyiki na ni msikilizaji mzuri, ndio strength yake. Hapapariki, na kwa akili zake zilivyo nyingi, ndipo anapo wakamata. Kumbukeni kuwa Mheshimiwa Waziri ni mwanasheria pia. Yaani hilo pele la Ardhi, limepata mtusuaji 😅
Kazi ngumunkaka tunakuombea waziri wetu mpedwa mnoo Mungu akutunze
Good job bro Jerry vijana tunapaswa kusimama hivyo💪🏿
Sema mzee nimemuelewa sana anacheza na saikology hataki kuonesha kupanic kashaajua anamakosa na anajua hawez kubishana na mamlaka
Huyo ni mstaafu wa serikali anajua vyema Sheria na taratibu
Mama samia hapa umepata waziri uhakika
Aseee kumbe Ardhi yetu imekaliwa na watu wababe wenye nguvu za pesa zao. Waziri Slaa safi sana.
Kabisaaaaa, yaani hadanganyiki na ni msikilizaji mzuri, ndio strength yake. Hapapariki, na kwa akili zake zilivyo nyingi, ndipo anapo wakamata. Kumbukeni kuwa Mheshimiwa Waziri ni mwanasheria pia. Yaani hilo pele la Ardhi, limepata mtusuaji 😅
Wakati mwingine sio ubabe bali maafisa wa Ardhi hufanya makosa eneo lako wanalichukua na kumpa mtu mwingine bila ya kukujulisha je hapo utaitwa mbabe na unakaa kwa mabavu.
Kweli wababe wapo ila kwa huyu mzee ukimsikiliza vizuri watu wa Ardhi wamemtenda
Safi sana waziri wangu Jerry slaa hoyee
Mh. Silaa sijui tukupe nini Mungu akutunze
Yaani huyu ni kiboko.
Na hadanganyiki na pia ni msikilizaji mzuri, ndio strength yake. Hapapariki, na kwa akili zake zilivyo nyingi, ndipo anapo wakamata. Kumbukeni kuwa Mheshimiwa Waziri ni mwanasheria pia. Yaani hilo pele la Ardhi, limepata mtusuaji 😅
Mheshimiwa Waziri mungu akuongoze.
fanyakazi baba mie nimeipenda watu wanazulumu wenzio sana sio haki mungu awabariki kwa mvavyo saidia watu
Muheshimiwa ongera sana. Weka number zako wazi ili upigiwe wapo ambao Hawana uwezo wakukufikia.
Wapige Za usoo Mweheshimuwa😂😂😂 Muache Adondoke tu😂😂😂😂
Mh.wazili kazi nzuri mungu akutangulie ,imekuwa mfano wa kwanza katika wizara ya ardhi ,
This Guy is great. He has a diplomacy answers and street answers too. Hongera Mhe great job
Mwigulu nenda upate semina kwa Jerry slaa jinsi ya kuwa kiongoz kuwatumikia WATANZANIA maama mwigulu unadharau sn watu wako waliokuweka madarakani slaa anahekima sn mwigulu badilika
Mh.Silaa anatupa knowledge kubwa sana! Aisee
Watching this Guy Jerry inasisimua. Mtu wa maana kabisa.
Yaani uteuzi wa waziri slaa nibora zaidi kama usajili wa chama kuja yanga mungu akupe afya njema wazie
Kula yangu haikuenda bure.Piga kazi Waziri
Sijui ni lini utakuwa Raisi.Unafaa kuwa juu..Mungu atakuinua!!!!!!
WAZIRI MSOMI MZEE LINACHEKACHEKA TU WAZULUMAJI MJINI
Mwenyezi Mungu akusimamie waziri wetu Jerry.
Mtanisamehe ila Wachaga wanapend San Migogoro y Ardhi
Jerry silaaa ni nomaaaaa 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Wazir Mimi nakuelewa
Mpishi huyo mama Wachaga wengi matapeli .naumlipe kodi yake
Huyo mzee sio mchaga kweli?
Mchaga si ushasikia jina mtui
Mchaga ndio wezi wa ardhi
Kwann viongozi wakenya hawaigi kama tanzania kusikiza vilio waninchi wachini door to door...big up xana kwakel mnafanyq kitu kikubwa mno
Ndio wanaotafutwa na samia watu kama hawa majambazi wa masikini wanyonge Ndio hawa😂😂😂
Ushamba tu umeuziwa bandari husemi
Jerry,Jerry unapepo yako nakiti chako cha enz mdogo wangu
VIVA MH. WAZIRI SILAA.
Hawapoi hawaboi huku Makonda anapiga spana kule Silaa ananyoosha rula mpaka waseme.
Nchi bado ina vijana smart
Slaa Unafaa kuwa raisi
Wa tanzania
Mzee haamini et
Aweso,slaa,makonda, ali hapy, bashe, mama tunawaelewa sana sana wapokee maua yao umechagua great thinkers
Kote uko sawa ila kwa bashe ahaaaa hapana kabla hajawa wazir alikua sahihi saivi mpigaji hakuna wizara imeoza km waizara ya kilimo ndgu yang wea acha tu nenda kwenye vyama vya ushirika utaona
Jinga kbsa,nunua Kwa halali
40 yrs🙌
Hii ni dhulima kubwa sn
Miongoni mwa mawaziri wenye upeo mkubwa sana ni huyu kwa mara ya kwanza hii wizara inaaminika
Waziri slaa na Makonda Mkuu wa Mkoa Arusha na Mkuu Mkuu wa Mkoa Dar -es-salaam mmetetea haki za wanyonge tunaomba wakuu wa mikoa mingine huo ni mfano kama hamuwezi acheeni ngazi hizo wenye uwezo wakutetea wanyonge chini ya mheshimiwa Rais wetu Samia Hassan Suruhu kwa Sababu wakuu wa mikoa wengine wana ndugu zao walio zurumu walala hoi ndo maana midomo yao ni kama imepigwa super gr😢😢
Hongera sana wazili
Sometimes these mistakes are really made by gvt itself letting someone live on area illegally no follow up, nobody cares imagine more than 40 years and now you've been told to leave, so sad. minister jelly is so brave anyway you teach us a lot, congrats minister Jelly..!
Mwaka 88 tegeta kulikuwa mapoli angepata viwanja vingi tuu vya barabarani na hata angenunua Kwa bei chee akaamua kushinda mahakani
Aliye zoea kudhurumu kazoea tu wanapenda short kati Madhara yake ndo haya sasa
Silaa nakupenda sana
Aache tamaa amuachie mama wawatu hakiyake
Hawa ndio wale wazee wajanja wajanja, bila kukutana na mjanja mwenzao wangemzungusha sana. Miaka 40 dah!
Na sisi kaka yetu anatudhulumu .muheshimiwa nakupataje?
Wizara ya ardhi imepata msomi wa sheria mwenyewe sasa
Ohoooh ametetea bandari wamempa uwaziri kama zawadi, iyo zawadi sasa anashughulika na mapapa na vigogo wa ardhi anawanyosha adi burudani
Wachaga kwa arthi du tunatisha
Mungu atusamehe Kwa keeli
Yani Raisi Samia amteue Ally Happy ampe mkoa hapa tutakuwa na majembe 3, Jerr slaa, Poul makonda na Ally Happy maana Happy nae ni kiongozi mzuri yuko siriasi kusikiliza kero za wanachi
Ila uyo mzee mnaenda kumuuwa akii tena dar
Wachaga wengi wezi
Hasa kwenye swala zima la ardhi uwe makin nao ukipakana nao
Najiuliza hawa mawaziri na wakuu wa mikoa wenye mamlaka ya kutenda haki hawawaoni Mheshimiwa Slaa na Mkuu wa mkoa Arusha Makonda ?
Huyo mchaga mwizi anataka kumzurumu mama huyo
Halafu wadhulumaji wengi wa viwanja ni wachaga,kwa nini?😂😂😂
Hili eneo sio la huyo mama ni la mtui. Huyu mama alikua anafanya kaz manispaa, amefoj hat. Hao wazeee ndio wamiliki
Tunataka silaa aendelee asihamishwe jaman tutalia sana
Kuna mawaziri wanakula mishahara kwahaki kabisa pongezi slaa MUNGU akulinde
Anacheka kama aamin vile ndio imetoka hivyo,
Hicho no kichelo Cha kuchanganyikiwa hivoo
Tatizo kubwa la Tanzania wanaomshauri rais ndio wapigaji sasa huyu dogo anafanya kazi Vizuri ila inawagusa hao wapambe wa rais ndio wanampelekea ujinga rais ni magufuri peke yake aliekua hataki kumwamini mpambe yeyote na mjinga yeyote lakini huyu mama yenu sina uhakika kama huyu kijana atachiwa hiyo wizara aendelee nayo!!😂😂😂😂
Haki ya mtu ni mfano wa dhahabu hata ikicheleweshwa au kupita katika moto itazidi kung'aa tuu hata mbele ya Giza.
🙏🙏🙏🙏 silaa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
ATI Mzee Mtui anatoshia kudondoka 😅😅
Mkuu njoo na huku Lindi wilaya ya Nachingwea kuna uozo mkubwa tumetapeliwa ardhi yetu ekari 5 naomba uje kila kitu tuanacho mkononi..
Dah huyu mzee atapata pressure hapo napajua ni eneo moto kwa biashara .
Pasua tumbo!!!!!!!
Mzee wa mashati meupe
Mama msamehe huyo mzee
Hivi kina mabura hawakumujua p, moshi????
Huyo tapeli alijivunia pesa Sasa pesa mwisho na Bado haelewi
Hahaha alipe kodi asilete wizi
Namkubali huyu Jerry mana ankuoiga za uso Huku anacheka alafu anakupa na elimu hapohapo na jesh la police ingekuwa hivibkungekuwa hakuna wezi n matapel
Ndo mumuoji kwenye mabango ya banki
Wachaga mtafute njia nyingine ya utapeli😂 Mtui,Mushi😂
Atakae mtoa huyu waziri kwenye hiwizara amazake amazangu
Ingetumika busara mtuu kakaamiaka 40 Mnamuondoaje kwa nini Uyo Mama asilipwe pesa ya hicho kiwanja na kimilikishwe kiwe cha huyo alie kaa mda mrefu??
Bila ya kuweka mfumo imara changamoto za ardhi haziwez kuisha
Waziri aliyepita alikua anafanya nini 😢😢😢
Hapo Sasa!!
VIONGOZI wote wangekuwa kama huyu mh, NCHI yetu ingekuwa mbali sana kimaendeleo
Wakati wa mungu ni sahihi na haki yako aitopotea miaka 46 aisee mama wawatu alikua na maumivu mzee kapata maumivu siku moja mwenzie kapona yeye anaanza upya Sasa kesho analazwa 😅😅😅
Kwann wachaga tu ndio mnaonekana wazulumati
Hizi ni kick za mitandao.nchi ingekuwa na utawala wa sheria kuanzia ngazi ya mtaa haya yasingekuwepo.
Ccm ndiyo iliyotengeneza haya mambo ili iyatatue wapate sifa.
Itoshe tu kusema tuwatoe madarakani
Mheshimiwa hati kuchelewa sio makosa ya mteja mimi binafsi nimeanza kufuatilia hati yangu toka 2015 mpaka leo sijapata nazungushwa tu!
Usije kuta hata hicho siyo kiwanja chako na ndio maana unazungushwa.... Ngoja maparajudi tupitie hapo tujuw ukweli wa mali hiyo
@@mteulemnyama7858 mwenzangu labda wewe sasa ndo unataka kunitapeli mwenzako na offer ninayo wewe nenda kanijengee tu slaa atakutimua uniachie nyumba manake uwezo wa kujenga sina 🤣🤣🤣
@@mteulemnyama7858 nenda kanijengee tu manake mimi sina uwezo wa kujenga akija Slaa akutimue uniwachie nyumba na kiwanja changu 😂😂😂
Wachaga hao
Hekima na busara zimemtawala jerry
Sa anajichekesha nn c alie tyu tujue analia
Kwani miaka 40 wasimamizi wa ardhi hawakuwepo?
waliokuwepo ni vilaza tu kukaa tu ofisini na kutunisha mitumbi yao
Hio ndio hasala ya selekari ya UJAMAA
Ila to be honest and fair, hawa jamaa wa kaskazini ni majambazi na zulmati sana when it comes to ardhi. Maana kila tapeli na mwonezi wa viwanja ni wao.
Aisee hizj aridhi zitatuua
Talifa usajili simba
Mzee kaliwa kichwa
Waowane.
ila wachaga kwa ardhi hatari
Ilikuwa bora liende, mimi posho na mshahara uko. Palepale
Ignorance of law has no excuse
Ili suala ni controversial
Mdogo wake mushi
Controversy iko wapi hapo?
Mi sijaona kama huyo mzee kamdhulumu huyo mama kiwanja hicho maana hata wazir kakili docs za mzee ni sahihi sasa hapo kinachotakiwa wakapitie uhalali wa hicho kiwanja kutoka kwa mzee kwenda serikalini
Kasikilize vizuri tena palipimwa 88 ye akaja kuchonga karatasi ya kuwepo hapo miaka mingi
acha kujizima data