WAZIRI SILAA AREJESHA KIWANJA KILICHOPORWA na TAJIRI wa MABASI ya TAHMED TANGA - "BORA UKOSE MALI"..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • WAZIRI SILAA AREJESHA KIWANJA KILICHOPORWA na TAJIRI wa MABASI ya TAHMED TANGA - "BORA UKOSE MALI"..
    Waziri wa Ardhi nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewarejeshea kiwanja wanafamilia ambacho kilichukuliwa na mfanyabiashara mkubwa wa magari ambacho alikihodhi miaka mingi ndani ya jiji la Tanga.
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 455

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 หลายเดือนก่อน +18

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @othmanali7408
      @othmanali7408 5 หลายเดือนก่อน +2

      Kwanza rekebisheni izo camera

  • @geofreymalekana8000
    @geofreymalekana8000 5 หลายเดือนก่อน +61

    Mungu amlinde huyu waziri, nakuombea sana kwa Mungu waziri 🤲

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 5 หลายเดือนก่อน +31

    Waziri anatatua tatizo na anatowa elimu pia.
    Big up kijana mwezangu upewe mauwa yako.

    • @HelenaMallya
      @HelenaMallya 2 หลายเดือนก่อน

      Uko vzr

    • @HelenaMallya
      @HelenaMallya 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ninkwel kijana wangu kwa invrstegetion yako nilishapata changamoto hyo ikanisaidia nilivuouloza

    • @HelenaMallya
      @HelenaMallya 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa kuuliza

  • @BJMKANGALA1
    @BJMKANGALA1 5 หลายเดือนก่อน +21

    Mh. Rais wananchi tunapata faraja kubwa kwa utendaji kazi wa kujituma wa Waziri huyu. Tutashukuru kama atasalia hapo bila kubadilishwa nafasi ili kufikia lengo la kufuta kero sugu za ardhi. Viongozi wateule mkijituma kwa kufuata haki ustawi wa nchi haraka unapatikana.
    Mungu atubariki sisi sote kama Taifa.
    Amina!

  • @EZRA-b1c
    @EZRA-b1c 5 หลายเดือนก่อน +51

    Safi sana Waziri.hii ni zamu yetu wanyonge. Mahakama inapiga tarehe kudhulumu mali za wanyonge.tumechoka. Waziri Big up.Mungu Akutunze

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 5 หลายเดือนก่อน +2

      Aaamin.

    • @zariadunia6328
      @zariadunia6328 5 หลายเดือนก่อน +3

      Sasa ndo mnakubaliana na makonda kuhusu mahakama ? Wanafki sana watanzania

    • @sleymankassim4332
      @sleymankassim4332 5 หลายเดือนก่อน +1

      Amin

    • @baloz8974
      @baloz8974 5 หลายเดือนก่อน +2

      Ndio mahakama ni pesa ndio inaongea mahakimu wote wala rushwa na makarani wao .

    • @EZRA-b1c
      @EZRA-b1c 5 หลายเดือนก่อน

      @@baloz8974 halafu makarani wanaficha ma file ya watu kweli kabisa huu mwaka wa 20 Sasa tulishashinda kesi .lakini kinachoendelea hatuelewi RUSHWA eti wanasikilizwa na hawajawahi ku appeal MUNGU ANAWAONA

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 5 หลายเดือนก่อน +28

    LEADERSHIP IS THE ABILITY TO SOLVE the PROBLEM. Huyy ni kiongozi aisee

    • @bakariomari8758
      @bakariomari8758 5 หลายเดือนก่อน +2

      Hes a God fearing guy wit a blessd with a wisdom

  • @evelynensanga3330
    @evelynensanga3330 5 หลายเดือนก่อน +29

    Hata usiku silaa anafanya kazi 🥺🥺 mungu akulinde sana tena sana

  • @mwajumamwangia443
    @mwajumamwangia443 5 หลายเดือนก่อน +10

    Jerry silaha nakupenda kwa ajili ya ALLAH mola akulinde inshallah

  • @mwanamwendy9265
    @mwanamwendy9265 5 หลายเดือนก่อน +14

    Mwenyezi Mungu akubariki Sana Waziri
    Upewe maua yako kwa kweli

  • @wariobamussa2462
    @wariobamussa2462 3 หลายเดือนก่อน +2

    You re a Very smart Minister, Nakuombea kwa Allah akupe maisha marefu unatenda haki wazi wazi, asiyekuelewa ni tapeli tu...

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 5 หลายเดือนก่อน +75

    Huyu waziri sijawahi kuona kama yeye anafanya kazi KUBWA sana mpeni maua yake jamani ,lkn ifike wakati hao matapeli kwanza walipe fidia ya MIAKA yote waliyokuwa wamekaa pale pili walipe garama za majengo waliyovunja,tatu viongozi waliohusika kusaini nyaraka feki kama mwenyekiti ,mjumbe nk wachukuliwe hatua Kali za kisheria ikiwemo KUCHUKUA Mali zao ili kuwalipa wale waliodanganywa.

  • @AbdillahiMkondo
    @AbdillahiMkondo 5 หลายเดือนก่อน +10

    Dah waziri anapambana sana kwajili ya watu wasio na nguvu japo hii vita alio ingia ni kubwa mno lakin mungu atamuongoza
    Kwa historia ya nchi hii viongozi wa aiba hii hua hawadumu

    • @RizikiRiziki-bp6dx
      @RizikiRiziki-bp6dx 4 หลายเดือนก่อน +1

      KWA JINA LA YESU KRISTO ATADUMU NA WATADUMU WASIOGOPE TUNAWAOMBEA

  • @davidjoackim2216
    @davidjoackim2216 5 หลายเดือนก่อน +16

    Piga kazi wazir,kazi yako Mungu anaiyona, na hanafurai,

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 5 หลายเดือนก่อน +6

    This guy is being blessd with Wisdom

  • @conrad4950
    @conrad4950 3 หลายเดือนก่อน

    Thank you ndugu Silaa...you a true son of the soil..

  • @maimunahemedi6491
    @maimunahemedi6491 4 หลายเดือนก่อน +1

    Aw huyu kijana hii kazi anaiweza vzr sana, anatumia uadilifu mno, hababaishi, mola amsaidie sana na amlinde wabaya wasimdhuru, amin

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 5 หลายเดือนก่อน +7

    Safi jerry slaa MUNGU akulinde mkuu.👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾 nmetamin kuwa mwanasiasa niwatumikie wananchi kwa Haki.kwa maneno haya we n nembo ya ubora

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 3 หลายเดือนก่อน

      Unaweza kutumikia nchi yako popote ulipo jitoe mzalendo👍🤝

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 หลายเดือนก่อน +6

    Mweshimiwa Jeri mwenyezimungu akusimamie akulinde na akuongoze inshallah..kwamana unafanya kitu kizur Sana kiwaokoa watu na mali zao dhidi ya dhurma..unafanya kitu kizur Sana japokuwa sio rahisi ila mungu akulinde dhidi ya watu wabaya muheshimiwa wang

  • @willydugilo3258
    @willydugilo3258 5 หลายเดือนก่อน +26

    Mungu akuongezee umri bwana mdogo!!

  • @renatusihoyelo7450
    @renatusihoyelo7450 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Rais kwa kumteua huyu waziri wa Ardhi, anafanya kazi nzuri kweli,
    Mungu awabariki sana viongozi wa serikali wanaotenda kazi kwa haki

  • @getrudeisaac
    @getrudeisaac 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu ni mwema watu wanaonewa sana kwenye maswala ya maeneo Hongera sana Mama Samia Hongera sana kaka Jerry

  • @HenryKissinger-wu9ms
    @HenryKissinger-wu9ms 5 หลายเดือนก่อน +4

    Waziri hongera kwa kazi nzuri unayo Fanya, Allah akupe umri mrefu na afya njema

  • @shabansalum1848
    @shabansalum1848 5 หลายเดือนก่อน +4

    Waziri wa ardhi ni mtu wa maana saana hongera kwa kuwa na hofu ya mungu una roho nyeupe kama shati..lako unalopenda kulivaa jeupe..barikikwa saana

  • @leonardkigere
    @leonardkigere 5 หลายเดือนก่อน +6

    Waziri unajua unajua tena safi sana

  • @SeraphineKamau-db9ty
    @SeraphineKamau-db9ty 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu hawaachi watu wake! Well done waziri. Mungu akulinde daima

  • @jeremiahpirminnyoni618
    @jeremiahpirminnyoni618 3 หลายเดือนก่อน

    Jerry last born wangu hongera sana kazi nzuri sana sana Mungu akupe afya njema na maisha marefu, heri na tumbo lililokuzaa na maziwa uliyonyonya ❤

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 5 หลายเดือนก่อน +6

    Safi sana waziri kwa kurejesha matumaini kwa wanajamii wanaodhulumiwa

  • @noneysam-qm8ln
    @noneysam-qm8ln 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe Waziri sijakuonea mfano kwa kazi unayoifanya hutumii hasira unawajibu kwa hoja MUNGU akulinde na akupe maisha marefu

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 4 หลายเดือนก่อน +4

    Silaa na makonda niw2 na nusu mungu akubariki sn mama samia 5 tena

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 5 หลายเดือนก่อน +37

    Ndugu Waziri ni kijana mdogo sana ila anafanya kazi kwa kujituma sana kupigania haki hadi anazeeka.

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 5 หลายเดือนก่อน +8

      Mungu hatamuacha,atendelea kumpatia afya njema

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 5 หลายเดือนก่อน +2

      ni kweli ila katerekeza jimbo la ukonga....njia zinaoza

    • @mxofmfk8406
      @mxofmfk8406 5 หลายเดือนก่อน

      ​Kazi ya serikali hiyo na sio mbunge pekee, kuna wakuu wa wilaya makatibu tawala na nao wanahusika muwape taarifa​@@yordanyona1234

    • @KisasaMikidadi
      @KisasaMikidadi 5 หลายเดือนก่อน +4

      kwa kazi anayofanya mwache tu atelekeze anastshili sifa na kura ntampa mana anapigania taifa sio jimbo

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 5 หลายเดือนก่อน +2

      upepo wa 2025...si ameamshwa na makonda tu...juzi hapo..
      kiekweli viongozi wetu wako vizur ila mara nyingi wanakosa uzalendo....au pia aina ya mtu aliopo juu namna anavyowatengeneza...
      maana usipowapa stress ni shida

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hao matapeli wa ardhi hawawi pekee Yao Ni watumishi wabovu wa serikali ndiyo wanasababisha uchafu wote huo. Cha muhimu hapo Ni Jerry Slaa kupata wenzie wa ukweli ndiyo itapungua tu Keisha kabisa haipo kwa sababu utapeli Ni moja ya maisha ya watu wabaya. Mungu atusaidie tu.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 5 หลายเดือนก่อน +4

    Jembe jingine Tena madini sanaaa🙏🙏🙏wamekua wawili namakonda💪💪💪

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 5 หลายเดือนก่อน

      Yeah Makonda anatakiwa naye apewe wizara,kwenye wizara nyeti kama wizara ya mambo ya ndani ili kutokomeza mambo ya rushwa

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 5 หลายเดือนก่อน

    Nakupa maua yako mh waziri Jerry Slaa🌺🌺🌹🌹🇹🇿
    Mwenyezi Mungu akutangulie kila cku pamoja na familia yako na team yote ya viongozi TZ 🙏🏼🙏🏼

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 5 หลายเดือนก่อน +2

    Bravo Silaa.
    Mungu akulinde sana

  • @adolfmashele4959
    @adolfmashele4959 3 หลายเดือนก่อน

    Hujanitendea mimi wema..ila watanzania wenzetu...ila nakuombea mungu akujalia afya njema mh silaa ...eeh mungu mbariki silaa kweli wee silaa ya vita

  • @RaphaelKapesa-x6g
    @RaphaelKapesa-x6g 5 หลายเดือนก่อน +12

    Maswala ya ardhi yakatatuliwe sehemu maalumu kwenye site kabisa

  • @DeoKimbe-gt4op
    @DeoKimbe-gt4op 5 หลายเดือนก่อน +15

    Mnungu mbariki mh samia ,J,silaa,na makonda

    • @FrolenceRogath-fv6ku
      @FrolenceRogath-fv6ku 5 หลายเดือนก่อน +1

      Nzur umeona he

    • @laylayl5166
      @laylayl5166 5 หลายเดือนก่อน +1

      Amiin yaarab kwakweli inatupo furaha

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 5 หลายเดือนก่อน +1

      acha kufaninisha watu na mazombii ww ulisikia wap uyu jelisilaa kampiga m2 lisasi au kamteka m2 tumia akilii chiziii wewee

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 5 หลายเดือนก่อน +26

    hapa rais samia kapatia wazili anafanya kazi

    • @hamisiamani962
      @hamisiamani962 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hii wizara kaka walipuyangaga walivyomuweka m2'1wakuitwa Kamwele cjui kamwewe!!Basi Lkn,Mbalawa jembe Silaa Shoka😂

  • @TheAmolloh
    @TheAmolloh 5 หลายเดือนก่อน +7

    Jerry Mungu akulinde katika majukumu yako

  • @karimambosanga4290
    @karimambosanga4290 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera waziri Slaa mwenyezi Mungu akutangulie kesho utasikia amehamishiwa wazara nyingine ajabu sana

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akulindewaziri

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 5 หลายเดือนก่อน +20

    Alafu kesho utasikia Mama amembadilisha amemleta mwingine japo ma file hayabadilishwi lkn ukiona mtu anaimudu wizara acha aendelee huyo huyo aimalize kazi yake maana hata ukisema mapungufu hata utakaemleta sio Malaika

    • @ahmed-shakirmwamba4992
      @ahmed-shakirmwamba4992 5 หลายเดือนก่อน +1

      Anaimudu Wizara sio Wizala.

    • @jonathanmanyaga4357
      @jonathanmanyaga4357 5 หลายเดือนก่อน +3

      Hata huyu hata badilishwa amini hivyo; si unamuona Hussein Bashe?

    • @Christian-j1j2w
      @Christian-j1j2w 5 หลายเดือนก่อน +1

      🤣🤣🤣 Umejuaje? yaani mimi nina wasiwasi sana, huyu jamaa ni kama Lukuvi tu, nina wsws ataondolewa.

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 5 หลายเดือนก่อน +5

      Lukuvi hakuwahi kufika kwa level hii japo nae alijitahidi

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@ahmed-shakirmwamba4992 Nadhani umeelewa hata kama kumepinda sehem hukuona umuhimu wa ujumbe umeona makosa nyie ndo wale wale wakuangalia makosa ya nyumba za watu sio juhudi za mwenye nyumba jitafakali maisha yako yatakuwa ya kutafuta makosa tu

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ninacho kipendea Jerry wewe ufanyi kazi kinafki unachapa kazi Kama inavyopaswa kufanyika ongera Sana mungu akubariki na akulinde na maadui waovu🙏🙏🙏

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri unaifanya muheshimiwa mungu akubariki

  • @saloomidd1084
    @saloomidd1084 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa anajua sana kazi yake na anahukumu huku anakufundisha hadi uelewe hata kama una kichwa kizito utaelewa tu

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 หลายเดือนก่อน +2

    Asante kwakutufahamisha jinsi yakufanya ila tuliowengi tukinunua vitu kama ivyo viwanja na nyumba hatujui vyakufanya...Yani kwastahili iyo inabidi tujuwe sheria au tupate muongozo wakisheria Ili tusiingizwe mkenge

  • @MussaWambura-t9l
    @MussaWambura-t9l 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde waziri aulali unawapigania watanzania

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kazi nzur munguambariki

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 5 หลายเดือนก่อน +13

    Samahani ndg zangu naomba serikali iende mbali zaidi Jaji mkuu toa amri ktk mahakama au mabaraza ya ardhi nchi nzima wawe wanatoa hukumu zao site na ushahidi utakuwa mzuri hivi mm naona dhuluma ni nyingi Sana kwa wananchi kwa ajili ya kufoji na manyaraka mengi yasiyo na tija.

    • @RaphaelKapesa-x6g
      @RaphaelKapesa-x6g 5 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa yani maswala ya ardhi wanaenda kutatulia mahakaman na hawaendi site

    • @ZUWENADELLOW
      @ZUWENADELLOW 5 หลายเดือนก่อน +1

      🎉🎉🎉🎉

    • @digitalworld5577
      @digitalworld5577 5 หลายเดือนก่อน

      Aisee umeongea bonge la point. Hukumu ya ardhi kutolewa pasipo eneo husika inaleta ukakasi sana kwenye maamuzi sahihi. Kwa kuwa mahakama inaweza kuhamisha eneo lake la kutoa hukumu basi wafanye hivyo fasta

  • @Timoclement
    @Timoclement 5 หลายเดือนก่อน

    Waziri hongera sana hufanyi kwa sifa wanyonge wapate haki Yao Mungu akubariki

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jery nimejifunza kitu ngoja niende weke vzr doc

  • @ip_header
    @ip_header 5 หลายเดือนก่อน +6

    Smart man

  • @PatrickPazza-kr3vm
    @PatrickPazza-kr3vm 3 หลายเดือนก่อน

    Hiii elimu hata mm nimeipata sitaweza kununua kiwanja kiholela bila kuuliza aiseee big up sana

  • @kakagift8356
    @kakagift8356 5 หลายเดือนก่อน +19

    Waziri anajuwa kuelimisha sana.

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 5 หลายเดือนก่อน

    Mh presedar Wazir unaye,jemb e Jembe saaana ,,Mwenyez Mungu Amlinde zaid

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 5 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤❤ HAWA ndio wanapaswa kushika nyadhifa kubwa za

  • @susanmshindo7593
    @susanmshindo7593 4 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu akulinde waziri wetu Huku mkoa wa Pwani huko kipalang' anda nako balaa watu wanatapeli mashamba bila haya unauziwa na unatapeliwa na anauziwa mtu mwingine bila woga hata kidogo

  • @seiphyahya5353
    @seiphyahya5353 2 หลายเดือนก่อน

    Nalia kwa Furaha ya kuona Serikali inawarudishia wanyonge nyumba na viwanja na Mali nyinginezo walizodhulumiwa na mawakili na mahakimu na matajiri nk. Alhamdulillahi rabbyl alamin.

  • @MohzenHaroub-tv9th
    @MohzenHaroub-tv9th 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe maisha marefu na yenye kheri sana wazir wa ardh ❤

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 4 หลายเดือนก่อน +1

    We silaa mungu akujalie

  • @isakapanduka-kp9tb
    @isakapanduka-kp9tb 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mtaalamu jerry slaa god bless you

  • @MohzenHaroub-tv9th
    @MohzenHaroub-tv9th 3 หลายเดือนก่อน

    Hakika umekuwa ukitenda haki kwakila mwenye aliedhulumiwa haki zake bas uwepo wa serikal hii imekuwa ikitatuwa hili ttzo hongereni sana mungu awabarik❤❤🎉

  • @Joseph-j7i4j
    @Joseph-j7i4j 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hoqngera sana mh waziri unapambania wanyonge

  • @hermenegildempawenayo279
    @hermenegildempawenayo279 4 หลายเดือนก่อน

    Waziri Silaa na Makonda mungu awalinde because kazi munafanya ningumu sana.

  • @sbnannauka7873
    @sbnannauka7873 3 หลายเดือนก่อน

    Mh waziri naomba mungu akupe maisha marefu, kwenye swala la mahakama zetu kumeoza sana na matajiri wengi hununua mfumo wa mahakama na kuzuia kesi zenye vielelezo zisisikilizwe.Naomba umshauri mh Rais aunde tume aifumue mahakama kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi mahakama ya rufani.

  • @lucypatrick7830
    @lucypatrick7830 3 หลายเดือนก่อน

    Dah yaan mnyonge mpaka unajikuta tajiri, Mungu akutunze waziri

  • @denismalembeka1871
    @denismalembeka1871 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu amulinde mdogowangu silaa kwa kazi unayaifanya wewe pamoja na makonda sio ya popepoie

  • @peterochogo546
    @peterochogo546 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mh unatakiwa uwe waziri wa ardhi miaka yote Mungu awabariki sana

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 5 หลายเดือนก่อน

    Ahsante mungu. Umetuleyra chombo madhubuti waziri jelly mungu akulinde

  • @choosenempire7772
    @choosenempire7772 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa hili mueshimiwa sikusaport jamaa kafwata protocol zote za kisheria za ununuzi wa kiwanjaa kuwafwata wapangaji sio dili Sanaa coz ulinunua basi la abiriaa jee utamwafata dereva kumuhojii wakati una kadi ya gari original.kwaa hili namsaport mununuzi frankly speaking apa nooo the buyer has a right kwani miraji katoa wapi document original

  • @Badvoice707
    @Badvoice707 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mama angoze miaka mia❤❤❤❤

  • @MgeniSaid-fp3wg
    @MgeniSaid-fp3wg 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa anaitendea haki nafasi yake, big up waziri Mungu pekee ndio atakulipa na kukulinda

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 5 หลายเดือนก่อน +2

    Waziri ni jembe lingine 🙏🙏

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mama samia umetupa waziri mzuri sana wale waliopita walikua wanashirikiana na matapeli huyu kanyooka.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 5 หลายเดือนก่อน +2

    Tunawaombea dua sana kaka mkitoka huko kwenye ardhi anzeni na wale waliojenga majumba makubwa halafu mishara yao wanayo lipwa havilingani ni kidogo

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda7671 5 หลายเดือนก่อน +2

    Waziri maua yako🎉🎉🎉🎉 kitaaalaaaam zaidiiii

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 5 หลายเดือนก่อน +6

    Waziri silaa mtu wa maana kabisa

  • @OllerDesononline6333
    @OllerDesononline6333 3 หลายเดือนก่อน

    Muheshiwa akili nyimgixanaaaaaa. Allah akulinde. Insha'Allah

  • @hakeemwamahoro5144
    @hakeemwamahoro5144 5 หลายเดือนก่อน +1

    Silaa anatenda Haqi safi sana wanyonge wametendwa sana na matajili Haqi aizulumiwi

  • @hamjanikera1234
    @hamjanikera1234 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yalaiti kenya tungelikua na waziri na kuamua haki kama hivi...
    Pongezi sana waziri Jerry

  • @nassorowaziri3076
    @nassorowaziri3076 5 หลายเดือนก่อน +7

    MH Jerry! Naomba nikupe pongezi na pole Sana Kwa Kazi kubwa unayoifanya swali langu je Mawaziri waliopita walikuwa wanafanya nn?

    • @vumbakingvumbaking9571
      @vumbakingvumbaking9571 5 หลายเดือนก่อน

      Walikuwa Wana lala mkuu😢

    • @kassimkobby1679
      @kassimkobby1679 5 หลายเดือนก่อน

      Alikuwepo mzee lukuvi karudisha Mali nyingi sana za watu wakat wa magufuli

    • @MarySimoni
      @MarySimoni 5 หลายเดือนก่อน

      Migogoro ya ardhi ni mingi sana

    • @BrunoNamanga
      @BrunoNamanga 3 หลายเดือนก่อน

      Walijitahidi ila mfumo ndio tatizo .huyu Waziri Ana busara uadilifu upendo nk nk
      Na haogopi kufanya maamuzi

  • @venikompumu9951
    @venikompumu9951 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana wazili matapeli wengi mjin

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 5 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu akutunze mheshimiwa waziri

  • @SangioNgoo
    @SangioNgoo 5 หลายเดือนก่อน +8

    Hii siyo kazi ya waziri. Kuna vyombo ambavyo vinatakiwa kufanya haya mambo lakini vimelala. Migogoro kama hii iko mingi sana, waziri atatembelea kote? Kosa ni la serikali hiyo hiyo anayoiwakilisha waziri. Ila low minds kama hizi haziwezi kujua lilipo tatizo na mtaendelea kulizwa maisha yenu yote.

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 5 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kwanza cha kujiuliza huyo waziri aliyekuwepo kabla yake alifanya Nini? Je itakuwaje kama Slaa akihamishiwa sekta nyingine?? Mfumo mbovu ndy tatizo na tutapigwa mpaka tuseme.

    • @issamsuya583
      @issamsuya583 5 หลายเดือนก่อน

      Kwahyo aendelee kukaa ofisini akiangalia makosa ya watendaji wengine?

    • @EmmanuelMsangi-kb3vv
      @EmmanuelMsangi-kb3vv 5 หลายเดือนก่อน

      Uwelewa wako ni wajuu sana vyanzo vya matatizo vipo Sasa hii haitatusaidia

    • @SangioNgoo
      @SangioNgoo 5 หลายเดือนก่อน

      @@issamsuya583 They have to change the whole sytem of governing. Mihimili na idara zifanye kazi.

  • @goodluckBuretta
    @goodluckBuretta 3 หลายเดือนก่อน

    the dude is smart enough

  • @kashindesalha8107
    @kashindesalha8107 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde namabaya

  • @EmidiMitenga
    @EmidiMitenga 3 หลายเดือนก่อน

    Daah uwa napenda sana mahamuzi ya waziri sema nini Africa kunaraa sana

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 หลายเดือนก่อน

    Slaa asee big up sana kwako..yaani Kama Mimi..

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 3 หลายเดือนก่อน

    Ukiwa na mawazir wenye akili kama hawa Safi sana,anatoa maelezo na elimu❤

  • @alhabibsudi7997
    @alhabibsudi7997 5 หลายเดือนก่อน

    Safi sana Waziri kwa kuwapa wanyonge haki yao haya tapeli wa tahmid katafute ushuzi ujambe mpumbavu mmoja, kwa M Mungu matajiri mtakwenda kuchomwa moto wa gesi sio mkaaa

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 5 หลายเดือนก่อน +7

    Hapo kosa ni lawatu wa ardhi

  • @zenakassomo
    @zenakassomo 5 หลายเดือนก่อน

    Jamani huyu baba mungu atamlipa yaani kwanza anakuliza, anakuelewesha , jambo Lina nyooka,, kweli haki ya mtu haipotei ukikutana nawatu wa mungu km huyu baba

  • @jeanmiruho4770
    @jeanmiruho4770 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤Mukuu kwakweli Mungu akubariki saaana umenena haki!!Miye sio mu Tz alakini umenifunza kitu från Stockholm Sweden

  • @DeoKimbe-gt4op
    @DeoKimbe-gt4op 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nakuobea kwa mngu na mh samia

  • @navioma4882
    @navioma4882 5 หลายเดือนก่อน +2

    😢😢😢😢😢waziri mungu akupe umri mrefu

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 5 หลายเดือนก่อน

    Hakika nahemewa sana kwa kazi nzuri unayofanya kakangu mungu akupe maisha marefu sana utetewanyonge

  • @MaabeshFungurume
    @MaabeshFungurume 5 หลายเดือนก่อน +2

    Alhamdulillah la haki hai potei huyo kamtia kenge

  • @bullindamichael2470
    @bullindamichael2470 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mh waziri unafanya kazi nzuri sana sana, God bless you, lakini kwanini hawa watu wanaenda mpka ardhi na wanapata majibu kwamba kiko sawa, je hao wafanyakazi wa ardhi ambao wanashirikiana kuibia watu ardhi mnawachukulia hatua gani?

  • @shadyalardhi7854
    @shadyalardhi7854 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akusaidie waziri unatenda haki

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 5 หลายเดือนก่อน +3

    Saf sana mkuu umenifundisha kitu hapa