MKULIMA, MMILIKI WA RUANGWA HOTEL AFUNGUKA | "NI YANGU NA FAMILIA YANGU"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Faida Online TV Desemba 21 2022 tumefika katika Hoteli ya kifahari ya RUANGWA PRIDE HOTEL inayomilikiwa na mkulima wa zao la Korosho, Hoteli iliyojengwa katika Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi na kuzungumza na Mmiliki wa Hoteli hiyo Ndugu Mparuka Hashim Mtopela ambae ndiye Mkurugenzi wa Hoteli hiyo.
Bwana Mparuka amesema Hoteli hiyo ni yake na Familia yake, na hakuna kiongozi yeyote aliyeweka nguvu zake.
Hoteli hiyo inatarajiwa kuzinduliwa Desemba 30 2022 na Mgeni rasmi ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa.
Mnaojiuliza mazao gani tatizo hamuna uwelewa kwasababu kaeleza vizuri kasema alienda kwenye taasisi zakifedha akakopa sasa hapo mnashanga nni bila shaka hawa ni wakusin wenzake maana huwa uwelewa wao mdogo sana vitu kama hivi kaskazini ni vitu vya kawaid
Mashaalah
Ndugu yetu ni zao gani lililokupa pesa ya kujenga mjengo huo?????
Ndagu
Wow❤️
Bigap sana wanyumbani
Ukiwa na akili , Raha sana .
Natamani na mm nipate lakn napambana
Muongo huyo, hana uwezo wa kumiliki hotel hiyo, ni hotel ya Majaliwa.
Mmh Mukurima huyo anarima nini
Bangi pengine
Ndugu yetu ni zao gani lililokupa pesa ya kujenga mjengo huo?????