"NIMEANZA KWA KUUZA DAGAA SASA NAMILIKI HOTELI" ,MWANA MAMA ANAE UANZA VIZURI MWAKA 2022

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • AyoTV, millaradayo.com inakukutanisha na Mwana mama alipambana kwa kuuza dagaa kwa kuanza na mtaji mdogo hadi kufikia kumiliki Hoteli mwenyewe mwaka mwaka 2022 na ilikuwa ni ndoto yake kwa miaka 10

ความคิดเห็น • 104

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 2 ปีที่แล้ว +7

    Comment nyingi utaona kwanini sisi hufa masikini. Watu hawaamini katima kufanya kazi, wanaamini katika kupewa pesa nyingi za zali la mantali na pia hawaamini katika kuanzia chini. Mtu anaona kufanikiwa ni mpaka uanze na mtaji wa mamilioni. Kama huwezi kuiheshimu na kuitumia vizuri elf 10, hata ukipewa mamilioni hutotoka. Wengi wametoka kwa kuanzia mbali na wana nidhamu ya pesa ndio maana wengi anafanikiwa kuanzia miaka ya 30 mwishoni na kuendelea..anakuwa maestruggle sana nyuma. Labda hela iwe ya kurithi. Ila ukizaliwa familia ya chini ukafanya kazi kwa bidii na bila kuamini kwenye ndoto za aliinacha utafanikiwa tu

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamanii hongera dadaa nilikuwepo siku ya uzinduzi hapo na shoga angu Diana Kabogo!

  • @IreneAbduly
    @IreneAbduly 4 หลายเดือนก่อน

    Mfani mzuli sana dada me natamani nimiliki nyumba za kupanga mungu saidia kazi za mikono yetu🙏🙏🙏

  • @fatianasibu5923
    @fatianasibu5923 ปีที่แล้ว +4

    Mfano mzuri wa kuigwa hata mimi natakani siku moja nimiliki nyumba za kupangisha hapa mwanza ama dar niombeeni dua ndugu zanguni

  • @halimamis4236
    @halimamis4236 2 ปีที่แล้ว +5

    Mwanamke Akiamua anaweza, mwanamke mpango mzima

    • @Neemakilimba
      @Neemakilimba 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa umeongea Ila Kuna watu wakishindwa huwa wanawaza kuwa wote tumeshindwa Pole yao

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 2 ปีที่แล้ว

    Ahsant Sana milard ayo tv kujitoa kusuport kazi za wenzako MUNGU akubaliki kuna Media hawana mambo kama aya yakwako kazi zao ni kampain tu..

  • @shabansalee4924
    @shabansalee4924 2 ปีที่แล้ว +4

    Uyu mama ata kuwa ana BWANA mwenye minoti kamchuna uko sio mchezo jaman kufanikiwa mbaka apende mungu sio dawa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯💯noma mademu noma

    • @cmsa1r
      @cmsa1r 2 ปีที่แล้ว +2

      Tafuta na wewe bwana

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 2 ปีที่แล้ว +2

      Endelea kulala ukiamini wenzio wanahongwa. Mwanaume mzima wivuuuu. Puuuuuuu!

    • @baiaaa2809
      @baiaaa2809 2 ปีที่แล้ว +3

      Hakuna cha bwana hapo ni mipango ya mungu 2

    • @shukuruyunosy8066
      @shukuruyunosy8066 2 ปีที่แล้ว +1

      Huyo dada ni mwoongo hiyo hotel sio yake najua mmiliki wa hotel hiyo tena sio hiyo tu mwenye hotel hiyo anaishi mbeya huyo ni kibaraka tu hana hata mia mbovu

    • @Neemakilimba
      @Neemakilimba 2 ปีที่แล้ว

      Wivu

  • @joelkulwa707
    @joelkulwa707 2 ปีที่แล้ว +4

    Acheni kuwa na mawazo etiiii kirahisi ivyoo fanyeni kazi kama unaona haviwezekani wengine wanaweza unadhani dagaa hazilipi??lets be motivated guy's....

    • @joycekikome383
      @joycekikome383 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa kakaangu

    • @user-kx7ob5rx4p
      @user-kx7ob5rx4p หลายเดือนก่อน

      Bro unajua sana achana na hawa wabongo wenye fikra finyu na za kipuuzi

  • @shedy_marie
    @shedy_marie 2 ปีที่แล้ว +1

    Jmn daah nimependa hii mungu aniongoze na mimi

  • @ashamakwaiya8749
    @ashamakwaiya8749 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mwaya.we ni super woman.

  • @robbysam4828
    @robbysam4828 2 ปีที่แล้ว +2

    Big up sister! Ur a fighter

  • @leonardmisalaba7946
    @leonardmisalaba7946 ปีที่แล้ว

    Hongera saana dada

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo1030 2 ปีที่แล้ว

    Very good Dada .Dreamteam big hata me Zary namuelewa anarchistischen Real sio hawa wauza sura alafu pakulala hawana picha nzuri wanapigia hotelini

  • @bakarikiavia5759
    @bakarikiavia5759 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana dada uwapa ujasiri wengine

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 ปีที่แล้ว +10

    Unanipa ujasiri Sana, nami napambana kiukweli. Japo hotel sijawahi kuifikiria, ila gari la abiria Nina ndoto nalo kwelikweli🤣. Niombeeni dua jamani.

    • @ashuramussa2011
      @ashuramussa2011 2 ปีที่แล้ว +1

      Allah akufanyie wepesi inshaallah

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 2 ปีที่แล้ว

      @@ashuramussa2011 Amina Yarrabilalamina 🤲

    • @fauziaabdullah3733
      @fauziaabdullah3733 2 ปีที่แล้ว

      kwakweli kama hauna nyumba usinunue gari sasa huyu mama hino hotel haitafanya vizuri aweza pangisjaa lakini gari likingowa viafaa vyake ni gali na mara nyingi huishia hivyoo tuu

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 2 ปีที่แล้ว +1

      @@fauziaabdullah3733 Nina nyumba mbili Sasa, Alhamdullillah. Na Nina kazi yenye kipato kizuri, ndiyo maana nawaza gari la abiria kipenzi

    • @fauziaabdullah3733
      @fauziaabdullah3733 2 ปีที่แล้ว +1

      ok vizuri kama ni hivyoo

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @idanyahmed8701
    @idanyahmed8701 2 ปีที่แล้ว +2

    Hahahaha kirahis hivyooooo😀😀😀😀😀aseme ukweliii tu

  • @kavoomshana7289
    @kavoomshana7289 2 ปีที่แล้ว +4

    Ukwel wa maisha anayo mtu mwenyew bhanaa,itabid tukubaliane tu..

  • @shabanikamsawa181
    @shabanikamsawa181 2 ปีที่แล้ว +8

    Hahahaha jidanganye2 kauze na ww dagaa uone maisha yanasilikubwa sana ackuambie MTU tulio wengi huwa tuna adisia ile jujuu2 ila kiundani inabaki sili ya MTU bnafsi hawez kusema alifanya nn na nn hadi kafika hapo ulipo kikubwa atakuambia nimepambana mala mungu kanisaidia ila vingine vitabaki sehemu ya maisha yake kwahyo jifanye kukopi uone

    • @lissacosmas6978
      @lissacosmas6978 2 ปีที่แล้ว

      kweli sio dagaa tu watu wasimamishe masikio eti ni dagaa

    • @penuelmichael1240
      @penuelmichael1240 2 ปีที่แล้ว

      Uko sahihi sana hakuna mtu anaehadisia ukweli halisi wanahadisia juujuu

    • @shabanikamsawa181
      @shabanikamsawa181 2 ปีที่แล้ว

      @@penuelmichael1240 wanafki hao unakuta wengine wana misukule wengine wana mahilizi kicngizio dagaa mala Karanga mala pipi weee kila mtu apambane tu na maisha yake

    • @penuelmichael1240
      @penuelmichael1240 2 ปีที่แล้ว

      @@shabanikamsawa181 yani mninguni watu watafika wamechoka sana! 😂😂

    • @shabanikamsawa181
      @shabanikamsawa181 2 ปีที่แล้ว

      @@penuelmichael1240 wanazingua hao wanatuongezea stress za maisha tu

  • @karmytv5917
    @karmytv5917 2 ปีที่แล้ว +1

    Nice..

  • @lemathomas2862
    @lemathomas2862 2 ปีที่แล้ว

    Hongera zake ila nahisi kuna vingi tumefichwa

    • @fatianasibu5923
      @fatianasibu5923 ปีที่แล้ว

      Kwa akili ya harakaharaka kasema amekua akiigiza pia na kuuza dagaa na pia kupika kwenye maharishi izo zote zimechangia sio dagaa pekee

  • @katotopesaofficial
    @katotopesaofficial 2 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha Tunaijua hiyoo 😂 eti unakuta nimeanza na kuku wawil Saiv na mabanda 30

  • @maulidkipanya9930
    @maulidkipanya9930 2 ปีที่แล้ว +1

    Danga la boss wangu.. 🤣🤣🤣 ila watu.. kwenye muvi hapo nakubali ila huo mjengo ametupiga zongo

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 7 หลายเดือนก่อน

    Kiwanja hapo ni zaid 200M waache uongo labda kudaga

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 ปีที่แล้ว

    Mashaalah

  • @foncetecelectricalandelect34
    @foncetecelectricalandelect34 2 ปีที่แล้ว

    Mmmmh endeleeni na hizo kauli

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 ปีที่แล้ว

    Wanawake tupo

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 2 ปีที่แล้ว

    Milady Ayo naomba waambieni operations officers wenu wa mikoani, wataje majina ya wamiliki, that's it

  • @aminahahlubayt7399
    @aminahahlubayt7399 2 ปีที่แล้ว

    My dream inshaallah

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 2 ปีที่แล้ว +1

    Eti Zari!😀 haki Zari kivyangu hanivutii kumuiga 😩

    • @shedy_marie
      @shedy_marie 2 ปีที่แล้ว

      Zari wa diamond au

  • @justinemaganga7734
    @justinemaganga7734 2 ปีที่แล้ว +1

    Aise nachukia story za uongo hiyo dagaa acheni

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 ปีที่แล้ว

    Acha tupambane ndoto yangu siku moja nije kuwa namiliki hotel yangu kwa ajili ya kuuza chakula sababu ndo kitu napenda

  • @patrinussanga3081
    @patrinussanga3081 2 ปีที่แล้ว

    Jamani biashara Ina Siri nzito acheni

  • @bahatiteti9599
    @bahatiteti9599 2 ปีที่แล้ว

    Tunadanganyana sana

  • @paulthomas2748
    @paulthomas2748 2 ปีที่แล้ว

    Huyu katudanganyaa sana

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 2 ปีที่แล้ว

    Izi ndoto huotwa mchana au usiku jmn nisaidieni

  • @theresiapastory9637
    @theresiapastory9637 2 ปีที่แล้ว +7

    Hamna kityu hapo tucdanganyane hiyo cyo dagaa, nyuma yake kuna nguvu kubwa ya sponser

  • @raymonddaud543
    @raymonddaud543 2 ปีที่แล้ว

    Njee ya box anajua yeyeee.

  • @erastonicholas5589
    @erastonicholas5589 2 ปีที่แล้ว

    Uza nawewe uone kama utaweza kujenga nananiii inambeba masponsa

  • @samiamagaye5832
    @samiamagaye5832 2 ปีที่แล้ว

    Ongera dada angu , enhee hotel yako inatwaje? Plz nambie

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 7 หลายเดือนก่อน

    Biashara au kudaga

  • @onesmoretz2785
    @onesmoretz2785 2 ปีที่แล้ว +1

    Hapa kuna mfanya biasha mkubwa tu ambae ana hela zake kaamua kuitangaza hotel yake kwa njia hio. Huyo dada hapo sio yake, hakuna kitu km hicho eti kaanza kuuza dagaa miaka minne iliopita ndo kafikia hapo. Hicho kiwanja tu milion 100 na zaidi inamaana hio miaka minne kwa kila mwaka alikua anatengeza zaid ya milioni 150 ????😃😃😃 Sema hio ni promotion na huyo mtangazaji anajua kila kitu

    • @josephurupia4653
      @josephurupia4653 2 ปีที่แล้ว

      Hakuna kiwanja cha milioni mia na hapo hata hiyo nyumba haizidi milioni 80.

    • @onesmoretz2785
      @onesmoretz2785 2 ปีที่แล้ว +1

      @@josephurupia4653 ushawahi kujenga boss km hujawahi kujenga huez jua gharama za ujenzi, iyo nyumba kwa jins tulivooneshwa mpa ndani inazidi 400M

    • @evenlightpatrick7225
      @evenlightpatrick7225 2 ปีที่แล้ว +1

      Ukweli anaujua yeye ....Ila mi naamini kafanya kazi na dagaa zinalipa Kama alitia juhudi naimani Ni pesa yake...

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 2 ปีที่แล้ว +1

    Hushpuppy alitupiga Chenga kama hizo kuwa alikuwa anafanya real estate...kumbe fraudster

  • @godlackdahae6547
    @godlackdahae6547 2 ปีที่แล้ว

    Dagaa kwa kilo bei gani

  • @imanho_tza9895
    @imanho_tza9895 2 ปีที่แล้ว +1

    Eti ndoo moja la dagaa😂😂

    • @madirishasimon9692
      @madirishasimon9692 2 ปีที่แล้ว

      Lakini siumeelewa punguza ushamba

    • @ezyjob5083
      @ezyjob5083 ปีที่แล้ว

      Mbona bakhresa alianza kushona viatu leo hii bonge la Tajiri, amka kijana. Sasa kilichokuchekesha hapa ni wivu tu na mawazo yako finyu.

  • @bamurwakana5452
    @bamurwakana5452 ปีที่แล้ว

    Acha uongo ww ni daga 2

  • @MZEEWA255
    @MZEEWA255 2 ปีที่แล้ว

    👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾🇹🇿🇹🇿

  • @fetyalmas698
    @fetyalmas698 2 ปีที่แล้ว

    @shabani kamsawa,kaka uneongea kweli kbs maisha Yana Siri kubwa Sana tena saaaaa,asikudanganye mtu

  • @sbboymkaliofficial9108
    @sbboymkaliofficial9108 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera mama angalia magari anayo miliki 👇👇👇
    th-cam.com/video/nN5nO8QElXI/w-d-xo.html

  • @mahrooqsuleiman7216
    @mahrooqsuleiman7216 2 ปีที่แล้ว

    Uongo mtupu

  • @stellah3844
    @stellah3844 2 ปีที่แล้ว

    Weng wanasemaga hivyohivyo baada ya siku kadhaa unaskia wamekatwa na dona

  • @kaayakitomary1233
    @kaayakitomary1233 2 ปีที่แล้ว

    Weeeeeee subutu yako ety watu tuna haso miaka nenda rud we unanyota gan ya miaka 4 upate hv

    • @evenlightpatrick7225
      @evenlightpatrick7225 2 ปีที่แล้ว +1

      Kila mtu na bahati yake mpenz....huenda wewe Ni Kati kati ya mwaka huu ....endelea kufanya kazi na kusali mpenz

    • @gracegrace2561
      @gracegrace2561 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@evenlightpatrick7225watu Huwa hawaamini lakin inawezekana sana

    • @user-kx7ob5rx4p
      @user-kx7ob5rx4p หลายเดือนก่อน

      We ni mpuuzi