ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Asante kbx kk
Kaka S NA S zinaendana kimahusiano
mwalimu yota umepata ila mimu umekosa mm ni jina la mungu ndio wanaita hashi
Mimi jina langu linaanzia s yaani SULEIMAN illa NIMEKWAMA KILA ninachakifanya hakiwi hata siku Moja NIfanye nini
Katka watu walio nieleweshaZaaid ni wew
Shehe nyota yangu ya moto ya A ila ni
Ndoa yangu imevulugika tatizo sijui nini ebu nitazamie nyota yangu ni A
Asante
Naitwa kasapo nyota yangu ni ndoo nivae nguo rangi gani na cku yangu ya bahati ni ip na nifanye maombi cku gan na saa ngap
Erufi a na g jee zikioana kunatatizo naomba ufafanuzi tafadhali
Kaka yangu nauliza nyota yapunda inaendana nayota yupi kimausino Asante❤❤
❤❤❤
❤🙏
Je g na f wanaweza wakaoana au f na t
Naomba sifa za heruf D
🙏🙌
Mimi ni s mmewangu a tunagombana sana aniamini atakidogo
Mjomba mm naitwa Athumani. Nina miaka 27 nasumbukiwa sana na hofu na naumwa ugonjwa usojulikana najiona mm ila niki enda hospital hawa oni nacho umwa
Upate madungwa itaidia au je utakua sawa na ujelewe kua changamoto tu hizo zinapita jiamini
Mimi sielewi nyota yangu jina langu ni juliana kwenye tarehe ya kuzaliwa nikihesabu inakuja namba 9 nashindwa kuelewa ni nyota gani ninayo
Inategemea wanakuitaje. Wanakuita Julia au Ana? Kama wanakuita Juliana kwa kutamka wewe ni J
Nataka G inamaanisha nini
Nakuelewa
Zafalan nini kiongoz
Rangi zinazotumika kuchorea makombe
Nenda maduka ya dawa asili ukimwambia tu naomba wino wa zafarani nyekundu au njano inauzwa
Assalam aleykum kaka Ally ....kwa majina naitwa Amina.....nyota ya ni ya punda .....pete yanifaa ama kito kipi chanifaa kuvaa
Ipo hapo tazama au njoo a Whatsapp
Mm kuna mwanamke nampenda sana anaitwa natasha na herufi ya jina langu ni y vipi nitampata ?
Je me
Mm naitwa Vero Jota yang ni nn
Mwalimu ipo heruf gn
INA badilika inaingia kwenye E na L na T na chache M
🙏🙏
Mimi khalid nyotayanu
Herufi ya n inaendana naherufi gani
Kaka umenigusa ninakovu mkononi tokea nilipate utotoni nimenusulika kufa kwenye ajali ya gari nikiwa naendesha nikitokea bukoba uso kwa uso gali raiti ofu nakira ninachofanya nibule kabisa nachukiwa bira sababu nifanyeje kaka
Kwamajina naitwa Shabani
Mizani herufi ipi?
G S
Je mm naomba kuliza jina langu ni mwende Iko kwa punda ama vp kaka
Mwende inaitaji uchunguzi kwanza inaweza kua N lakini nitafute WhatsApp tuifanyie uchunguzi
@@allykk1459 nisawa kaka
Nijibu apa kaka kwasababu what's up imekataa kaka nijibu nko nyota punda ama vp plz🙏
Ongera San mkuu umenipa sili ambayo , niwah kujiuliza 👏👏👏mungu akubarki
Tanaelewa some lakini wenye erufi mwa mwe mwi sizani kama ujafafanua vizuri ,au tarehe za kuzaliwa na mwezi zinafaa
Nimekuelewa kabisa
Habar docter
Asante kbx kk
Kaka S NA S zinaendana kimahusiano
mwalimu yota umepata ila mimu umekosa mm ni jina la mungu ndio wanaita hashi
Mimi jina langu linaanzia s yaani SULEIMAN illa NIMEKWAMA KILA ninachakifanya hakiwi hata siku Moja NIfanye nini
Katka watu walio nielewesha
Zaaid ni wew
Shehe nyota yangu ya moto ya A ila ni
Ndoa yangu imevulugika tatizo sijui nini ebu nitazamie nyota yangu ni A
Asante
Naitwa kasapo nyota yangu ni ndoo nivae nguo rangi gani na cku yangu ya bahati ni ip na nifanye maombi cku gan na saa ngap
Erufi a na g jee zikioana kunatatizo naomba ufafanuzi tafadhali
Kaka yangu nauliza nyota yapunda inaendana nayota yupi kimausino Asante❤❤
❤❤❤
❤🙏
Je g na f wanaweza wakaoana au f na t
Naomba sifa za heruf D
🙏🙌
Mimi ni s mmewangu a tunagombana sana aniamini atakidogo
Mjomba mm naitwa Athumani. Nina miaka 27 nasumbukiwa sana na hofu na naumwa ugonjwa usojulikana najiona mm ila niki enda hospital hawa oni nacho umwa
Upate madungwa itaidia au je utakua sawa na ujelewe kua changamoto tu hizo zinapita jiamini
Mimi sielewi nyota yangu jina langu ni juliana kwenye tarehe ya kuzaliwa nikihesabu inakuja namba 9 nashindwa kuelewa ni nyota gani ninayo
Inategemea wanakuitaje. Wanakuita Julia au Ana? Kama wanakuita Juliana kwa kutamka wewe ni J
Nataka G inamaanisha nini
Nakuelewa
Zafalan nini kiongoz
Rangi zinazotumika kuchorea makombe
Nenda maduka ya dawa asili ukimwambia tu naomba wino wa zafarani nyekundu au njano inauzwa
Assalam aleykum kaka Ally ....kwa majina naitwa Amina.....nyota ya ni ya punda .....pete yanifaa ama kito kipi chanifaa kuvaa
Ipo hapo tazama au njoo a Whatsapp
Mm kuna mwanamke nampenda sana anaitwa natasha na herufi ya jina langu ni y vipi nitampata ?
Je me
Mm naitwa Vero
Jota yang ni nn
Mwalimu ipo heruf gn
INA badilika inaingia kwenye E na L na T na chache M
🙏🙏
Mimi khalid nyotayanu
Herufi ya n inaendana naherufi gani
Kaka umenigusa ninakovu mkononi tokea nilipate utotoni nimenusulika kufa kwenye ajali ya gari nikiwa naendesha nikitokea bukoba uso kwa uso gali raiti ofu nakira ninachofanya nibule kabisa nachukiwa bira sababu nifanyeje kaka
Kwamajina naitwa Shabani
Mizani herufi ipi?
G S
Je mm naomba kuliza jina langu ni mwende Iko kwa punda ama vp kaka
Mwende inaitaji uchunguzi kwanza inaweza kua N lakini nitafute WhatsApp tuifanyie uchunguzi
@@allykk1459 nisawa kaka
Nijibu apa kaka kwasababu what's up imekataa kaka nijibu nko nyota punda ama vp plz🙏
Ongera San mkuu umenipa sili ambayo , niwah kujiuliza 👏👏👏mungu akubarki
Tanaelewa some lakini wenye erufi mwa mwe mwi sizani kama ujafafanua vizuri ,au tarehe za kuzaliwa na mwezi zinafaa
Nimekuelewa kabisa
Habar docter