MREMBO ALIYEJENGA NYUMBA 3, ALIACHA KAZI, "MOJA MIL 280, WANANIITA FREEMASON".

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 518

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 ปีที่แล้ว +80

    Bahati nzuri nimeangalia hii interview kupitia WI-FI, Naweza sema ni mojawapo ya interviews mbaya kuwahi ziona. Mbali na majigambo sijaona content ambayo inaelezea footprints zake, hicho ndicho audiences walikitaka. Bora angesema ka trade forex au crypto currency tujue moja, au alipata mentor aliyempa connection za uhakika za import products za China...

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 ปีที่แล้ว +4

      Majigambo sana

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 ปีที่แล้ว +2

      Mpk nimeacha kuangalia

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 ปีที่แล้ว

      Naunga hoja

    • @kanyanga0852
      @kanyanga0852 ปีที่แล้ว +7

      Maisha ni Siri nzito, mwingine anasema aliuza mihogo, mwingine vitumbua na mwingine mambo mengine ukiyafuata utajikuta upo somaria, anyway ni ya kuangalia tu hayo mambo ya familia masikini aka fukara

    • @joelsamwel2580
      @joelsamwel2580 ปีที่แล้ว +8

      Uyo dada namjuaaa ni tapeli anakuzia dawa kwa laki 3 ukauze anakwambia utapata faida ya laki 6 muongoooo sana

  • @tamuafrikastudios6251
    @tamuafrikastudios6251 ปีที่แล้ว +19

    Nafikiri angeweza kueleza namna ambavyo amerweza kupambana kuliko kuelezea maisha aliyonayo.
    Watu wanapenda kusikia steps za kufuata ili na wao wajifunze.

  • @castorymhoja6050
    @castorymhoja6050 ปีที่แล้ว +9

    Muongopeni mungu sema ukweli kujenga sawa umuli na mda wa kazi hauendani agekuwepo magufuli ulitakiwa ukanguliwe biashara yako acha uongo .unabiashara nyingine umeificha

    • @imankyamba4424
      @imankyamba4424 ปีที่แล้ว

      Ina maana Magufuli alikuwa anakomoa watu au sio ndio maana hayupo leo

    • @claramrosso2566
      @claramrosso2566 ปีที่แล้ว

      Dada muongooo

    • @dorcassoza6416
      @dorcassoza6416 5 หลายเดือนก่อน +1

      Ni roho Mbaya, ukichukua maamuzi magumu kila kitu kinawezekana, ni akili tu

    • @dorcassoza6416
      @dorcassoza6416 5 หลายเดือนก่อน

      Achane roho Mbaya, kwenye biashara inawezekana kabisa, mshahara ni pesa ya kutunza familia

  • @enelybukuku6902
    @enelybukuku6902 ปีที่แล้ว +3

    Hongera Sana mdogo wangu,hakika umepambanana.wanawake tunaweza Tena tukijiamini tunafanya Mambo makubwa

  • @jacklinemassawe-cz8it
    @jacklinemassawe-cz8it ปีที่แล้ว +2

    Usingetaja zaka ningeona fremason na mm😂😂😂😂😂 zaka ndo kila kitu. Zaka kamili baraka kamili. Ngoja niendelee kuangalia sasa naomba umeze mate kidogo shoga angu❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @innocentcareen818
      @innocentcareen818 ปีที่แล้ว

      Toa zaka mama kikamilifu utaongezewa na kuongezeka

  • @michaelngadi8178
    @michaelngadi8178 ปีที่แล้ว +5

    Congratulations dada masipetii uko vzr # ni maamuzi magumu xana kuacha kazi na kujiajiri ukiamn ndo Moja ya njia ya kutoboa kupitia biashara # keep going # uthubutu, kujituma, na nidhamu ya pesa ndo imekufanya uwe hapo pia baraka za mungu kupitia wazazi # kuhusu biashara ameshasema yey amejikita kwenye kuuza bidhaa za kuwasaidia wanawake Kwa wanaume katika mambo ya uzazi na amesomea pharmacy # hayo mengne ni additional au feeling zake

    • @winniecharles8883
      @winniecharles8883 ปีที่แล้ว

      Congratulation dear nami napenda kufanya biashara

  • @mcback4384
    @mcback4384 ปีที่แล้ว +25

    positive chanya ndio vizuri, negative ni hasi naona unayachanganya, kikubwa ninachokuunga mkono ni fungu la 10, nimefanya kazi mwaka mzima sikujua mshahara wangu ulipokua unaenda wote ila baada ya kutoa fungu la 10 miezi miwili tu nimeona mafanikio makubwa, hilo nakuunga mkono

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 ปีที่แล้ว

      Hahaha, positive nyingine nzuri hasa kucheki afya mf HIV test, na magonjwa mengine

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 ปีที่แล้ว

      Ukitaka kuelewa vizuri positive na negative nenda ukapime Vvu ndy utajua yupo sahihi 🤣🤣🤣

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 ปีที่แล้ว +41

    Cha msingi hapa ni kila mtu apambane tuu, mafanikio ya mtu yakupe wivu wa kupambana ili kuyafikia malengo yako. Na watu mjifunze pia sadaka huwa inanena !! Kama Mungu ndiye aliyemuwezesha na akuwezeshe wewe na mimi pia !! Tupambane tumheshimu Mungu na tutafute hela !!

  • @maryamkhamis724
    @maryamkhamis724 ปีที่แล้ว +2

    Asalaam aleykum huyu dada muongo sana na ni mwizi wallah katuibia pesa huyu dada karibia milioni mbili tulitaka dawa za uzazi na matatizo mengine nasi tukamtumia pesa wallah naapa na Mie muislam huyu dada hatujamsamehe ataenda kutulipa kesho AKHERA in sha Allah Yaani Ata siamini Kama kachukua pesa ekesha haja tutumie dawa kila nikikumbuka roho inaniuma sana Allah atatulipia kwa huyu dada mwizi anaibia watu pesa kuhusu dawa munaongea na Sim uzuri unatuma pesa ekesha hatumi dawa wala nn izo Mali za utapeli nenda uko bonge unanenepa kwa Nguvu za watu looo 😢😢

    • @jasminmayumba9421
      @jasminmayumba9421 ปีที่แล้ว +1

      Pole sana dada, hakika Allah atakulipia

    • @shamimushittindi1418
      @shamimushittindi1418 ปีที่แล้ว +1

      Ni ukweli tapeli mzoefu huyu Kuna rafiki yangu pia alimtumia pesa ya dawa za uzazi kamkalia kimyaaa muongo sana

    • @maryamkhamis724
      @maryamkhamis724 ปีที่แล้ว

      @@jasminmayumba9421 Ahsante sana ndugu yangu hakika malipo yapo kwa Allah

    • @maryamkhamis724
      @maryamkhamis724 ปีที่แล้ว

      @@shamimushittindi1418 tena muongo sana huyu dada kwa Kweli Allah yupo atatulipia haki ya mtu haipotei

  • @user-im3nb1ed2e
    @user-im3nb1ed2e 27 วันที่ผ่านมา

    Mimi nataka hunisaidie nipo mozambique nakupenda sana

  • @immabahatiimmabahati2373
    @immabahatiimmabahati2373 9 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dada alitaka kunitapeli 1 million ila nilimshitukia huyu ni tapeli kila siku akaunti mpya kumbe ndo pesa zetu unajengea nyumba ukishatuma tu pesa unabrokiwa😂😂😂😂

  • @lyidiakaburure8129
    @lyidiakaburure8129 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Dada ukweli umenifurahisha sana natamani nionane na were uniambukize upako wa kutafuta pesa Mungu aendelee kukutunza.

  • @AsungaSteven
    @AsungaSteven วันที่ผ่านมา

    Safi sana......kila binadamu ni tajiri ni akili ya mtu.

  • @user-md1os3ye2g
    @user-md1os3ye2g 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mwanangu umeugusa moyowangu napendasana ujenzi. Natamani hataningeongea nawewe binafsi

  • @gentlethegentle9607
    @gentlethegentle9607 ปีที่แล้ว +22

    Mbona sijaelewa lengo la hii clip. Ni biashara ya nyumba? au yeye mwenywe?😄 mara anasema yey ni single mother lkn hawez sema kma yupo single.😄

    • @hapinessobeth4131
      @hapinessobeth4131 ปีที่แล้ว +2

      Ujiunge na neolife ndo wanachotaka

    • @fikamanciya8190
      @fikamanciya8190 ปีที่แล้ว

      wow wow what a beautiful

    • @fikamanciya8190
      @fikamanciya8190 ปีที่แล้ว

      I'm coming to buy a property in your country

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 ปีที่แล้ว +4

      KAMA HUJAELEWA AYO TV ANATAKA NA SISI WAZEMBE TUAMKE NA KUTIA BIDII ILI TUJIKWAMUE KIMAISHA.

    • @athumanimhanga2053
      @athumanimhanga2053 ปีที่แล้ว

      Mbona simuelewi kwaza biashala gani anafanya

  • @pendo8082
    @pendo8082 ปีที่แล้ว +9

    Hongera sana ila ninachojua mm mafanikio ni siri ya mtu

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 ปีที่แล้ว

      Umesema kweli unaweza ukaanza biashara iyo wewe usitoboe ....watu Huwa hawasemi behind hizo biashara

    • @pendo8082
      @pendo8082 ปีที่แล้ว

      @@gracekenan4665 ni kweli watu wengi hawasemagi ukweli

  • @joelsamwel2580
    @joelsamwel2580 ปีที่แล้ว +4

    Wohii huyu dada ni tapeli alituita makumbusho melinium tower atupe mchongo wa kujiajiri akatuambia tununue dawa kwa laki 3 tukauze tutapata faida ya laki sita na atatusapoti kupata wateja mweee mweeee sio poa mjoja wetu alitoa hela yake hakupaata wateja wala hakuuza chochote na pale alipo kuwa anasema ndo offisi yake hakumkuta jamani ninacho wambia ninakijua msije mkamtafuta huyu dada ni mwiziiiiii

  • @joyceabeli3787
    @joyceabeli3787 ปีที่แล้ว +1

    Nimekupenda sana dada pia napenda sana watu wapambanaji na wanaotia nguvu nasio wanaokatisha tamaa sijui kwanini mtu akishindwa anakatisha tamaa

  • @rebekamutta3033
    @rebekamutta3033 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana dada. Mungu azidi kukupandisha

  • @minjesha
    @minjesha ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana masipeti..ila kitu kinachonikwaza ni kuweka account private ya instagram..ni bora ungefungua ndio ungepata watu wengi zaidi..Anyway kuhusu jiko la nyumba unasema ni quality sana yes ni zuri ila jiko dogo sana..jiko langu ukiona mamy..its very big..kubwa la kutosha..kibongo bongo umeweza sana..hongera..

  • @FeywisNoel
    @FeywisNoel 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mm nimesikiliza mpk mwisho ila hata cjaelew n biashara gan anafanya

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana natamani kufika hapo ulipo ngoja nipambane nakosea San kutokuto fungu la kumi

  • @hidayamotto7210
    @hidayamotto7210 ปีที่แล้ว +5

    Seema biashara gan unafanya bas🤣unajisifia mnoo

  • @hamadgimat5669
    @hamadgimat5669 ปีที่แล้ว +5

    Hongera Sana na mungu azidi kukulinda hasa katika swala zima. Lamapenzi kwa wazazi na mtoto

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 ปีที่แล้ว +6

    Milard ayo umekosea kumpa mic 🎤 aongee mwanzo mwisho ungemuhoji wenye mafanikio wanataja hiyo biashara anayoficha

    • @jenifagerald1822
      @jenifagerald1822 ปีที่แล้ว

      Ndio hapo,,,,mbn hataji hiyo kazi ili na sisi tujifunze

    • @Nairathotmail
      @Nairathotmail ปีที่แล้ว

      @@jenifagerald1822 mwizi ndo maana saivi kaja na huku apate kuibiya watu zaidi

  • @precioussilungwe7365
    @precioussilungwe7365 ปีที่แล้ว +2

    Umenitia hasira ya maisha...umri wako na mambo yako tofauti it's like u re my daughter...hongera sana sana.

  • @dottohami
    @dottohami ปีที่แล้ว +4

    Masha Allha hongera sana dada umeweza mpenzi 👌😘🔥wacha na mm nipambane huku🇴🇲

  • @gasgartv6931
    @gasgartv6931 ปีที่แล้ว +1

    Dada angu masipety
    Mzungu sana
    Ana roho safi sana

  • @hubman6780
    @hubman6780 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera dada iwe iwavyo hongera dada yangu🎉🎉🎉🎉

  • @samorasanga2230
    @samorasanga2230 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana mfamasia wenzangu naomba Namba yako Kwa mawasiliano

    • @kamogesamuel2461
      @kamogesamuel2461 ปีที่แล้ว

      Mimi ninaheshimu watu proactive. Ninaomba kuongea nawe zaidi ili kujifunza jambo.

    • @timoliiisaya3824
      @timoliiisaya3824 ปีที่แล้ว

      @@kamogesamuel2461 we baki na njaa zako ustegemee utakua Kama yeye😆

  • @GladnessMarandu-qp3oz
    @GladnessMarandu-qp3oz ปีที่แล้ว

    Mwenyez Mungu na akujalie hitaji la moyo wako dada,pia nahitaji ushauri kutoka kwako ,

  • @uviko8848
    @uviko8848 ปีที่แล้ว +16

    Biashara yake Ni ya mtaji mkubwa Ana pharmacy anauza madawa, madawa yanalipa sana faida Ni nusu kwa nusu. Ukieka mia unapata Mia mbili.

    • @zaitunirajabu1317
      @zaitunirajabu1317 ปีที่แล้ว +1

      True kabis 🤸🤣🤣inapesa chafy

    • @uviko8848
      @uviko8848 ปีที่แล้ว +1

      @@zaitunirajabu1317 sanaaa

    • @kelvinnjawike1808
      @kelvinnjawike1808 ปีที่แล้ว +2

      Very inspiring hiz kaz za medical za kidwanz sana unasoma kwa garama na mda mrefu unakuja kulipwa lak 3😂😂😂😂😂 usipokua makin utaishia kununua kadeti na iPhone tu

  • @hope-eversam1278
    @hope-eversam1278 10 หลายเดือนก่อน

    Nimekupenda, 1 kuwapenda wazazi na mimi nakupa baraka pokea mwanangu

  • @nawandafamito500
    @nawandafamito500 ปีที่แล้ว +4

    Yani nimempenda mpaka raha, na mwenyewe yupo na furaha ya ushindi, hongera sana

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc ปีที่แล้ว +10

    Unafanya biashara gani ndo jambo la msingi, maneno mengi bado sijui unafanya nini zaidi ya kusema wewe ni single mother na nyumba zako. Hongera anyhow

    • @Jackmushil
      @Jackmushil ปีที่แล้ว

      Neolife/GNLD ni network marketing

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 ปีที่แล้ว

      ​@@Jackmushil hakuna biashara ya namna hiyo hao ni matapeli fungukeni

    • @Jackmushil
      @Jackmushil ปีที่แล้ว

      @@husseingabo5497 kwani nimeandika nini hapo

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc ปีที่แล้ว

      ​@@Jackmushil kumbe matapeli wa network marketing

    • @Nairathotmail
      @Nairathotmail ปีที่แล้ว

      @@Burner_Acc nitapeli kweli mie kanitapeli pesa nyingi sana naona saivi kaja hapa

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono ปีที่แล้ว +2

    Safi sana mass peti mwewe ni mfano wa kuigwa nimeelewa zaka na sadaka

  • @favourfranciss2111
    @favourfranciss2111 ปีที่แล้ว +4

    Tumekuwa inspired 🙏Thank you Millard 🙏You are the best

  • @DanielJames-of7yr
    @DanielJames-of7yr ปีที่แล้ว

    Uko vizuri Sana dada, naomba tuwasiliane unisaidie kitu

  • @jovanafidelis2802
    @jovanafidelis2802 ปีที่แล้ว +13

    Majigambo Kwa sana

  • @Official83640
    @Official83640 ปีที่แล้ว +10

    Nyumba 4 ndani ya miaka 3 aah dada ulikuwa unazichota bank au mbona wenye kz zao miaka 10 nyumba 1 inawagalagaza tuambie ukweli bwana hiyo biashara uliyoifanya hd utoe nyumba 4 kwa muda mfupi

    • @stellahlinusi8215
      @stellahlinusi8215 ปีที่แล้ว +1

      mbona biashala aisemi uyo janja janja

    • @Official83640
      @Official83640 ปีที่แล้ว

      @@stellahlinusi8215 Ndy nashangaa miaka 3 nyumba za M.280 tena 4 aah asitudanganye bwana ht hao wauza unga hawawezi jenga hivyo

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx ปีที่แล้ว

      ​@@Official83640 ndio hpo

    • @stellahlinusi8215
      @stellahlinusi8215 ปีที่แล้ว +1

      @@Official83640 muongo kwa nn asemi biashala muongo uyo kuna mtu yupo nyuma yake anae muezesha pesa lakini sio biashala tu ndo nyumbani nne miaka 3 apana kila mtu ana mpinga kwamba muongo eti kisa mchaga hahaha asitudanganye

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 ปีที่แล้ว

      Wanataka kufanya watu wengine hawahustle watu wapo makazini miaka nenda Rudi kujenga nyumba Moja tu inawatoa jasho

  • @user-fq7rq3sb9c
    @user-fq7rq3sb9c 7 หลายเดือนก่อน

    Nimekupenda mnoo mdogoang hongera sana

  • @hyacintagugu7
    @hyacintagugu7 ปีที่แล้ว +1

    Jamani huyu binti namjua wakati anaishi boko ni mpambanaji mnooo...hongera my dear..

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 ปีที่แล้ว +3

    Kweli NGUVU za kiume ni janga aisee namimi soon ntaanza kuuza by the way hongera sana

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 ปีที่แล้ว +1

    Izo comments noma 🤣🤣🤣mashallah lkn dda kila atakula kwa urefu wa kamba yke alaaah 💃

  • @rehemamfugale4388
    @rehemamfugale4388 ปีที่แล้ว

    Hongera sana, naomba na mm unishike mkono mm ni dereva wa maloli, sema trela

    • @melch3097
      @melch3097 27 วันที่ผ่านมา

      Umeshapata kazi, tutafutane

  • @leilamsafiri8320
    @leilamsafiri8320 ปีที่แล้ว +10

    Jinsi anavyojisifia ukitaka kuliwa vipesa vyako kidogo ulivyo navyo.basi mtafute huyu dada akuonyeshe biashara ndio utajua kulanguliwa ni nini

    • @neemagellop2532
      @neemagellop2532 ปีที่แล้ว

      Nimecheka

    • @winniecharles8883
      @winniecharles8883 ปีที่แล้ว

      Napenda kufanya biashara lkn cjui pakianzia❤

    • @MaryNgoi-
      @MaryNgoi- ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

    • @veronicatemba7683
      @veronicatemba7683 ปีที่แล้ว +1

      Huyu ni muhun niliwahi kumtafuta nikaongea naye mwisho nikagundua ni tapel nikamkacha

    • @marthasomi
      @marthasomi ปีที่แล้ว

      Hongera mdogo wangu

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb ปีที่แล้ว +3

    Ajifunze kwanza kingereza 🤣

  • @user-uw9rz5zo7j
    @user-uw9rz5zo7j 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera dada na mm nitafuata nyayo zako

  • @NeemaMuna-eq2cg
    @NeemaMuna-eq2cg ปีที่แล้ว

    Safi sana unaweza kunielekeza na mm dada

  • @annaluciahillary5107
    @annaluciahillary5107 ปีที่แล้ว +1

    Nimekupenda San dada🥰🥰🥰

  • @winnieexavery3304
    @winnieexavery3304 ปีที่แล้ว +2

    Sikujua kumbe ARUSHA ni kijijini 😂😂🙌🏽🙌🏽

  • @user-hh3hu4eg1z
    @user-hh3hu4eg1z 9 หลายเดือนก่อน

    Apart from weakness zake nmependa suala la zaka na sadaka i believe for that na naungana nae kwenye hicho

  • @maryamsaleh8438
    @maryamsaleh8438 ปีที่แล้ว +3

    Ma sha Allah lkn tambo nyingi kama Haji Manara

  • @johansenrauben6166
    @johansenrauben6166 ปีที่แล้ว +2

    Bina fusi na pambana kuzitafuta fulusa ila sielewi mambo ni mengi na sielewi cha kufanya
    Kama kuna mtu anaweza nisaidia network karibu

  • @marymwamwezi4837
    @marymwamwezi4837 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mdogo wangu nimekupenda na mungu akubariki Sana Sana Sana. Naitaji ushauri wako

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 ปีที่แล้ว +1

    Jaman hongera sana mdg wangu

  • @JanethMadios
    @JanethMadios 15 วันที่ผ่านมา

    Hata sijaelewa content yenyewe najionea misifa tuu aibu naona mimi

  • @chifuthedoni8889
    @chifuthedoni8889 ปีที่แล้ว +15

    Kupata ni siri ya mtu! Haijalishi una umri gani! Kama umepata ni siri yako! Ulivyo fanya unajua wewe na mungu wako!

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 ปีที่แล้ว

      TUSIMVUNJE MOYO HATA SISI TUNAWEZA MAADAM HATUJAFA BADO ILA TUCHAPE KAZI.

    • @Jackmushil
      @Jackmushil ปีที่แล้ว

      Lazima atangaze maana ndoa anavyotangazia biashara yake ukajiunge Neolife/GNLD ni network marketing.

    • @MoureenMushiMushi
      @MoureenMushiMushi ปีที่แล้ว

      Umesema

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph805 ปีที่แล้ว +3

    Dada mdogo mwenyewe pesa nyingi + chief God love tafuta pesa💪

  • @user-ub6ej6er3d
    @user-ub6ej6er3d 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera nime tamani kuwa kama wewe dada je nakupataje

  • @henrytimothy3048
    @henrytimothy3048 ปีที่แล้ว +2

    Tuoane best na mm ni single father🤭😉

  • @lucymrosso6930
    @lucymrosso6930 ปีที่แล้ว

    Nmekupenda sn. Asante

  • @lilianmsumba7146
    @lilianmsumba7146 ปีที่แล้ว +5

    Siri ya maisha anajua Mungu.

    • @Nairathotmail
      @Nairathotmail ปีที่แล้ว

      Siri ya maisha nitapeli. Mie kanitapeli milioni moja laki nane sasa mbali watu huwajui

    • @jasminmayumba9421
      @jasminmayumba9421 ปีที่แล้ว

      @@Nairathotmail alikutapeli vipi utujuze tusije na sisi tukayavagaa

    • @Nairathotmail
      @Nairathotmail ปีที่แล้ว

      @@jasminmayumba9421 watu wawe makini sana isije kuwa kuta yalo nikuta mie

  • @boashamah3642
    @boashamah3642 11 หลายเดือนก่อน

    Money Talks my dear friends
    And well done my big sister ❤

  • @Saidy-omaryxmshambo
    @Saidy-omaryxmshambo 3 หลายเดือนก่อน

    Dada naomba niwe nawe nikuoe kabisa twende nyumbani

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 ปีที่แล้ว +3

    Barikiwe sana

  • @SaumaBakari-ld2dy
    @SaumaBakari-ld2dy 10 หลายเดือนก่อน

    Asate dada naomba no zako ❤❤❤

  • @roseombay2086
    @roseombay2086 ปีที่แล้ว +2

    Zaka na sadaka,asante dada

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 ปีที่แล้ว +1

    Dada naomba unishike mkono unipe njia jaman natamani na me nifikie malengo

  • @thadeynyenza4948
    @thadeynyenza4948 ปีที่แล้ว

    Mafanikio ni Mungu, huwezi kuyapata kwa kusikiliza waliofanikiwa. Baki na Mungu akupe na wewe

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 ปีที่แล้ว +2

    Jamani watu wa mkoa wa Kilimanjaro wanajenga hatari jamani wanajenga majumba y hatari wanashindana tokeni mikoani mingine nendeni mkoa w Kilimanjaro mjifunze huko

  • @venniealloyce2174
    @venniealloyce2174 ปีที่แล้ว +4

    Congratulations 👏 may God keep bless you 🙏

    • @edwinmtei9400
      @edwinmtei9400 ปีที่แล้ว

      Ndo miaka 29 mitaa ipewe jina lako na serikali ilikataa na wanaona ujinga huu, halafu ukiona una pesa unajisifu jua kuna walakini

  • @godfreycharlessrarariae3619
    @godfreycharlessrarariae3619 ปีที่แล้ว

    Sawaa hongera--ila bado uhalisia wamaelezo haujakaa sawa

  • @maryamkhamis724
    @maryamkhamis724 ปีที่แล้ว +1

    Ww wacha uwongo uwo sadaka gani za wizi au tuma dawa zetu kwanza ndio ufanye majisifu unazulumu hu muogopi Ata Allah wacha majisifu ww mwizi mkubwa

  • @damiangarang1900
    @damiangarang1900 ปีที่แล้ว +6

    Hahahhahaha. Najifunza ila huko kuwa positive ndio nn tena

    • @nonsomedy
      @nonsomedy ปีที่แล้ว

      Michanganyo mingi...
      Nahic ameteleza alikuwa anamaanisha NEGATIVE ( kuwa na mawazo hasi, mawazo yasiyojenga)

  • @nambuacassandramlaki3516
    @nambuacassandramlaki3516 ปีที่แล้ว

    Hongera sana,umeweza.

  • @HabibahKhalfan
    @HabibahKhalfan 3 หลายเดือนก่อน

    Dada nnashida na wew

  • @grasirobart
    @grasirobart 4 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba namba yako dada

  • @user-bd6if2vn8s
    @user-bd6if2vn8s 10 หลายเดือนก่อน

    Nimekupenda dada naomba namba tuongee

  • @jennifersalum4940
    @jennifersalum4940 ปีที่แล้ว +2

    Manispet ulinifanyia kitu kibaya sana acha nikusamehe ili na Mimi Mungu anisamehe

  • @neema_mollel
    @neema_mollel ปีที่แล้ว +6

    Huyu asiejua hata positive ni nini ??
    Dada usitubebe ufala wewe ,una secret bness Tena illegal ila unajiuma uma .acha porojo pls .

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 ปีที่แล้ว +1

      KWANI HILO DUKA LA MADAWA HAMLIONI? NA SISI TUTIE BIDII KUSOMA KAZI ZIPO NYINGI ILA SIYO ZA KUAJIRIWA. AMERUHUSU KUMTAFUTA ILI ATUSHAURI , SASA TUNATAKAJE? MBONA VIJANA WENYE PESA WAKO WENGI TU, HAPO HAKUNA UBAYA WOWOTE.

  • @fridahnjau1373
    @fridahnjau1373 ปีที่แล้ว

    Na kwa nini biashara ameificha atuambie ni biashara gani😂

  • @user-zj8ul2tp4t
    @user-zj8ul2tp4t 2 หลายเดือนก่อน

    Dada angu mimi ila sahii nipo oman❤❤❤❤ nimekupenda nitumiye tuongee watsap ata mimi napenda biasharaa

  • @SanjoLiginyan
    @SanjoLiginyan 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera dada

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 ปีที่แล้ว +11

    Napenda mtoto anaejua thamani ya wazazi

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 ปีที่แล้ว +1

    Kesho mende nae mutamuita Mrembo... Semeni Binti...

    • @sifatiiman
      @sifatiiman ปีที่แล้ว

      sio binti ni mwanamke binti mwisho miaka 19

  • @marycelinapaschal8710
    @marycelinapaschal8710 ปีที่แล้ว +2

    Mambo ya neo Life ,,,,hizi biashara kilakona wanao fanikiwa niwachachee

    • @ankaramanka464
      @ankaramanka464 ปีที่แล้ว

      Kama mchezo wa pata potea zinataka moyo

  • @HoseaLeonard
    @HoseaLeonard 4 หลายเดือนก่อน

    Umakini unahitajika sana unaoowasikiliza the so called motivation speakers 😂😂😂

  • @athumanijuma8899
    @athumanijuma8899 ปีที่แล้ว +3

    Kumbe Mrembo wa kiharusha Hawa wana Mbinu nyingi Sana Za kutafuta tuendeleeni Kujifukizaaa 🤣🤣🤣🤣 ukitakaa kuita Maji MMA uoe Pande hizo 🤣🤣🤣

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 ปีที่แล้ว

    Na mimi nina fanya mtandao na hayo nimefanya lakini Nimekukubali sana wewe ni mwanamke shujaa ...na una hekima sana sio kuwa na pesa ndio uishi ovyo...hawo mentor wako utakuwa bora zaidi yao ...Nature yao wewe utafanya zaidi

  • @selestinantandu6530
    @selestinantandu6530 ปีที่แล้ว

    Hongera mpenz

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 4 หลายเดือนก่อน

    Interview hovyo kweli....

  • @RoseMshana-pm8op
    @RoseMshana-pm8op หลายเดือนก่อน

    chuo,kazi, biashara,bado miaka 29, tu, majigambo kibao,ila hongera dada

  • @herrielymahir2493
    @herrielymahir2493 ปีที่แล้ว

    Naomba wazo kijana mwenzako natafuta mchongo wakufanya kwangu mtaji so shida napambana but I need hiyo fursa ya kibiashara

  • @lyidiakaburure8129
    @lyidiakaburure8129 ปีที่แล้ว

    Naomba naomba yako kwa ajili ya oshauri mwangu

  • @asazac7378
    @asazac7378 ปีที่แล้ว

    Upo Freemason u so ibishe unadhani sisi hatujui njiazamkato mjingaww hiyonyumba sisi inatuhusu Nini kwendazako Malaya wew

  • @gaomariwa7637
    @gaomariwa7637 ปีที่แล้ว

    Classmate🎉🎉 hongera

  • @themalumalufamily1860
    @themalumalufamily1860 ปีที่แล้ว +3

    Millard Ayo naomba namba ya huyo dada natamani.nijifunze hio biashara

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 ปีที่แล้ว

      Na mimi nimetamani nimtafute nijifunze kutoka kwake, angalau nijenge hata nyumba moja.

    • @shamimushittindi1418
      @shamimushittindi1418 ปีที่แล้ว

      Ujifunze utapeli

    • @themalumalufamily1860
      @themalumalufamily1860 ปีที่แล้ว

      @@shamimushittindi1418 ww umejuaje kama ni tapel

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana

  • @sfggf468
    @sfggf468 ปีที่แล้ว +3

    PESA gani haijulikani inakotoka si aseme anapataje, Millard Ayo acha kupost taarifa zisizoeleweka, au ndo hao matapeli wa mtandaoni?