RAIS MWINYI ATOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA 26 ZANZIBAR, MMOJA NI RAIA WA KIGENI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ม.ค. 2024
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 112

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 6 หลายเดือนก่อน +5

    Safi sana ila mbona ni kidogo sana hao maana wengi wao wapo humo kwa makosa ya kusingiziwa na kubambikiziwa tu

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 6 หลายเดือนก่อน +5

    Mrusi anaongea kiswahili kizuri kuliko Aristote

  • @intissarslemalial-abry9062
    @intissarslemalial-abry9062 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mtafuteni mrusi mufanye interview ana stori yake nzuri na ita hit sana

  • @muhammednassor690
    @muhammednassor690 6 หลายเดือนก่อน

    Thank you

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mbona wadogo wamesamehewa ,huku bara km wanasamehewa wengi mpk wanafika elfu na zaid sijui kwasababu ya magereza yapo mengi au.ila sihaba . ilikuwa rizk yao inshallah 🙏 tunamshukuru rasi wa znz kwa upendo wake

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ukiona hivyo huko wafungwa sio wengi kama huku bara na hata wakazi wake sio wengi kama huku, wananchi wa visiwani hawazidi hata milioni kumi ila huku ni zaidi ya milioni hamsini. Bara watu ni wengi zaidi ya visiwani na ndiyo maana hata wanaofanya makosa na kufungwa pia lazima na wao wawe wengi. Kwa hiyo hilo ni jambo la kawaida.

    • @omarissamashaallahpresiden2920
      @omarissamashaallahpresiden2920 6 หลายเดือนก่อน

      Tunashukuru kwa kupanda kwa sukari 4000 1kg

    • @shishisia1878
      @shishisia1878 6 หลายเดือนก่อน

      Njoo kwet elf tatu ​@@omarissamashaallahpresiden2920

    • @richytarimo4656
      @richytarimo4656 6 หลายเดือนก่อน

      utafananinisha bara na visiwan,,,. bara ni kubwa. mzeee,,,

    • @omarissamashaallahpresiden2920
      @omarissamashaallahpresiden2920 6 หลายเดือนก่อน

      @@richytarimo4656 akili Maji kujibu comments hujui tafuta mtu akufundishe unamjibu mtu mwengine hajahusu na suala Hilo sugar 1

  • @WATUWAMJUEMUNGU
    @WATUWAMJUEMUNGU 6 หลายเดือนก่อน +9

    Wanafunzi ni jina zuri sana hakika wamepitia mafunzo mengi sana.

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 6 หลายเดือนก่อน +5

    Kweli hamukukosea kuwaita wanafunz dah mrusi kajua kiswahili tena cha kipemba dah🙆‍♂️

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 6 หลายเดือนก่อน

      Mle ndani sio poa pasikie tu

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 6 หลายเดือนก่อน +1

    Uhuru uhuru uhuru uza nyumba upate uhuru

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 6 หลายเดือนก่อน

    Hadi mrusi kajua kiswahili Allah amjalie awe mwema na km ataenda kwao basi iwe kheri kwake

  • @ussihadji2248
    @ussihadji2248 6 หลายเดือนก่อน

    kiongoz imara, ❤

  • @fatimaussene1010
    @fatimaussene1010 6 หลายเดือนก่อน +2

    Atafutwe mrusi ata kuwa na story nzuri sana jamani

  • @msaznz
    @msaznz 6 หลายเดือนก่อน +3

    ikiwa kuna jela , kuna na qaburi pia, tumuogopeni Allah

  • @swahiliforex
    @swahiliforex 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nimeingia Jela mrusi nimetoka Mpemba😂

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x 6 หลายเดือนก่อน +6

    Safi sana

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona kidogo sana bora wangekua japo 200

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm 6 หลายเดือนก่อน +5

    Hao wanafunzi waliochiwa ni kidogo sana, na hamna mwanamke hata mmoja inaonesha

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 6 หลายเดือนก่อน

      Jielumishe kwanza vigezo vya msamaha vikoje, havitolewi kwa kuwa flani ni jinsia fulani, na magereza hawachanganywi na jinsia, wanaume kivyao na kuna wanawake kivyao

    • @AhmedAli-gh1lm
      @AhmedAli-gh1lm 6 หลายเดือนก่อน

      @@jasonwatz7457 Haya, sasa wewe tuelimishe hivyo vigezo, kisha tuone kuwa wanawake haviwahusu

    • @richytarimo4656
      @richytarimo4656 6 หลายเดือนก่อน

      hata hvo asilimia kubwa ya waharifu ni wanaume,,, wanawake wako wachache

  • @user-ip4ie7pt6i
    @user-ip4ie7pt6i 6 หลายเดือนก่อน +1

    Duh uyo mrusi wa mda sana alikua na mwenziwe ndani alifariki

    • @user-qb3nr6gl1z
      @user-qb3nr6gl1z 6 หลายเดือนก่อน

      😭😭😭😭🙆‍♂️😭

  • @hassankhatib1783
    @hassankhatib1783 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wanawake wako wapi

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 6 หลายเดือนก่อน

    Kidogo mbona

  • @eunicefalex4403
    @eunicefalex4403 6 หลายเดือนก่อน

    Ni wanafunzi au niwafungwa na wametoka gerezani yani urekebidhaji

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 6 หลายเดือนก่อน +1

    mrusi kajua kiswahili😂😂jela ni shule naona huyo alosalimika kunyongwa mpaka kukaa maisha jela 😂😂mtihani

  • @jamesmapoya7329
    @jamesmapoya7329 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio 26 😳 kheeee

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka3956 6 หลายเดือนก่อน

    Huyo raia wa Urusi ataenda kupata hifadhi wapi au angesaidiwa na serikali kusafirishwa hadi kwao itakua tumemsaidia sana.
    Hata na mimi naona kama 26 kidogo vile angalau 60 kwa Unguja na Pemba ingekua poa sana.

  • @MohdAli-cx7bc
    @MohdAli-cx7bc 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hhahahaha apo kwenye anaonesha unaujali ndio tatizo😂😂😂

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 6 หลายเดือนก่อน

    Ba zungu anaongea kiswahili kama babu wa donge anazungumza kizanzibari sana.safi sana.

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 6 หลายเดือนก่อน +7

    Masheikh wetu kimya tunamshukuru Samia na Chama cha upinzani Zanzibar ACT wazalendo

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 6 หลายเดือนก่อน

      Ni jambo jema sana Masheikh wetu kuachiwa lakini chama cha upinzani kilitowa msaada gani? Wakati wanakamatwa kinyume na utaratibu Mhe. Othman Masoud ndie alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Katiba na Sheria alikuwa Marehemu Abubakar Khamis Bakari kutoka CUF na hawakuchukuwa hatua yoyote

    • @AliAli-lw9bj
      @AliAli-lw9bj 6 หลายเดือนก่อน +1

      ​@hajihassan5433
      Othmani Masoud Mwanasheia Mkuu alishasema aliposikia mashehe, wamepelekwa bara alikwenda kwa Dr Sheni, Rais wa Zanzibar na akamueleza kuwa sio katika utaratibu, pili Othmani Masoud akiwa, muendesha mashtaka alisimamia kurejeshwa zanzibar kwa wazee Wakipemba waliodai kujitenga. Lakini Yeye ni mshauri Dr Amani alikubali na kuamuru wapemba warudi na wakarudi,
      Lakini Dr, Sheni na CCM wanzake akina Seif Idi walikuwa na Lao.
      Pia Abuu bakar akiwa cuf hao masheikh walikuwa wanakwendana na sera zao hasa kwenye Mikutano ya Muamsho.
      Leo akawatie ndani wakati walikuwa na msaada kwenye kuwapasha CCM na Serikali zao hasa suala la muungano.
      Kila mtu Zanzibar anajuwa waliwekwa na nani na kwanini so please stop your nonsense.

    • @omarissamashaallahpresiden2920
      @omarissamashaallahpresiden2920 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@hajihassan5433ww punguwani

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@hajihassan5433usiongee usilolijua

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 4 หลายเดือนก่อน

    Kweli hiyo mrusi mngempeleka ubalozi w urusi ili mumfanyie safari y kurudi kwao sasa atafanya nini znz asijekupata tabu ya mazingira tena

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 6 หลายเดือนก่อน +1

    akaaa mbona kidogoo hee 26 tuu

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mie hata kama wakwangu kama linatabia mbaya nalifie mbali huko

  • @binzubeirnasheed4088
    @binzubeirnasheed4088 6 หลายเดือนก่อน

    Kidogo sana hao wange wapa japo 200

  • @edgersimtowe5858
    @edgersimtowe5858 6 หลายเดือนก่อน

    Naungana na wafunzi kushukuru Rais Mwinyi sana, japo walimu hawajataja hata fani moja wanafunzi walio toka nayo. Nasikiaga chuo cha mafunzo na nilifikiri mfano wa mwinzi anapotoka hapo, anakuwa na taaluma ya kufanya kazi fulani? Ili asirudi kuiba tena kuku mtaani

  • @saidseif1860
    @saidseif1860 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kule wanaitwa wanafunzi waweza changanyikia kwanza gereza laitwa chuo cha mwafunzo

  • @CheerfulBubbleTea-iy5sd
    @CheerfulBubbleTea-iy5sd 6 หลายเดือนก่อน

    😊😅😊😊😊

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa kunyongwaa na kukaa maishaa vpp apoooo lakn kulaa ipooo ya uhakikaaaaa😅😅😅😅😅

  • @BUDUU666
    @BUDUU666 6 หลายเดือนก่อน

    Kifungo cha kunyongwa kasamehewa kafungwa maisha ndo kupunguziwa kifungo😅😅😅.. sasa hapo ndo kupuziwa nini😅😅😅😅

  • @user-zi1lr8wk3w
    @user-zi1lr8wk3w 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kidogo sana

  • @user-ni1lm2md1c
    @user-ni1lm2md1c 6 หลายเดือนก่อน

    Mrusi arejesshwe kwao

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashekhe nao lini

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 6 หลายเดือนก่อน

    Ilpendezesha waachiwe wengi zaidi. Jela si kuzuri.

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mmoja namuona anaenda mbio alipo toka getini 😂 anaogopa kuja kuitwa arudii😂😂

    • @hamidissa1807
      @hamidissa1807 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂 ta mie ningezipiga mbio mpk niondoke ukanda uo

    • @user-or8xv5bp1b
      @user-or8xv5bp1b 6 หลายเดือนก่อน

      😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน

    Ikiendeleza uhalifu mlalamike sudia tu ndio haitaki utani sijui kufungwa sijui msamaha haina hiyo

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa 6 หลายเดือนก่อน

    26 sihaba ao

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 6 หลายเดือนก่อน +1

    Watu 26 niwachache sana angewachia kama 500

    • @ahmadmohd3771
      @ahmadmohd3771 6 หลายเดือนก่อน

      Sasa we unataka magereza wafanye kazi gani

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@ahmadmohd3771 kwahiyo jela ni kwajili ya watu wapate ajira?

    • @shishisia1878
      @shishisia1878 6 หลายเดือนก่อน

      Ao 500 c nd itkua wanemlz wot n bd msamh utadai wat

  • @user-xb6tc4bb3z
    @user-xb6tc4bb3z 6 หลายเดือนก่อน

    President putin is typing.......

  • @abdulkadir-sn1kx
    @abdulkadir-sn1kx 6 หลายเดือนก่อน +1

    Q😊😊😊😊😊

  • @allykinyaga6060
    @allykinyaga6060 6 หลายเดือนก่อน

    Wazanzibar wanatuharibia kiswahili tu!, Wafugwa= Wanafunzi, Maji ya bombani=Maji ya mfarejini, Ugali=Sembe, Rula=Mstari, Kiroba=Kiporo, Kufiwa=Kufiliwa nk

    • @user-ip4ie7pt6i
      @user-ip4ie7pt6i 6 หลายเดือนก่อน

      Kila sehem ina matumizi yake yanlugha mbina nyie wa bara kwenye l mnaweka r alaf hii wafungwa kuwaita wanafunzi nitafute chemba nikupe sababu zake za ndani zaidi ila kwa haraka haraka ni just tu kuwapunguzia ukali wa matamshi yaani kuwafanya na wao wajisikie tu kwamba bado ni binaadam ndio mana wanaitwa wanfunzi ila huku uraiani tuna waita wafungwa kama kawaida

  • @zenaal-baalawy1953
    @zenaal-baalawy1953 6 หลายเดือนก่อน

    Shemegi Khamis Bakar

  • @hassan12ali56
    @hassan12ali56 6 หลายเดือนก่อน

    Kuna mmoja amemsahau mpka raisi duh

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 6 หลายเดือนก่อน

    Maskini mzungu 😊sasa mnamsafirisha kwao ama?

    • @user-ip4ie7pt6i
      @user-ip4ie7pt6i 6 หลายเดือนก่อน

      Kwao wanaenda kumuua huyu mzungu walikua wawili walimuua mrusi mwenzao na yyle mwenziwe walio fungwa wote alifariki akiwa jela

    • @Sidrasidra636
      @Sidrasidra636 6 หลายเดือนก่อน

      @@user-ip4ie7pt6i maskin💔😔

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 6 หลายเดือนก่อน

    Kama India mpaka ujue kihindi😅

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 6 หลายเดือนก่อน

    Kwan walikosea nini Hawa wanafunzi? 🤔

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa nn mwalim wangu mwalim hamadi asiachiwe huru

    • @KhalidMohammed-mq3km
      @KhalidMohammed-mq3km 6 หลายเดือนก่อน

      Maalim hamadi nae inshallah mungu amjalie mwakani nae awemo kwenye msamaha

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona sielewi wafungwa na wanafunzi ni sawa?

  • @XPOSED255
    @XPOSED255 6 หลายเดือนก่อน

    safi sana raisi wetu una utu na mwenyzei mungu anaona hilo

  • @catherinemanuel8808
    @catherinemanuel8808 6 หลายเดือนก่อน

    Inamana Hilo gereza halina wanawake mbona wameachiwa wanaume tu

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 6 หลายเดือนก่อน

    Eti wanafunzi😂😂😂😂

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 6 หลายเดือนก่อน

    Huyo mrusi alifanya nini?

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน

    Siigekaa tu hukohuko mijitu inamikosa eti inatolewa

  • @FreddyElengabo-kn3ks
    @FreddyElengabo-kn3ks 6 หลายเดือนก่อน

    Wafungwa ao wanafunzi

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 6 หลายเดือนก่อน

    Mzungu nenda urus ukapigane vitaa

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน

    Sigekufia tu huko hukonipisheni mie

    • @KhalidMohammed-mq3km
      @KhalidMohammed-mq3km 6 หลายเดือนก่อน

      We matako unasiko yako utaingia jela

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน

      @@KhalidMohammed-mq3km sasa kumbe wewe huna matako mtu mwenyewe unaonekana hatabando huna msg tangu juzi unasusua kujibu sasa sikia matako niyamamaako sw

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 6 หลายเดือนก่อน

    Uyoo wa urus kafanya nn tena😢

    • @nahyanmohamed2409
      @nahyanmohamed2409 6 หลายเดือนก่อน +1

      Aliua tangu 1997 alimchoma moto mzungu mwenzake

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n 2 หลายเดือนก่อน

    wanafunzi🙄🙄😬

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa mwandishi unanifadhaisha unapowataja kama wanafunzi ili ghali ni wafungwa..

    • @yasminjuma9146
      @yasminjuma9146 6 หลายเดือนก่อน

      Wsmeenda kufunzwa hao. Washajua kazi nyingi tu. Mungu awajaalie kheri. Amin

    • @ahmadhaji9293
      @ahmadhaji9293 6 หลายเดือนก่อน

      Zanzibar hakuna jela bali kuna chuo cha mafunzo

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE 6 หลายเดือนก่อน

    Jamaa aanatfta kuraa kweli

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 6 หลายเดือนก่อน

      Ni utaratibu mbona Kila inapofika siku za sherehe za mapinduzi kwa Zanzibar na sherehe za uhuru kwa tz bara Marais hutoa misamaha kwa wafungwa kwa Tanzania bara na wanafunzi wa chuo Cha mafunzo kwa Zanzibar . Ila mh rais mwinyi anajitahid Sana kwenye suala Zima la maendeleo hususani kwenye ujenzi wa miundo mbinu pamoja na kujali maslahi ya wastaafu na wazee .. Zanzibar penchen ya wastaafu imeongezeka kwa asilimia mia halafu Kuna penchen kwa ajili ya watu wazima ( wazee Zanzibar wanalipwa japo sio kikubwa Sana ila Kila mwezi 50,000/= ni jambo zuri Sana . Maana jambo la kulipa wazee sio rahisi nchi nyingi zinashindwa kulitekeleza jambo hili kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo idadi ya watu , issue za kiuchumi , mipango na sera .

  • @user-ni1lm2md1c
    @user-ni1lm2md1c 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ushauri wangu kwa huyo mrusi aangaliwe macho mawili na apelekwe kwao kwani warusi si wa kuaminika.

    • @user-ip4ie7pt6i
      @user-ip4ie7pt6i 6 หลายเดือนก่อน

      Mrusi kwao wataenda kumuua kwa sababu yeye na mwenzake ambae alifia jela waliua mrusi mwenzai mitaa yabkwa mchina huko na nikasikia ndugu zake marehem wana msubiria nae wamuue

  • @ZaynabMsury
    @ZaynabMsury 6 หลายเดือนก่อน

    Walivyosem wanafunz walinichangany kumbwa wafungwa zanzimba bhn hongren

    • @ahmadhaji9293
      @ahmadhaji9293 6 หลายเดือนก่อน

      Zanzibar hakuna jela bali kuna chuo cha mafunzo

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน

    Mnawatoa Ijekutukera

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 6 หลายเดือนก่อน

      Kuna sababu nyingi Sana zinazopelekea mtu kutumikia chuo Cha mafunzo sio wote wamefanya vitendo vya ukatili kiasi kwamba wasiweze kusamehewa na kurudi kwenye maisha ya kawaida ... Vile vile Kuna vigezo , kanuni ili kukidhi matakwa ya kupata huo msamaha ikiwemo nidhamu, uadilifu , tabia njema , umri , afya ,matendo na mienendo yako , historic background pia mambo mengi yanazingatiwa kwakweli .

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน

      @@mwanangusana mbona wewe hujatumikia bwanawe asokosa hatumikii ukiona mtu kafika huko makosa yapo

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 6 หลายเดือนก่อน

      @@sofitanzanian955 ndugu yangu kusema ukwel sio Kila anaenda kule ukadhan amefanya makosa ... Tuishie hapo Kuna visa mbali mbali vipo ambayo vimepelekea watu kutumikia kifungo Bila ya hatia . ... Ndo maana Kuna viapo vya uadilifu majaji na mahakimu pia kwakua sababu mbali mbali iwe kwa kwa kudhamiria au kutodhamiria akatoa hukum kwa mtu asiyestahiki kuhukumiwa . Sio sahihi kusema walitumikia vifungo kuwa ni wahalifu wametenda makosa ndugu yangu .... nakumbuka zaman kidogo unawez kutwa unatoka kazini usiku ukapewa kesi ya uzururajii na ukafungwa miaka 2 ... So ni hivyo ndugu yangu ila unawez bakia na mcmamo wako unao uamini .

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน

    Mjitu ukute imeuwa imetolewa

    • @yasminjuma9146
      @yasminjuma9146 6 หลายเดือนก่อน

      Una uhakika ?

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน

      @@yasminjuma9146 ndio nawewe alikuwemo hawara yko nini alifungwa

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน

      @@yasminjuma9146 ndio nnauhakika sasa unasemaje mbuzi mweusi we halafu mjilize lizeuhalifu uhalifu kwenda huko

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน

      @@yasminjuma9146 ndio nnauhakika nguruwe mijitu inatolewa yanini isokufa huko huko kuja kufanya ufisadi tu mijitu inabaka inauwa inatolewa au halijakufika ndio unaleta mdomo mrefu kama matako yko

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน

      @@yasminjuma9146 kelele wewe mbwa we

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mnawatowa waje kufanya uhalifu

    • @KhalidMohammed-mq3km
      @KhalidMohammed-mq3km 6 หลายเดือนก่อน

      Urampoingia jela ndio utajua nini thamani ya uhuru