HII NDIYO HOTEL YA KIFAHARI ALIYOJENGA BILIONEA WA MAGARI MUSOMA, ANA BEACH NA BOTI LA KISASA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ค. 2023
- Ni mwendelezo wa Episod kuhusu mfanya biashara bilionea Rama Msumi mwenye asili ya Musoma, Mara na kufanya uwekezaji wa hotel ya kifahari na yutch bot iliyopo kwenye eneo lake la beach, amewekeza kwenye mengi ikiwemo mpaka nje ya nchi, na kwa Musoma Tumezungunza na Meneja wa Legrand Victoria Hotel, Magembe Daniel aliyeelezea zaidi uwekezaji wa hoteli hiyo.
Legrand Victoria Hotel Musoma
Email: legrandvictoriahotel@gmail.com
Contact: +255 658 059 867 +255 762 198 409
Hongera sana kwa kukumbuka kuwekeza nyumbani. Ni vizuri kumsupport katika biashara zake,ndiyo ubinadamu huo.
Huyo manager director hajui kujielezea vizuri hana motivation
Njoo ukielezee wewe
Champion ndani ya nyumba🎉🎉🎉 shukurani sana kwa ayotv kwa kuchagua usafiri bora kanda ya ziwa mwanza to msm #champion express... Karibu usafiri nasi kila siku kwa safari za mwanza to msm nyakati zote kuanzia saa mbili asbh mpka saa mbili usiku... Tunakujali tunakupenda abiria wetu tunakufikisha kwa wakati ni champion pekeeeeeeeeee
This man Rama Musomi Allah give you more and more. You are our mentor always.
Hapa ni shalala Wana huduma nzuri kweli🙏
Mashallah mabrouk tabarakhaallah good job SOMO inshaallah khilla RAMA MSOMI
Manager smart Sana
Very beautiful hotel
MashaaAllah tabaraka Allah 👏❤️
Congratulations Boss Allah akuzidishiee Una baya na mtu tajiri 🤲🤲
Muendelee kutuma nazakutolea mafanikio mtayaskio studio 🎙️🎙️🎙️
🤣🤣🤣🤣
Mungu akupe umri mrefu na afya njema kwa kuweza kuja kuekeza kwenu na kuwasaidia watanzania wenzako
Chama la wapigaji tanzania😂😂😂huyu ndo atakuwa mwenyekiti sababu yeye ndo katoboa kuliko wote,
Hawa ndo matapeli wakubwa tanzania wanaoperate nairobi/mombasa tu.. enzi zao maokoto kama mchanga..
Wapi mtemi zumbe😂😂😂team moja
Naomba kazi
Inspiration
Hongera Kaka yangu.
Inabidi aongeze nyingine vyumba 20 very few
#BLESSINGS......💥💥❤🙌🙌
Manager unatakiw kubland zaid ubora wa huduma ya hapa, semea tofaut nying zaid ktk hii hotel ili kuwashawish watu
Aiseee
Ikopoa sna hyo boss rama msomi na Kenya weka kitu kma hyo
Anayo Kenya ipo Mombasa
Jamaa kafanana sana na sheikhe othman Michael au ndugu nini?
Mashaallah
Vidooo nakupenda......
Peninsula ndo ilikuwa bora kabisa, ila Mativila ndo top kwa sasa huwezi sema Le grand ulinganishe na Mativila
Millard ayo at least put the hotel name on the description
Pesa ni fumbo jamaani
Legrand hotel rama aje babat manyara kuna maeneo mengi ya milima na ziwa babat japo ni dogo aweke pia hotel hata hadhi yake ikiwa nyota 4 location ya mkoa wa manyara ni amaizing sana na na ni mji wa kitalii na jiran na musoma pia kwa kuoitia goma serenget ila kwa babat ndo sana location kama mjengo ukiwa mliman kwenye miteremko ya milima ndo inashukia ziwa babat na pia kuna kama hekar 12 katikati ya maji ambayo ni ardhi anaishi mtu na analima anafuga pia ingekua vp kama legrand babat hotel ikiwa kwenye mji wa aman na utuliv kama babat afu ni ktk pia mwa nchi yetu
Mimi nipo tu jamani saa zi ngine natamani nisiingie yuoteb ndo mambo kama haya uñawaza mpaka unawazua
Jamani. Work hard utafik mahali si lazima kufika level ya Rama.
Nice
Masha Allah
Asante kwa tangazo
Wonders
Kwa bahati mbaya musoma hawana timu ya ligi kuu jamaa angepiga pesa ndefu ila hapo amewekeza hela na atavuna tu, Mungu akuwezeshe broo mpambanaji
Hongeraa
Pongezi Hotel iko poa sana
Jamaa pesa anazo mazee
Wekeni Gym please Gymnastics
Hiii ndo kali musoma nzima
Saahivi wanayo musoma
Billionaire...?? In term of shiling or
Musoma ipo maeneogan hiyo
Mkoa wa mara
@@erickrubanda hujamuelewa kaka alimaanisha hiyo hotel Iko maeneo gani hapo Musoma je ni mjini au pembezoni mwa mji
Musoma mjini,kata ya bweri,mtaa wa kariakoo
Kata ya Iringo barabara ya Kenedy mtaa wa Iringo c
Hakika mwenzetu kajaribu.
Nimependa kuwa anapenda vitu vzr na anasema mi mwenyewe najipenda.Kama unacho tumia,hahahahah
Sio kujaribu tu bali kafanya na kafanya tena hii sio kujaribu ni kutenda
Mmh kajarib kawez mm hata mgahawa wa mama ntilie cna ..
@@rehemakanyere4188 unapatikana wap rehema.
Hajajaribu amefanya
Kuna watu Wana pesa Zaid ya huyo Kama Mara 50 Zaid japo hawajionesh lakin so mbaya nae Yuko vzr sana
Lakini hapa nahis anatangaza pia biashara sio kujionyesha kuwa ana pesa
Acha wivu
Anatangz biashr yake sio pesa zake
Anatangz biashr yake sio pesa zake
Ww una nini 😂?
Usiseme billionea sema milionea
Huyu ni bilionea so mchezo
Hiyo ndio hotel kubwa tulifanya utalii Musoma tulikosa vyumba vimejaa hii Hotel ,tukalala hotel nyingine ni chafuu tulizunguka kutafuta hotel zingine Mpaka saa 7 usiku hotel ni mbaya mashuka na vyoo hatari wa Huduma.Musoma wanahitaji uwekezaji tulizunguka sana kutafuta hotel ya ⭐️⭐️⭐️ hakuna I promised not to visit Musoma ever again
Bei ni sh ngapi kulala kwa siku?
800,000 per night
🤑🤑🤑
@@Iamsasboy napata HUDUMA zipi na zipi ?
@@Iamsasboywee lakin name au elfu 80
@@mariamkibindo1741nilitak kujua pia
Tumpe bandari
😂
Namdaa sijamuon @dullah_tz