Mungu hashindwi na chochote ,kinyonge ndicho chenye nguvu,fahari za dunia tutaziacha,bila kuiponya roho sio mwili Mana mbinguni Kuna vzr kuliko vya duniani,mwenye masikio na asikie,Mungu anaongea na watu kupitia watumishi wake wa kweli,Mungu azidi kukulinda na kuokoa nafsi za watoto wake watiifu nakukubali Sana Sana ,huto kufa kwa Muda wa wanadamu Bali kwa muda aupendao Alie kupa pumzi ya uhai.🤝🙏
Mungu YESU Kama mnavyomwita atakaporudi watu hawatamuona kwa sababu wakimuona watakufa kwa sababu wanadhambi hapo ndio utajua hujui, na hao aliokutana nao mwanzo huyu Mungu Yesu mnayemwita aliishi nao vipi hawakuonana. Au mnamzungumzia wa Tongaleni.
YESU,MUNGU ROHO MTAKATIFU WOTE PAMOJA NA MALAIKA WAKO HAPO WAMEKUZUNGUKA!VITA YETU SI YA DAMU NA NYAMA BALI YA ROHO NA MAJESHI YA mapepo wabaya!YESU NDIYE NA MWISHO TUNAUJUA,jehanamu ipo na MBINGUNI IPO. Mungu atuokoe!hapendi Kifo cha mwenye dhambi. Ubarikiwe sana mtumishi Paschal!
Keki ya upako..mafuta ya upako..hivyo vitu vyote nivya kishetani ,,,watu wametekwa ufahamu na nguvu za giza....uponyani wa Mungu unaweza pokea hata kwa kusoma Neno la Mungu sio mafuta wala keki ya upako..nguvu ya Mungu haipitii kwenye vyakula....waambie ukweli usipepesi macho..safi sana
Mpaka machozi yamenitoka jinsi mtumishi wake anavyo pita katika ukweli wa biblia ili watu tuijue kweli! Wapendwa , tusipo yashika haya, amini tutadaiwa mbele za MUNGU , ubarikiwe sana mtumishi
Wakati wa sasa MUNGU anachekecha kanisa lake ili kupata mchele safi yaani watu safi. Cassian endelea kupiga kelele usiache, paza sauti kama tarumbeta, maana ukiacha utadaiwa.
Mtumikie Mungu na imani ni muhimu sana .jua kila mtu amepewa kipawa chake na imani inafanya matokeo unayoyaona kwa imani hata kivuli kinaponya . Wewe sio Mungu hubiri neno ulilojaliwa kulijua. Mungu anajua uongo na ukweli . Usihukumu au kukaa nafasi ya Mungu .
Cassian Mungu Akulinde. Nilifanya kazi na GD nikatofautiana naye kwa misingi ya kimungu. Tuendelee kumuombea. Adui amemsahaulisha jinsi safari yake ilivokuwa. Alianza vizuri tu. Mungu Amrehemu.
Ukiwa mkristo unayeamini neno la Mungu, usifuate miujiza. Jiamini kwa nafasi yako. Muombe Mungu akuokoe kwa changamoto unazopitia kwa maisha yako. Naye atakutetea.
Kila mtu anapaswa kuomba pindi unapopata shida Mungu anasikiliza maombi ya Kila mwanadam sio kwamba Kuna baadhi ya wanaoponya hata wewe ukiomba Kwa uaminifu Mungu hataacha kukusikiliza sema tu watu wengi Hawana ukaribu na Mungu hata akipata shida anataka aombewe
Auwezifanya vitu vyenye mwamposa anafaaka atutaacha kuomba mungu wamwamposa kamwe dunia anamungu mkbwasana mungu wamwamposa anatenda mungu wamwamposa anaponywa mungu wamwamposa anajibu mahitaji sasa sisi mutatuchukia bure kwasababu tunaamini mungu wamwamposa aishimilele tuna mpenda mwamposa mungu amulide amuepushe na nyinyi watu wakumuongea vibaya siovizuri kilamutu abakie na himaniyake na maleziake na mwamini mungu wamwamposa sana
Mk 16:17-18 SUV Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
Achakuhukumu watumishi wamungu kkangu mungu apendi kuzungumuziawatumishiwak kwanini munapenda ongea maisha ya wenzio sisitunaamini mungu wamwamposa kwasababu tunaona mukonowake nahatutachoka kwenda kawe
Cassian jihadhari sana mdomo wako,unafanyia nini Yesu sasa,funga mdomo na ufanye kazi ile unaona ni sawa kwa Mungu acha kumsaidia Mungu,unatafuta pesa,na itakutesa.unachuja nini Mungu ni mpana sana Cassian fanya yako acha vita.
Usiogope anaye ua mwili peke yake bali muogope anaye ua mwli na roho simameni pamoja na mtumishi wa Mungu Katekela muitetee injili ya Bwana mbarikiwe sana
Mtumishi naomba kujua kwaio walio muona Yesu wakati Yesu yupo duniani ilikuwaje... nawao si walitakiwa wafe pale pale maana ni walimuona Mungu au...nimekuelewa vibaya, pia umenichanganya umesema Musa hakuwa na dhambi alafu pia umesema Mungu alimwambia Musa kuwa hataweza kumuona maana yeye anadhambi
Usipime kukanyagisha miguuu pale ao maali ali kuanda riya. Hakuna zaidi yayale anasikiya usiku na mcana ukiubiriya. Apo utakuwa una muasi Mungu. Kama anataka kutubu akukutanye kwenye weye uri andaaa Asante
Hongera Sanaa ukweli naungana na wew kusema geordavid sio nabii wa kwelii, kwanza anajisifiu Sanaa hadi anadiriki kusema Mungu wa jeodevid ndio amekuponya na sio yesu, kumbe hyu jamaa ana Mungu wake anayemjua yey mwenyewe
mbona mnasema Mungu wa Yakobo... elewa mantiki.. huwezi kula kwenu ukashukuru kwa jirani.. ata wewe ukiomba jambo kibinafsi nalikatiki unahaki ya kusema Mungu wako ni mkuu..sidhani kama inamaana unayowaza
Nakuelewa sana,ni kweli muujuza wa MUNGU ni halisi,tatzo tumekuwa wavivu kuomba na kusoma neno,tunafikiri mbingu tutaiendea na miujiza,tumetekwa fahamu
Musa alikuwa na Dhambi pia umesahau alivyoua kule Misri!!kingine Musa alikuwa na hasira sana ni kwamba Mungu wetu ni upendo anatupenda Sanaaaaa ni kwa rehema na neema zake
Only one in spirit will understand this man of God 😢😢😢😢😢😢preach man of God 😢😢😢🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
God is with you don't fear anything
Exactly
Mungu hashindwi na chochote ,kinyonge ndicho chenye nguvu,fahari za dunia tutaziacha,bila kuiponya roho sio mwili Mana mbinguni Kuna vzr kuliko vya duniani,mwenye masikio na asikie,Mungu anaongea na watu kupitia watumishi wake wa kweli,Mungu azidi kukulinda na kuokoa nafsi za watoto wake watiifu nakukubali Sana Sana ,huto kufa kwa Muda wa wanadamu Bali kwa muda aupendao Alie kupa pumzi ya uhai.🤝🙏
MUNGU wetu tunamwombea mtumishi wako huyu pamoja na wengine wa KWELI uwalinde dhidi ya manabii wa uongo.Amen
Kweli kila Siku inaumiza, ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Mungu anawaona hawa manabii
Mungu akubaliki baba huenda kuna watu wanaelewa hiki unachokifanya
Amen barikiwa sana mtumishi, huo ndio ukweli,nafasi yanehema bado iko aje atubu Mungu anapenda 🇰🇪🇰🇪.
Usiogoke Yesu Kristo yupo na wenye wanamwamini, tuko karibu kwenda nyumbani , sema ukweri Mungu atakubariki, atakupa taji rako.
Amen watu saiz wanatok kweny makanis yao kis kuskia miujiz tu wanatak kuombew baada y kuomb mung atusaidie
Heri waaminio kweli maana ufalme wa mbingu ni wao mungu akubariki
Mungu YESU Kama mnavyomwita atakaporudi watu hawatamuona kwa sababu wakimuona watakufa kwa sababu wanadhambi hapo ndio utajua hujui, na hao aliokutana nao mwanzo huyu Mungu Yesu mnayemwita aliishi nao vipi hawakuonana.
Au mnamzungumzia wa Tongaleni.
YESU,MUNGU ROHO MTAKATIFU WOTE PAMOJA NA MALAIKA WAKO HAPO WAMEKUZUNGUKA!VITA YETU SI YA DAMU NA NYAMA BALI YA ROHO NA MAJESHI YA mapepo wabaya!YESU NDIYE NA MWISHO TUNAUJUA,jehanamu ipo na MBINGUNI IPO.
Mungu atuokoe!hapendi Kifo cha mwenye dhambi.
Ubarikiwe sana mtumishi Paschal!
Keki ya upako..mafuta ya upako..hivyo vitu vyote nivya kishetani ,,,watu wametekwa ufahamu na nguvu za giza....uponyani wa Mungu unaweza pokea hata kwa kusoma Neno la Mungu sio mafuta wala keki ya upako..nguvu ya Mungu haipitii kwenye vyakula....waambie ukweli usipepesi macho..safi sana
Mpaka machozi yamenitoka jinsi mtumishi wake anavyo pita katika ukweli wa biblia ili watu tuijue kweli! Wapendwa , tusipo yashika haya, amini tutadaiwa mbele za MUNGU , ubarikiwe sana mtumishi
Mungu atusaidie YESU yuko jirani mnoooo!Tudumu katika maombi peke yetu hatuwezi tuombeane wapendwa dunia imekwisha
Wakati wa sasa MUNGU anachekecha kanisa lake ili kupata mchele safi yaani watu safi. Cassian endelea kupiga kelele usiache, paza sauti kama tarumbeta, maana ukiacha utadaiwa.
Pole baba Cassian songa mbele upo ushindi 15:40 15
Akuna mutu mwenye ashaka ona mungu mwache kukua napotoshawatu mungu ni roho
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amen mtumishi wa mungu endelea kutuelemisha
Mtumikie Mungu na imani ni muhimu sana .jua kila mtu amepewa kipawa chake na imani inafanya matokeo unayoyaona kwa imani hata kivuli kinaponya . Wewe sio Mungu hubiri neno ulilojaliwa kulijua. Mungu anajua uongo na ukweli . Usihukumu au kukaa nafasi ya Mungu .
We're ndio muongo pia umepungukiwa mwanadamu utasubiri ziki kuu inakuja Maana munaamini manabii wauongo mtakanyahishwa mafuta nakulishwa mkate
@@StephanoChalesi-or5olamen
Cassian Mungu Akulinde. Nilifanya kazi na GD nikatofautiana naye kwa misingi ya kimungu. Tuendelee kumuombea. Adui amemsahaulisha jinsi safari yake ilivokuwa. Alianza vizuri tu. Mungu Amrehemu.
Hebu tusimulie kidogo
Amina mtumishi. Yani mpaka kieleweke. Nibora kumwaga damu kama wanyama kuliko kunyamaza ezekieli 3:17-20
Tumekalibia nyumbani, sema tena kwa sauti kuu tumekalibia nyumbani 💪
Amina Amina Sana mtumishi wa Mungu umesema ukweli
Aise rafiki yangu Cassian Niko nawe sambamba sema kweli Mungu akuteteee kabisaaaa
Tofauti ya manabii wengi wa uongo ni kutumia vitu vya mwilini, Na Nabii wa Mungu wa kweli anatumia Neno la MUNGU,.Yeremia 23:28-29.
Wewe ni kati ya watumishi ambawo Sina mashaka nawo hata kidogo hakika mungu anakutumia vema
God bless you man of God sasa watu tuombe sana MUNGU atupee roho mtakatifu atuoneshe ukweli
Ukiwa mkristo unayeamini neno la Mungu, usifuate miujiza. Jiamini kwa nafasi yako. Muombe Mungu akuokoe kwa changamoto unazopitia kwa maisha yako. Naye atakutetea.
Weglngine Mungu amewapa vipaji vya kuponya na SI Kila mtu anaponya so hata kama mkristo tunazidiana vipaji.
Kila mtu anapaswa kuomba pindi unapopata shida Mungu anasikiliza maombi ya Kila mwanadam sio kwamba Kuna baadhi ya wanaoponya hata wewe ukiomba Kwa uaminifu Mungu hataacha kukusikiliza sema tu watu wengi Hawana ukaribu na Mungu hata akipata shida anataka aombewe
Auwezifanya vitu vyenye mwamposa anafaaka atutaacha kuomba mungu wamwamposa kamwe dunia anamungu mkbwasana mungu wamwamposa anatenda mungu wamwamposa anaponywa mungu wamwamposa anajibu mahitaji sasa sisi mutatuchukia bure kwasababu tunaamini mungu wamwamposa aishimilele tuna mpenda mwamposa mungu amulide amuepushe na nyinyi watu wakumuongea vibaya siovizuri kilamutu abakie na himaniyake na maleziake na mwamini mungu wamwamposa sana
Amen mtumishi wa mungu, biblia inasema uwe mwaminifu mpaka kufa
Mimi nakukubali sana kwanza hakuna binadamu wa kumuona Mungu kwa dunia ya sqsa ukimuona Mungu lzm ufe
Nmeishi kufutilia mhubiri yako kwa mua Sasa wa mwaka n yote unayoyasrma n kweli na Mungu akubariki
Unasema kweli Mungu akupe nguvu.manabii wa uwongo wanadanganya watu sana.
Exactly Mtumishi wa MUNGU, mimi yalinikuta na watumishi wa mafuta , naelew unachokiongelea ,dunia imeisha niwakati wakusali kabisa tena kwa kulia sana
Amen,,,Mungu akubark sana
Mk 16:17-18 SUV
Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
Mpelekee Geodavie sumu anywe kama hatujamsahau
Achakuhukumu watumishi wamungu kkangu mungu apendi kuzungumuziawatumishiwak kwanini munapenda ongea maisha ya wenzio sisitunaamini mungu wamwamposa kwasababu tunaona mukonowake nahatutachoka kwenda kawe
Sasa kama yéyé haamini kama mungu iko siache kuwasengenya wezake huu jama ni mwivu wala sio mtumishi wangu huu
Mungu awasaidie maana naona teyale pepo limewakamata ndomana kweli linawaumiza.
mbona hatuon ukiombea watu watu wakipona ww kaz kuponda watumishi wenzio
Sema ukweli Hawa wote wanaokusengenya wamepofushwa ufahamu wao
Acha kumusifia mung wa mwamuposa unajua anamutumikua mung gan sif n za mung wa mbingn tu@@user-qf4ok3wl2x
Barikiwa mtumishi wa Yesu ni ndiye Mungu pekee Yohana 8:24
AMEN. Mungu wetu mwema Kila wakati 🙏
Mungu akushindie vita vyako
Hii ndio injili ya kweli MUNGU akubariki
Cassian jihadhari sana mdomo wako,unafanyia nini Yesu sasa,funga mdomo na ufanye kazi ile unaona ni sawa kwa Mungu acha kumsaidia Mungu,unatafuta pesa,na itakutesa.unachuja nini Mungu ni mpana sana Cassian fanya yako acha vita.
Mungu akusaidie mbaka mwisho
Usiogope anaye ua mwili peke yake bali muogope anaye ua mwli na roho simameni pamoja na mtumishi wa Mungu Katekela muitetee injili ya Bwana mbarikiwe sana
Amina sema baba ukweli
May God raise you up to another level
Nabarikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Casiani uko vizuri sana, ila suala la kuhubiri sokoni na mitaani ni agizo la Yesu mwenyewe
Luk21:16-23
Math22:9
Matendo17:17paulo alihubiri masokoni
kwekweli mungu akubari maana Mimi sijawai kuamini awa manabii wa uwongo mungu yupo pamoja na nami nimewatoa watu wengi sana kwa manabii wa uwongo
Mwandishi wa habari ukitoka hujaokoka hapo mmmh injiri ya uzima inaunguruma Mungu azidi kukutia mafuta ya kiroho mtumishi wa Mungu Pascal
❤
HAKIKA
Ataokoka ata kwa fimbo
Amina mtumish hawa wanagusa shida za watu na magonjwa ndio maana Wana kundi kubwa hasa wanawake ndio wengi Mungu tusaidie
Mtumishi naomba kujua kwaio walio muona Yesu wakati Yesu yupo duniani ilikuwaje... nawao si walitakiwa wafe pale pale maana ni walimuona Mungu au...nimekuelewa vibaya, pia umenichanganya umesema Musa hakuwa na dhambi alafu pia umesema Mungu alimwambia Musa kuwa hataweza kumuona maana yeye anadhambi
Be blessed Baba🙏🏾🙏🏾 , tunakusilizaa
Usipime kukanyagisha miguuu pale ao maali ali kuanda riya. Hakuna zaidi yayale anasikiya usiku na mcana ukiubiriya. Apo utakuwa una muasi Mungu. Kama anataka kutubu akukutanye kwenye weye uri andaaa
Asante
Mungu akiwekee sana wengi tuongoke Amen
❤Ameen mtumishi wew uko sahihi San Mungu akupiganie
Mungu akulinde usiku na mchana akufunike ulinzi thabiti shetani asikudhuru hata kidogo
barikiwa sana pastor 🙏🙏🙏
Hongera Sanaa ukweli naungana na wew kusema geordavid sio nabii wa kwelii, kwanza anajisifiu Sanaa hadi anadiriki kusema Mungu wa jeodevid ndio amekuponya na sio yesu, kumbe hyu jamaa ana Mungu wake anayemjua yey mwenyewe
mbona mnasema Mungu wa Yakobo... elewa mantiki.. huwezi kula kwenu ukashukuru kwa jirani.. ata wewe ukiomba jambo kibinafsi nalikatiki unahaki ya kusema Mungu wako ni mkuu..sidhani kama inamaana unayowaza
Umeona eee huwa anajisifu af et anaitagwa Baba nawaumini wake
Amen ubarikiwe.
Nakuelewa sana,ni kweli muujuza wa MUNGU ni halisi,tatzo tumekuwa wavivu kuomba na kusoma neno,tunafikiri mbingu tutaiendea na miujiza,tumetekwa fahamu
Jamani IPO kazi duniani,,, MUNGU nisaidie na nipe macho ya rohoni,,,,,,, barikiwa mtumishi wa BWANA 🎉
Hakika Kuna kitu ndani yako Mungu awe nawe
Amen be blesse man of God
Mungu akufunike akutunze uendelee kuihubul kweli ya mungu
Hongera kwa kutafuta ukweli Wa mungu nakuelewa sana baba Chungaji
Amen Man of GOD......
GO on, we bihind you Sir🖊️✌️
Call it a pure word of God,, I love it🙏🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Mungu Azidi Kuwafunuli aWatumishi WaMungu.NaMungu Awarinde.Mikononi Mwa Adui.
Musa alikuwa na Dhambi pia umesahau alivyoua kule Misri!!kingine Musa alikuwa na hasira sana ni kwamba Mungu wetu ni upendo anatupenda Sanaaaaa ni kwa rehema na neema zake
Mungu akulinde sana na kukupigania
Amen, ihubiri kweli, Mungu awe nawe
Haijalishi wanakupinga chapa injili babaangu
Ameen mtumishi usikate taama Mungu atakushindia
Hongera sana mtumishi MUNGU akubariki sana
Chapa injili ya kweli mtumishi, Mungu akubariki kufungua watu macho.
Mungu akulinde zaidi nakufatilia sana
Mtapata tabu Sana pia wewe ujui ukweli Ila juaribu kuwakamata watu
Mungu akutunze daima na atusaidie kuepuka moto wa jehanam
Nimeelewa mheshimiwa your true
Mungu azidi kukuinua
AMEN MAN OF GOD
Mungu akubariki na akutie nguvu
Hivi ndugu zake huyu Mungu yesu kama mnavyomwita waliozaliwa na bikira Maria walikufa ote
Hongera sana mtumishi....kweli kabisa
Paschal Cassian na katekela no vijana ambao wametumwa na mungu ph
Sema tupone maana Mungu is everything
Bwana akuhifadhi mpendwa wa Mungu
Amen barikiwa
Paschal you're very right, some who opposes will one day agree with you
Mungu akutie nguvu naakuepushie kila aina ya mitihani
Kwel kbs nakuelewa pascal
Sahihi kabisa Mtumishi wa Bwana
ingekuwa vyema kama wewe mwenye nguvu za Mungu uponye watu maana watu wanashida
uzima wa milele ni wa maana kuliko mwili wa kuisha
miujiza ni ya muda lakini ufalme wa Mungu ni wa milele
Naamini nimkristo kamili soma biblia utajua harafu muombe mungu akupe macho yarohon
Ubarikiwe mtumishi
Usiogope Mungu atakulinda kama Daniel
We belive in few pastors like this who dont entertain nonsense in any way
Mungu was eliya lazima ajulikane
Jamani mafundisho hayo ni sahihi kabisa, ubarikiwe sana mtumishi.
Really appreciate your preaching
Wewe pia ni muongo Mungu wa kweli anauchogo kama wewe hacha kudanganya watu kwa nini wakristo mnapendwa kudanganywa