WAZIRI SILAA AAGIZA UCHUNGUZI MGOGORO wa NYUMBA ya BIBI KIZEE MWANANYAMALA- AOMBA SIKU 30 KUMALIZA..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • WAZIRI SILAA AAGIZA UCHUNGUZI MGOGORO wa NYUMBA ya BIBI KIZEE MWANANYAMALA- AOMBA SIKU 30 KUMALIZA..
    Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro wa kiwanja no. 781 maeneo ya Mwananyamala jijini Dar Es Dalaam ambapo imeibuka sintofahamu kati ya Bibi Juto Ally anayedai hakuwahi kuuza nyumba hiyo na Bwana Aloyce Msafiri anayedai amenunua nyumba hiyo muda mrefu.
    Aidha Waziri Silaa baada ya kusikiliza pande zote mbili na kukagua baadhi ya nyaraka za kiwanja hicho amewaomba pande zote mbili wawe na subira na wampe muda wa siku 30 na kuwaagiza wataalamu wake pamoja na vyombo vinavyohusika na uchunguzi vichunguze ili kupata ukweli wa kadhia hiyo.
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 167

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 หลายเดือนก่อน +5

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 2 หลายเดือนก่อน +16

    Jerry uko humble baba. Huna jazba umetawaliwa na hekima.

    • @kanoa645
      @kanoa645 2 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli kabisa

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 2 หลายเดือนก่อน +4

    Muheshimiwa kuna pepo yako mungu atakulipa amini ilo inshallah ❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 หลายเดือนก่อน +6

    Rais wangu umefanya jambo nzuri sana kuchagua jembe hili mungu akubaliki sana. Una majembe Silaha:makonda:Ali hapi:chalamila:sidingawa manyara:❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @kanoa645
      @kanoa645 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli huyu Waziri anatufaa sana. Mheshimiwa Rais Samia tafadhali muamgalie sana huyu mtu maana ni zaidi ya hekma na busara

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w 2 หลายเดือนก่อน +12

    Waziri Silaa MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki Sana Katika Jina YESU KRISTO wa Nazareti aliye Hai Amen

    • @sas7728
      @sas7728 2 หลายเดือนก่อน

      Amen

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 2 หลายเดือนก่อน +5

    Tatizo watu wengi wa siku hizi wanapenda kurithi , fanyeni kazi ,

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 2 หลายเดือนก่อน

      Ishu sio kurithi mana hata ww nyumba aloacha mzazi lazma uipambanie ila kibaya ni nyie warithi mnakubalianaje

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki waziri wetu endelaa kusaidiaa wanyongeee🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲😭❤❤❤

  • @shariffsagaf2305
    @shariffsagaf2305 2 หลายเดือนก่อน +36

    Ukitaka kujua kiongozi anaependa haki NI MHESHIMIWA SLAA.imekuwa kila siku lazima niangalie clips zake zinatia furaha ndani ya moyo.

    • @OmanOman-dn6dj
      @OmanOman-dn6dj 2 หลายเดือนก่อน +6

      Bila kumsahau Dingi Mh Makonda

    • @sixmundleonard2135
      @sixmundleonard2135 2 หลายเดือนก่อน +1

      Makonda Rais wa wanyonge 2030

    • @EdwardMghuna-rg8rx
      @EdwardMghuna-rg8rx 2 หลายเดือนก่อน +2

      Pia spika wa bunge tz

    • @romanilyimo
      @romanilyimo 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@EdwardMghuna-rg8rxspika? Labda spika ya redio tafuta mtu wa kuweka kwenye hiyo nafasi.

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 2 หลายเดือนก่อน +7

    Nawapenda sana Slaa, Makonda Chalamila, Happy chini ya uongozi wa mama Samia na Serikali yake..
    Mungu azidi kuwalinda

  • @mambas264
    @mambas264 2 หลายเดือนก่อน +5

    Milioni saba, mkaa gunia tatu. Jamani wanadanu tumuogope mungu! Dhulma haifai

    • @michaelmillinga5064
      @michaelmillinga5064 2 หลายเดือนก่อน

      Gunia Moja kubwa linauzwa 45,000 iweje milioni 7 upate gunia 3?

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 2 หลายเดือนก่อน

      Huyo Mwamba ni TAPELI

    • @godiegodie1336
      @godiegodie1336 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@michaelmillinga5064 Na miaka hiyo aliyopewa hela huenda gunia moja lilikua elfu kumi.

    • @MariamHannif
      @MariamHannif 2 หลายเดือนก่อน

      Bib janja nawajukuuu janja

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu wa mbinguni akulinde kakayangu Jerry mtoto wa mzee slaa

  • @EsterEdward-eo6ds
    @EsterEdward-eo6ds 2 หลายเดือนก่อน +10

    Safi sana muheshimiwa waziri Silaa mtu usiye kurupuka unafanya uchunguzi wa kina kwanza MUNGU akusaidie kumquat mwenye haki apate haki yake

  • @user-df6ui9ro8s
    @user-df6ui9ro8s 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yan kunawat awamuogop mungu Astaghfillullah

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612 2 หลายเดือนก่อน +1

    mungu akulinde waziri jerry slaa

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 2 หลายเดือนก่อน +7

    Kinachoonekana wamefanya tamaa kuona mabadiliko ya mtaa

  • @seiphyahya5353
    @seiphyahya5353 หลายเดือนก่อน +1

    Huo ni mchezo unafanywa sana na wapemba kwa kudhulumu nyumba za wazee. Huwa wanawapa pesa kidogo kidogo hatimaye pesa zikiwa nyingi zilizopokelewa na mwenye nyumba mpemba huchukukua nyumba kwa bei ya kutupa.

  • @babuummary7723
    @babuummary7723 2 หลายเดือนก่อน +3

    Bibi anajifanya asikii vizuri

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 2 หลายเดือนก่อน +11

    Bibi tamaa kashauza kuna watu wanamtuma

    • @nixonjohnson4908
      @nixonjohnson4908 2 หลายเดือนก่อน +1

      Umegundua kitu na wewe

    • @kanoa645
      @kanoa645 2 หลายเดือนก่อน

      Na watu watamfanya bibi wa watu aumbuke maskini

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 2 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana my brother slaah mungu hakubariki sana

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hiyo familia wanataka kumdhulumu huyo baba

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 2 หลายเดือนก่อน +2

    Alhamdulilahi

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mwenyezimungu atawalinda dokta slaa ..wewe ni jembe letu ...mungu atakusimamia kijana wewe nikiongoz mzuli Sana mungu atakulipia kwakuwatetea wanyonge baba

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 2 หลายเดือนก่อน

      Magufuli alitengeneza vichwa hata kama sio wote

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 2 หลายเดือนก่อน +1

    Familia ya bibi inajanja janja, bibi anajifanya hasikii lakn mengine anasikia vizuri tu, story zinapshana 😊

  • @costa_modelofficial1390
    @costa_modelofficial1390 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu Akuzidishie Hekima🙏🙏

  • @RutaEmmaMachumu
    @RutaEmmaMachumu 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mheshimiwa hao wadada wanaonekana ni waongo kiasi, ila tumia busara zako kuhamua, najua hushindwi.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 2 หลายเดือนก่อน

    Tunadi kukuombee mungu akulinde silaa wetu

  • @lusticabernad9982
    @lusticabernad9982 2 หลายเดือนก่อน +2

    Bibi na wajukuu waongo, hao waliuza ila sasa hawataki kutoka kwasababu wameingia tamaa

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 2 หลายเดือนก่อน

    Mdogo wangu Mungu akutangulie

  • @JumaAbdallah-gn5qu
    @JumaAbdallah-gn5qu 2 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah, Piga KAZI👍

  • @Kidia-yt3bm
    @Kidia-yt3bm 2 หลายเดือนก่อน +7

    Waziri chunguza zaidi huyo bibi inawezekana anataka kumzulumu huyo jamaa

    • @twiseghekisilu8845
      @twiseghekisilu8845 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kabisa wanauza maeneo ukioaendeleza wanarudi kuwa wametapeliwa

    • @lissaMetta
      @lissaMetta หลายเดือนก่อน

      😂😂 Bibi ni mtu wa michongo,kumbe wanakopea nyumba mikopo akishindwa anasingizia kisa mzee

  • @objstv6976
    @objstv6976 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hana baba wala mama 😢

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 2 หลายเดือนก่อน +3

    Siku zote rahisi ni ghali😢sjui mmenielewa?

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 2 หลายเดือนก่อน +8

    Huyu bibi aliuza kwa ridhaa yake sasa hao wajukuu wamepata tamaa wanamshawishi bibi agome kuachia nyumba. Ndo maana mimi naogopa kununua eneo kwa bibi mtu mzima au mlevi kudeal nao inakuwa ngumu unaweza kujikuta haki yako inapotea hivi hivi. Na huruma mara nyingi inaponza

    • @rhassanmkomwa
      @rhassanmkomwa 2 หลายเดือนก่อน

      haaahaaahaaaa umenifurahisha

    • @shabanseif5774
      @shabanseif5774 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwanza lazima uulize unauza unaenda kukaa wapi,kwa umri wa huyo bibi ndo ujiridhishe

    • @godiegodie1336
      @godiegodie1336 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@shabanseif5774Nyumba imeuzwa 2006 inajua ni miaka mingap imepita. Ni wa ngap wanauza nyumba na kwenda pembezoni mwa jiji

  • @user-uu7mg3ff8l
    @user-uu7mg3ff8l 2 หลายเดือนก่อน

    m.mungu akuepushe na mabalaa mueshimiwa

  • @user-ry8xf1no2s
    @user-ry8xf1no2s 2 หลายเดือนก่อน

    Ongela sana Alha atakulipa
    Wazili wangu una busala sana

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo Waziri angalia haki. Huyo bibi atakuwa aliuza na huyo baba maelezo yake hayana shaka.

  • @ahazinelson6351
    @ahazinelson6351 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hao wajukuu wanajisumbua,hiyo nyumba iliuzwa.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwanza hiyo bibi muongo:kashauza nyumba hiyo muda inavyoonesha.

    • @Bruno4cus
      @Bruno4cus 2 หลายเดือนก่อน

      Tena kauza bila kuwa shirikisha wajukuu zake wala ndugu.

  • @swelehemkumba5007
    @swelehemkumba5007 2 หลายเดือนก่อน +14

    Bibi na wajukuu wake kwenye hili hapana. Ni matapeli.

    • @Kombo2989
      @Kombo2989 2 หลายเดือนก่อน +2

      usikurupuke Baba. sisi wazawa wa huu mtaa tunamfahamu huyu anajiita mnunuzi na huyu mw,kiti mstaafu ni wajanja wa mjini wewe umeiona hii1 kuna kesi nyingi sana zinazomuhusu huyu mstaafu ila kilamtu ananamna ya kijikwamua, wengi wajijikwamua wengine wasiojiweza ndioyanawakuta tena cha ajabu kesizote zinawahusu watu wasiojua kusoma wala kuandika

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Kombo2989inawezakana huyu bibi wajukuu zake ndio wanamzunguuka na hao viongozi ndio wanamzunguuka huyu bibi

    • @kindandakudingwa7514
      @kindandakudingwa7514 2 หลายเดือนก่อน +1

      Inaonekana Hawa wajukuu wajanja wajanja flan hivi

  • @RamadhaniSelemani-bn1fz
    @RamadhaniSelemani-bn1fz 2 หลายเดือนก่อน

    Duuuh 😢

  • @stellarogath1876
    @stellarogath1876 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kisaikolojia bibi nimemuelewa, huyo ni Bibi wa mjini.

    • @rosemery3017
      @rosemery3017 หลายเดือนก่อน

      Bib wa Mjini kwel kwel wandengereko hatari sana 😢

  • @allymnyenye8109
    @allymnyenye8109 2 หลายเดือนก่อน +1

    Alivyosema yupo laila haila llah dah hadi machozi yamenitoka

  • @tunujuma2995
    @tunujuma2995 2 หลายเดือนก่อน

    Ila dunia hii😢

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 หลายเดือนก่อน +2

    Waziri chonde chonde hao wanamtetea bibi.dhuluma

  • @hawaa341
    @hawaa341 2 หลายเดือนก่อน +2

    Bibi taperi na wajukuu zake

  • @rosie8704
    @rosie8704 2 หลายเดือนก่อน +6

    slaa na makonda nawapenda sana wanasikiliza wanyomge kwa upendo kbs

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 2 หลายเดือนก่อน

      Jerry silaa acha upuuzi wako wa kuingiza promo za kisiasa ktk matatizo ya watu unamjua mama samia unarudia mara 20 hiyo ina uhusiano gani na yeye kuibiwa kiwanja chake??

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​​@@user-fr7jj1bo7yWEWE UNA UHAKIKA GANI KAMA BIBI KAIBIWA??? NA MHESHIMIWA AKIMTAJA RAISI UNAKEREKA KWA NINI????

    • @elizabethkikoti7265
      @elizabethkikoti7265 2 หลายเดือนก่อน

      @@user-fr7jj1bo7ykwani shida iko wapi akimtaja rais wake mfyuu

    • @sabojanvierjaja2007
      @sabojanvierjaja2007 2 หลายเดือนก่อน

      ❤❤ongeza na RC Happy

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wajukuu wote mkorogo

  • @valentinamjindo5374
    @valentinamjindo5374 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli kabisa huyo Hana waswas inaonekana anaongea ukweli wazir busara Yako itumike

  • @user-tm5ls1ml6d
    @user-tm5ls1ml6d 2 หลายเดือนก่อน +5

    kweli watu sowema hata bibi ni wakuzulumu

  • @SamweliHozza
    @SamweliHozza 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa wajukuu sijui watoto wanarangi mbilimbili

  • @StellaMwasha
    @StellaMwasha 2 หลายเดือนก่อน +7

    Mbona baba hawezi kumdhulumu Bibi kizee jamani BABA apewe HAKI yake

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dahh nchi ya Tanzania

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi2576 2 หลายเดือนก่อน +3

    Umasikini mtihani kiurahisi rahisi mnatowa hati sasa inakuwa shida

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 2 หลายเดือนก่อน

      Yaani watu Masikini wananyanyasika Sana duh..!?

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 2 หลายเดือนก่อน +2

    BIBI HUYO MMM! HAJUI KUSOMA ILA MILIONI SABA NA GUNIA TATU ZA MKAA HAPO NI UWONGO MTUPU ASEME UKWELI ALIIUZA HIYO NYUMBA. HAO WAJUKUU PIA NI WAONGO HAIWEZEKANI BIBI HAJUI KUSOMA MMRUHUSU AKOPE MILIONI SABA KWA BIASHARA YA MKAA GUNIA 3 HAPO SI KWELI. WAACHIE NYUMBA TU.

    • @nasritamwambungu8286
      @nasritamwambungu8286 หลายเดือนก่อน

      ni zile pesa alizopewa aloyce ni za nn , kwa ufahamu wangu wa haraka haraka jamaa alikuwa ananua hiyo nyumba kwa utapeli anampa bbibi hela kidogo na bb anakula na wajukuu zake

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 2 หลายเดือนก่อน +8

    Mheshimiwa Waziri angalia vizuri sio kwa sababu ni bibi ndo umpe haki usije jikuta unamdhulumu huyo baba

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa wajukuu wanamtumia huyu bibi kwa faida yao.

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 2 หลายเดือนก่อน

    Waongo hao wadada

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama muongo tukaendaaaaa nyingi

  • @hatimmohamed4299
    @hatimmohamed4299 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magari yanaendeshwa bila ya ukaguzi, kila siku magari yanafeli breki, inakuaje?
    Wekeni sheria kali na ziwe zinafuatwa na adhabu ziwe kali, wacheni rushwa

  • @ramadhaniabdulkadry288
    @ramadhaniabdulkadry288 2 หลายเดือนก่อน +3

    Dada uyo muongo kbs kwa sentesi iyo ilipuke tu ghafla . Dada wewe maisha ya duniani wewe acha uongo tunapita tu. Yani kila cku awe anakukuta wewe tu.. umekua mlango hufanyi shughuli zingine una mvizia mtu usie kua na ahadi nae . ...mkope milioni 7 kwa mkaa bila kujua rejesho linatokea wapi ...muongo mkubwa dada wewe... WAZIRI DADA NA FAMILIA WOTE WAONGO

    • @shabanseif5774
      @shabanseif5774 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahahahaa yaani hata mimi kweli haingii akilini yaani biashara ya mkaa umkopeshe ml7 😂

    • @olaislukumay2208
      @olaislukumay2208 2 หลายเดือนก่อน +2

      Na hiyo 7ml mwaka 2006 ikikuwa hela nyingi sana

  • @StellaMwasha
    @StellaMwasha 2 หลายเดือนก่อน +3

    Natamani nipate mrejesho

  • @SaidZavallah
    @SaidZavallah 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hahahahahaha bibi napata wasiwasi na ww hahahahahaha bibi wa mjini kabisa

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dar imezidi Kwa laana maana watu wanahangaika na ardhi sijui watenda nayo Mbinguni wakifa.

    • @OmanOman-dn6dj
      @OmanOman-dn6dj 2 หลายเดือนก่อน

      Kulipa kodi wanakimbia

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hii kitu inaitwa aridhi kwa kweli namshukuru Mungu hainipotezei muda,vitu vya kupita hivi

  • @seifsaud
    @seifsaud 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kunamtaji wa mkaaa wa milioni saba acheninuongo

  • @MariamHannif
    @MariamHannif 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bibi wa mjininhuyo anaonekana yeye nawajuukuuuu ni janja janja alois apewe haki yake

  • @rechobenjamin845
    @rechobenjamin845 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana muheshimiw

  • @ramadhaniabdulkadry288
    @ramadhaniabdulkadry288 2 หลายเดือนก่อน +3

    Muuze nyumba mnunue nyumba ingine msilipe kukomboa nyumba muongo wewe

  • @user-ky4rb2lg3h
    @user-ky4rb2lg3h 2 หลายเดือนก่อน

    Watanzania tunatakiwa tujifunze kutofautisha kati ya huruma na haki, huyu bibi ameuza hilo eneo,mimi ndo karani wa sheria ambaye sina huruma hata kidogo, Bibi aendelee kujizima data hivyo hivyo,ifikie hatua wananchi tuwaonee huruma viongozi wetu

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 2 หลายเดือนก่อน +5

    SHERIA YA ARIDHI IBADILISHWE .IWE KAMA NCHI ZA KIARABU.

    • @goodluckmsoka3660
      @goodluckmsoka3660 2 หลายเดือนก่อน

      Waarabu wanafanyaje

    • @OmanOman-dn6dj
      @OmanOman-dn6dj 2 หลายเดือนก่อน

      Sheria zao zikoje?

    • @hamadsheni8997
      @hamadsheni8997 2 หลายเดือนก่อน +3

      @@OmanOman-dn6dj oman ukinunua aridhi kwa mtu.mtamaliza ofsi zte.wa mwisho watakuwa polisi.kuhakiki dokment hakuna fojari,hakuna utapeli.hakuna wizi.muuzaji na mnunuzi ndo hawa hpa.wakihakiki ikiwa sawa. Polisi kitengo cha aridhi.wanaidhinisha.kwa nyaraka yao.

    • @OmanOman-dn6dj
      @OmanOman-dn6dj 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@hamadsheni8997 NI SAWA. HATA GARI LAZIMA WAUZIANE POLISI.

    • @hamadsheni8997
      @hamadsheni8997 2 หลายเดือนก่อน

      @@goodluckmsoka3660 mkiwa mnauziana mtakwenda ofisi zte.wa mwisho polisi.wanahakiki hpa hakuna utapeli,wizi,nyaraka feki. Muuzaji na mnunuzi ndo nyie.kama iko sawa. Ocd au rpc anaweka sain.kama kuna jinai mmoja anabaki.

  • @hajiyusuf3837
    @hajiyusuf3837 2 หลายเดือนก่อน

    Muheshimiwa tunaomba namba yako

  • @JescaMwagama-oc9yt
    @JescaMwagama-oc9yt 2 หลายเดือนก่อน

    nitakufa mm bila nyumba

  • @malila4582
    @malila4582 2 หลายเดือนก่อน

    Yani apo angekuwa makonda angemaliza kesi apo apo

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 2 หลายเดือนก่อน

    Karatasi ya Mauziano iko wapi..?

  • @shamtenyambega2944
    @shamtenyambega2944 2 หลายเดือนก่อน

    achunguzwe bibi amepangwa ,ukweli itakuwa AMEUZA HUYO

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 2 หลายเดือนก่อน

    Uyo mdda muongo kajichubua kawa mwekundu kama nyanya. Sio vzuri mnachukua pesa za wenzenu kisha mnahaza kukwepa ripeni deni iro kama nyumba mpenzi

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 2 หลายเดือนก่อน

    Bibi wa mjini

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jerry kichwa mno.Hapo ndio ninaamini ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi..Mwili mdogo akili kubwa...

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 2 หลายเดือนก่อน

    Uyo baba hawepe haki yake hakuna cha kuangaria mzee nn arikopa kabda hajawa mzee so zuruma isitoke hapo kwa uyo baba hapewe haki yake kwan pesa wamekulah

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 2 หลายเดือนก่อน

    Mama slaa anatenda haki, umwongezee ulinzi japo ni mtu anasali

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 2 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi wetu mtetezi wetu kipenzi cha watu inshallah mwenyez mungu akutunze inshallah 🙏

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 2 หลายเดือนก่อน

    Bibi Kwa Sasa Zamani Alikua Kijana Jamani

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 2 หลายเดือนก่อน

    mnatapeli hata wazee

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t 2 หลายเดือนก่อน

    Bb achungu zwe

  • @Rukwembe7712
    @Rukwembe7712 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nilicho gundua ukwer una jitenga na uwongo

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kama viwanda hakuna, ajira serikalini, mashamba hakuna, watu tumenawili mtaani, siri yetu ya mafanio yetu nini. Tuliacha kuzalisha na kufanya kazi tukawekeza kwenye wizi.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 2 หลายเดือนก่อน

    NARUDIA TENA:
    JERRY SLAA
    MAKONDA
    na BASHE
    asee hawa ndiyo TAIFA la leo maana tukisema Kesho Ni MUONGO, hawa ni WAPIGANAJI sana sana..
    LUCAS KOMBA awekwe Ndani kuna jambo analiju KOMBA ni TAPELI awekwe ndani kwa Ushahidi.
    Yeye ndo Kasuka Mpango OVU

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hapa watu warudi 2006 sehemu hiyo kiwanja bei gani!? Kisha kitathminiwe kama millioni 7 basi bibi kweli kauza na kama 2006 ilikuwa millioni 50 basi itakuwa milioni 7 kweli ni mkopo

    • @alhabibsudi7997
      @alhabibsudi7997 2 หลายเดือนก่อน

      Mashalah comment yako imemaliza kila kitu unaonekana una başara sana sheikhe wangu

  • @mitchellshayo4801
    @mitchellshayo4801 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂 Duuuuuh huyu bibi jmn

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 2 หลายเดือนก่อน

    Ila inaonekana bibi aliraghaiwa

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 2 หลายเดือนก่อน

    Uyo mdada ukimuangalia machoni ni muhongo tu

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwenye kiti wa mtaa ndio tatizo alikuwa anataka kumzurumu huyu bibi ili aje amtaifishe hii nyumba looo,

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 2 หลายเดือนก่อน

    Watu weusi hawaaminiki

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi mkopo mtu anaweza kwenda kukuchukulia tu kirahisi hivi

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 2 หลายเดือนก่อน

    Bibi unajuwa lahilahahilah lkn ujui kujifunika

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 2 หลายเดือนก่อน

    Ila tuache nafki uyu jamaa nili sema mimi sio mlooo wa pesa ndomana nasaidiaa watu daaa

  • @ashuraramadhani1943
    @ashuraramadhani1943 2 หลายเดือนก่อน

    Kisiwani kunamatapel

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi2576 2 หลายเดือนก่อน

    Bibi watoto wajukuu wamemgeuka

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 2 หลายเดือนก่อน

    Bibi ameanza kupoteza network.

  • @fadhilimhagama2650
    @fadhilimhagama2650 2 หลายเดือนก่อน

    HIYO KAULI YA KUSEMA BIBI KIZEE KAMA SIO NZURI KABISA

  • @fabianclato3101
    @fabianclato3101 2 หลายเดือนก่อน

    Bibi mchawi😂