Mungu akusaidie sanaa maan naona unataka kumgombanisha mtumishi Amieli na watu wengne Tena ushindwe katika Jina la yesu muache mtumishi wetu wew ni muogo mkubwa Tena usirudie tenaa muongop mungu
Anacho sema davy sio kweli,Hawafi nabii, Amiel Katekela alitoka,wengi sana wametoka kina cassian,wako hai hadi leo.hapo kidogo sijakuelewa,acha Yesu Kristo atusaidie.
Wacheni michongo zenu za uchochezi kumchongasha katekela na watu ': katekela ameongea tu hakumtaja mtu jina wee unaye unga unga picha zako tumejua ni mbinu zako 'lakini haitfaulu ktk jina la yesu kristo wa nazareti
Nikwamba Mtumishi Alie Wakweli Hawezi Kubadilishwa Na Video Hizo Zinazowekwa TH-cam Nikwamba Mtumishi Kati Yahawa Unaowaona Hapa Mkweli Mingu Anamjuwa Asiekua Mkweli Mungu Anamjuwa Hakuna Anayeweza Kualibu Jina La Mtumishi Wa Mungu Kweli Kipitia Njia Hii Anaechafuka Ni Mtumishi Mhongotu
Njinsi ya kuwatambua manabii wengi wa uongo,Yesu alisema mtawatambua kwa matunda yao, matunda yapi? Mafundisho ya mwilini vitu vya duniani,mali vitu vya kimwili,maji,chumvi,udongo,nywele nk. Aliyetumwa na Mungu hunena habari njema ya ufalme wa mbinguni Neno,Yohana 3:31-36. Yohana 8:43-47.
Ushuhuda wako, unaonyesha kwa upande fulani,bado unataka hao manabii wa uongo, ambao ulishiriki kuwatengeneza kwenye hivyo vilinge, waendelee kuwapotosha watanzania., Je! Kwa nini unashindwa kuwakabili,ikiwa hivi sasa umeokoka? Si "uliwatengeneza" ulipokuwa kwa Lusifa? Ikiwa umeweza kutoka kwenye kilinge cha Lusifa, hawa manabii uliokuwa nao , vipi wakushinde !? Maana,kwa ushuhuda wa aina hii, ni kama vile unahitaji msaada wetu katika kupambana na hao wachungaji/ manabii wa uongo uliowatengeneza., Halafu umesema, mlipomaliza kikao ,mkasema ; alhamndulilah , labilaalamina, Allahuakbar (niwie radhi kwa maandishi yasiyo sahihi)., Inamaana Lusifa ni muislamu!? Au Lusifa ni Allah!? Je! Sheikh Mwaipopo anajua hili?! Na hili la bandari, hamkulitengeneza huko kwenye vilinge? Halafu naomba hao manabii wa uongo uliowatengeneza,wakikuletea hizo pesa, waambie wakurushie kwenye M-pesa (nitakupa namba yangu,ukijibu hayo maswali).
Tumuulize Roho Mtakatifu ndiye atuelezee nani ni wake nanani siyo wakwake? Lakini tukisema tusikilize Kila mtu huwezi kujua nani katumwa kuwadhoofisha watumishi wa kweli nanani katumwa kuinua ufalme wa Mungu.
Roho mtakatifu husema kupitia watu pia lakini wewe kuelewa kuwa Ni Roho mtakatifu lazima uwe na Roho mtakatifu na nguvu zake, vinginevyo utabaki unachanganyikiwa na kubaki njia panda
Nashangaa anayeongea ni mch Amiel katekela na hata maneno Yako haiyendani na maongeo yake kama mnania ya kumchochea hamtaweza kwa Jina LA yesu mshinwe.
Soma vizuri biblia na ufundishe watu neno sio uongo,sie tunajua Nani nabiii wa uongo,Saba mungu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.tafuta maarifa yakumjua mungu omba hayo malango yaharibiwe sababu Mungu alisema ombeni chochote kupitia mwanang nitatenda,we unataja tu ili iweje Bora unyamaze
Kakobe na gwajima ni watumishi wa Mungu aliehai mapungufu yapo maana hakuna aliehai mwenyehaki lakini acheni kuwachafua watu wa Mungu katekela anasema kweli lakini hapa hajawataja Hawa
Endelea kutaja si kwa majina bali kwa wapi wanakohudumu kama ulivyosema Arusha imetosha. Tueleze wale wa Dar kwa kutaja maeneo walipo bila kutaja majina. Kwa kukaa kimya Mungu atakulaumu kwasababu utaacha watu waendelee kwenda huko. Tafadhali tutajie maeneo tu sisi tutaunganisha dots au kujiongeza tutajua. Utakuwa umetusaidia sana tutoke kwenye maangamivu.
Huyu nabbing mkuu sio na nabii wa kweli ni mmoja wa manabii wa uhongo ndugu sasa hata wewe mwenye kuleta huu ujumbe sikuamini lazima uwe mmoja wao wachenni kupigia wanna ramri
Watu wenyewe tuwe makini tusipende kuambiwa na mtu huyu siye huyu ndiye kwani yeye ni nani anatuambia?wakati Yesu alikwisha tuambia kuwa wakat ukifika tutawatambua kwa ishara alizotueleza na tunazijua hivyo tuwe makini na watu hawa
@@lucykapinga369 hakuna kujisifia wakati inajulikana itakua faida gani kumpamba wakati anateketea ukiona kitu kinasemwa na uko rohoni km unaguswa ingia maombi ya ndani uone nini utaona na ikawa baraka kuokoa waliotekwa
Mchungaji Katekela alisema toka alipotoka,hajui kama aliendelea kumtumikia Mungu katika kweli. Tusikariri utumishi wa mtu,watu hubadilika,, Bwana Yesu tu habadiliki kamwe,yeye ni Mtakatifu milele yote.
Mungu akusaidie sanaa maan naona unataka kumgombanisha mtumishi Amieli na watu wengne Tena ushindwe katika Jina la yesu muache mtumishi wetu wew ni muogo mkubwa Tena usirudie tenaa muongop mungu
Mtumishi katekela Mungu akulinde saana vita sio vyako ni vya Mungu mwachie Yesu akupiganie
Picha alizoweka hazina uhusiano na anchosema ingawa miongoni mwao wapo wa uongo
Wewe hujifunzi na kuokoka wakala wa shetani na hayo unafikiri utumishi wa Mungu ,kuzimu okoka.Amen
Fanya kazi ya Mungu kufa ni faida kuishi ni krsto
Anacho sema davy sio kweli,Hawafi nabii, Amiel Katekela alitoka,wengi sana wametoka kina cassian,wako hai hadi leo.hapo kidogo sijakuelewa,acha Yesu Kristo atusaidie.
Sauti ni KATE KELA, picha ni Isaya Benson Nabii na Mwalimu wa uongo wakala na mjumbe ktk timu ya manabii wa uongo wa Arusha.Amen
Mwenye anasimulia ni mchungaji Amiel Katekela
Ubarikiwe Sana mtumishi nakufata kutoka Congo
Karibu Keribu Kwetu Tanzania
Ubarikiwe
Muonyeshe sura anayeongea acha kuigiza tunamfahamu mtumiahi wa Mungu anayeongea
Anaitwa aminiel katekela
Wacheni michongo zenu za uchochezi kumchongasha katekela na watu ': katekela ameongea tu hakumtaja mtu jina wee unaye unga unga picha zako tumejua ni mbinu zako 'lakini haitfaulu ktk jina la yesu kristo wa nazareti
Watumishi wa shetani wanatumiwa ili kuzuia vurugu, washindwa kwa Jina la YESU.
Ongera sana mtumishi wa mungu ila wataje majina tuu na mungu wa mbinguni akubaliki na damu ya yesu ikufunike
Mmm huyo naye tu ni free mason
Nikwamba Mtumishi Alie Wakweli Hawezi Kubadilishwa Na Video Hizo Zinazowekwa TH-cam Nikwamba Mtumishi Kati Yahawa Unaowaona Hapa Mkweli Mingu Anamjuwa Asiekua Mkweli Mungu Anamjuwa Hakuna Anayeweza Kualibu Jina La Mtumishi Wa Mungu Kweli Kipitia Njia Hii Anaechafuka Ni Mtumishi Mhongotu
Njinsi ya kuwatambua manabii wengi wa uongo,Yesu alisema mtawatambua kwa matunda yao, matunda yapi? Mafundisho ya mwilini vitu vya duniani,mali vitu vya kimwili,maji,chumvi,udongo,nywele nk. Aliyetumwa na Mungu hunena habari njema ya ufalme wa mbinguni Neno,Yohana 3:31-36. Yohana 8:43-47.
Gwajima ni Mtumishi wa Mungu, wewe umechanganya katekela mwenyewe anajua
Jamani nilimfata Mch katekela ila yeye hakutaka kuwataja kwasababu yakulinda heshima YaMungu na akasema wenda rabda yawezekana wakaokoka rakini hakutaja mnabii hata mmoja,sasa huyo naye ninini?mbona anaweka picha
Jamani mbona kama haongei mwenyewe au macho yangu nisaidieni
Kweli sio yeye anae ongea ,anae ongea ni pastor katekela alie kua mchawi sai anaubiri
Huyu mnyakyusa tapeli kweli kweli, hii si sauti ya mch. Emiel Katekela?
Ushuhuda wako, unaonyesha kwa upande fulani,bado unataka hao manabii wa uongo, ambao ulishiriki kuwatengeneza kwenye hivyo vilinge, waendelee kuwapotosha watanzania.,
Je! Kwa nini unashindwa kuwakabili,ikiwa hivi sasa umeokoka? Si "uliwatengeneza" ulipokuwa kwa Lusifa?
Ikiwa umeweza kutoka kwenye kilinge cha Lusifa, hawa manabii uliokuwa nao , vipi wakushinde !? Maana,kwa ushuhuda wa aina hii, ni kama vile unahitaji msaada wetu katika kupambana na hao wachungaji/ manabii wa uongo uliowatengeneza.,
Halafu umesema, mlipomaliza kikao ,mkasema ; alhamndulilah , labilaalamina, Allahuakbar (niwie radhi kwa maandishi yasiyo sahihi)., Inamaana Lusifa ni muislamu!? Au Lusifa ni Allah!?
Je! Sheikh Mwaipopo anajua hili?!
Na hili la bandari, hamkulitengeneza huko kwenye vilinge?
Halafu naomba hao manabii wa uongo uliowatengeneza,wakikuletea hizo pesa, waambie wakurushie kwenye M-pesa (nitakupa namba yangu,ukijibu hayo maswali).
Naomba no ya mtumishi katakire
Picha ni ya MWALIMU WA uongo anayeitwa BENISON MWAKILEMBE MSEMAJI NI MCHUNGAJI A . KATEKETEKELA SASA IMEKUWAJE HAPA ?
Amina! Amina! Mchungaji Asante sana
Kwanini picha na sauti haiendani huyo ni amiel katekela wacheni cha ovyo!
Kwanini picha na sauti haiendani huyo ni amiel katekela wacheni cha ovyo!
huyu siye@@janewanjiru9062
Muongo we we unachafua watumishi wa Mungu tu. Labda una Mungu wako anaekufahamisha uongo ila sio Mungu huyu ninaemjua.
Apana, sio lazima afe wacha uongo, kuna wengi waliokombolewa, na wapo
Mtu mzima kufanya mambo ya kitoto hiyo inamaanisha nini?
Barikiwa
Wew mwenyewe kiazi😂😂
Tumuulize Roho Mtakatifu ndiye atuelezee nani ni wake nanani siyo wakwake? Lakini tukisema tusikilize Kila mtu huwezi kujua nani katumwa kuwadhoofisha watumishi wa kweli nanani katumwa kuinua ufalme wa Mungu.
Roho mtakatifu husema kupitia watu pia lakini wewe kuelewa kuwa Ni Roho mtakatifu lazima uwe na Roho mtakatifu na nguvu zake, vinginevyo utabaki unachanganyikiwa na kubaki njia panda
Mbona sio yeye anaongea mdomo haviendani na maneno
Aaa siamini huo nao ni uongo
Sauti inayosikika ni ya Mch Amiel Katekela.
Sijui kwa nini wameweka picha tofauti
@@AnithaMgeni à
Sauti ni ya Amiel Katekela lakini picha ni tofauti!!!!
Wafichue mtumishi wa MUNGU maana wanatikisa sana hp tz
Amen
Nashangaa anayeongea ni mch Amiel katekela na hata maneno Yako haiyendani na maongeo yake kama mnania ya kumchochea hamtaweza kwa Jina LA yesu mshinwe.
Sasa huyu anamaana gani kutumia sauti ya mch.Aminiel katekera
Soma vizuri biblia na ufundishe watu neno sio uongo,sie tunajua Nani nabiii wa uongo,Saba mungu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.tafuta maarifa yakumjua mungu omba hayo malango yaharibiwe sababu Mungu alisema ombeni chochote kupitia mwanang nitatenda,we unataja tu ili iweje Bora unyamaze
We huo ni utaira unawezaje kuweka picha ya gwajima kwenye tetesi hyoo hizoo za mana bii wa uongo
Kama umeamuwa kuokoka wataje hawo manabi usiogope mana watu wanazidi kupotea
Kakobe na gwajima ni watumishi wa Mungu aliehai mapungufu yapo maana hakuna aliehai mwenyehaki lakini acheni kuwachafua watu wa Mungu katekela anasema kweli lakini hapa hajawataja Hawa
Jamani njoo na iringa makambako mtumishi utoe sili hizo
Endelea kutaja si kwa majina bali kwa wapi wanakohudumu kama ulivyosema Arusha imetosha. Tueleze wale wa Dar kwa kutaja maeneo walipo bila kutaja majina. Kwa kukaa kimya Mungu atakulaumu kwasababu utaacha watu waendelee kwenda huko. Tafadhali tutajie maeneo tu sisi tutaunganisha dots au kujiongeza tutajua. Utakuwa umetusaidia sana tutoke kwenye maangamivu.
Mbona sauti ya katekela na anayeonekana ni mwingine?
Wewe. Ni. Mwongo. Mkubwa
Sana. Hakuna. Wachungaji. Waongo?
Uomchongo. Tu. We. Aduvantst. Msabato. Wewe. Mchawi. Mkubwa.
Huyo wa Arusha tushamjua😅😅
Wewe mwenyewe unaengea na ulipo wote ni manabii wa uongo msichoche akili zetu
Wewe wacha hizo, mwenye kushuhudia(sauti) si wewe. Sauti ni ya mtumishi Amiell Katekela
Wataje vinginevyo hatutaamini kwa kuwa sisi ni binaadamu wenye udhaifu, 😮
isaya benson ni chawa wa nabii mkuu tapeli huyu
Sauti na huyo anaeongea vitu viwili tofauti cc sio wapumbavu!
mnatafuta hela kwa kudanganya watu
Uliye weka hii video, unatafuta laana. Sauti ni ya Mch Katekela, Sura ya mtu uliyeka hapo kwenye kwenye video haina mahusiano na Mch Katekela.
Ni kweli
basilica sana
Ndio maana hamuaminiki saut yamtu mwingine anaeonekana mwingine
Midomo na matamshi yko si sawa, hivyo ni uongo,acha uchochezi
Hii ni sauti ya Katekela picha mtu mwingine
Huyu nabbing mkuu sio na nabii wa kweli ni mmoja wa manabii wa uhongo ndugu sasa hata wewe mwenye kuleta huu ujumbe sikuamini lazima uwe mmoja wao wachenni kupigia wanna ramri
zindukeni si kila mtu anakwambiyeni nabii mnamkubali
Sasa tutafanyaje? Mtumishi maana hatuelewi chochote tupo gizani ndugu
Ni afadhali ukutane na dubu aliyenyanywa watoto wake kuliko kukutana na Benson katika upumbavu wake [Mithali 17:13]
Sauti hii so ya kwake! Ni mch katekela
Hio andiko umenukuu ni uongo hakuna jina Benson Kwa andiko hilo, Bibilia usiongeze maneno zako
@@cynthy282
Nimeattach andiko na Benson,maana tunaishi kwa neno.
Au hutaki akemewe?
Acha uwongo wako jina la YESU limekuwa lakutafuta kiki linakosa uhalisia
Wataje tu unaogopa nini?
Sasa kwanini uweke sauti ya mtu mwingine. Huyo ni mchg.Amiel Katekela
We kaongea pumba maana alisema kuwa Gwajima ni mtumishi wa mungu.
Sasa ndo useme kombyuta??
wewe mwenyewe mongo mwskilembwe mbwa yakayaka wrwe
Hio sauti niya mch katekela???
Vichekesg 26:56
Kaz
Picha ndo zimeonesha Uongo wake huyu achanen naye .Ni kweli manabii wa Uongo wapo lakini baadhi ya alio waonesha sio..
Kuusu picha ni mtu kaiba sauti kajiwekea picha ili kuchonganisha tuu
Sauti ya Mch Anieli Katekela
Kama papa fransis
Siuseme kwanini unawafunikia Bado watae delea
Sauti ya Katekela
Mpuuzi mkubwa,tapeli weee
Wale ni nyau tu😢
Wewe bado ni wa kuzimu tu acha kukufuru kazi ya Roho Mtakatifu
Wewe una mpango wa kuwavuruga watu ndo agenda yako
Mnafanya editing za kuchanganya watu
Kabisa hii ni editing wameiga sauti ya mch Amiel ata ukimtazama vizuri anavyoongea maneno yanapisha
Watu wenyewe tuwe makini tusipende kuambiwa na mtu huyu siye huyu ndiye kwani yeye ni nani anatuambia?wakati Yesu alikwisha tuambia kuwa wakat ukifika tutawatambua kwa ishara alizotueleza na tunazijua hivyo tuwe makini na watu hawa
Sasa hakuwataja huku anatuonyesha picha za baadhi ya manabii je tueleweje hapa?
@@danielmartinKiondo-dq4jz Nashangaa nikama wametumwa.....hii tabia yakuongea watumishi wa kweli sio vizuri ni tabia mbaya sana
Nini tafsiri ya hayo majina/maneno hayo
Kama wako waongo, ni lazima wa ukweli pia wapo, utuwaambie hao ni kina nani?
hizi picha zina maana gani?
Wengine kama Gwagima ni mtumishi was Mungu Katekela alisema kusimu humwogopa sana
Hiyo ilikuwa mwaka 2013 ndio wakati Gwajima alikua na Mungu kweli ila kuanzia 2016 mmmh ombeni sana mtajua mengi
@@pericykiko6198 mpaka Sasa gwajima Ni motroo pia yyko vizur
@@lucykapinga369 hakuna kujisifia wakati inajulikana itakua faida gani kumpamba wakati anateketea ukiona kitu kinasemwa na uko rohoni km unaguswa ingia maombi ya ndani uone nini utaona na ikawa baraka kuokoa waliotekwa
@@pericykiko6198 kweli kabisa tatizo hawana mda wakumsihi mungu nakusoma neno
Uongo
Na mbona umeweka hizo picha za watumishi maana yake ni nini mnatuchanganya
Wewe ni muongo!!
Hii sio injli ya Mungu ni mambo yasiyotakiwa kufundisha mambo ambayo hayapo kwa mitume na manabii.
Kaza kamba usirudi watakumaliza
uongo tu huu .
huyu ni Muongo kabisa
izi picha zinazo slide zinahusiana vip na ushuhuda wako ?zinanipa mashaka pia inawezekana unatumwa kuchafua ukristo
Acha kupaniki mtumishi wa Mungu Amiel katekela yupo, mtafute uongee nae macho kwa macho atakufumbua macho
Kwa hiyo hakuna kunena kwa lugha???
Sauti ya mwingine video ya mwingine
Mbwa kala mbwa !
Dhuu Noma
Mbona Sauti ya katekela halafu mtu mwingine
Kuzimu ? Muda wowote kudanganyana tu 😂😅 ndiyo.malafiri yalivyo ! Very very stupid
Ubarikiwe😊😊😊
Anaongea Amiel Katekela sura ya mtu mwingine
Hizo nywele ni zipi
Nywele bandia zote
Changamo🤪🤪🤪🤪 tutafika mbinguni kwel?
Umeeumbuka Gwajima alisema n mtumishi wa Mungu
anaye ongea katekela lakn picha kaweka mwingne kutafuta viewer's
Mchungaji Katekela alisema toka alipotoka,hajui kama aliendelea kumtumikia Mungu katika kweli. Tusikariri utumishi wa mtu,watu hubadilika,, Bwana Yesu tu habadiliki kamwe,yeye ni Mtakatifu milele yote.
Unaongea Kama umekula makande mdomon umetengeneza hiz story kwa kugogle wewe unatafuta umaarufu labda weww ni pepo mwenyewe