MWANAFUNZI ALIEACHA CHUO, NA KUTUMIA ADA YA WAZAZI KUUZA VIATU BILA WAO KUJUA HADI SIKU YA MAHAFALI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Suzan British mwenye umri (24) binti alieamua kuacha Chuo akiwa mwaka wa pili akisomea Ufamasia bila ya Wazazi wake kufahamu na kuendelea kumlipia ada, na yeye kuitumia ada ya Wazazi wake kuanza biashara ya kuuza viatu huku Wazazi wake wakiamini mtoto wao anaendelea na masomo hadi hapo walipohudhurua mahafali yake 2020
Kujiamini, nidhamu katika pesa na kuheshimu watu...
Keep on living with that spirit...
It will take you up to your highest destination.
Hongera sanaaa Suzy
👏👏👏
Safi sana huyu Dada amenifundisha kujiamini na sku zote kwenye maisha hakuna kufeli Amini unachokifanya,,,,big up dah ungeweka number basi tungekuunganisha hata kutoka mikoani biashara yako ikue mama
Malkia wa nguvu
Daaah!!!!! Ukifanya kitu cha Mana kupitia PESA zao...... Japo watalalamika ila baadae wataona ni kitu cha Mana ukianza kuwasaidia....... Jambo zuri dada........
Mungu ni mwema nimejifunza kitu,,,,, kwamba Kuna kitu kiñaitwa kuheshimu pesa na nidhamu ya pesa na watu.....
Ula ula aina kufilimba kusoma sio kutoboa bali tunaondoa ujing 2 ""Find money""big up sister
Brilliance congratulations to you!! Lkn piah hata matajiri wakubwa ukiwauliza watasema walianza kwa kuuza 'karanga'
Hivyo ni vyema kuona na kujifunza, cyo lazima uwe na elim ndy upate pesa Lkn piah ni lazima uwe na elimu ili upate pesa.
Hapa tunasema bampa tu bampa, ukipata pa kuchomokea Bc ndy Hapo Hapo shikilia...
#.BongoLand
Intelligent is not about books it is about passion and do want Make sense to you and bring value to your life.. congrats sister
Duh.mkanikumbusha mbali. Niliacha chuo pia nikatumia mtaji kwa baishara...nikaja kusoma baadae na sijutii hadi leo. Ingawa biashara niliacha baadae ila nilijifunza sana maisha na kujitegemea katika muda ule
Hii interview nadhani haifai. Haifundishi jamii. Itasababisha vijana waige huu ujinga. Vijana watadanganya sana wazazi.
Inafundisha pakubwa sana. The end matters more than the beginning
Ushauri
"Don't learn from successful people stories, learn from failure people stories"
Jack Ma Quotation 😂😂😂
True broo✊✊
That's what Jack ma said
If you learn from failure people you'll also be failure.
@@aganolamotoeliya2027 no u won't be a faliure rather u will just learn how to escape the setbacks that made them fail n u will succeed
Huyo ni mimi kabisaa hapaaa nimeachaa zangu chuo mwaka wa pili huu nimeajiriwa mahali mshaharaa mzuri to nna tegemea Hadi mwez wa sita inshaallah nifungue duka la nguo pamoja na boda boda mojaa nieze miliki,,,,
Me too nimeacha Chuo and am running my Bussiness hear in mwanza Am turning twenty 23 this year ntarudig tuu Chuo anyway😝😝😝 sijui lini
Oooh
😂😂😂😂😂
"kuliko kupoteza muda ni bora ukajiamini kwamba uko sehemu fulani." 💪
Kila mtu anamaisha yake unaweza ukaiga mbinu ya huyu dada ukaharibikiwa maisha!!!
Sahh
Kwa kweli
Dadaa shikamoo🎉🎉 MUNGU aendelee kuibariki kazi yako😊😊
sometime it good so good sababu unapata mtu anamaliza en still yupo mtaan almost mwaka au ata zaidi ya miaka anasubil ajira, au mtaj at least afanye chochote lakn nothing. so that is something to learn 🤔.." maisha n kuchagua" so ur in to the right track. Big up dear
Yani ningekuwa mimi ndo nimekusanya hizo ada 😂😂 i can't imagine vile mom angekufa presha
Ahhhhhhh
😂😂😆
Kwa mama yangu mm unachezea mbata ile mbaya
Nakumbuka nilichezea mbata nikiwa chuo mwaka wa kwanza hahahaha kwa mambo ayo ayo ya pesa dah.
Nakumbuka nilichezea mbata nikiwa chuo mwaka wa kwanza hahahaha kwa mambo ayo ayo ya pesa dah.
Mmmh.. Ulidisco ila ndio hivo ulijiongeza sema fresh pambana
Pia nmemwelewa alidisco chezea msuli wa chuo weye,hahahaha ni atar sana ctak kukumbuka.
@Humphrey Msengi hahahaha ndo ivo
@Humphrey Msengi usipo jitoa akir unaaibika kila ck masup tu
Kbsaaaaaa
"Siwezi sema nime jutia nasema nime Jifunza "
;
Ni kweli kàbisa yaani
Jamn suz hongera sanaaaa😄😄😄😄nmekukumbuka enzi zile mk
Hii historia yngu kbsa jmn
Superwoman huyu dada namuona mbali sana siku zijazo. Congratulations sister
Bora uliamua Classmate Wangu Congratulations nying kwako Dadaangu.💪🏽🙄
Onyo usijaribu kuiga ikibuma huna wakumlilia na utaonekana kama kinyesi
Amin kwmba, kamali mchezo hatar
Nimecheka kinoma
Tafuta hela
Agza soda mkuu
Kwel
Anaweza kua mtanzania wa Kwanza kumuunga mkono mbunge wa kahama na msukuma
Ndiyo
😂😂😂😂😂
Vyeti bila Hela sawasawa na bure Tu😂 kwahiyo tutafute pesa
Akili - toa kila kitu ulichojifunza darasani =Akili
Angefuata vya darasani ingemkata maana sometimes Elimu ya darasani inalengo la kukufanya uwe mtumwa vile but ni mtazamo tu
Jichanganye na wewe uache sasa 😂
Ila miongoni mwa course nzuri kwa Sasa ni pharmacy. Cheti chake ukiwa nacho na ukasimamia duka la dawa Yale ya jumla kinalipa 1.2m Hadi 1.5m. ukifanya na supply chain ukafanya kwa miradi inakulipa zaidi labda aseme hakupa mshauri Mzuri
Ambaye ana exposure ya mambo hayo. Ok by the way ni maamuzi yake Ila mi niliangalia hiyo biashara na cheti Cha pharmacy duh kapoteza. Angesoma akawekeza kwa biashara angekuwa mbali zaidi
Biashara yyt lazma uichoree ramani kichwani mwako na ujue utapenyaje kila sehemu hyo ramani kichwani mwake haikwepo alifanya biashara ambayo ramani yake anaielewa kirahisi.
Kila mmoja Kuna anachokiamini....hata hivyo Elimu haina Mwisho
Hzo statistics zako ndugu! Mambo kwa ground yapo tofauti Sana 😂🤣
Kumbuka alifeli mara mbili sasa hiyo cheti angepateje
Nakusupport mwenyewe naiwazia kusoma hata diploma yake tuu nijiajiri
Now thats real hustle there, Bcoz others might use fees for luxury but her she made it a capital.... not all get such chances. but Hongera Kwake.
Hio biashara ni mpaka uwe umefanikiwa usipofanikiwa utaelewa.....
Wa kwanza apa naomben like zangu
Fake point
Kuwanga lazima hiyo biashara mana wengi.wanafeli
Utashiba hizo likes hata tukupe za dunia nzima???
Umeonaaa
Mkaka unakaa unaomba like za nn sasa
Huyu dada yuko so trick na mjanja mjanja sana. Ila ujanja umemsaidia.
Good planner,,,, kupata Elimu nikitu kizur Ila Kazi nikuibadili hiyo Elimu uliyoipata kuwa pesa.
She took a very tough decision hiyo risk ni kubwa sana anyway tunaomba biashara yake ikuwe mzuri much love from Nairobi
Entrepreneur is risk taker , innovators
hii sio nzuri kwan itafanya watoto wetu waige kuacha chuo nakuiba ada sijaipenda mm bnafsiii
Yuko sawa tu tunasoma ili tupate pesa
Fact
Good
Wazazi wanoko akija kwenye graduation anataka Graduants book, nilifoji kila kitu, na wala sijutii, saizi hamna kitu nina maisha kuliko wanaomiliki vyeti
Ko had leo wazaz wako hawajui kuwa uliacha
Safi Sana Dada yetu, unajiamini na kukiamini ulichonacho tayari nimependa
Una akili Dada!....kuna watu wanakata tamaa na kuingia kwny kuolewaaa na kuzaa
Ni kweli kabisa
Wanaoacha wakaingia mtaani na maisha yakashindkana hawaonekani kwenye media, hivyo kila mmoja na funguo yake ya maisha. Akili ya kuambiwa changanya na yako.
akili ni nywele elimu ya sahv ni kujiongeza hongeraa😂
Wee jamaa huna mtiririko mzuri wa kuhoji!
Mi nilifikiri ungeweza kupata information Zaidi kuhoji pale mama alipofika dukani!
Huyu Dada anaroho ngumu siyo rahisi sana kuwa namaamzi kam haya ,Wengi wanavyuoni wanapenda kufanya kitu kam hicho ,But nafsi zinawafyonza kwanguvu nakuogopa chozi lamzazi ,Lakini yote na yote ukiamua kitu kam hichi inakubidi uungame mbele zamwenyezi mungu then umtangulize katka maamzi yako yakiwa na displine yahali yajuu mfano namna yakutumia fedha,Tofauti nahapo utajutia kufanya kitu kam hicho najamii itakuona kam msaliti ,kam siyo mweu.
Daah!, mchele unachenga ila huyu dada kapiga chenga nyingi zaidi ya mes
Mkurya wa sirar kabsa huyu dah hongera sana Mungu akutangulie
In gwitryo village 😙😙😙
@@nickypezzooo7792 had huku😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yaaan asikwambie mtu 😂😂😂😂😂😂
@@nickypezzooo7792 😂😂😂😂😂😂😂
@@cipladapretty8617 mambo ni moto wacha suzie apige pesa bwanaaaa
Mm nimeona sawa tu kwa sababu sio wote ambao wamesoma ndio wakafanikiwa unaweza kufanikiwa kwa kupitia akili ya kuzaliwa
Nimependa rasta zake. .... Safiii ... Cheusi mangala
😅😅😅😅
Safi sana vyeti havina mchongo hapa mjini
Mtangazaji umekosea sana. Hukumuuliza binti reation ya Mama ilikuwaje. Hii imeshusha sana hadhi ya kipindi chako hicho.
Suzy wetu,,Hebu Pambana mwaya
Sster we noooooma Tanzania tungepata watu Kama nyie tungefika mbali Mungu akutangulie katika maisha yako
Tungempata Kama huyu bas Tanzania ingekuwa Kama China
Chezea pharmacy...
Hii ndio màana ya "Risk taker"
Kikubwa maisha tu make money ######kaz kaz mama la mama
Suzy wewe mpambanaji hongera, hakuna kitu kibaya kama kukaa na mavyeti yako ndani alafu Ajira hakuna wafwaa na presha. Hongera but all in all piga evining course upate hata diploma au degree ubalance na muda wa biashara maana inawezekana but vzr ziwe course za art.
Better to listern to your heart and decide, bravo to her 🙏👏 wanasema kupanga sio kuchagua
Suzy umetisha Sana kwa huo ujasiri
I get a big leason from you my ccter congratulations keep it up from 🇲🇼
Brima nimekubali
Dada amenifunzaa kitu kikubwaa sanaaaaa....big up my sister
Na wwe ukawaibie wazazi wako
@@romeraphael6472 😂😂😂😂
Sio naww ukale ada xax ata kama amekufunza k2 😂😂😂
Chukua ujasiri wake na si vingine
Kikubwa uzima suzy ,mungu yu pamoja na wewe
Smartest woman I ever saw
Umetisha sana sister Suzzy
Big up wajina
A brave woman alive in tz..
Hongera sana nimeipenda
Mmm
Big up sana,wanasema ameupiga mwingi 💯💯💯💯
Hongera Suzi
Sema pharmacy ni ngumu Dada yangu ila hongera umeijua wapi pakutokea
Suzy jmn hongera san ni maamuzi mazuri
Hogera sana dada , elimu hainamwisho, kazi nzuri
Nicee Madame.
Tunasoma ili tuajiliwe so ni vyema tyuu kujiajili mwenyewe maana Mafanikio /Ni Taaluma ambayo ata Asie kua na elm Anaweza kufanikiwa tyuuu Yote sawa ila hongera yake Ishi KWA MATUMAINI tyuuu Ongeza juhudi so iki tyuuu Fanya zaidi ya iko Usidhike
I like her 😄❤️🇧🇮
Yupo sahihi alijitafuta kwenye shule Kuna wengine wanaajiliwa wanajitafuta pia kwenye ajira hawajioni
Dahhhhhhh umenikumbusha mbali sana dada
kujiajiri nibora zaidi kuliko hata vyeti.
Hard to start but is better to do
Sio kila mtu anaweza kutumiwa kias icho Cha ada so kwake is oky.
Jamn huyu dada me nmempenda bure kabxa
Asee namuonaga huyu Dada Duh yupo Frem karibu Na Omela hahaha Hongera sana.
Nimejifunza kitu ila na mi ningetumia Ada kwenye Biashara Mzee wangu sijui..........angenifanyaje hahahaa sijui
Angenipongeza
Hahaaaa ana tofauti n wangu
Hizi mambo huwa zina siri zake usije ukakurupuka😀😀
Kweli kabisa...tunaangaliaga mafanikio juu juu2
Kweliii aiseee
Acha woga jiongeze utabaki na cheti mjini hapa😀😀😀
Endelea kubaki na cheti choko nyumbani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Namuelewa sana
Hongera Sana mamy❤️❤️❤️❤️🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Na mm nindoto yaku kweli kufungua duka la viatu na mapochi
Suzie my neighbour in Gwitiryo village Big up sana suzie
wenzang na mm tusomen tuu!..
Usikate tamaa ndugu bado mda upo na unao .
Ndileeeeee
Somaaaa ww
Nothing bad you have done nay God help you to achieve your goal
Mimi sijapenda kabisa kwani naona kama umefanya dhambi kuwadanganya wazazi ungewaambia tu ukweli hutaki chuo naona kama unafundisha wengine kuwatapeli wazazi au walezi. Ungekuwa tu muwazi.
Wewe hujamuelewa msikilize vizur
Mbona wapo wanafunzi wanao kula ada kwamambo yastarehe hasa wakiume akiona afanyi vzur darasan,suz yeye amekua nawazo chanya,wanafunzi kawaonya wasfanye kama yeye alivofanya.
Nakukumbuka we dada kipindi uko form5 sisi tuko form4 hongera xan
Tatizo munawashawishi wengine nao wachukue ada kama mtaji au sio😀😀😀😀
Hhhhhhhhhhhhhh
Dada samahani Sana kwausumbufu ninaitaji lokeshni kuwa upo mwanza seem gani ulipo
Dada uko mwanza seem gani
Kikubwa kumwomba Mungu, maana maisha ya mbongo ni mbele tembea nyuma geuka
Upo vizur mtoto wa mwanza ❤️❤️❤️
Mungu akutangulie
Duh watu na pharmacy zetu Tunahustle na Ndio kwanza Kutoboa bado Sema Ngoja tuone itakuajeee
Jambo la kheri, ulijua nini unataka, stay focused
Naitaji kiatu Kwake niagize Nitampataje Aiseh...naomb msaada
Kusoma sawa Soma Ila so kwamba ukisoma ndo utakuwa tajiri hapana Kuna kujiongeza kwa sababu unalipwa milioni mbili usipojiongeza we unazania utakuwa tajiri
Namba please.
MashaAllah 💕
Ayo TV niwaombe kwamba awa mademu wa chuo cyo POA, nyendo zao tunazjua😭😭😭
Mwanafunzi wangu MK naona unakula shavu Rock City. Mpe hi Herieth, Kishimba, Miriam, Jesca na wengine wanafunzi wa cbg 2016.
mwalimu bado unakula TGS D yako, huku mwanafunzi anakula un measured scale..
Maisha banaaaaa........
@@alfredsimpoli2935 kwa kweli ni hatari ndugu, Ila ni lazima walimu wawepo pia ili elimu iendelee kuwepo. Cha msingi ni kuwa na plan B hata kama unafanya kazi za kuajiriwa ili kufika sehemu bora ya kiuchumi
Huyu Dada nimempenda bure
Elimu ni maandalizi ya kuwa mtumwa.
Kabisa yan ila walioko vyuo wanajiona wameyapatia maisha wanajisahau kama wanatafuta elimu na siyo pesa
@@robenapomola2395 😅😅😅😅😅😅BRO WEEEH KIBOKO SAAAAANA YAAN HUA TUNATABU SAAAAN ILA SKUIZ ME NAELEW KUA KUNAMALIZ CHUO HAIMAAANISH MAISHA AU PESA USHAYAPATA😋
schoool mate