ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Poleni sana mungu akutie nguvu kazi ya mungu haina makosa mungu ailaze roho yke mahali pema peponi
Pole dada inaumiza sana lakini mwombe mungu akutie nguvu nawenzio tuyalitukuta lakini tunamshukulu mungu kwakutupa nguvu ya kuendelea kulea watoto
Mungu akafanyike faraja jamani...mtoto hata haelewi kitu.May he rest in eternal peace🙏 😭💔
Poleni sana mipango ya mungu
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi
Pole dada yangu mungu akutie nguvu
Polen San mungu amuweke marehem Mahal pema
this death has hit me on not to heal eazy eeishh God si sawa mungu wangu mbona machungu mno💔💔💔moyo inauma sana😢😢
Poleni Sana wanafamily siamini adi sasa
Poleni sana mtunzeni mtoto huyo wanakwaya msifanye kumwachia ndugu fanyeni ili mungu awape Amani
Nivizuri vile amezikwa leo baada ya mwiki kadhaa atakuwa amepunguza uchungu kidogo😭😭😭😭😭😭
poleni sana wanazabron na mungu awatie nguvu
Mungu akatoe faraja
Poleni sana wanafamilia Mungu awatie Nguvu😢😢
Tungekuwa jirani tungefika katika mazishi lakin na Amini kwa ROHO tuko pamoja Mungu awatie nguvu kwakipindi hiki kigumu
Polen sana ni kazi ya mungu
Masikini mtoto ameniumiza sanaa pore sana
Aki hii n kama Ile ya kiptum Kenya,aki niuchungu
Mungu awafariji
Jamani watoto bado wadogo,Mungu awatetee
Daah
Uwe pole sana dada
😭😭😭😭😭😭😭so sad
Pole sana dada
Mtunzeni huyo mtoto jamani wanakwaya
Poleni sana sana ndugu wapendwa😭
😢😢😢😢awe mwenyezi Mungu watie nguvu family hiyo 😢😢
Hiki kipindi uwa nikigumu sana 😢😢
Pole dada inauma ila MUNGU akutie nguvu
RIP jaman polen kwa musiba zabron singer
Pole sana dada ni uchungu mno
Eeh Mungu wangu wape faraja wafiwa wote😭
Poleni jamani Ni ngumu kupokea
Pole sana wandugu. Mungu awape faraja 😭😭
Pole sana kawa kumpoteza mpendwa wenu
Tulimpenda lakini mungu amempenda zaidi tutaonana wAkati wa mwisho so pumzika kwa amani
Kifo ni fumbo, apumzike kwa amani Marco
Nothing pains like death God give u strength to all his family
Mungu kwanini😢😢😢😢😢😢😢
Mungu afute iyo mke wa Marco machozi na amfariji.
Mungu akawe msimamizi kwenu
😢.😢😢
Mungu watiye nguvu😭😭😭😭😭
Dah nimeumia mnooo nilikuwa nikienda kufata cake mata nyingi namkuta na mke wake
Dunia dhiki😢😢
Sana
Polen sana
Masikini mtoto hata haelewi chochote 😢😢
Mungu akupe nguvu mjane wa marehem
😭😭😭😭😭
Farijika na mungu familia yake Mareham,kazi ya mungu haina makosa 😢
He, na I huzuni
jaman ili jambo lisikie kwa jilani tu lisi kkute
Mungu hawe pamoja nanyi katikati wakati uu mugumu💔💔
Mungu awe mfaliji wenu
Dah mtoto
😢😢😢😢😭😭
😭😭😭🙏🙏
😢😢😢😢
Mbona waneharakisha haya mazishi mtu anijibu plz?
In tanzania they bury their dead after 3 to 4 days
Hali yake xio nzuri mahi
Huku ni Tanzania hawaeki mtu sana
Kabisa aisee ni kuzidi tu kuwaumiza wafiwa@@elizabethnzilani3372
Kwasababu tukimuona tunazidi kuhumia sana
Wue poleni
😭😭😭😭💔💔💔💔
Mungu kuwa mfariji katik familita hi kila dakika
Mungu akutie nguvu huu wakati Mugumu 🙏🙏🙏
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭💒😔💒💒
😭😭😭
😭😭😭😭
Poleni sana mungu akutie nguvu kazi ya mungu haina makosa mungu ailaze roho yke mahali pema peponi
Pole dada inaumiza sana lakini mwombe mungu akutie nguvu nawenzio tuyalitukuta lakini tunamshukulu mungu kwakutupa nguvu ya kuendelea kulea watoto
Mungu akafanyike faraja jamani...mtoto hata haelewi kitu.May he rest in eternal peace🙏 😭💔
Poleni sana mipango ya mungu
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi
Pole dada yangu mungu akutie nguvu
Polen San mungu amuweke marehem Mahal pema
this death has hit me on not to heal eazy eeishh God si sawa mungu wangu mbona machungu mno💔💔💔moyo inauma sana😢😢
Poleni Sana wanafamily siamini adi sasa
Poleni sana mtunzeni mtoto huyo wanakwaya msifanye kumwachia ndugu fanyeni ili mungu awape Amani
Nivizuri vile amezikwa leo baada ya mwiki kadhaa atakuwa amepunguza uchungu kidogo😭😭😭😭😭😭
poleni sana wanazabron na mungu awatie nguvu
Mungu akatoe faraja
Poleni sana wanafamilia Mungu awatie Nguvu😢😢
Tungekuwa jirani tungefika katika mazishi lakin na Amini kwa ROHO tuko pamoja Mungu awatie nguvu kwakipindi hiki kigumu
Polen sana ni kazi ya mungu
Masikini mtoto ameniumiza sanaa pore sana
Aki hii n kama Ile ya kiptum Kenya,aki niuchungu
Mungu awafariji
Jamani watoto bado wadogo,Mungu awatetee
Daah
Uwe pole sana dada
😭😭😭😭😭😭😭so sad
Pole sana dada
Mtunzeni huyo mtoto jamani wanakwaya
Poleni sana sana ndugu wapendwa😭
😢😢😢😢awe mwenyezi Mungu watie nguvu family hiyo 😢😢
Hiki kipindi uwa nikigumu sana 😢😢
Pole dada inauma ila MUNGU akutie nguvu
RIP jaman polen kwa musiba zabron singer
Pole sana dada ni uchungu mno
Eeh Mungu wangu wape faraja wafiwa wote😭
Poleni jamani Ni ngumu kupokea
Pole sana wandugu. Mungu awape faraja 😭😭
Pole sana kawa kumpoteza mpendwa wenu
Tulimpenda lakini mungu amempenda zaidi tutaonana wAkati wa mwisho so pumzika kwa amani
Kifo ni fumbo, apumzike kwa amani Marco
Nothing pains like death God give u strength to all his family
Mungu kwanini😢😢😢😢😢😢😢
Mungu afute iyo mke wa Marco machozi na amfariji.
Mungu akawe msimamizi kwenu
😢.😢😢
Mungu watiye nguvu😭😭😭😭😭
Dah nimeumia mnooo nilikuwa nikienda kufata cake mata nyingi namkuta na mke wake
Dunia dhiki😢😢
Sana
Polen sana
Masikini mtoto hata haelewi chochote 😢😢
Mungu akupe nguvu mjane wa marehem
😭😭😭😭😭
Farijika na mungu familia yake Mareham,kazi ya mungu haina makosa 😢
He, na I huzuni
jaman ili jambo lisikie kwa jilani tu lisi kkute
Mungu hawe pamoja nanyi katikati wakati uu mugumu💔💔
Mungu awe mfaliji wenu
Dah mtoto
😢😢😢😢😭😭
😭😭😭🙏🙏
😢😢😢😢
Mbona waneharakisha haya mazishi mtu anijibu plz?
In tanzania they bury their dead after 3 to 4 days
Hali yake xio nzuri mahi
Huku ni Tanzania hawaeki mtu sana
Kabisa aisee ni kuzidi tu kuwaumiza wafiwa@@elizabethnzilani3372
Kwasababu tukimuona tunazidi kuhumia sana
Wue poleni
😭😭😭😭💔💔💔💔
Mungu kuwa mfariji katik familita hi kila dakika
Mungu akutie nguvu huu wakati Mugumu 🙏🙏🙏
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭💒😔💒💒
😭😭😭
😭😭😭😭