KAMA UNATAKA KUISHI NDANI YA ZANZIBAR LAZIMA KUFANYA HIVI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2020
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
MAJAMBAZI JUUU YA MAJAMBAZI. WALE WATU WASIOJULIKANA JEE WAKIIGIYA KWENYE MTAA NA KUFANYA UFISADI JEE NA WALE WAJE KURIPOTI KWA SHEHA
TENA HILI NI MUHIMU SANA, HATA NNCHI ZA ULAYA HUSUSAN UBALGIJI UKIPATA MGENI KUTOKA NNCHI NYINGINE , NI LAZIMA UKAMTAMBULISHIE KWENYE OFICISI YA MEA. ILI WAJUE AMINGIA LINI NA ATAONDOKA LINI. HILI NAONA NI MUHIMU SANA HASA KIUSALAMA .
Wanzanzibar mbona hapa hapataki siasa,kwa hili ni utaratibu wa nchi zote duniani.
Usumbufu mashea wenyew ka huna ela anakwambia sikujui siasa tu ..
Waache waingie tuu Zanzibar ninjema
Mana jipya nyinyi mmeweka pesa mbele kama mifuko ya shati
Wakodishaji ni sawa .....
mimi pendekezo langu mashekh wawe wale walioshiba dini,kama vina shekh nyondo nk,si hao masheha wengine wakukota okota mambo yanakua hayaendi sawa wanavutia upande umoja
Naomba SUBSCRIBER kwenye youtube channel yng tafadhal
Ilhaam Marshed okay sw
Salam kutoka. Marekani nduguzagu mungu atusai.die 🇺🇸
Ilhaam Marshed tayr habbty
Asante
Mazoeya
Hahaha eti yaya..
Zanzbr njema
Hao sheha wenyewe wezi
This action is only applied at point of entry, ie airports, ports,or boarders Thank
Kwa vijijini sawa lakini sio mjini
About unguja na.pemba
Tuonyesheni hizo kumbukumbu ambozo mumeweka kwenye hayo mafaili yenu Masheha
Hamna maana yeyote nyie na hao walio kuwekeni basi itakuwa kibaruwa siyo kazi halafu washenzi mna ongeya kama waaatu pumbaav unuusu kitambulisho vipi au ndiyo hawajuwi hawajaleta baruwaa
Uwo ni ukoloni Mambo leo
Hakuna ukoloni hapa mimi niko ulaya kama sikuka kisheriya nipolisi hunifata nayule aloniweka namtiya matatizoni
Wewe ni mjinga unajua ukoloni lakini
@@nasseryahya2919 ww hujuwi nini unaongeya ...... Sisi Waafrica tunapenda kutesana wenyewe kwa wenyewe...... Wazungu na Waarabu na Wahindi hamuwapeleki Kwa masheha.....
@@nasseryahya2919 halafu usipendelee kuita watu wajinga..hapa tupo kuchangiya mawazo kwa hiyo kila mmoja Ana right ya kutowa mawazo yake... .Sasa ujinga upo wapi????
Mimi naomba unijibu unaujua ukoloni wazungu hawapelekwi kwa maxheha ila na wao kuna taratibu wanzifuata wanapoingia mji wa W2 na ndio maana xiku zao zikiixha wanatimka
Kwenye kuandisha hata kama umezaliwa na kuishi mtondogoo akikuona una sura ya chama pinzani Sheha anasema usiandikwe eti hakutambui, dhulma tupu!
Sasa sheha wa nn na unakitambulisho chako kinachoonyesha kila kitu?
Sheha ni mtu wa Serikali sio wa chama...Anatakiwa Atowe services Kwa kila mwananchi anaehitaji bila ya kutizama ... Chama chake..........