Kwa kweli huyu mtumishi siachi kusikiza ushuhuda wake maana kupitia yeye nimeinuliwa kiroho sana ! Hii channel na wahusika wake huewaga nawaombea saana maana najua shetani hafurahii kile mnafanya hapa ila kwa uweza WA Mungu lazima injili iendelee
Kuzimu wanaongea kwa kiarabu? Asante Mtumishi kwa mahubiri yako umenielimisha mengi ambavyo sikuyajua kabla Bwana aendelee kukubariki uendelezekazi zake🙏🙏
Naona hapo wameondoa sehemu ya ushuhuda wa nini kilitokea baada ya mchungaji kusema huna mamlaka shetani, .... hapo ilipoanza "yalitokea majitu......."
Watukama hawa kabra hawaja ruhusiwa kufanya kazi hii ya kushuhudia ilitakiwa wakae chini ya darasa kwa muda wa kutosha walishwe chakula vizuri kwani watukama hawa miaka ya nyuma waliibuka wengi lakini sasahivi hawasikikitena.Kwani tunaushahidi wa ki-Biblia kuwa hatakama mtu angetoka kuzimu ....watu siyo rahisi kuamini injili,mimi binafsi siyorahisi kusisimka na injili ya kuzimu bali mimi ninajengwa,kuimarishwa,kutakaswa,kuponywa,kuoshwa,kuhuishwa nk.kwa NENO LA KRISTO YESU NA NGUVU YA ROHO MTAKATIFU WA KWELI.Siyousanii huu unaoendelea hapa inchini wakristo na watumishi iweni makini sana nahaya maonyesho mnayoyafanya sasahivi.
hulazimishwi kuamini ndugu,we amini cha kwako ila ujue siku ukifa ndicho kitakachokuokoa na ile hukumu ya milele,kama huu ushuhuda wa Amiel unadhan ni uongo sawa acha wengine tuendelee kumsikiliza
Amen amen unatukosha moyo.iposiku kanumba yesu atamurudisha duniani.
Ubarkiwe mtumishi wa Mungu 🤝🤝
Amina mtumishi hizi stly ambazo zimeingia makanisani watu wanajua wana mtukuza Mungu kumbe shetani. YESU tusaidie
yaani ni shida
Mbona hii inaogopesha sana (Yesu atusaidie)
wokovu n jambo zuri sana bt wa2mishi wa uongo waabudu shetan n wengi sana😭😭😭
Kwa kweli huyu mtumishi siachi kusikiza ushuhuda wake maana kupitia yeye nimeinuliwa kiroho sana ! Hii channel na wahusika wake huewaga nawaombea saana maana najua shetani hafurahii kile mnafanya hapa ila kwa uweza WA Mungu lazima injili iendelee
Kwa ushuhuda wako mchungaji kwa kweli inanipaimani kubwa Sana
Ubarikiwe sana
ubarikiwe sana Yesu aendelee kukutumia upendavyo
Huyu kijana aliyefanya amiel kuokoka siku moja mchungaji amtafute aki
Kuzimu wanaongea kwa kiarabu? Asante Mtumishi kwa mahubiri yako umenielimisha mengi ambavyo sikuyajua kabla Bwana aendelee kukubariki uendelezekazi zake🙏🙏
Amen mchungaji
Barikiwa Sana mtumishi
God is good all the time and that is his nature 🙌
AMINA SAA
AMINAAAA
" mchungaji ananibarikia sana
Naona hapo wameondoa sehemu ya ushuhuda wa nini kilitokea baada ya mchungaji kusema huna mamlaka shetani, .... hapo ilipoanza "yalitokea majitu......."
kweli kabisa tusiifatishe namna ya dunia hii
Watakatifu wa Bwana wameketi wanapendeza wakisikiza kutoka kwa Bwana
Shuhuda nyingi zinapatikana kwenye chanel ya 'promover tv' hapahapa youtube.
hapo kwenye dakika ya 6.01 wamekata ....
Hawa wengine wasumbua si wafunge midomo wao
Amen 🙏🙏
Amen
Watukama hawa kabra hawaja ruhusiwa kufanya kazi hii ya kushuhudia ilitakiwa wakae chini ya darasa kwa muda wa kutosha walishwe chakula vizuri kwani watukama hawa miaka ya nyuma waliibuka wengi lakini sasahivi hawasikikitena.Kwani tunaushahidi wa ki-Biblia kuwa hatakama mtu angetoka kuzimu ....watu siyo rahisi kuamini injili,mimi binafsi siyorahisi kusisimka na injili ya kuzimu bali mimi ninajengwa,kuimarishwa,kutakaswa,kuponywa,kuoshwa,kuhuishwa nk.kwa NENO LA KRISTO YESU NA NGUVU YA ROHO MTAKATIFU WA KWELI.Siyousanii huu unaoendelea hapa inchini wakristo na watumishi iweni makini sana nahaya maonyesho mnayoyafanya sasahivi.
Kwenda hukooo
unamatatizo wewe
Ni atari sana
mungu atusaidie
1
Usidanganye watu hayo maigizo
Miaka yoote anaigiza tu??pole saana
Chifu wa wachawi tulia
Tuache sisi tunaoamini tuamini
hulazimishwi kuamini ndugu,we amini cha kwako ila ujue siku ukifa ndicho kitakachokuokoa na ile hukumu ya milele,kama huu ushuhuda wa Amiel unadhan ni uongo sawa acha wengine tuendelee kumsikiliza
@@trophywilson7211😂ameisha
Kafiri mkubwa wewe yesu ana chewo cha mtume soma yuhana 3/17 jitu zima unadanganya wafuwasi muongoo huyo musi kubli kudanganwa
Pole sana ndugu. Yaani bado huelewi Kweli? Au ni walewale
@@annambezi6226 hahahaha anaelewa vizur huyo anajisahaulisha wanajua shughuli la Yesu hawaachagi Salama wakiingia kwenye anga zake
Umeguzwa kafiri ni wewe ushidwe kwa jina la yesu
Hata kuandika haujui et yuhana
Hamza usicheze na yesu utakufa Huyu yesu ni kiboko ya wachawi ni mungu asie linganishwa na yeyote hivyo nyamaza
Amen
Aminaaaa