HUEZI AMINI ZANZIBAR YOTE IPO NDANI YA JENGO HILI! JUMBA LA MAKUMBUSHO YA AMANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 พ.ย. 2018
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Zanzibar #Makala #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Shukraan Sana KTV kwa kutujuza historia ya kisiwa chetu
Ahsante sana Ally, endelea kuangalia video zetu, Hakika hii ni Fahari Yetu
Kumbe Zanzibar haikutwaliwa Leo et duu wa Zanzibar tuamkeni bana tudai haki yetu
Dah nimezaliwa Zanzibar na nimekulia Zanzibar lkn Haya mambo ilikua cyafahamu.asante san ktv online...tumetoka mbali kihistoria
ASSALAAMU ALEYKUM I AM PROUD OF PEOPLE OF 🇿🇦 ZANZIBAR MY ALLAH ALWAYS MAKE THEM HAPPY INSHALLAH ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimekipenda sn hiki kipindi hususan sehemu inayoonesha ujenzi wa nyumba zetu za asili, Hongereni ktv tz online... Hakika hii ni fahari yetu.
K tv online hongereni sana najua mengi kupitia nyinyi Allah awajaalie afya na amani muzidi kutujuza yaliyo mageni kwe2
Hayo ndio mambo tunayoyataka kujua historia ya nchi yetu Asante sana
Ahsante sana Fatma, endelea kuangalia video zetu, Hakika hii ni Fahari Yetu
Kumbe mnajua Kama wazungu ndo walikutawaleni. Sasa kwanini mnaharibu jina la waarabu.?!!!
acha upemba
Historia nzur sanaa
Kiukweli hsa nazipenda izi documentary mnazozitoa ktv hongera 👊🏾🥳
Ahsante sana Yahya, endelea kuangalia video zetu, Hakika hii ni Fahari Yetu
Ktv Bora muwe munatuletea vipindi Kama hivi kuliko taarifa za habari. Mana taarifa za habari huwa ni kinyume na kichwa cha hbari
KTV munafanya kazi nzuri sana.Mda mwengine natamani mungelikuwepo miaka 40 nyuma mkituonyesha historia🤔🤔
Mtawala wa Tanganyika anaitwa mtawala wa Tz bara
Uhuru wa Tanganyika unaitwa uhuru wa tz bara.
Cjui hili jina Tanganyika linachukiza kwa sababu gan
Zamani sana
Kaz nzuri ktv mambo haya ndo yanayotakiwa tuyajuwe
Ahsante sana Ally, endelea kuangalia video zetu, Hakika hii ni Fahari Yetu
Historia nzuri sana hii
Ahsante sana Sayd, endelea kuangalia video zetu, Hakika hii ni Fahari Yetu
mimi naona zanzibar yote ipo bara
wapemba utawajuaa tu kaa pembeni
@@hamnakituumupumbatupumohd8505 kwani mpemba sio mtu?
ni mtu kama watu wengne ila tabia zenu za kila jambo kufanya Siasa zinatuchoshaaaa bhaaa
@@hamnakituumupumbatupumohd8505 kama unavyowatafsiri watu nawao hukuona hivyohivyo.
Mkiambiwa ukweli hamuutaki.
ivi pia hujaiona kama Pemba yote ipo Zanzibar (unguja)
Njama za kutawala watu ni kujua lugha zao,kisha kuingilia Mila zao. Ndo wanayofanya wazungu hivi Sasa. Ili watawale tena happy Zanzibar.
Asanta kTV
Ivi izi historical sites hazikosi majini kwa tangia miaka io?
Dah! zinaweza, angalia video yetu mpya, Usiikose
Sehemu iyo sio nzuri.binafsi napajua sana tu apo.mchana kuna kituo cha taxi.ukipita jaribu kuuliza dereva wa taxi kwann usiku hamna kituo??? Sio sehemu nzuri kwa kweli na madereva wanatambua ilo.
hio ndo zenj yetu
Kikweli tunaifurahiya iyo historia
Ahsante sana Kimbo Mohammed, endelea kuangalia video zetu, Hakika hii ni Fahari Yetu
Nzuri ila unazunguka zunguka sana
Ahsante sana! Usikose Muendelezo wake. Karibu sana Ktv TZ online.
Kila mmj na uelewa wake na wote hamtakua sawa kwa kuelewa, so lazma apitie uku na kule alimrad mnafam kwa wote!!!..
Ulindeni wenyewe mji musiwape wa Israel. Kama hivi Sasa mulivokuwa mushafanya..mnaurejesha utumwa Tena wenyewe.
That true
Ahmed Young, Tuko pamoja. Ahsante sana Ally, Hakika hii ni Fahari Yetu
Sanatuu
Ahsante sana Tey, endelea kuangalia video zetu, Hakika hii ni Fahari Yetu
Nakumbuka niliwahi kuingia zamani sana
UKIZUNGUMZIA UJENZI WA STONE TOWN ZANZIBAR,HAINA HAJA YA KUZUNGUSHA MANENO KWANI UKISEMA ARCHITECT YA KIARABU KUNA UBAYA GANI?!!MBONA NDIYO SHEMIJI ZENU AU SIO?.
Good
Ahsante sana Islim, endelea kuangalia video zetu, Hakika hii ni Fahari Yetu
@@ktvtzonline shukrani sana daima nipo pamoja na nyinyi nyumbani kwanza
C useme tu tanganyika?
@@bindawood978 ikiwa Tanganyika ww inakuhusu nn jiheshim ndg yng hata km umejifunza kutumia cm ukubwani isiwe chanzo au sabab y kukosana n watu
usibishane nae anatoka kojani uyo
Wa kwanza leo
Sawasawa
Mashaallah tukumbusheni
Hodari
hongera sana Abraham, Ahsante sana, endelea kuangalia video zetu, Hakika hii ni Fahari Yetu
Ibra mara3
mnatoa habari nzuri ila mitandao tulionayo malazi tupu
najua kama unatoka Tanganyika lakini hilo neno haliitwi malazi sawa?bali linaitwa (maradhi) buh i am so so sori pal okay?
Mimi niko nchi za makafiri kidogo lakini inshaallwah ni kirudi muwe mshaniekea ndani ya hilo nyumba yule mtoto wa Kitanganyika anae igiza igiza kujamba mimi na mpenda sana vile anavyo jamba kwa hio muhamisheni kule Tanganyika muniekee kwenye hili jumba na kuja sawa?yule TeTe mjambaji sawa?
Mshaiba kila kitu
Raisi wetu JPM mbona mitandao inasumbua sana nchini je akuna mwenye sauti yenye mamlaka ya kufunga mtando zaifu apa nchini ambae umemteua wewe
Huyo Rais Wako mwisho wake Chumbe sawa?
Zinjibar kuna Rais wake kuna Serekali yake na kuna Raia wake sawa?
Kwaio umondani ndio mna ivo tu ?sasa ukihitaj kujakujionea mwenyewe proses zinakuwaje?
Unaandika barua.. au mnaenda Hua mnalipa
@@amnemkubwa7353 MUendelezo wa makala haya yatakuja muda si mrefu, washa kengele ili usikose
Na hayo ni machache tu nilipata kuona tena kwa Tv kuwa vitu vingi vya kumbukumbu vilichukuliwa na waingereza viko nje ya nchi inasikitisha sana
Vitu wanauza wenywe akili nyingi ndani ya serikali.IZO NI Antique(Vitu vya thamani viliowahi kuwepo duniani,Vinathamani sana ata wazungu wenywe walikuwa hawamili) raia wametulia wanachezewa na siasa.Inasikitisha kuona znz inafisidiwa na wasio waznz.
Yaani izi historian nyengine nahis km ni doto tu
Naomba kuuliza kwa wenyeji wanaotaka kutwmbekea hapo kuna utaratibu gani ? Pia kuna kiingilio au vp. Naomba unijuze
Usikose muendelezo wa makala haya, utajua kila kitu., Hakika hii ni Fahari Yetu