Bahati nzuri nimeangalia hii interview kupitia WI-FI, Naweza sema ni mojawapo ya interviews mbaya kuwahi ziona. Mbali na majigambo sijaona content ambayo inaelezea footprints zake, hicho ndicho audiences walikitaka. Bora angesema ka trade forex au crypto currency tujue moja, au alipata mentor aliyempa connection za uhakika za import products za China...
Maisha ni Siri nzito, mwingine anasema aliuza mihogo, mwingine vitumbua na mwingine mambo mengine ukiyafuata utajikuta upo somaria, anyway ni ya kuangalia tu hayo mambo ya familia masikini aka fukara
Nafikiri angeweza kueleza namna ambavyo amerweza kupambana kuliko kuelezea maisha aliyonayo. Watu wanapenda kusikia steps za kufuata ili na wao wajifunze.
Muongopeni mungu sema ukweli kujenga sawa umuli na mda wa kazi hauendani agekuwepo magufuli ulitakiwa ukanguliwe biashara yako acha uongo .unabiashara nyingine umeificha
Congratulations dada masipetii uko vzr # ni maamuzi magumu xana kuacha kazi na kujiajiri ukiamn ndo Moja ya njia ya kutoboa kupitia biashara # keep going # uthubutu, kujituma, na nidhamu ya pesa ndo imekufanya uwe hapo pia baraka za mungu kupitia wazazi # kuhusu biashara ameshasema yey amejikita kwenye kuuza bidhaa za kuwasaidia wanawake Kwa wanaume katika mambo ya uzazi na amesomea pharmacy # hayo mengne ni additional au feeling zake
positive chanya ndio vizuri, negative ni hasi naona unayachanganya, kikubwa ninachokuunga mkono ni fungu la 10, nimefanya kazi mwaka mzima sikujua mshahara wangu ulipokua unaenda wote ila baada ya kutoa fungu la 10 miezi miwili tu nimeona mafanikio makubwa, hilo nakuunga mkono
Cha msingi hapa ni kila mtu apambane tuu, mafanikio ya mtu yakupe wivu wa kupambana ili kuyafikia malengo yako. Na watu mjifunze pia sadaka huwa inanena !! Kama Mungu ndiye aliyemuwezesha na akuwezeshe wewe na mimi pia !! Tupambane tumheshimu Mungu na tutafute hela !!
Asalaam aleykum huyu dada muongo sana na ni mwizi wallah katuibia pesa huyu dada karibia milioni mbili tulitaka dawa za uzazi na matatizo mengine nasi tukamtumia pesa wallah naapa na Mie muislam huyu dada hatujamsamehe ataenda kutulipa kesho AKHERA in sha Allah Yaani Ata siamini Kama kachukua pesa ekesha haja tutumie dawa kila nikikumbuka roho inaniuma sana Allah atatulipia kwa huyu dada mwizi anaibia watu pesa kuhusu dawa munaongea na Sim uzuri unatuma pesa ekesha hatumi dawa wala nn izo Mali za utapeli nenda uko bonge unanenepa kwa Nguvu za watu looo 😢😢
Huyu dada alitaka kunitapeli 1 million ila nilimshitukia huyu ni tapeli kila siku akaunti mpya kumbe ndo pesa zetu unajengea nyumba ukishatuma tu pesa unabrokiwa😂😂😂😂
Wohii huyu dada ni tapeli alituita makumbusho melinium tower atupe mchongo wa kujiajiri akatuambia tununue dawa kwa laki 3 tukauze tutapata faida ya laki sita na atatusapoti kupata wateja mweee mweeee sio poa mjoja wetu alitoa hela yake hakupaata wateja wala hakuuza chochote na pale alipo kuwa anasema ndo offisi yake hakumkuta jamani ninacho wambia ninakijua msije mkamtafuta huyu dada ni mwiziiiiii
Hongera sana masipeti..ila kitu kinachonikwaza ni kuweka account private ya instagram..ni bora ungefungua ndio ungepata watu wengi zaidi..Anyway kuhusu jiko la nyumba unasema ni quality sana yes ni zuri ila jiko dogo sana..jiko langu ukiona mamy..its very big..kubwa la kutosha..kibongo bongo umeweza sana..hongera..
Very inspiring hiz kaz za medical za kidwanz sana unasoma kwa garama na mda mrefu unakuja kulipwa lak 3😂😂😂😂😂 usipokua makin utaishia kununua kadeti na iPhone tu
Nyumba 4 ndani ya miaka 3 aah dada ulikuwa unazichota bank au mbona wenye kz zao miaka 10 nyumba 1 inawagalagaza tuambie ukweli bwana hiyo biashara uliyoifanya hd utoe nyumba 4 kwa muda mfupi
@@Official83640 muongo kwa nn asemi biashala muongo uyo kuna mtu yupo nyuma yake anae muezesha pesa lakini sio biashala tu ndo nyumbani nne miaka 3 apana kila mtu ana mpinga kwamba muongo eti kisa mchaga hahaha asitudanganye
Jamani watu wa mkoa wa Kilimanjaro wanajenga hatari jamani wanajenga majumba y hatari wanashindana tokeni mikoani mingine nendeni mkoa w Kilimanjaro mjifunze huko
KWANI HILO DUKA LA MADAWA HAMLIONI? NA SISI TUTIE BIDII KUSOMA KAZI ZIPO NYINGI ILA SIYO ZA KUAJIRIWA. AMERUHUSU KUMTAFUTA ILI ATUSHAURI , SASA TUNATAKAJE? MBONA VIJANA WENYE PESA WAKO WENGI TU, HAPO HAKUNA UBAYA WOWOTE.
Na mimi nina fanya mtandao na hayo nimefanya lakini Nimekukubali sana wewe ni mwanamke shujaa ...na una hekima sana sio kuwa na pesa ndio uishi ovyo...hawo mentor wako utakuwa bora zaidi yao ...Nature yao wewe utafanya zaidi
Bahati nzuri nimeangalia hii interview kupitia WI-FI, Naweza sema ni mojawapo ya interviews mbaya kuwahi ziona. Mbali na majigambo sijaona content ambayo inaelezea footprints zake, hicho ndicho audiences walikitaka. Bora angesema ka trade forex au crypto currency tujue moja, au alipata mentor aliyempa connection za uhakika za import products za China...
Majigambo sana
Mpk nimeacha kuangalia
Naunga hoja
Maisha ni Siri nzito, mwingine anasema aliuza mihogo, mwingine vitumbua na mwingine mambo mengine ukiyafuata utajikuta upo somaria, anyway ni ya kuangalia tu hayo mambo ya familia masikini aka fukara
Uyo dada namjuaaa ni tapeli anakuzia dawa kwa laki 3 ukauze anakwambia utapata faida ya laki 6 muongoooo sana
Nafikiri angeweza kueleza namna ambavyo amerweza kupambana kuliko kuelezea maisha aliyonayo.
Watu wanapenda kusikia steps za kufuata ili na wao wajifunze.
Muongopeni mungu sema ukweli kujenga sawa umuli na mda wa kazi hauendani agekuwepo magufuli ulitakiwa ukanguliwe biashara yako acha uongo .unabiashara nyingine umeificha
Ina maana Magufuli alikuwa anakomoa watu au sio ndio maana hayupo leo
Dada muongooo
Ni roho Mbaya, ukichukua maamuzi magumu kila kitu kinawezekana, ni akili tu
Achane roho Mbaya, kwenye biashara inawezekana kabisa, mshahara ni pesa ya kutunza familia
Hongera Sana mdogo wangu,hakika umepambanana.wanawake tunaweza Tena tukijiamini tunafanya Mambo makubwa
Usingetaja zaka ningeona fremason na mm😂😂😂😂😂 zaka ndo kila kitu. Zaka kamili baraka kamili. Ngoja niendelee kuangalia sasa naomba umeze mate kidogo shoga angu❤❤❤❤❤❤❤❤
Toa zaka mama kikamilifu utaongezewa na kuongezeka
Congratulations dada masipetii uko vzr # ni maamuzi magumu xana kuacha kazi na kujiajiri ukiamn ndo Moja ya njia ya kutoboa kupitia biashara # keep going # uthubutu, kujituma, na nidhamu ya pesa ndo imekufanya uwe hapo pia baraka za mungu kupitia wazazi # kuhusu biashara ameshasema yey amejikita kwenye kuuza bidhaa za kuwasaidia wanawake Kwa wanaume katika mambo ya uzazi na amesomea pharmacy # hayo mengne ni additional au feeling zake
Congratulation dear nami napenda kufanya biashara
positive chanya ndio vizuri, negative ni hasi naona unayachanganya, kikubwa ninachokuunga mkono ni fungu la 10, nimefanya kazi mwaka mzima sikujua mshahara wangu ulipokua unaenda wote ila baada ya kutoa fungu la 10 miezi miwili tu nimeona mafanikio makubwa, hilo nakuunga mkono
Hahaha, positive nyingine nzuri hasa kucheki afya mf HIV test, na magonjwa mengine
Ukitaka kuelewa vizuri positive na negative nenda ukapime Vvu ndy utajua yupo sahihi 🤣🤣🤣
Cha msingi hapa ni kila mtu apambane tuu, mafanikio ya mtu yakupe wivu wa kupambana ili kuyafikia malengo yako. Na watu mjifunze pia sadaka huwa inanena !! Kama Mungu ndiye aliyemuwezesha na akuwezeshe wewe na mimi pia !! Tupambane tumheshimu Mungu na tutafute hela !!
Kweli kabisa
Kweli kbs tutafute hela
Kweli
Samahan Dada naomba mawasiliano yako ili unisaidie kitu tushee mawazo naomba sana
Biashara mtandao ndio nini
Asalaam aleykum huyu dada muongo sana na ni mwizi wallah katuibia pesa huyu dada karibia milioni mbili tulitaka dawa za uzazi na matatizo mengine nasi tukamtumia pesa wallah naapa na Mie muislam huyu dada hatujamsamehe ataenda kutulipa kesho AKHERA in sha Allah Yaani Ata siamini Kama kachukua pesa ekesha haja tutumie dawa kila nikikumbuka roho inaniuma sana Allah atatulipia kwa huyu dada mwizi anaibia watu pesa kuhusu dawa munaongea na Sim uzuri unatuma pesa ekesha hatumi dawa wala nn izo Mali za utapeli nenda uko bonge unanenepa kwa Nguvu za watu looo 😢😢
Pole sana dada, hakika Allah atakulipia
Ni ukweli tapeli mzoefu huyu Kuna rafiki yangu pia alimtumia pesa ya dawa za uzazi kamkalia kimyaaa muongo sana
@@jasminmayumba9421 Ahsante sana ndugu yangu hakika malipo yapo kwa Allah
@@shamimushittindi1418 tena muongo sana huyu dada kwa Kweli Allah yupo atatulipia haki ya mtu haipotei
Mimi nataka hunisaidie nipo mozambique nakupenda sana
Huyu dada alitaka kunitapeli 1 million ila nilimshitukia huyu ni tapeli kila siku akaunti mpya kumbe ndo pesa zetu unajengea nyumba ukishatuma tu pesa unabrokiwa😂😂😂😂
Hongera sana Dada ukweli umenifurahisha sana natamani nionane na were uniambukize upako wa kutafuta pesa Mungu aendelee kukutunza.
Safi sana......kila binadamu ni tajiri ni akili ya mtu.
Hongera sana mwanangu umeugusa moyowangu napendasana ujenzi. Natamani hataningeongea nawewe binafsi
Mbona sijaelewa lengo la hii clip. Ni biashara ya nyumba? au yeye mwenywe?😄 mara anasema yey ni single mother lkn hawez sema kma yupo single.😄
Ujiunge na neolife ndo wanachotaka
wow wow what a beautiful
I'm coming to buy a property in your country
KAMA HUJAELEWA AYO TV ANATAKA NA SISI WAZEMBE TUAMKE NA KUTIA BIDII ILI TUJIKWAMUE KIMAISHA.
Mbona simuelewi kwaza biashala gani anafanya
Hongera sana ila ninachojua mm mafanikio ni siri ya mtu
Umesema kweli unaweza ukaanza biashara iyo wewe usitoboe ....watu Huwa hawasemi behind hizo biashara
@@gracekenan4665 ni kweli watu wengi hawasemagi ukweli
Wohii huyu dada ni tapeli alituita makumbusho melinium tower atupe mchongo wa kujiajiri akatuambia tununue dawa kwa laki 3 tukauze tutapata faida ya laki sita na atatusapoti kupata wateja mweee mweeee sio poa mjoja wetu alitoa hela yake hakupaata wateja wala hakuuza chochote na pale alipo kuwa anasema ndo offisi yake hakumkuta jamani ninacho wambia ninakijua msije mkamtafuta huyu dada ni mwiziiiiii
Axante sana dunia imeisha
Waambie
Nimekupenda sana dada pia napenda sana watu wapambanaji na wanaotia nguvu nasio wanaokatisha tamaa sijui kwanini mtu akishindwa anakatisha tamaa
Hongera sana dada. Mungu azidi kukupandisha
Hongera sana masipeti..ila kitu kinachonikwaza ni kuweka account private ya instagram..ni bora ungefungua ndio ungepata watu wengi zaidi..Anyway kuhusu jiko la nyumba unasema ni quality sana yes ni zuri ila jiko dogo sana..jiko langu ukiona mamy..its very big..kubwa la kutosha..kibongo bongo umeweza sana..hongera..
Mm nimesikiliza mpk mwisho ila hata cjaelew n biashara gan anafanya
Hongera sana natamani kufika hapo ulipo ngoja nipambane nakosea San kutokuto fungu la kumi
Seema biashara gan unafanya bas🤣unajisifia mnoo
Hongera Sana na mungu azidi kukulinda hasa katika swala zima. Lamapenzi kwa wazazi na mtoto
Amiina
Milard ayo umekosea kumpa mic 🎤 aongee mwanzo mwisho ungemuhoji wenye mafanikio wanataja hiyo biashara anayoficha
Ndio hapo,,,,mbn hataji hiyo kazi ili na sisi tujifunze
@@jenifagerald1822 mwizi ndo maana saivi kaja na huku apate kuibiya watu zaidi
Umenitia hasira ya maisha...umri wako na mambo yako tofauti it's like u re my daughter...hongera sana sana.
Masha Allha hongera sana dada umeweza mpenzi 👌😘🔥wacha na mm nipambane huku🇴🇲
Dada angu masipety
Mzungu sana
Ana roho safi sana
Hongera dada iwe iwavyo hongera dada yangu🎉🎉🎉🎉
Hongera sana mfamasia wenzangu naomba Namba yako Kwa mawasiliano
Mimi ninaheshimu watu proactive. Ninaomba kuongea nawe zaidi ili kujifunza jambo.
@@kamogesamuel2461 we baki na njaa zako ustegemee utakua Kama yeye😆
Mwenyez Mungu na akujalie hitaji la moyo wako dada,pia nahitaji ushauri kutoka kwako ,
Biashara yake Ni ya mtaji mkubwa Ana pharmacy anauza madawa, madawa yanalipa sana faida Ni nusu kwa nusu. Ukieka mia unapata Mia mbili.
True kabis 🤸🤣🤣inapesa chafy
@@zaitunirajabu1317 sanaaa
Very inspiring hiz kaz za medical za kidwanz sana unasoma kwa garama na mda mrefu unakuja kulipwa lak 3😂😂😂😂😂 usipokua makin utaishia kununua kadeti na iPhone tu
Nimekupenda, 1 kuwapenda wazazi na mimi nakupa baraka pokea mwanangu
Yani nimempenda mpaka raha, na mwenyewe yupo na furaha ya ushindi, hongera sana
Unafanya biashara gani ndo jambo la msingi, maneno mengi bado sijui unafanya nini zaidi ya kusema wewe ni single mother na nyumba zako. Hongera anyhow
Neolife/GNLD ni network marketing
@@Jackmushil hakuna biashara ya namna hiyo hao ni matapeli fungukeni
@@husseingabo5497 kwani nimeandika nini hapo
@@Jackmushil kumbe matapeli wa network marketing
@@Burner_Acc nitapeli kweli mie kanitapeli pesa nyingi sana naona saivi kaja hapa
Safi sana mass peti mwewe ni mfano wa kuigwa nimeelewa zaka na sadaka
Tumekuwa inspired 🙏Thank you Millard 🙏You are the best
Uko vizuri Sana dada, naomba tuwasiliane unisaidie kitu
Majigambo Kwa sana
Nyumba 4 ndani ya miaka 3 aah dada ulikuwa unazichota bank au mbona wenye kz zao miaka 10 nyumba 1 inawagalagaza tuambie ukweli bwana hiyo biashara uliyoifanya hd utoe nyumba 4 kwa muda mfupi
mbona biashala aisemi uyo janja janja
@@stellahlinusi8215 Ndy nashangaa miaka 3 nyumba za M.280 tena 4 aah asitudanganye bwana ht hao wauza unga hawawezi jenga hivyo
@@Official83640 ndio hpo
@@Official83640 muongo kwa nn asemi biashala muongo uyo kuna mtu yupo nyuma yake anae muezesha pesa lakini sio biashala tu ndo nyumbani nne miaka 3 apana kila mtu ana mpinga kwamba muongo eti kisa mchaga hahaha asitudanganye
Wanataka kufanya watu wengine hawahustle watu wapo makazini miaka nenda Rudi kujenga nyumba Moja tu inawatoa jasho
Nimekupenda mnoo mdogoang hongera sana
Jamani huyu binti namjua wakati anaishi boko ni mpambanaji mnooo...hongera my dear..
Anafanya biashara gani?😢
Kweli NGUVU za kiume ni janga aisee namimi soon ntaanza kuuza by the way hongera sana
Izo comments noma 🤣🤣🤣mashallah lkn dda kila atakula kwa urefu wa kamba yke alaaah 💃
Hongera sana, naomba na mm unishike mkono mm ni dereva wa maloli, sema trela
Umeshapata kazi, tutafutane
Jinsi anavyojisifia ukitaka kuliwa vipesa vyako kidogo ulivyo navyo.basi mtafute huyu dada akuonyeshe biashara ndio utajua kulanguliwa ni nini
Nimecheka
Napenda kufanya biashara lkn cjui pakianzia❤
😂😂😂😂
Huyu ni muhun niliwahi kumtafuta nikaongea naye mwisho nikagundua ni tapel nikamkacha
Hongera mdogo wangu
Ajifunze kwanza kingereza 🤣
Hongera dada na mm nitafuata nyayo zako
Safi sana unaweza kunielekeza na mm dada
Nimekupenda San dada🥰🥰🥰
Sikujua kumbe ARUSHA ni kijijini 😂😂🙌🏽🙌🏽
Apart from weakness zake nmependa suala la zaka na sadaka i believe for that na naungana nae kwenye hicho
Ma sha Allah lkn tambo nyingi kama Haji Manara
Bina fusi na pambana kuzitafuta fulusa ila sielewi mambo ni mengi na sielewi cha kufanya
Kama kuna mtu anaweza nisaidia network karibu
Hongera sana mdogo wangu nimekupenda na mungu akubariki Sana Sana Sana. Naitaji ushauri wako
Jaman hongera sana mdg wangu
Hata sijaelewa content yenyewe najionea misifa tuu aibu naona mimi
Kupata ni siri ya mtu! Haijalishi una umri gani! Kama umepata ni siri yako! Ulivyo fanya unajua wewe na mungu wako!
TUSIMVUNJE MOYO HATA SISI TUNAWEZA MAADAM HATUJAFA BADO ILA TUCHAPE KAZI.
Lazima atangaze maana ndoa anavyotangazia biashara yake ukajiunge Neolife/GNLD ni network marketing.
Umesema
Dada mdogo mwenyewe pesa nyingi + chief God love tafuta pesa💪
Hongera nime tamani kuwa kama wewe dada je nakupataje
Tuoane best na mm ni single father🤭😉
Nmekupenda sn. Asante
Siri ya maisha anajua Mungu.
Siri ya maisha nitapeli. Mie kanitapeli milioni moja laki nane sasa mbali watu huwajui
@@Nairathotmail alikutapeli vipi utujuze tusije na sisi tukayavagaa
@@jasminmayumba9421 watu wawe makini sana isije kuwa kuta yalo nikuta mie
Money Talks my dear friends
And well done my big sister ❤
Dada naomba niwe nawe nikuoe kabisa twende nyumbani
Barikiwe sana
Asate dada naomba no zako ❤❤❤
Zaka na sadaka,asante dada
Dada naomba unishike mkono unipe njia jaman natamani na me nifikie malengo
Mafanikio ni Mungu, huwezi kuyapata kwa kusikiliza waliofanikiwa. Baki na Mungu akupe na wewe
Jamani watu wa mkoa wa Kilimanjaro wanajenga hatari jamani wanajenga majumba y hatari wanashindana tokeni mikoani mingine nendeni mkoa w Kilimanjaro mjifunze huko
Congratulations 👏 may God keep bless you 🙏
Ndo miaka 29 mitaa ipewe jina lako na serikali ilikataa na wanaona ujinga huu, halafu ukiona una pesa unajisifu jua kuna walakini
Sawaa hongera--ila bado uhalisia wamaelezo haujakaa sawa
Ww wacha uwongo uwo sadaka gani za wizi au tuma dawa zetu kwanza ndio ufanye majisifu unazulumu hu muogopi Ata Allah wacha majisifu ww mwizi mkubwa
Hahahhahaha. Najifunza ila huko kuwa positive ndio nn tena
Michanganyo mingi...
Nahic ameteleza alikuwa anamaanisha NEGATIVE ( kuwa na mawazo hasi, mawazo yasiyojenga)
Hongera sana,umeweza.
Dada nnashida na wew
Naomba namba yako dada
Nimekupenda dada naomba namba tuongee
Manispet ulinifanyia kitu kibaya sana acha nikusamehe ili na Mimi Mungu anisamehe
Masipet
Alikufany nini
Kakuibiya kama mie maana mie kanibiya saivi namuachiya Mungu
Huyu asiejua hata positive ni nini ??
Dada usitubebe ufala wewe ,una secret bness Tena illegal ila unajiuma uma .acha porojo pls .
KWANI HILO DUKA LA MADAWA HAMLIONI? NA SISI TUTIE BIDII KUSOMA KAZI ZIPO NYINGI ILA SIYO ZA KUAJIRIWA. AMERUHUSU KUMTAFUTA ILI ATUSHAURI , SASA TUNATAKAJE? MBONA VIJANA WENYE PESA WAKO WENGI TU, HAPO HAKUNA UBAYA WOWOTE.
Na kwa nini biashara ameificha atuambie ni biashara gani😂
Dada angu mimi ila sahii nipo oman❤❤❤❤ nimekupenda nitumiye tuongee watsap ata mimi napenda biasharaa
Hongera dada
Napenda mtoto anaejua thamani ya wazazi
Kesho mende nae mutamuita Mrembo... Semeni Binti...
sio binti ni mwanamke binti mwisho miaka 19
Mambo ya neo Life ,,,,hizi biashara kilakona wanao fanikiwa niwachachee
Kama mchezo wa pata potea zinataka moyo
Umakini unahitajika sana unaoowasikiliza the so called motivation speakers 😂😂😂
Kumbe Mrembo wa kiharusha Hawa wana Mbinu nyingi Sana Za kutafuta tuendeleeni Kujifukizaaa 🤣🤣🤣🤣 ukitakaa kuita Maji MMA uoe Pande hizo 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na mimi nina fanya mtandao na hayo nimefanya lakini Nimekukubali sana wewe ni mwanamke shujaa ...na una hekima sana sio kuwa na pesa ndio uishi ovyo...hawo mentor wako utakuwa bora zaidi yao ...Nature yao wewe utafanya zaidi
Hongera mpenz
Interview hovyo kweli....
chuo,kazi, biashara,bado miaka 29, tu, majigambo kibao,ila hongera dada
Naomba wazo kijana mwenzako natafuta mchongo wakufanya kwangu mtaji so shida napambana but I need hiyo fursa ya kibiashara
Naomba naomba yako kwa ajili ya oshauri mwangu
Upo Freemason u so ibishe unadhani sisi hatujui njiazamkato mjingaww hiyonyumba sisi inatuhusu Nini kwendazako Malaya wew
Classmate🎉🎉 hongera
Millard Ayo naomba namba ya huyo dada natamani.nijifunze hio biashara
Na mimi nimetamani nimtafute nijifunze kutoka kwake, angalau nijenge hata nyumba moja.
Ujifunze utapeli
@@shamimushittindi1418 ww umejuaje kama ni tapel
Hongera sana
PESA gani haijulikani inakotoka si aseme anapataje, Millard Ayo acha kupost taarifa zisizoeleweka, au ndo hao matapeli wa mtandaoni?
Hata hujaeleweka dada,
Nitapeli kweli anatapeli watu