HII NDIYO HOTEL YA KIFAHARI ALIYOJENGA BILIONEA WA MAGARI MUSOMA, ANA BEACH NA BOTI LA KISASA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ค. 2023
  • Ni mwendelezo wa Episod kuhusu mfanya biashara bilionea Rama Msumi mwenye asili ya Musoma, Mara na kufanya uwekezaji wa hotel ya kifahari na yutch bot iliyopo kwenye eneo lake la beach, amewekeza kwenye mengi ikiwemo mpaka nje ya nchi, na kwa Musoma Tumezungunza na Meneja wa Legrand Victoria Hotel, Magembe Daniel aliyeelezea zaidi uwekezaji wa hoteli hiyo.
    Legrand Victoria Hotel Musoma
    Email: legrandvictoriahotel@gmail.com
    Contact: +255 658 059 867 +255 762 198 409

ความคิดเห็น • 81

  • @simonmwaliru8590
    @simonmwaliru8590 10 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana kwa kukumbuka kuwekeza nyumbani. Ni vizuri kumsupport katika biashara zake,ndiyo ubinadamu huo.

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 11 หลายเดือนก่อน +6

    Huyo manager director hajui kujielezea vizuri hana motivation

  • @MursalMursal-op3ly
    @MursalMursal-op3ly 11 หลายเดือนก่อน +3

    Champion ndani ya nyumba🎉🎉🎉 shukurani sana kwa ayotv kwa kuchagua usafiri bora kanda ya ziwa mwanza to msm #champion express... Karibu usafiri nasi kila siku kwa safari za mwanza to msm nyakati zote kuanzia saa mbili asbh mpka saa mbili usiku... Tunakujali tunakupenda abiria wetu tunakufikisha kwa wakati ni champion pekeeeeeeeeee

  • @mohamedshaaban9740
    @mohamedshaaban9740 11 หลายเดือนก่อน +8

    This man Rama Musomi Allah give you more and more. You are our mentor always.

  • @denicegaspar9479
    @denicegaspar9479 11 หลายเดือนก่อน +4

    Hapa ni shalala Wana huduma nzuri kweli🙏

  • @user-bz2bg5bf3y
    @user-bz2bg5bf3y 3 หลายเดือนก่อน

    Mashallah mabrouk tabarakhaallah good job SOMO inshaallah khilla RAMA MSOMI

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 11 หลายเดือนก่อน +2

    Manager smart Sana

  • @saimontipaa6887
    @saimontipaa6887 11 หลายเดือนก่อน +6

    Very beautiful hotel

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 11 หลายเดือนก่อน +6

    MashaaAllah tabaraka Allah 👏❤️

  • @hafidhclassic5862
    @hafidhclassic5862 11 หลายเดือนก่อน +2

    Congratulations Boss Allah akuzidishiee Una baya na mtu tajiri 🤲🤲

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 11 หลายเดือนก่อน +5

    Muendelee kutuma nazakutolea mafanikio mtayaskio studio 🎙️🎙️🎙️

  • @rastapeace9616
    @rastapeace9616 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe umri mrefu na afya njema kwa kuweza kuja kuekeza kwenu na kuwasaidia watanzania wenzako

  • @user-gd6qi3ot8y
    @user-gd6qi3ot8y 11 หลายเดือนก่อน +1

    Chama la wapigaji tanzania😂😂😂huyu ndo atakuwa mwenyekiti sababu yeye ndo katoboa kuliko wote,
    Hawa ndo matapeli wakubwa tanzania wanaoperate nairobi/mombasa tu.. enzi zao maokoto kama mchanga..
    Wapi mtemi zumbe😂😂😂team moja

  • @andreamathew4585
    @andreamathew4585 หลายเดือนก่อน

    Naomba kazi

  • @rumdeesonsoa1811
    @rumdeesonsoa1811 11 หลายเดือนก่อน +1

    Inspiration

  • @RizikiRiziki-bp6dx
    @RizikiRiziki-bp6dx 10 หลายเดือนก่อน

    Hongera Kaka yangu.

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 11 หลายเดือนก่อน +2

    Inabidi aongeze nyingine vyumba 20 very few

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 8 หลายเดือนก่อน

    #BLESSINGS......💥💥❤🙌🙌

  • @jamesmasunyiro8733
    @jamesmasunyiro8733 3 หลายเดือนก่อน

    Manager unatakiw kubland zaid ubora wa huduma ya hapa, semea tofaut nying zaid ktk hii hotel ili kuwashawish watu

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 11 หลายเดือนก่อน +2

    Aiseee

  • @eramboya8724
    @eramboya8724 11 หลายเดือนก่อน +6

    Ikopoa sna hyo boss rama msomi na Kenya weka kitu kma hyo

    • @seneu.2128
      @seneu.2128 11 หลายเดือนก่อน

      Anayo Kenya ipo Mombasa

  • @nahiriali1405
    @nahiriali1405 11 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa kafanana sana na sheikhe othman Michael au ndugu nini?

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 10 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @tabynas4485
    @tabynas4485 11 หลายเดือนก่อน +2

    Vidooo nakupenda......

  • @ramahzedon6688
    @ramahzedon6688 10 หลายเดือนก่อน +1

    Peninsula ndo ilikuwa bora kabisa, ila Mativila ndo top kwa sasa huwezi sema Le grand ulinganishe na Mativila

  • @SaldohMascotRapper
    @SaldohMascotRapper 11 หลายเดือนก่อน +9

    Millard ayo at least put the hotel name on the description

  • @isihakaliyuma1848
    @isihakaliyuma1848 11 หลายเดือนก่อน +5

    Pesa ni fumbo jamaani

  • @ramadhanhewass8023
    @ramadhanhewass8023 10 หลายเดือนก่อน +3

    Legrand hotel rama aje babat manyara kuna maeneo mengi ya milima na ziwa babat japo ni dogo aweke pia hotel hata hadhi yake ikiwa nyota 4 location ya mkoa wa manyara ni amaizing sana na na ni mji wa kitalii na jiran na musoma pia kwa kuoitia goma serenget ila kwa babat ndo sana location kama mjengo ukiwa mliman kwenye miteremko ya milima ndo inashukia ziwa babat na pia kuna kama hekar 12 katikati ya maji ambayo ni ardhi anaishi mtu na analima anafuga pia ingekua vp kama legrand babat hotel ikiwa kwenye mji wa aman na utuliv kama babat afu ni ktk pia mwa nchi yetu

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 11 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi nipo tu jamani saa zi ngine natamani nisiingie yuoteb ndo mambo kama haya uñawaza mpaka unawazua

    • @mwana4599
      @mwana4599 11 หลายเดือนก่อน +1

      Jamani. Work hard utafik mahali si lazima kufika level ya Rama.

  • @user-cu5oc9hg5u
    @user-cu5oc9hg5u 9 หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @mtoimohamed6594
    @mtoimohamed6594 11 หลายเดือนก่อน +2

    Masha Allah

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 11 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa tangazo

  • @gemwatz823
    @gemwatz823 11 หลายเดือนก่อน

    Wonders

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa bahati mbaya musoma hawana timu ya ligi kuu jamaa angepiga pesa ndefu ila hapo amewekeza hela na atavuna tu, Mungu akuwezeshe broo mpambanaji

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 11 หลายเดือนก่อน

    Hongeraa

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 11 หลายเดือนก่อน +1

    Pongezi Hotel iko poa sana

  • @shadrackkassale2968
    @shadrackkassale2968 9 หลายเดือนก่อน

    Jamaa pesa anazo mazee

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wekeni Gym please Gymnastics

  • @yahayaramadhani3653
    @yahayaramadhani3653 11 หลายเดือนก่อน

    Hiii ndo kali musoma nzima

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 11 หลายเดือนก่อน +1

    Saahivi wanayo musoma

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera4323 11 หลายเดือนก่อน +1

    Billionaire...?? In term of shiling or

  • @user-ij5ws7xy3b
    @user-ij5ws7xy3b 11 หลายเดือนก่อน +3

    Musoma ipo maeneogan hiyo

    • @erickrubanda
      @erickrubanda 11 หลายเดือนก่อน

      Mkoa wa mara

    • @wakunatahafai1969
      @wakunatahafai1969 11 หลายเดือนก่อน

      @@erickrubanda hujamuelewa kaka alimaanisha hiyo hotel Iko maeneo gani hapo Musoma je ni mjini au pembezoni mwa mji

    • @user-lr5wc6kk7m
      @user-lr5wc6kk7m 11 หลายเดือนก่อน

      Musoma mjini,kata ya bweri,mtaa wa kariakoo

    • @shabanimusa873
      @shabanimusa873 11 หลายเดือนก่อน

      Kata ya Iringo barabara ya Kenedy mtaa wa Iringo c

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj 11 หลายเดือนก่อน +7

    Hakika mwenzetu kajaribu.

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 11 หลายเดือนก่อน +1

      Nimependa kuwa anapenda vitu vzr na anasema mi mwenyewe najipenda.Kama unacho tumia,hahahahah

    • @amanimanase8798
      @amanimanase8798 11 หลายเดือนก่อน +1

      Sio kujaribu tu bali kafanya na kafanya tena hii sio kujaribu ni kutenda

    • @mclee493
      @mclee493 11 หลายเดือนก่อน +1

      Mmh kajarib kawez mm hata mgahawa wa mama ntilie cna ..

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 11 หลายเดือนก่อน

      @@rehemakanyere4188 unapatikana wap rehema.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 11 หลายเดือนก่อน

      Hajajaribu amefanya

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna watu Wana pesa Zaid ya huyo Kama Mara 50 Zaid japo hawajionesh lakin so mbaya nae Yuko vzr sana

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 11 หลายเดือนก่อน +2

      Lakini hapa nahis anatangaza pia biashara sio kujionyesha kuwa ana pesa

    • @hassanmugire1497
      @hassanmugire1497 11 หลายเดือนก่อน +3

      Acha wivu

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 11 หลายเดือนก่อน +2

      Anatangz biashr yake sio pesa zake

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 11 หลายเดือนก่อน +2

      Anatangz biashr yake sio pesa zake

    • @samsungtz9148
      @samsungtz9148 11 หลายเดือนก่อน

      Ww una nini 😂?

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 11 หลายเดือนก่อน

    Usiseme billionea sema milionea

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 11 หลายเดือนก่อน

      Huyu ni bilionea so mchezo

  • @souksoukeventsandmarketing653
    @souksoukeventsandmarketing653 11 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ndio hotel kubwa tulifanya utalii Musoma tulikosa vyumba vimejaa hii Hotel ,tukalala hotel nyingine ni chafuu tulizunguka kutafuta hotel zingine Mpaka saa 7 usiku hotel ni mbaya mashuka na vyoo hatari wa Huduma.Musoma wanahitaji uwekezaji tulizunguka sana kutafuta hotel ya ⭐️⭐️⭐️ hakuna I promised not to visit Musoma ever again

  • @IsraelKisaila
    @IsraelKisaila 11 หลายเดือนก่อน +4

    Bei ni sh ngapi kulala kwa siku?

    • @Iamsasboy
      @Iamsasboy 11 หลายเดือนก่อน

      800,000 per night

    • @georgetanzania332
      @georgetanzania332 11 หลายเดือนก่อน

      🤑🤑🤑

    • @IsraelKisaila
      @IsraelKisaila 11 หลายเดือนก่อน

      @@Iamsasboy napata HUDUMA zipi na zipi ?

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@Iamsasboywee lakin name au elfu 80

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@mariamkibindo1741nilitak kujua pia

  • @Movies_headquarter
    @Movies_headquarter 11 หลายเดือนก่อน +3

    Tumpe bandari

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv 11 หลายเดือนก่อน

      😂

  • @selanyikatv
    @selanyikatv 11 หลายเดือนก่อน

    Namdaa sijamuon @dullah_tz